GLADNESS ATOKA NA WANAUME WAWILI KWA WAKATI MMOJA,AWAPIGIA SIMU"NIMESHINDWA KUCHAGUA NAWAPENDA WOTE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 187

  • @florencekaranja8736
    @florencekaranja8736 3 года назад +3

    I salute u gal.......haya mapenzi kweli ya tatuonyesha mambo

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain 3 года назад +8

    Shout out kwa duwe santana na thisisaaliyaah na refresh kwa ujumla na wasafi media kwa kazi nzuri🤝👏👏

    • @raydanfrenk
      @raydanfrenk 3 года назад +1

      Auko vzr kwaiy Apo umejifunza nn

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 3 года назад +8

    Moyo Umesimama. Kwa Hofu!!!!!Hii Dunia si mahara Salama kabisa... Dunia iko Ukingoni kabisa.Allah Atujalie Mwisho Mwema In sha Allah.

    • @reubenkissinga5802
      @reubenkissinga5802 3 года назад

      Dunia ni sehemu salama,,na wala haijafika ukingoni na kamwe haitofika ukingoni,,,Ukingoni utafika wewe na kuwa salama au kutoka kuwa salama hilo ni lako jombaa wala usisingizie Dunia na umuache Allah ahudumie wenye uhitaji zaidi wewe endelea kufanya kazi zako

    • @priscaaron8892
      @priscaaron8892 3 года назад

      @@reubenkissinga5802 🤣🤣🤣🤣🤣🤣jibu zuri

  • @isamclassique1178
    @isamclassique1178 3 года назад +5

    Hizo ni raha tu za dunia,,, fanyeni kazi zimpendeze Mungu haki

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 3 года назад +10

    Tanzania hii ,noma kweli

  • @benymathew4277
    @benymathew4277 3 года назад +6

    Pili kama ni kweli. I appreciate you. Basi chagua mmoja plzzz

  • @ashaissa8813
    @ashaissa8813 3 года назад +2

    Nimekupenda

  • @gerry_macopper3808
    @gerry_macopper3808 3 года назад +6

    Daaah,,,,
    Dunia imekwisheee wazeeee,

  • @valeriachipeta774
    @valeriachipeta774 3 года назад +4

    Hata mm I wish nipate wawili na wajuane tupunguziane stress maana mda mwngne kuwa na mtu mmoja n stress

  • @abdulhakimswaleh8117
    @abdulhakimswaleh8117 3 года назад +1

    Kusema ukweli hata mm namunga mkono gladness kwa sababu ya kusema ukweli na hajafanya siri amewajulisha wote wawili wakajuana na wakasikizana 🇰🇪👌👍

  • @priyahtz7255
    @priyahtz7255 3 года назад

    Dah

  • @ayoubmakori8680
    @ayoubmakori8680 3 года назад +10

    Duuh sjawahi ona hii ndo first time daaah inasikitisha Sana aisee

    • @athumanimhanga2053
      @athumanimhanga2053 3 года назад +1

      huyuu hafai kuwa msanii anapotosha jamii

    • @ayoubmakori8680
      @ayoubmakori8680 3 года назад

      @@athumanimhanga2053 maana anaufurahia umalaya wazi wazi daah japo kuna watu wapo wanatmtafanya haya lkn si kujionyesha ivi Mungu tusaidie

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 3 года назад +6

    Sikutegemea kama Pili atakua hivi kwenye maisha ya kawaida nilijua maigizo tu kumbe ndo maigizo yake ndo maisha yake yalivyo jmn dah dunia hii mungu atusaidie jmn 🙏🤲

    • @monicamushi5192
      @monicamushi5192 3 года назад

      Pili anawadanganya tuu,,,,huyo n mwanaume mmoja Ila namba n tofauti,,,,,,mnaingizwa cha kike na nyie mnaingia tuu hahahaaa

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 3 года назад +1

      @@monicamushi5192 Dada unapokua kwenye mahojiano ya nje ya kazi unaonyesha uhalisia wa maisha yako hata kama watu walikunukuu vby unawaonyesha sio nnavyoishi vile mnavyoniona kwenye maigizo ila uyo kweli ameongea mwenyewe hakuna kutudanganya anajidanganya mwenyewe na mungu wake sisi ndo tumeshajua uhalisia wa maisha yake yakoje MONICA MUSHI

  • @khairatali3676
    @khairatali3676 3 года назад

    Dunia ishafika mwsho

  • @christinemangaza6303
    @christinemangaza6303 3 года назад +2

    😅😅😅 nampenda uyu dada jmn ❤️❤️‍🔥😆😆😆😆

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 3 года назад +7

    Kuwapenda wote?Afu appointment ikiwa same time utafanyaje? Daaah Kumbe bongo movie sio maagizo😬😬😬daaah🤭🤭🤭ntakuja kuolewa na wao,duh,mambo ya ulaya

