Ila Biblia inasema jiwekeni tayari maana hamjui siku wala saa. Tafsiri yake ni kwamba mtu uwe tayari wakati wowote ule ukiitwa uwe na uhakika ma uendako. Paulo anasema kuishi ni Kristo kufa ni faida, mtumishi wa Mungu haogopi kufa kwa sababu anajua wapi anakwenda baada ya kufa kwake.
Ila usijiombee kifo kwa makusudi na msisitizo inakuwa kama unamfundisha / unamuamrisha Mungu akufanyie utakayo ww kati tumeshaambiwa kesho yetu hatuijui zaidi ni kujiandaa kwa kutenda mema tu,ko Masanja mm naamini yupo sahihi.
Dah sichokaji kukusikiliza bro Masanja, kweli kila ninapoangalia najikuta siku yangu inakuwa happy .Barikiwa bro
Masanja ni gifted and talented kuleta furaha
Nimeipenda hiyo
Nimecheka kwa sauti.....😁😁😀😀😀😀
Ni uhalisia usiopingika. Mungu wetu hujibu maombi mapema ila hatuelewagi kabisa.
Dah Raha sana MUNGU akutie nguvu
Hahaa masaja umenishinda tabia.
Daaaaaaaa! Masanja bwaaana
safi masanja sasa tishert
Yaani Masanja umesema kweli. Ukiimba nyimbo za huzuni huzuni huwa inatokea mambo ya huzuni. N.k.
Aki masanja wewe nimoto wakuotea mbali😁😁😁😁😁🇰🇪🇲🇴🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Masanja bwana 😄😄
Masanja tunaomba semina Kwa vijanaaa arusha tafadhali kama ukiona msg yangu tuzungumze plz
Jamani bavu zangu mm. Masnj
Ha ha ha ha sina hamu ya kurundi kwa baba
Da!!!! Nataman kufanya comedy na ww kaka,, ntafrahi Kama itawezekana
Duh! Masanja!
ukweli mtupu mtumishi wa Mungu
Mimi ata kwabure sihendi
Hahahaaaa!!Masanja UNANIVUNJA MBAVU!!HEEEE!
Kweli lkn mwansasu aliimba siku akilala lala mauti hakuna awezae kumuamsha akalala kweli
ndio maana me naimba nyimbo za Kupandishwa thamani,,,,na kuipeperusha bendera ya Yesu2
Hahaaa kaka Bright bwana
Brother uko sahihi kabisa
Masaja nakukubali
Hii ni kweli masanja
Atari
Kabisa
Masanja
Ila Biblia inasema jiwekeni tayari maana hamjui siku wala saa. Tafsiri yake ni kwamba mtu uwe tayari wakati wowote ule ukiitwa uwe na uhakika ma uendako. Paulo anasema kuishi ni Kristo kufa ni faida, mtumishi wa Mungu haogopi kufa kwa sababu anajua wapi anakwenda baada ya kufa kwake.
Amen bro
Ila sio kujiombea kufa
@@luganomwambulukutu5311 Yes..sio kujiombea kifo
Ila usijiombee kifo kwa makusudi na msisitizo inakuwa kama unamfundisha / unamuamrisha Mungu akufanyie utakayo ww kati tumeshaambiwa kesho yetu hatuijui zaidi ni kujiandaa kwa kutenda mema tu,ko Masanja mm naamini yupo sahihi.
Hivi ndio watu wenye hekima kama sanja watakavo weza kumiliki na kutawala kwa furaha
Amennnn
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Yaani wewe masanja unautani mwingi
Sitaki kusika hizo nyimbo hata kidogo
Kama umesikia kwetu hakuna vyandalua gonga like
Masanja nakugawa bure
NANUKUUU Godzilla LABUDA MANENO YANGU WATAYAELEWA SIKU NIKIFA#STAY kwr masanja
Kwel ww ni mchungaji asie na maono! Ina maan unataka kuaminisha watu kuwa mtu akifa anaenda mbinguni? Hovyo kwel! Changanya akili bro!
😂😂😂😂😂Masanja ana ongopa kifo hadi shetani ana mwongopa kabisa😂😂😂😂
Duuu masanja
Kwetu pazuri nimeshapakumbuka nimesha pakumbuka
Masanja we kiboko
Masanja we ni kituko
Nice sana
duuuu kulia natamani kucheka natamani dah bora nicheke tuuuu😁😁😁😁😁😁😁😁 masanja ni shida
Haahha
How can I get kemea pepo T-shirt ?
Amina mtmishi
Mbn GK yupooo bado ??!!!
Masanja we ni kituko
Yaani masanja umenifanya nicheke jmn wewe kaka weweee mmmh msukuma hajuti kukupata
🤣🤣🤣🤣🤣Yaani masanja
Kweli kabisa
Masanja mdogo wangu umenichekesha mpaka bac ubarikiwe sana!
Masanja umenifulaisha
hahahaa had nimecheka kwa sauti majansa kweli vituko
😂😂😂😂😂😂
Ata ww ip0 Siku usipinge MAneno sawa
hahaha masanja acha vituko
😂
AMEN AMEN 👋🙌👋🙌🙌🙋🙋💓👏👏💓🙋🔥🙋💓👏🙌🙌🙋🔥🙋💓👏👏
siku nikilala
truth in funny way
Kweli kabisaa, nikidifu2😀