VITUKO VYA MASANJA MKANDAMIZAJI MSIBANI/KIFO AKITAKI UTANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • VITUKO VYA MASANJA MKANDAMIZAJI MSIBANI/KIFO AKITAKI UTANI

Комментарии • 72

  • @dawillygene
    @dawillygene 5 лет назад +6

    Dah sichokaji kukusikiliza bro Masanja, kweli kila ninapoangalia najikuta siku yangu inakuwa happy .Barikiwa bro

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka3958 3 года назад +2

    Masanja ni gifted and talented kuleta furaha

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Год назад +1

    Nimeipenda hiyo

  • @sultanvdeo4996
    @sultanvdeo4996 5 лет назад +7

    Nimecheka kwa sauti.....😁😁😀😀😀😀

  • @peterkatete5645
    @peterkatete5645 5 лет назад +3

    Ni uhalisia usiopingika. Mungu wetu hujibu maombi mapema ila hatuelewagi kabisa.

  • @aminasaid5131
    @aminasaid5131 3 года назад +1

    Dah Raha sana MUNGU akutie nguvu

  • @evambughuni9276
    @evambughuni9276 5 лет назад +4

    Hahaa masaja umenishinda tabia.

  • @sembasitianayinzaki1253
    @sembasitianayinzaki1253 2 года назад +1

    Daaaaaaaa! Masanja bwaaana

  • @fredykephacy9230
    @fredykephacy9230 5 лет назад +3

    safi masanja sasa tishert

  • @phoebemmanga299
    @phoebemmanga299 5 лет назад +7

    Yaani Masanja umesema kweli. Ukiimba nyimbo za huzuni huzuni huwa inatokea mambo ya huzuni. N.k.

  • @salomemukani1627
    @salomemukani1627 4 года назад +1

    Aki masanja wewe nimoto wakuotea mbali😁😁😁😁😁🇰🇪🇲🇴🙄🙄🙄🙄🙄🙄

  • @kinasatz7266
    @kinasatz7266 3 года назад +1

    Masanja bwana 😄😄

  • @josephswai6725
    @josephswai6725 3 года назад +3

    Masanja tunaomba semina Kwa vijanaaa arusha tafadhali kama ukiona msg yangu tuzungumze plz

  • @jeniferalloyce2576
    @jeniferalloyce2576 4 года назад

    Jamani bavu zangu mm. Masnj

  • @dhssgs6360
    @dhssgs6360 5 лет назад +2

    Ha ha ha ha sina hamu ya kurundi kwa baba

  • @ngosha1tv321
    @ngosha1tv321 4 года назад +1

    Da!!!! Nataman kufanya comedy na ww kaka,, ntafrahi Kama itawezekana

  • @lucaslaurent2920
    @lucaslaurent2920 3 года назад

    Duh! Masanja!

  • @mossesisaack5066
    @mossesisaack5066 Год назад

    ukweli mtupu mtumishi wa Mungu

  • @alidomiseven4139
    @alidomiseven4139 3 года назад +1

    Mimi ata kwabure sihendi

  • @neemamhongole2801
    @neemamhongole2801 Год назад

    Hahahaaaa!!Masanja UNANIVUNJA MBAVU!!HEEEE!

  • @maidamwaipopo9603
    @maidamwaipopo9603 Год назад

    Kweli lkn mwansasu aliimba siku akilala lala mauti hakuna awezae kumuamsha akalala kweli

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 5 лет назад +7

    ndio maana me naimba nyimbo za Kupandishwa thamani,,,,na kuipeperusha bendera ya Yesu2

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 5 лет назад

    Brother uko sahihi kabisa

  • @asifiwevincent3938
    @asifiwevincent3938 3 года назад

    Hii ni kweli masanja

  • @ashoramwanja3131
    @ashoramwanja3131 4 года назад +1

    Atari

  • @ngalawekikohingalawekikohi4768
    @ngalawekikohingalawekikohi4768 5 лет назад

    Kabisa

  • @babadee4785
    @babadee4785 5 лет назад +3

    Ila Biblia inasema jiwekeni tayari maana hamjui siku wala saa. Tafsiri yake ni kwamba mtu uwe tayari wakati wowote ule ukiitwa uwe na uhakika ma uendako. Paulo anasema kuishi ni Kristo kufa ni faida, mtumishi wa Mungu haogopi kufa kwa sababu anajua wapi anakwenda baada ya kufa kwake.

