GLADNESS ATOKA NA WANAUME WAWILI KWA WAKATI MMOJA,AWAPIGIA SIMU"NIMESHINDWA KUCHAGUA NAWAPENDA WOTE"
HTML-код
- Опубликовано: 17 окт 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
I salute u gal.......haya mapenzi kweli ya tatuonyesha mambo
Shout out kwa duwe santana na thisisaaliyaah na refresh kwa ujumla na wasafi media kwa kazi nzuri🤝👏👏
Auko vzr kwaiy Apo umejifunza nn
Moyo Umesimama. Kwa Hofu!!!!!Hii Dunia si mahara Salama kabisa... Dunia iko Ukingoni kabisa.Allah Atujalie Mwisho Mwema In sha Allah.
Dunia ni sehemu salama,,na wala haijafika ukingoni na kamwe haitofika ukingoni,,,Ukingoni utafika wewe na kuwa salama au kutoka kuwa salama hilo ni lako jombaa wala usisingizie Dunia na umuache Allah ahudumie wenye uhitaji zaidi wewe endelea kufanya kazi zako
@@reubenkissinga5802 🤣🤣🤣🤣🤣🤣jibu zuri
Hizo ni raha tu za dunia,,, fanyeni kazi zimpendeze Mungu haki
Tanzania hii ,noma kweli
Pili kama ni kweli. I appreciate you. Basi chagua mmoja plzzz
Nimekupenda
Daaah,,,,
Dunia imekwisheee wazeeee,
Wewe ndio umekwisha Mzee wala usiisingizie dunia
Hata mm I wish nipate wawili na wajuane tupunguziane stress maana mda mwngne kuwa na mtu mmoja n stress
Hhhhhhha ni kweli
Kusema ukweli hata mm namunga mkono gladness kwa sababu ya kusema ukweli na hajafanya siri amewajulisha wote wawili wakajuana na wakasikizana 🇰🇪👌👍
Dah
Duuh sjawahi ona hii ndo first time daaah inasikitisha Sana aisee
huyuu hafai kuwa msanii anapotosha jamii
@@athumanimhanga2053 maana anaufurahia umalaya wazi wazi daah japo kuna watu wapo wanatmtafanya haya lkn si kujionyesha ivi Mungu tusaidie
Sikutegemea kama Pili atakua hivi kwenye maisha ya kawaida nilijua maigizo tu kumbe ndo maigizo yake ndo maisha yake yalivyo jmn dah dunia hii mungu atusaidie jmn 🙏🤲
Pili anawadanganya tuu,,,,huyo n mwanaume mmoja Ila namba n tofauti,,,,,,mnaingizwa cha kike na nyie mnaingia tuu hahahaaa
@@monicamushi5192 Dada unapokua kwenye mahojiano ya nje ya kazi unaonyesha uhalisia wa maisha yako hata kama watu walikunukuu vby unawaonyesha sio nnavyoishi vile mnavyoniona kwenye maigizo ila uyo kweli ameongea mwenyewe hakuna kutudanganya anajidanganya mwenyewe na mungu wake sisi ndo tumeshajua uhalisia wa maisha yake yakoje MONICA MUSHI
Dunia ishafika mwsho
😅😅😅 nampenda uyu dada jmn ❤️❤️🔥😆😆😆😆
Kuwapenda wote?Afu appointment ikiwa same time utafanyaje? Daaah Kumbe bongo movie sio maagizo😬😬😬daaah🤭🤭🤭ntakuja kuolewa na wao,duh,mambo ya ulaya
Hata aibu haoni
Dunia simama nishuke🙋my dear utakuja kuumia haupo sahihi hata kdg chagua mmoja ubaya unakuja hapo kweny wao kujuana usifurahie aisee
It’s normal in western world
Kiyama 🚶🏾🚶🏾🚶🏾🚶🏾
Acheni unafki na nyinyi mnaojifanya kushangaa ndio ukute mnawapanga kama treni tofauti yy amesema ukweli na nyinyi mnaoshangaa hamjawaweka wazi😏😏😏😏
Kweli kabsa mungu anatuona mmh
Hapo hakuna mwanaume anaempenda, mwanaume anakumpenda hawez ridhia uwe na mwanaume mwengine, never!..mabaharia washaelewana hapo washamjaza wanamkula tu, na lazima watakua wanamchukulia poa sn na kumzarau... Wanawake hawatakuja Kukaa kuzielewa codes za mabaharia😀
Yap
Word
Nimependa hii 😂😂
Jaman nimeipenda hii ya leo jaman
Huyu ndo chagga girl sasa 😂😂😂
Ww dada ujuwe kuna kufa acha kukaa uchi
🤣🤣🤣🤣 uyu katuchezea tu comédie
Wamepanga bwana
Wanaume tunajuana.
