Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Huyo mtoto Bairam usimkose Kwa comedy zako yupo vzr mungu amuhifadhi na amafanye mtu mkubwa Dunia
❤❤❤❤ila uyu mama mtoto anajua sana kuigiza mpaka basi...gud mdada
Aki umeweza hii dada hongera xnaa lwa kzi yko nzuli👏👏👏💗💗💗
Masha Allah tabaraka Allah mumenikumbusha hiatoria yangu😢bailam big up❤
Mama mtot anajua kuvaa uhusika ❤ nampenda sana
Mashaallah team bhailam your a very talented God bless you ❤❤👌👌👌🥰🥰🥰
Nampendaga Sana huyu mama wa mtoto tangia act zake za ujauzito . Napenda vile anavyoongea kwa kupanic anajua Sana kuact
Hahahhaha bailam umejua kutia mimba malezi huyajui....acha wanaume wenzako waleeeeee...hahahha mwanaune jaman sio kuzalisha tu....mwanaume ili akamilike busara na hekima jaman
Huyu ni mimi wallah niliachwa mimba mieze7 mpaka sasa baba haulizi hata jina la mtoto na mwengine naleya jamani
Daah pole saan jmn
Nishapoa
Bailam wewe ni mbwa pumbavu zako😂😂😂😅😅
Bhailam uko vzuri kila part mashaallah 👍
A great lesson to wanaume bweke😂😂
NatKa niwepamoja nany❤
Nipen like zang jmn mm wa kwanz
KAZI nzuri ndugu
Hutaki maua yako
Let me call you,,, content engineers my good people..... excellent work.
Mulete Like zenyu! Natokea Congo 🇨🇩
Nimerudia sana hile sehemu aliyo mwagiwa vimaji jamaa akaviangalia😅
😂😂😂
Wajuaje kama ameleta doo
Bailamu uwezo mkubwa kaka nakutabiria mazuri zaidi
Kaz nzur Sana
Kazi nzuri sana
Daah haya mambo yanatokea sanaa inaumaaaa
Dume suruali halafu unaleta mdomo...hebu ustushie shombo 😅😅😅
Pole Bhairam
Uko vizuri kaka
Good lesson Kwa wanaume wote
Mwamba Baram ww ni mkali
Good lady actress....
Bhailam at it again 👍
Comedian wa dunia na kukubali sana bailamu naomba subscribe
Waoo good job
Na wewe umezidi kulialia kila clip wewe ni kulia tu punguza mdogo wangu kulialia
Si kwa ile movie ya nafsi yangu uyu bibi alizikwa kwani alifufuka
😂😂😂😂
Nice bailam
Nawapenda wote kwa kweli
bro unaweza Kwa kwel pambana ufike mbali
Saw
I see kanumba again well done brother
Wakwanza leo
Bhailam Ana balaaa😂
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yani kwa jinsi unavyolia unaone kana bado unamtaka huyo mwana mke haina sababu ya kulia kama kweli unataka kumuona mwanao
Kifo cha mwananguruclips.net/video/TQYYyfZkONk/видео.html
Broo natabil baada ya mda mchache ujao bahilam utaonekana ukubwa wako,napenda unavyo kuwa serious
😂
ruclips.net/video/hb0OVDNQz5s/видео.html Song Kali Kbx ukiondoka bila kuihangali nitatizo kbx
Huyo mtoto Bairam usimkose Kwa comedy zako yupo vzr mungu amuhifadhi na amafanye mtu mkubwa Dunia
❤❤❤❤ila uyu mama mtoto anajua sana kuigiza mpaka basi...gud mdada
Aki umeweza hii dada hongera xnaa lwa kzi yko nzuli👏👏👏💗💗💗
Masha Allah tabaraka Allah mumenikumbusha hiatoria yangu😢bailam big up❤
Mama mtot anajua kuvaa uhusika ❤ nampenda sana
Mashaallah team bhailam your a very talented God bless you ❤❤👌👌👌🥰🥰🥰
Nampendaga Sana huyu mama wa mtoto tangia act zake za ujauzito . Napenda vile anavyoongea kwa kupanic anajua Sana kuact
Hahahhaha bailam umejua kutia mimba malezi huyajui....acha wanaume wenzako waleeeeee...hahahha mwanaune jaman sio kuzalisha tu....mwanaume ili akamilike busara na hekima jaman
Huyu ni mimi wallah niliachwa mimba mieze7 mpaka sasa baba haulizi hata jina la mtoto na mwengine naleya jamani
Daah pole saan jmn
Nishapoa
Bailam wewe ni mbwa pumbavu zako😂😂😂😅😅
Bhailam uko vzuri kila part mashaallah 👍
A great lesson to wanaume bweke😂😂
NatKa niwepamoja nany❤
Nipen like zang jmn mm wa kwanz
KAZI nzuri ndugu
Hutaki maua yako
Let me call you,,, content engineers my good people..... excellent work.
Mulete Like zenyu! Natokea Congo 🇨🇩
Nimerudia sana hile sehemu aliyo mwagiwa vimaji jamaa akaviangalia😅
😂😂😂
Wajuaje kama ameleta doo
Bailamu uwezo mkubwa kaka nakutabiria mazuri zaidi
Kaz nzur Sana
Kazi nzuri sana
Daah haya mambo yanatokea sanaa inaumaaaa
Dume suruali halafu unaleta mdomo...hebu ustushie shombo 😅😅😅
Pole Bhairam
Uko vizuri kaka
Good lesson Kwa wanaume wote
Mwamba Baram ww ni mkali
Good lady actress....
Bhailam at it again 👍
Comedian wa dunia na kukubali sana bailamu naomba subscribe
Waoo good job
Na wewe umezidi kulialia kila clip wewe ni kulia tu punguza mdogo wangu kulialia
Si kwa ile movie ya nafsi yangu uyu bibi alizikwa kwani alifufuka
😂😂😂😂
Nice bailam
Nawapenda wote kwa kweli
bro unaweza Kwa kwel pambana ufike mbali
Saw
I see kanumba again well done brother
Wakwanza leo
Bhailam Ana balaaa😂
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yani kwa jinsi unavyolia unaone kana bado unamtaka huyo mwana mke haina sababu ya kulia kama kweli unataka kumuona mwanao
Kifo cha mwanangu
ruclips.net/video/TQYYyfZkONk/видео.html
Broo natabil baada ya mda mchache ujao bahilam utaonekana ukubwa wako,napenda unavyo kuwa serious
😂
ruclips.net/video/hb0OVDNQz5s/видео.html
Song Kali Kbx ukiondoka bila kuihangali nitatizo kbx