MIMI MARS: DIAMOND ALITAKA NIACHANE NA MPENZI WANGU, ILINIPA STRESS!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • #MimiMars #DiamondPlatnumz

Комментарии • 173

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 3 года назад +36

    Bila Diamond watu hawali ugali 🤣🤣🤣🤣

    • @wazambulitv5735
      @wazambulitv5735 3 года назад +2

      *Diamond Platnumz **8:20**-**10:14**..Pisi Kali Mimi Mars😀✌*

    • @jumamkongowe2272
      @jumamkongowe2272 3 года назад +1

      Diamond ndy kilakitu kwenye media zao

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 3 года назад

      🤣🤣

  • @lovelovers715
    @lovelovers715 3 года назад +3

    I love Mimi she is so real! She is beautiful Alafu talented! Guys tembeleya page yake mumpe support! She needs us! Before check my page kuona story ya Diamond na Zari from D to Z!

  • @mchainatvy9586
    @mchainatvy9586 3 года назад +5

    A beauty lady!

  • @zenadaudzena2849
    @zenadaudzena2849 3 года назад +5

    Base voice 😍

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 3 года назад +3

    Mimi Mars mzur sana baby💕😘

  • @fuadmohanna1089
    @fuadmohanna1089 3 года назад +3

    She's good singer

  • @mwisukulu1
    @mwisukulu1 3 года назад +26

    Kumamake diamond ni noma, demu anaongea kuhusu diamond akiwa anatetemeka balaaa........wanaume tusake pesa aiseee

  • @fuadmohanna1089
    @fuadmohanna1089 2 года назад

    Good answer mimi mas

  • @shabanmjunga6407
    @shabanmjunga6407 3 года назад +2

    Daaah nampenda sana huyu Mdada Tena kutoka moyon

  • @bosschick2417
    @bosschick2417 3 года назад +1

    Kafanana mama kanumba flaura👌

  • @anjunurdin2392
    @anjunurdin2392 3 года назад +7

    Mh huyu dada nampenda sana.lkn .sikuoenda alivyoamua kuimba! Alipendeza sana kua mtangazaji..alikua anakipatia sana kile kipindi cha wasanii..lkn kuimba angemwachia Vanesa.mh lkn ni maamuzi yake.

  • @hamishamis9957
    @hamishamis9957 3 года назад +22

    nipo hapa kwa jina la diamond

    • @juniorcx0114
      @juniorcx0114 3 года назад +1

      Hata mm

    • @wazambulitv5735
      @wazambulitv5735 3 года назад +1

      *Diamond Platnumz **8:20**-**10:14**..Pisi Kali Mimi Mars😀✌*

  • @adampremo7949
    @adampremo7949 3 года назад +16

    Camera man umenikosha sana nimekuelewa ulitaka tuone nini...wakulungwa tumeona babaaa🔥🔥🔥

  • @allynyangassa6880
    @allynyangassa6880 3 года назад +4

    Hyu mtoto huwa nampenda Sana ningekutana nae ningempa mchongo wa ndoa

    • @ramadhanmahongole5663
      @ramadhanmahongole5663 2 года назад

      utamuweza??mana kuishi na star ni ngumu sana ndomana hata wao wanajijua hawaolewagwi

  • @alickodaniel4611
    @alickodaniel4611 3 года назад +5

    Nimekuja sababu ya #Diamond

    • @timotheokiss6019
      @timotheokiss6019 2 года назад

      Facts ata mimi nikisikiaga jina la mondi tu nimoo

  • @mandalorian_4.11
    @mandalorian_4.11 3 года назад +5

    nimefurah sana baada ya kuskia zuchu yupo kwenye playlist ya Mimi mars #wcb4life

  • @Kagehaijanira9473
    @Kagehaijanira9473 3 года назад +2

    Ungela huu na asara juu diamond ni mume wa zari nimapenzi ya mungu wataowana Harusi kubwa tunangoja diamond na mama tee 🙂🙂

  • @onesmoretz2785
    @onesmoretz2785 3 года назад +67

    Channel kubwa km hii inaandika kichwa cha habar cha uongo it's doesn't make sense

    • @Richard_Kim29
      @Richard_Kim29 3 года назад +3

      Sure wajiulize mara mbili mbili why wanaandika upuuz

    • @andrewmachage9102
      @andrewmachage9102 3 года назад +2

      Af ht huyu msanii wanaemuandikia hki kichwa iv hawez kuwashtki kwl maana wao wanachojali n kuuza hbr bila kujua wanamharbia reputation msanii.

