Pwani kujitenga: Mchakato wa kujitenga na siasa
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Pwani kujitenga: Mchakato wa kujitenga na siasa
SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos: www.youtube.com/
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
For more great content go to www.standardmed... and download our apps:
std.co.ke/apps/...
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Italeta haki kila mtu apewe haki yake.
Kila MTU akae kwake
Hatutaki tena watupe wenyewe waone kama sisi tunasubiri maembe ya dondoke ... wamejaa kama makurabu kila sehemu ni wao tuu
bidii ya wabara ni kuhakikisha pwani hatuna vyuo cya kutosha ilitusiweze pata elimu ya kujiendeleza tupewe pwani yetu hatutashindwa
Mngetafuta vya kwenu wabara mbona km mnabidii yenu mwataka kunyakua vya pwani....
WAKATI NISSA WAPWANI N KM C SSA NISSA HVI
Elimu yenu ya bara Ni ya wizi
Ukweli wa mambo pwani haikuwa simu Walikubaliana kwa makubaliano....na kaa kweli pwani wameamua kujitenga sioni haja gani wapingwe....mtu akikukopesha kitu ukitumie kwa muda akitaka mwenyewe mpe
Bu Awena Maamiry Hahahaaaaaaa kweli umesema kabisa.