tuseme ukweli Nani anaweza kuchangia demu n'a mimi wasio weza like wanao weza DSLike
🇧🇮🇧🇮
Waafrica ingekua nipotezeee husikii hata language zao ni Mambele mzungu atakubali akuache wakat kajitoa mpaka kucha na umeuweka wazi hao watu nawapendaga sema sijabahatika kumshika hata mmoja yani wako real na wanapend uwe mkweli that's 😅
Wazungu hao kwao kawaida tuu kila mmoja anamwaga uchafu wake kwenye karo moja wala hawana habari kwasababu in watu wachafu.
Huyu ni mtu mmoja anawazingua huyu
Lakini Tanzania wanaongoza kwa kudanga East Africa yote asa wanawake mmezidi.
Uganda,Rwanda kiboko sema tu watz wako open hawafichi
Bongo bwana..... Wanaume 2 kwa wakati mmoja......!!!! Alafu anasifia
Anawadanganya huyo,,,,, mwanaume ndo huyohuyo mmoja Ila # tofauti,,,,,na walishaplan huo mchezo
Mhhh nakumbuka shairi la fikra za waungwana
Daaah,ana biashara mbili😛😛😛
👌👌
Pili noma
Kichaaa uyo
Daaah kwel shikamoo
🔥🔥🔥
Hahaha etizinaa imekua kawaida kuitangaza m/ mungu tusaidie
Apewe ulinzi😂😂
Kabsa
Mtu mmoja huyo
Heeeee...seriously!
Alliyandugu yangu wewe nimuislam jistiri😢😢😢
Duuh noma kwel
Huna wanaume #UNA MATAHIRA wawili
😂😂😂
Mbona wasanii wa Kibongo wa kiume wanafanya hivyo?
We ni malaya
Dunia kwisha hii
Hyu dada n msenge
Hayo sio mapenzi hiyo ni biashara wala hakuna atakae kuowa hapo hayo ni madanga
Hao wanaume wote niwajinga iwej kuchangia demu mmoja nahuyo demu nidangaa tu hapo hamna mapenzi
Hawampendi hao wanamchezeatu hao
Duuh!Wanaume 2
Na ukibeba mimba jee itakuaje?