    • @wazambulitv5735
      @wazambulitv5735 3 года назад +3

      *Diamond Platnumz **8:20**-**10:14**..Pisi Kali Mimi Mars😀✌*

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад

      Kapendeza Sana

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад

      He kanenepa hivyo mana wamemuonyesha Paka chini kanenepa

  • @wazambulitv5735
    @wazambulitv5735 3 года назад +6

    *Diamond Platnumz **8:20**-**10:14**..Pisi Kali Mimi Mars😀✌*

  • @WORDOFMYCREATOR
    @WORDOFMYCREATOR 3 года назад +4

    Mimi mars huwa anajibu kifulani...si kama dadake Vanessa ama kama vile hamkubali dadake.anyways...we know her coz of Vanessa.

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 3 года назад +7

    Mtu wa mungu Mtoto wa kipare

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 3 года назад +4

    Hiii channel cyo yakuongopa ongopa kama hao wengn unafnya tusiamini vichwa vya habr vyenu

  • @jamesrutha723
    @jamesrutha723 3 года назад +1

    Nimepend hii interview mim Mars anagakujikanyaga

  • @charlton1388
    @charlton1388 3 года назад +1

    mtangazaji anafaa sana!!!

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 3 года назад

    Dada upo vizuri

  • @amourmasoli4377
    @amourmasoli4377 3 года назад +23

    Acheni ufala tumekuja hapa kwa ajili ya diamond halafu mmeongea utomboo hakuna cha diamond wala nn 😡

  • @youngclassic4617
    @youngclassic4617 3 года назад +3

    Bro umeandika vitu vingine kwel daaa umetuuza kwel yaani

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 3 года назад +1

    Mbona kafanana jini leo 😎

  • @chazgunda5823
    @chazgunda5823 3 года назад +2

    Diamond ni busta alwayz

  • @balqisabdullah6200
    @balqisabdullah6200 3 года назад +6

    Napenda anavyoongea hajishauwi kama wengine, utakuta kiswahili kinapigwa mbwembwe na ma pose mpka kichefuuu but mimi mars anaongea uzuri.

  • @zablonrobert1522
    @zablonrobert1522 3 года назад +1

    Mmetukosea sna kichw cha habar tofauti na kilichoongelewa....
    Kama page ya udaku

  • @hansibertrumboyo429
    @hansibertrumboyo429 3 года назад +1

    Ooo paja kali

  • @festohamis1224
    @festohamis1224 3 года назад +1

    Dada mini acha umbea walio stop mziki wanakuhusu nn we

  • @bestmedia_tz
    @bestmedia_tz 3 года назад

    Mimi mars nakukubali sana

  • @abou__jayyaboutrika4381
    @abou__jayyaboutrika4381 3 года назад +2

    Is mimimars the sister of venessamseedee??

  • @kulway4669
    @kulway4669 3 года назад

    Hii

  • @fadhili_masoi
    @fadhili_masoi 3 года назад +1

    Da! wew mwandishi wa hichi kichwa cha habari,ulipo popote .kunywa soda nitakuja kulipa

  • @gracejulius23
    @gracejulius23 3 года назад +1

    Nimekupenda bule yaan haulingi kabisa safi ukovizuri mdada

  • @kissjohantho617
    @kissjohantho617 3 года назад +5

    Dem mkali, sauti ya Godfrey monyo😂

  • @itNeza
    @itNeza 3 года назад +11

    Manina zeni Sikufata mpaka mwisho ( Asante Coment ) Hakuna cha Diamond wala Dangote Hapa. ❌

    • @wazambulitv5735
      @wazambulitv5735 3 года назад +2

      *Diamond Platnumz **8:20**-**10:14**..Pisi Kali Mimi Mars😀✌*

    • @djgthehotstepper
      @djgthehotstepper 3 года назад

      😂😂😂😂😂

  • @davidmwango9388
    @davidmwango9388 3 года назад +1

    ndio maana sijasubscribe

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 3 года назад +3

    Mimimars🥰🥰🥰

  • @njikutv3384
    @njikutv3384 3 года назад +1

    Mmmmh

  • @jimboulaya
    @jimboulaya 3 года назад +13

    Click-baiting headline Rasclat , waandishi mshakua mnaboa lazima mumtaje Diamond ndio mpate views.