  • @dianarobert3989
    @dianarobert3989 3 года назад

    Dunia simama nishuke🙋my dear utakuja kuumia haupo sahihi hata kdg chagua mmoja ubaya unakuja hapo kweny wao kujuana usifurahie aisee

  • @nilufaallyhussein7678
    @nilufaallyhussein7678 3 года назад +2

    It’s normal in western world

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 3 года назад +3

    Kiyama 🚶🏾🚶🏾🚶🏾🚶🏾

  • @emmynyembo3816
    @emmynyembo3816 3 года назад +2

    Acheni unafki na nyinyi mnaojifanya kushangaa ndio ukute mnawapanga kama treni tofauti yy amesema ukweli na nyinyi mnaoshangaa hamjawaweka wazi😏😏😏😏

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 3 года назад +6

    Hapo hakuna mwanaume anaempenda, mwanaume anakumpenda hawez ridhia uwe na mwanaume mwengine, never!..mabaharia washaelewana hapo washamjaza wanamkula tu, na lazima watakua wanamchukulia poa sn na kumzarau... Wanawake hawatakuja Kukaa kuzielewa codes za mabaharia😀

  • @lissamsalu12345
    @lissamsalu12345 3 года назад

    Jaman nimeipenda hii ya leo jaman

  • @sarahkimaro75
    @sarahkimaro75 3 года назад +6

    Huyu ndo chagga girl sasa 😂😂😂

  • @nazaretimwamba2416
    @nazaretimwamba2416 3 года назад +5

    🤣🤣🤣🤣 uyu katuchezea tu comédie
    Wamepanga bwana
    Wanaume tunajuana.
    tuseme ukweli Nani anaweza kuchangia demu n'a mimi wasio weza like wanao weza DSLike
    🇧🇮🇧🇮

    • @zeanaabdallah3906
      @zeanaabdallah3906 3 года назад +1

      Waafrica ingekua nipotezeee husikii hata language zao ni Mambele mzungu atakubali akuache wakat kajitoa mpaka kucha na umeuweka wazi hao watu nawapendaga sema sijabahatika kumshika hata mmoja yani wako real na wanapend uwe mkweli that's 😅

    • @Rose-ue2ho
      @Rose-ue2ho 3 года назад +1

      Wazungu hao kwao kawaida tuu kila mmoja anamwaga uchafu wake kwenye karo moja wala hawana habari kwasababu in watu wachafu.

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 3 года назад +6

    Huyu ni mtu mmoja anawazingua huyu

  • @benardjaloo5263
    @benardjaloo5263 3 года назад +4

    Lakini Tanzania wanaongoza kwa kudanga East Africa yote asa wanawake mmezidi.

  • @fatumasidi3372
    @fatumasidi3372 3 года назад +3

    Bongo bwana..... Wanaume 2 kwa wakati mmoja......!!!! Alafu anasifia

    • @monicamushi5192
      @monicamushi5192 3 года назад

      Anawadanganya huyo,,,,, mwanaume ndo huyohuyo mmoja Ila # tofauti,,,,,na walishaplan huo mchezo

  • @juliethkipeja4791
    @juliethkipeja4791 2 года назад

    Mhhh nakumbuka shairi la fikra za waungwana

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 3 года назад +1

    Daaah,ana biashara mbili😛😛😛

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 года назад +1

    👌👌

  • @Jumashadhil380
    @Jumashadhil380 3 года назад +5

    Pili noma

  • @fadhirikayeta6947
    @fadhirikayeta6947 3 года назад

    Kichaaa uyo

  • @salhatjuma6299
    @salhatjuma6299 3 года назад

    Daaah kwel shikamoo

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 3 года назад +2

    🔥🔥🔥

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 года назад +4

    Hahaha etizinaa imekua kawaida kuitangaza m/ mungu tusaidie

  • @jasseifyussuf4671
    @jasseifyussuf4671 3 года назад +13

    Apewe ulinzi😂😂

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 3 года назад +1

    Mtu mmoja huyo

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 3 года назад

    Heeeee...seriously!

  • @aminamauhfoda9201
    @aminamauhfoda9201 3 года назад

    Alliyandugu yangu wewe nimuislam jistiri😢😢😢

  • @johnsonmwambungu5310
    @johnsonmwambungu5310 3 года назад +1

    Duuh noma kwel

  • @onlyonetztv610
    @onlyonetztv610 3 года назад +1

    Huna wanaume #UNA MATAHIRA wawili

  • @gwamakangwala6468
    @gwamakangwala6468 3 года назад +3

    Mbona wasanii wa Kibongo wa kiume wanafanya hivyo?

