Hiki kipindi ni noma lakini watu inao wapa intervew kama hawafai jamani tuletee watu wakali watu wenye matukio ushawishi sasa huyu anaongea vitu gani big no
Haha haya matahira mnawahojigi sijapata ona..kamaliza form 4 mwaka 2014 leo anamiaka 24 hahaha..mimi nimemaliza form 4 now ninamiaka 31 huyu dem chizi au
Hiki kipindi ni noma lakini watu inao wapa intervew kama hawafai jamani tuletee watu wakali watu wenye matukio ushawishi sasa huyu anaongea vitu gani big no
Yani huyu mdada yko kaa mmi kila anachoeleza juu mmi naeza hata pishana n mtu n nkajua hatachukua mda atafariki n ikawa
Hawa viumbe huwa wanajua hata ukiwasaliti huwa wanaambiwa
Kweli kabisa juu mmi pia nko kaa yye kish from Mombasa Kenya
Ila Lil Ommy uwe unaangalia watu wa kuwahoji kwenye hii Podcast yako kaka. By the way bonge la show... Congrats man
inawezekana ni kweli, but its sooo hard to believe, bongo imekuwa ngumu sana😂
🤣🤣at the some time namuhurumia
😂
Haha haya matahira mnawahojigi sijapata ona..kamaliza form 4 mwaka 2014 leo anamiaka 24 hahaha..mimi nimemaliza form 4 now ninamiaka 31 huyu dem chizi au
Ulimaliza shule ukiwa mzee na wewe
😂😂😂😂
😂
😅