    • @wazambulitv5735
      @wazambulitv5735 3 года назад +2

      *Diamond Platnumz **8:20**-**10:14**..Pisi Kali Mimi Mars😀✌*

    • @emariusrush7704
      @emariusrush7704 3 года назад +1

      Sasa ukiandika diamond watu wanaangalia wengi,wakiangalia wengi pesa inaingia nyingi pia

    • @zuenanyutwa6043
      @zuenanyutwa6043 3 года назад +1

      Wanamtumia Kama daraja kufika wanakotaka

  • @matokeosaid285
    @matokeosaid285 3 года назад

    Nakubal

  • @younggeniuz1979
    @younggeniuz1979 3 года назад +1

    Usenge huuu dah tittle #diamond afu ajaongelewa pumbavu

  • @driftdumper8927
    @driftdumper8927 3 года назад +3

    Waandishi wote wa Tanzania online tv bila kutana jina la Diamond no views. Hapa wengi wamekuja kutokana na tittle

    • @wazambulitv5735
      @wazambulitv5735 3 года назад +2

      *Diamond Platnumz **8:20**-**10:14**..Pisi Kali Mimi Mars😀✌*

    • @briankenyan1799
      @briankenyan1799 3 года назад +1

      @@wazambulitv5735 asante kwa kuokoa bundle yangu

    • @wazambulitv5735
      @wazambulitv5735 3 года назад +1

      @@briankenyan1799 bless FAM❤✔✔

  • @kingbashar4293
    @kingbashar4293 3 года назад +3

    Diamond platnumz 8:22

  • @willcolleman8931
    @willcolleman8931 3 года назад +1

    Sasa kunatatizo gani akiolewa na ambaye si mtanzania...?jamn mmeja chuki na ubaguzi, ivi penzi ni kabila gani?

  • @alfanifaraji
    @alfanifaraji 3 года назад +3

    Huu dem Hana sauti anayakufoka hovyo nili open kwaajili ya mind🇷🇼😅😅

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza 3 года назад +1

    Huyu mtoto nikija bongo ntamuoa kabisa nimuzuri sana

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 3 года назад

    Leo hii Dozen una andika habar za Diamond

  • @devisbrown1290
    @devisbrown1290 3 года назад +2

    Kuhusu Diamond: 8:22

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 года назад +2

    Diamond "alitaka"....stupid heading.

  • @julytito3891
    @julytito3891 2 года назад

    Kuna namna anaongea Kama rozi ndauka ,,Ila binti mlokole umetisha kwenye jua kali

  • @zooz6762
    @zooz6762 3 года назад +1

    Mimi3maz naomba uniambie nguoyako nipenda3nanikakuvisha

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 года назад +2

    Mpuuzi wewe mwandishi iko siku mutajuta mutakaposhtakiwa kwa kuandika uongo.

  • @kottaflavour4908
    @kottaflavour4908 3 года назад +2

    simbaaaaaaaaaaA

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 3 года назад +2

    ila huyu mtoto ni wa moto

  • @Daniel_Masika
    @Daniel_Masika 3 года назад +11

    nyie n mamluki tuuu, saiv bila kumzungumzia chibu hamtoboi

  • @josephmeshack3147
    @josephmeshack3147 3 года назад

    Halafu bado mnajifanya kumchukia..chibu noma

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад

    Kuigiza raha ya kwel

  • @musajoseph9542
    @musajoseph9542 3 года назад +2

    Muda mwingine unaamua kutukana tu hata Kama hujasikliza taarfa kamili, media za kichoko Sana pumbavuuuuu

  • @Matunzo_Classic
    @Matunzo_Classic 3 года назад

    MIMI MSANII NAITWA MATUNZO CLASSIC TAZAMA VIDEO YANGU
    KISHA SUBSCRIBE WEKA COMMENT YAKO NAOMBA SUPPORT YAKO

  • @bantwamwasakapiga4941
    @bantwamwasakapiga4941 3 года назад +5

    Dozen shabiki wangu imenisikitisha sana yani channel yako ndio ina andika kichwa cha namna hiyo kweli amko serious igeni basi kwa Millad ajawahi andika kichwa cha uwongo

    • @wazambulitv5735
      @wazambulitv5735 3 года назад +2

      *Diamond Platnumz **8:20**-**10:14**..Pisi Kali Mimi Mars😀✌*

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 3 года назад

      @@wazambulitv5735 umetisha mzee baba

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama 3 года назад

    She is straight hata kwenye majibu ya kuelezea nimependa

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 3 года назад +1

    Hicho kinguo jamani

  • @tastedigital
    @tastedigital 3 года назад +1

    ULOWEKA HIYO HEADING NIKWAMBIE TU MNACHAFUA BRAND YA DOZEN KWASABABU YA KUTAFUTA VIEWS. NON SENSE

  • @alibinali_
    @alibinali_ 3 года назад +2

    Huyo mtangazaji mshenge sana eti alsamasi wacha chuki wewe unashidwa kusema diamond ama Simba ama Chibu

  • @Lugongam
    @Lugongam 3 года назад +1

    Dozen unafeli mzee

  • @babyjoseline7055
    @babyjoseline7055 3 года назад

    kichwa cha habari majanga

  • @hassanbaoma8798
    @hassanbaoma8798 3 года назад +4

    Mimi mars ni pisi kali

  • @gastonanoldmacha8188
    @gastonanoldmacha8188 3 года назад

    Diamond???