  • @emanuelmhagama8193
    @emanuelmhagama8193 3 года назад

    We ni malaya

  • @mannabu9333
    @mannabu9333 3 года назад

    Dunia kwisha hii

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 3 года назад

    Hyu dada n msenge

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma 3 года назад +2

    Hayo sio mapenzi hiyo ni biashara wala hakuna atakae kuowa hapo hayo ni madanga

  • @ndikumasabodiegovevo9091
    @ndikumasabodiegovevo9091 3 года назад +4

    Hao wanaume wote niwajinga iwej kuchangia demu mmoja nahuyo demu nidangaa tu hapo hamna mapenzi

  • @الرعدالصغير-ت1ش
    @الرعدالصغير-ت1ش 3 года назад +1

    Duuh!Wanaume 2

  • @khadijambarouk2983
    @khadijambarouk2983 3 года назад +1

    Na ukibeba mimba jee itakuaje?

  • @fatmaomar8497
    @fatmaomar8497 3 года назад +2

    Sio peke yake wapo wenye wanaume wengi....zaidi ya wawili...msikatae

  • @hillstv1688
    @hillstv1688 3 года назад +3

    Woow

  • @mozasultan5152
    @mozasultan5152 3 года назад +4

    Kizungu kinapanda kumbe😂👌

  • @tinaminja5500
    @tinaminja5500 3 года назад

    Eeeebooooo aibu gan hii mtoto wa like🙄😳😳

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Год назад

    Sasa mtangazaji kukaa kitovu nje ndo biashara gani mtangazaji unatizamwa na watu wazima na watoto unafundisha nini jamii kitovu nje muoneshe mumeo tu jistiri mwanamke

  • @ammarsalah5693
    @ammarsalah5693 3 года назад

    But all in all mwanamke mmoja kudate wanawake wawili thats not something you be proud of

  • @felizbonbonface8275
    @felizbonbonface8275 3 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣kutudanganya huyo n mtu mmoja

  • @ngoshathebest228
    @ngoshathebest228 3 года назад +9

    Mademu wengi wazur hua wanamabwana wengi

    • @asnabughe4220
      @asnabughe4220 3 года назад +1

      Uyo ana uzur gani sasa

    • @asnabughe4220
      @asnabughe4220 3 года назад

      Awe mbaya awe mzur akiamua kufanya uo ujinga anafanya tuy

  • @fadhirikayeta6947
    @fadhirikayeta6947 3 года назад

    Comed iyo

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 3 года назад +1

    Aaliyah ❤ Hapo tu ndo ana nimalizaga 🤣😂🤣

  • @agnesmartine2712
    @agnesmartine2712 3 года назад

    Mbona kama sauti niya mtu mmoja

  • @rajah9328
    @rajah9328 3 года назад +2

    Ndizo dalli za mwsho izi wanaume kujuana wako n mtu mmoja ayaa wee bt dadangu io sio sifa

  • @herbertygeofrey2724
    @herbertygeofrey2724 3 года назад

    Awa wanawake sijui wana nn duuh mi amenichosha uyu dem jinga sana lingeumbwa janaume sasa

  • @ninacuteninacute2567
    @ninacuteninacute2567 3 года назад

    Vzr ishi vile upendavyo G cz ukitaka kuwalidhisha waja hautaweza fny vile nafsi yk inapenda

  • @DAVID-wp4vc
    @DAVID-wp4vc 3 года назад +1

    Yaani huyu jamaa anaeuliza maswali kachoka🤣🤣

  • @halimarehani7167
    @halimarehani7167 3 года назад

    Bora pili kawa na wawili Kuna dada mmoja anazaidi ya hao

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 года назад +3

    Wapashe dada gladness kifaluka🤣🤣🤣🤣

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 3 года назад

    Dalili za kiama 😭😭😭

  • @farajayosia4849
    @farajayosia4849 Год назад

    Kwan ww aliyah kitovu hicho vp Mwanamke mzima huna hata hay

  • @oswardkabasa8476
    @oswardkabasa8476 3 года назад

    huyu mwanamke chiz

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 3 года назад +3

    ALIYAH nakuona umevaa nguo

  • @estherngowi8102
    @estherngowi8102 3 года назад +1

    Nimekupenda maana umekuwa mkweli Sana,hata sishangai mbona men wanakuwa hata na wanne? Why women's? Mje mnihoji na Mimi ninao 4 🤣🤣😝😝

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 3 года назад +2

    Yaani uyu mtangazaji mhmm Muslim harafu jamanini kitovu nje🤦‍♀️ mwenyezi mungu akusamehe hii duniya2 dada usikuwadae akhera ndiyo makazi tujiandae

