Ni vizuri kurekebishana kama kuna jambo si sahihi lakini mbona njia m ayoitumia sio nzuri!! Tafuteni njia za busara. Kuna mikafiri tele hamuendi kuilimgania kuionyesha njia ya haki nyinyi kazi yenu ni hio kila mmoja kujiongesha kuwa ana elimu kubwa. Nawashangaa!!!
Mbona hoja ya arafa umeikimbia ya izudin
hana elimu akitafutwa kihoj anakimbia watu anabaki kujigonga gonga
Ni vizuri kurekebishana kama kuna jambo si sahihi lakini mbona njia m ayoitumia sio nzuri!! Tafuteni njia za busara. Kuna mikafiri tele hamuendi kuilimgania kuionyesha njia ya haki nyinyi kazi yenu ni hio kila mmoja kujiongesha kuwa ana elimu kubwa. Nawashangaa!!!
kila mtu na fani yake...
hao makafiri waachie akina dr.sule
Huyu wahabi mjinga kweli heshima hama sjui kasomea chuo gani kisichokua na maadili..yani sheikh unamuita kuna bwana mmoja kamavile humjui
Hata kumuita sheikh hawezi kwa chuki zake mbaya
@@FahadMasoud-io4mbunajua maana ya neno sheikh na maana ya neno bwana
@@salafyhlmanhaj5179 bwana ni mumeo
Huyu Bachu ana lana
siku hizi unagawa laana?