    • @lameckmwinuka8550
      @lameckmwinuka8550 5 лет назад

      Amen bro

    • @luganomwambulukutu5311
      @luganomwambulukutu5311 5 лет назад

      Ila sio kujiombea kufa

    • @calebmasaba5815
      @calebmasaba5815 5 лет назад

      @@luganomwambulukutu5311 Yes..sio kujiombea kifo

    • @kalufunyangenyakinyungu5087
      @kalufunyangenyakinyungu5087 4 года назад +1

      Ila usijiombee kifo kwa makusudi na msisitizo inakuwa kama unamfundisha / unamuamrisha Mungu akufanyie utakayo ww kati tumeshaambiwa kesho yetu hatuijui zaidi ni kujiandaa kwa kutenda mema tu,ko Masanja mm naamini yupo sahihi.

  • @dicksonmaiko3486
    @dicksonmaiko3486 5 лет назад

    Hivi ndio watu wenye hekima kama sanja watakavo weza kumiliki na kutawala kwa furaha

  • @tesinaelectronics8228
    @tesinaelectronics8228 5 лет назад

    Amennnn

  • @peterjackson5307
    @peterjackson5307 4 года назад

    😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @princesinko4073
    @princesinko4073 5 лет назад

    Yaani wewe masanja unautani mwingi

  • @stanleyhenrish1055
    @stanleyhenrish1055 5 лет назад

    Sitaki kusika hizo nyimbo hata kidogo

  • @helmankafuka6507
    @helmankafuka6507 5 лет назад +8

    Kama umesikia kwetu hakuna vyandalua gonga like

  • @sophiamwakila3300
    @sophiamwakila3300 5 лет назад +6

    Masanja nakugawa bure

  • @richardsolomoney490
    @richardsolomoney490 5 лет назад +4

    NANUKUUU Godzilla LABUDA MANENO YANGU WATAYAELEWA SIKU NIKIFA#STAY kwr masanja

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Год назад

    Kwel ww ni mchungaji asie na maono! Ina maan unataka kuaminisha watu kuwa mtu akifa anaenda mbinguni? Hovyo kwel! Changanya akili bro!

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 5 лет назад +2

    😂😂😂😂😂Masanja ana ongopa kifo hadi shetani ana mwongopa kabisa😂😂😂😂

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 5 лет назад +3

    Duuu masanja

  • @philberthatanas1531
    @philberthatanas1531 3 года назад +1

    Kwetu pazuri nimeshapakumbuka nimesha pakumbuka

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 5 лет назад +2

    Masanja we kiboko

  • @alexjudica8668
    @alexjudica8668 5 лет назад +2

    Masanja we ni kituko

  • @ushindieliya278
    @ushindieliya278 5 лет назад +2

    Nice sana

  • @genimaige6023
    @genimaige6023 5 лет назад +2

    duuuu kulia natamani kucheka natamani dah bora nicheke tuuuu😁😁😁😁😁😁😁😁 masanja ni shida

  • @GloriousRestorationTV
    @GloriousRestorationTV 5 лет назад +5

    How can I get kemea pepo T-shirt ?

  • @emanuelpaulo5280
    @emanuelpaulo5280 3 года назад +1

    Amina mtmishi

  • @mosesfungo4902
    @mosesfungo4902 5 лет назад +1

    Mbn GK yupooo bado ??!!!

  • @alexjudica8668
    @alexjudica8668 5 лет назад +1

    Masanja we ni kituko

  • @rabiaramso1087
    @rabiaramso1087 5 лет назад +1

    Yaani masanja umenifanya nicheke jmn wewe kaka weweee mmmh msukuma hajuti kukupata

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣Yaani masanja

  • @jazirajazira8116
    @jazirajazira8116 2 года назад

    Kweli kabisa

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 5 лет назад

    Masanja mdogo wangu umenichekesha mpaka bac ubarikiwe sana!

  • @godluckmwandumbya8648
    @godluckmwandumbya8648 4 года назад

    Masanja umenifulaisha

  • @neemachima2469
    @neemachima2469 5 лет назад

    hahahaa had nimecheka kwa sauti majansa kweli vituko

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @deniswabantu4645
    @deniswabantu4645 5 лет назад

    Ata ww ip0 Siku usipinge MAneno sawa

  • @floraanthony4406
    @floraanthony4406 5 лет назад

    hahaha masanja acha vituko

  • @naomimgori8382
    @naomimgori8382 4 года назад

    😂

  • @naeemmuneer8546
    @naeemmuneer8546 5 лет назад

    AMEN AMEN 👋🙌👋🙌🙌🙋🙋💓👏👏💓🙋🔥🙋💓👏🙌🙌🙋🔥🙋💓👏👏

  • @yustinhhari5085
    @yustinhhari5085 5 лет назад +3

    truth in funny way

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 3 года назад +1

    Kweli kabisaa, nikidifu2😀