    • @wazambulitv5735
      @wazambulitv5735 3 года назад +1

      *Diamond Platnumz **8:20**-**10:14**..Pisi Kali Mimi Mars😀✌*

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 3 года назад

      @@wazambulitv5735 kunywa soda nakuja lipa

  • @ramadhanabasi296
    @ramadhanabasi296 3 года назад +3

    Wasenge nyie mbona huyo diamond hajatajwa popote mnekula mb zang wasenge nyinyi mnatumia title nyingne content nyingne

    • @Majambo_Duniani_Tv
      @Majambo_Duniani_Tv 3 года назад +2

      acha matusi angalia mpk mwisho jombaaa, matusi sio ujanja

    • @ruthiecharlz898
      @ruthiecharlz898 2 года назад

      😂😂😂 kumbe na ww umedanganywa kaa mm

  • @chikusaidi8254
    @chikusaidi8254 3 года назад

    dozen selection vp tena? nyie si haters????

  • @berrynilpastory1547
    @berrynilpastory1547 3 года назад

    M kicheko chako tu hoi nakipendaga

  • @bestinarajabu34
    @bestinarajabu34 3 года назад +1

    7

  • @ubkylax1930
    @ubkylax1930 3 года назад

    Ushenzi

  • @theprofiletz6088
    @theprofiletz6088 3 года назад

    Mchizi kichizi 👊

  • @joycewaziri4087
    @joycewaziri4087 3 года назад +1

    Umependez sn

  • @ibrahimnadir4490
    @ibrahimnadir4490 3 года назад

    Nilifkiria chanel hii ni ya kijanja sana sijafkiria kama wanaweza kufanya ujinga mkubwa hivi. Kinyesi

  • @outfittertz6274
    @outfittertz6274 3 года назад +1

    Ukiona Dem wako anawaambia mwao ye ni mwelewa s2ka

  • @kingelise6832
    @kingelise6832 3 года назад

    Namukubali huyo dada subscribe my charnel ya RUclips

  • @christerchrissy169
    @christerchrissy169 3 года назад

    James

  • @dvjmiloow6604
    @dvjmiloow6604 3 года назад +3

    bwana mwandishi shika Adabu yako.

  • @briankenyan1799
    @briankenyan1799 3 года назад

    Diamond ndiye alinifanya nikamjua Mimi Mars

  • @nurukaaya7523
    @nurukaaya7523 3 года назад

    Mavazi yake tu ,lazima uwe mtoaji uchi

  • @wahidamusin613
    @wahidamusin613 3 года назад +2

    Na wewe usibiri ujazwe mimba utulie maana huyo ni kitia mimba

    • @freelancer6368
      @freelancer6368 3 года назад +1

      We nae choko unawaza uzinzi tu ndipo akili zako za kondoo zilipoishia

  • @joseliamson2168
    @joseliamson2168 3 года назад +1

    Wacheni kutumia jina la simba vibaya .....saitan

  • @nurdin.mndeme3447
    @nurdin.mndeme3447 3 года назад +1

    SIMBA

  • @robinsonerasto8069
    @robinsonerasto8069 3 года назад +1

    Moja kati ya chanel za uongo ni hii🖕🖕

  • @aishajunja4754
    @aishajunja4754 3 года назад

    .

  • @malhassannews3391
    @malhassannews3391 3 года назад +1

    She thick as f

  • @irmgardsamia1827
    @irmgardsamia1827 3 года назад +1

    Fuck so fuckin stupid channel actually mnahadhi kubwa lakini sasa ni upumbavu Sana.

    • @wazambulitv5735
      @wazambulitv5735 3 года назад +1

      *Diamond Platnumz **8:20**-**10:14**..Pisi Kali Mimi Mars😀✌*

  • @noeljulius8861
    @noeljulius8861 3 года назад

    wanaume wa siku izi mnakazi sna,,,,inabidi muwe na sifa za kutosha maana nyie mnatafutwa

  • @ominaominaom8015
    @ominaominaom8015 3 года назад +1

    Very happy 😍💋 💝💖♥️❤️

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 3 года назад +2

    Hiii channel cyo yakuongopa ongopa kama hao wengn unafnya tusiamini vichwa vya habr vyenu

    • @wazambulitv5735
      @wazambulitv5735 3 года назад +1

      *Diamond Platnumz **8:20**-**10:14**..Pisi Kali Mimi Mars😀✌*

  • @alfanifaraji
    @alfanifaraji 3 года назад

    Huu dem Hana sauti anayakufoka hovyo nili open kwaajili ya mind🇷🇼😅😅