Sio peke yake wapo wenye wanaume wengi....zaidi ya wawili...msikatae
Kweli
Woow
Kizungu kinapanda kumbe😂👌
Eeeebooooo aibu gan hii mtoto wa like🙄😳😳
Sasa mtangazaji kukaa kitovu nje ndo biashara gani mtangazaji unatizamwa na watu wazima na watoto unafundisha nini jamii kitovu nje muoneshe mumeo tu jistiri mwanamke
But all in all mwanamke mmoja kudate wanawake wawili thats not something you be proud of
🤣🤣🤣🤣🤣kutudanganya huyo n mtu mmoja
Mademu wengi wazur hua wanamabwana wengi
Uyo ana uzur gani sasa
Awe mbaya awe mzur akiamua kufanya uo ujinga anafanya tuy
Comed iyo
Aaliyah ❤ Hapo tu ndo ana nimalizaga 🤣😂🤣
Mbona kama sauti niya mtu mmoja
Ndizo dalli za mwsho izi wanaume kujuana wako n mtu mmoja ayaa wee bt dadangu io sio sifa
Awa wanawake sijui wana nn duuh mi amenichosha uyu dem jinga sana lingeumbwa janaume sasa
Vzr ishi vile upendavyo G cz ukitaka kuwalidhisha waja hautaweza fny vile nafsi yk inapenda
Yaani huyu jamaa anaeuliza maswali kachoka🤣🤣
Bora pili kawa na wawili Kuna dada mmoja anazaidi ya hao
Wapashe dada gladness kifaluka🤣🤣🤣🤣
Dalili za kiama 😭😭😭
Kwan ww aliyah kitovu hicho vp Mwanamke mzima huna hata hay
huyu mwanamke chiz
ALIYAH nakuona umevaa nguo
Anatuonesha2 katumbo kake
Nimekupenda maana umekuwa mkweli Sana,hata sishangai mbona men wanakuwa hata na wanne? Why women's? Mje mnihoji na Mimi ninao 4 🤣🤣😝😝
Yaani uyu mtangazaji mhmm Muslim harafu jamanini kitovu nje🤦♀️ mwenyezi mungu akusamehe hii duniya2 dada usikuwadae akhera ndiyo makazi tujiandae
Mdangaji tu! Halafu hao jamaa mafala tu kwani wanawake wamekwisha
He! Mbn ni sauti ya MTU mmoja jmn
😁😁😁😁hao wanaume wanajiweza sna
Dda lenyewe bayaa Mmh halina hata mvuto
Hahaaaaa...mtangazanji ameparalize🤣🤣🤣🤣
😀😀😀😀😀😀
@@dangotee5051 of a happy 😁😁 on your timelines for you on ooooh lo9ooookoklo
Bado nipo darasani nafanya thesis ya michepukological theory to be officialization socially and polygamizationalisis and race to prignantalization of truthfully girl of both men. eeeehuuu... Tamu ila ngumu kutafuna this is TZ
Chenga kweli
Mume wa kwanza mkenya
Unatutolea tumbo ili iweje
Huyu mbwa 🧐🧐🧐 anasema nini
Hapo mmepigwa 😂😂
Ni huyo mtu mmoja sikiza sauti vzuri na alipopiga mara ya pili yule jamaa kauliza"umesema upo kwenye interview" ndo ni yuleyule aloongea nae mara ya kwanza 😂😂😂 pili bhanaa
Kujifanya kingerezaa
Salut kwako dada angu ww ni jasiri imekuwa muwazi
Tanzania Sitoki Nawambia
😂😂😂😂😂
huyo wa pili akiongea nae anapoa saana nyie angalieni vizur
Amepalalaiz mtagazaji hat mimi
Dah mtoto una kitovu kizuriiii manina
Hahaha
Unawapa mkundu hao sio pw
DUUUUH
Maana sisi wengine hata mmoja huna 😂na ukimpata unasuuuuza Rungu hatarii🏃
Haha
Kifaluka yaani unapenda kavu kavu jamani 🤣🤣😂🏃🏃🏃
Duwe we ni fala sana😂😂
Huyu dada anachekesha
The same person nyooo🤣💔
Mmmh this is bad
Ukistaajabu ya Hamza utayaona ya pili😂😂😂
Hawa ni wanauma wa dar hawajitabuwi kumamakezao kuku Hawa nyoo Eti yanajuana hahahahah Yani nigekuwa mim mulaaaaaa ningemgecha huyu mwanamke Hadi dunia ishagae kumamakezake malaya huyu tombayo 😏😟😟😟😞😞
sasa mzee huyu dem unamuona amekosea vipi na wewe ulichokiandika hapo unaonaje ni sahihi
Tanzania muabuduni Mungu Kweli aliehai
Unajisifu ujinga,unajifny eti utaki kuolewa, subiri wakati utakwambia