MTOTO WANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024
  • #bhailam #Rachel#Mirambo

Комментарии • 53

  • @saidmohammed2830
    @saidmohammed2830 Год назад +7

    Huyo mtoto Bairam usimkose Kwa comedy zako yupo vzr mungu amuhifadhi na amafanye mtu mkubwa Dunia

  • @tiffahdangote7548
    @tiffahdangote7548 Год назад +9

    ❤❤❤❤ila uyu mama mtoto anajua sana kuigiza mpaka basi...gud mdada

  • @Josephinejosephine-gc1fk
    @Josephinejosephine-gc1fk Год назад +4

    Aki umeweza hii dada hongera xnaa lwa kzi yko nzuli👏👏👏💗💗💗

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 11 месяцев назад

    Masha Allah tabaraka Allah mumenikumbusha hiatoria yangu😢bailam big up❤

  • @reinatave780
    @reinatave780 Год назад +2

    Mama mtot anajua kuvaa uhusika ❤ nampenda sana

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Год назад +1

    Mashaallah team bhailam your a very talented God bless you ❤❤👌👌👌🥰🥰🥰

  • @다미김-u8g
    @다미김-u8g Год назад +1

    Nampendaga Sana huyu mama wa mtoto tangia act zake za ujauzito . Napenda vile anavyoongea kwa kupanic anajua Sana kuact

  • @tiffahdangote7548
    @tiffahdangote7548 Год назад +4

    Hahahhaha bailam umejua kutia mimba malezi huyajui....acha wanaume wenzako waleeeeee...hahahha mwanaune jaman sio kuzalisha tu....mwanaume ili akamilike busara na hekima jaman

  • @zainabbacha696
    @zainabbacha696 Год назад +7

    Huyu ni mimi wallah niliachwa mimba mieze7 mpaka sasa baba haulizi hata jina la mtoto na mwengine naleya jamani

  • @charirashid1531
    @charirashid1531 Год назад +1

    Bailam wewe ni mbwa pumbavu zako😂😂😂😅😅

  • @biba2552
    @biba2552 Год назад +4

    Bhailam uko vzuri kila part mashaallah 👍

  • @TribalChief254
    @TribalChief254 Год назад +2

    A great lesson to wanaume bweke😂😂

  • @FaridaIsmali
    @FaridaIsmali Год назад

    NatKa niwepamoja nany❤

  • @nellyerpatrick283
    @nellyerpatrick283 Год назад +4

    Nipen like zang jmn mm wa kwanz

  • @luckyshumeofficial
    @luckyshumeofficial Год назад +2

    Let me call you,,, content engineers my good people..... excellent work.

  • @danielmupenda
    @danielmupenda Год назад

    Mulete Like zenyu! Natokea Congo 🇨🇩

  • @allyzegele1373
    @allyzegele1373 Год назад +1

    Nimerudia sana hile sehemu aliyo mwagiwa vimaji jamaa akaviangalia😅

  • @HaroldMwalili-n9s
    @HaroldMwalili-n9s Год назад

    Wajuaje kama ameleta doo

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Год назад

    Bailamu uwezo mkubwa kaka nakutabiria mazuri zaidi

  • @roseramadhana5951
    @roseramadhana5951 Год назад +1

    Kaz nzur Sana

  • @BeckaBaraqat
    @BeckaBaraqat Год назад

    Kazi nzuri sana

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 Год назад

    Daah haya mambo yanatokea sanaa inaumaaaa

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад

    Dume suruali halafu unaleta mdomo...hebu ustushie shombo 😅😅😅

  • @komlaakomlaa7465
    @komlaakomlaa7465 Год назад

    Pole Bhairam

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Год назад +1

    Uko vizuri kaka

  • @metrineokola7730
    @metrineokola7730 Год назад

    Good lesson Kwa wanaume wote

  • @njunisamweli2410
    @njunisamweli2410 Год назад

    Mwamba Baram ww ni mkali

  • @alisaida4080
    @alisaida4080 Год назад

    Good lady actress....

  • @kassimdadi5406
    @kassimdadi5406 Год назад +2

    Bhailam at it again 👍

  • @Gatuso1234
    @Gatuso1234 Год назад

    Comedian wa dunia na kukubali sana bailamu naomba subscribe

  • @josephpanyakoo6180
    @josephpanyakoo6180 Год назад

    Waoo good job

  • @hemedbakari8997
    @hemedbakari8997 Год назад +1

    Na wewe umezidi kulialia kila clip wewe ni kulia tu punguza mdogo wangu kulialia

  • @GloriousLumiti-rf5xd
    @GloriousLumiti-rf5xd Год назад +1

    Si kwa ile movie ya nafsi yangu uyu bibi alizikwa kwani alifufuka

  • @allymkoma8035
    @allymkoma8035 Год назад +1

    Nice bailam

  • @sarahnafulanafula5537
    @sarahnafulanafula5537 Год назад

    Nawapenda wote kwa kweli

  • @JoshuaPeter-gq8tm
    @JoshuaPeter-gq8tm Год назад +1

    bro unaweza Kwa kwel pambana ufike mbali

  • @calebjoshua5866
    @calebjoshua5866 Год назад

    Saw

  • @jumahashimu696
    @jumahashimu696 Год назад

    Wakwanza leo

  • @mussamlowe-cl2rn
    @mussamlowe-cl2rn Год назад

    Bhailam Ana balaaa😂

  • @shaniseif1830
    @shaniseif1830 Год назад

    ❤❤❤❤

  • @yuui1878
    @yuui1878 Год назад

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @blackblue9729
    @blackblue9729 Год назад

    Yani kwa jinsi unavyolia unaone kana bado unamtaka huyo mwana mke haina sababu ya kulia kama kweli unataka kumuona mwanao

  • @VEVOTV-d1z
    @VEVOTV-d1z Год назад

    Kifo cha mwanangu
    ruclips.net/video/TQYYyfZkONk/видео.html

  • @JrMsigara-pk2cz
    @JrMsigara-pk2cz Год назад

    Broo natabil baada ya mda mchache ujao bahilam utaonekana ukubwa wako,napenda unavyo kuwa serious

  • @nemabyukesenge575
    @nemabyukesenge575 Год назад

    😂

  • @keiraboy490
    @keiraboy490 Год назад

    ruclips.net/video/hb0OVDNQz5s/видео.html
    Song Kali Kbx ukiondoka bila kuihangali nitatizo kbx