Nical: Mimi ni Mganga, Siwezi kudate na wanaume wawili, Ukinicheat najua, ukiniacha utokama! Part 3

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 13

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 8 месяцев назад +1

    Hiki kipindi ni noma lakini watu inao wapa intervew kama hawafai jamani tuletee watu wakali watu wenye matukio ushawishi sasa huyu anaongea vitu gani big no

  • @britneykish9630
    @britneykish9630 7 месяцев назад

    Yani huyu mdada yko kaa mmi kila anachoeleza juu mmi naeza hata pishana n mtu n nkajua hatachukua mda atafariki n ikawa

  • @adamumsafiri9257
    @adamumsafiri9257 8 месяцев назад +1

    Hawa viumbe huwa wanajua hata ukiwasaliti huwa wanaambiwa

    • @britneykish9630
      @britneykish9630 7 месяцев назад

      Kweli kabisa juu mmi pia nko kaa yye kish from Mombasa Kenya

  • @rajarashidi4462
    @rajarashidi4462 8 месяцев назад

    Ila Lil Ommy uwe unaangalia watu wa kuwahoji kwenye hii Podcast yako kaka. By the way bonge la show... Congrats man

  • @mohamedbakariwema3796
    @mohamedbakariwema3796 8 месяцев назад

    inawezekana ni kweli, but its sooo hard to believe, bongo imekuwa ngumu sana😂

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 8 месяцев назад

    🤣🤣at the some time namuhurumia

  • @BintiHamisi-lh3xx
    @BintiHamisi-lh3xx 8 месяцев назад

    😂

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 8 месяцев назад

    Haha haya matahira mnawahojigi sijapata ona..kamaliza form 4 mwaka 2014 leo anamiaka 24 hahaha..mimi nimemaliza form 4 now ninamiaka 31 huyu dem chizi au

  • @mohamedbakariwema3796
    @mohamedbakariwema3796 8 месяцев назад

    😂

  • @HanifaMtakila
    @HanifaMtakila 8 месяцев назад

    😅