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 3 года назад

    Mdangaji tu! Halafu hao jamaa mafala tu kwani wanawake wamekwisha

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 3 года назад

    He! Mbn ni sauti ya MTU mmoja jmn

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 3 года назад +1

    😁😁😁😁hao wanaume wanajiweza sna

  • @sudidoto9759
    @sudidoto9759 3 года назад

    Dda lenyewe bayaa Mmh halina hata mvuto

  • @winnieamanya1550
    @winnieamanya1550 3 года назад +8

    Hahaaaaa...mtangazanji ameparalize🤣🤣🤣🤣

    • @dangotee5051
      @dangotee5051 3 года назад

      😀😀😀😀😀😀

    • @meggy5268
      @meggy5268 3 года назад

      @@dangotee5051 of a happy 😁😁 on your timelines for you on ooooh lo9ooookoklo

  • @bigdreamer8857
    @bigdreamer8857 3 года назад +2

    Bado nipo darasani nafanya thesis ya michepukological theory to be officialization socially and polygamizationalisis and race to prignantalization of truthfully girl of both men. eeeehuuu... Tamu ila ngumu kutafuna this is TZ

  • @diananyakisinda2439
    @diananyakisinda2439 3 года назад

    Chenga kweli

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 3 года назад

    Mume wa kwanza mkenya

  • @maelezomaelezo9057
    @maelezomaelezo9057 3 года назад +1

    Unatutolea tumbo ili iweje

  • @emmanueljosephati3932
    @emmanueljosephati3932 3 года назад

    Huyu mbwa 🧐🧐🧐 anasema nini

  • @miriamsaid3766
    @miriamsaid3766 3 года назад +1

    Hapo mmepigwa 😂😂
    Ni huyo mtu mmoja sikiza sauti vzuri na alipopiga mara ya pili yule jamaa kauliza"umesema upo kwenye interview" ndo ni yuleyule aloongea nae mara ya kwanza 😂😂😂 pili bhanaa

  • @ngoshathebest228
    @ngoshathebest228 3 года назад +1

    Kujifanya kingerezaa

  • @saidimhina6365
    @saidimhina6365 3 года назад +1

    Salut kwako dada angu ww ni jasiri imekuwa muwazi

  • @AMI-ip1lx
    @AMI-ip1lx 3 года назад

    Tanzania Sitoki Nawambia

  • @sponsertv5009
    @sponsertv5009 3 года назад +1

    huyo wa pili akiongea nae anapoa saana nyie angalieni vizur

  • @maelezomaelezo9057
    @maelezomaelezo9057 3 года назад +3

    Amepalalaiz mtagazaji hat mimi

  • @rajabmsinzia7921
    @rajabmsinzia7921 3 года назад

    Dah mtoto una kitovu kizuriiii manina

  • @dengeman4814
    @dengeman4814 3 года назад +3

    Unawapa mkundu hao sio pw

  • @wamydalkiferd7053
    @wamydalkiferd7053 3 года назад

    DUUUUH
    Maana sisi wengine hata mmoja huna 😂na ukimpata unasuuuuza Rungu hatarii🏃

  • @josephmbithi8729
    @josephmbithi8729 Год назад

    Kifaluka yaani unapenda kavu kavu jamani 🤣🤣😂🏃🏃🏃

  • @alan-btharealboy9035
    @alan-btharealboy9035 3 года назад +1

    Duwe we ni fala sana😂😂

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 3 года назад +1

    Huyu dada anachekesha

  • @ruthkasumba7739
    @ruthkasumba7739 3 года назад

    The same person nyooo🤣💔

  • @selemanisaidi3457
    @selemanisaidi3457 3 года назад

    Mmmh this is bad

  • @mulhatramadhani4857
    @mulhatramadhani4857 3 года назад +1

    Ukistaajabu ya Hamza utayaona ya pili😂😂😂

  • @emmanueljosephati3932
    @emmanueljosephati3932 3 года назад

    Hawa ni wanauma wa dar hawajitabuwi kumamakezao kuku Hawa nyoo Eti yanajuana hahahahah Yani nigekuwa mim mulaaaaaa ningemgecha huyu mwanamke Hadi dunia ishagae kumamakezake malaya huyu tombayo 😏😟😟😟😞😞

    • @hassanhancha1413
      @hassanhancha1413 3 года назад

      sasa mzee huyu dem unamuona amekosea vipi na wewe ulichokiandika hapo unaonaje ni sahihi

  • @isamclassique1178
    @isamclassique1178 3 года назад

    Tanzania muabuduni Mungu Kweli aliehai

  • @meshackkulinda9397
    @meshackkulinda9397 3 года назад +1

    Unajisifu ujinga,unajifny eti utaki kuolewa, subiri wakati utakwambia