JENIFFER ALINIKATAA NIWE MPENZI WAKE - PATRICK KANUMBA
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
This guy and jenniffer made me love Tanzania movies like crazy, I have watched all Kanumba movies just because of them.
Diva kuongea kote English napenda Patrick anaongea kiswahili safi sana uzalendo
Diva acha kujifanya unajua sana kiingereza, kingereza chenyew unachnganya na Kiswahili.
Uzungu mwiiiiiingi! Haf anakwambia am not so much into swahili things! 😀😀😀😀 Kazi tunayo kufikisha kiswahili mahala pake.
I gotcha you😆😆😆😆eti am not in to Swahili thing 😆tutamfinyaaaa..
Aisee ni kazi Tena kazi kweli😂😂.
Acha wakenya watunyang'anye tu wasemage Chao. Maana wenye nacho Tena nd hawa😂😂😂
Kuna siku diva alisemaga hata wimbo wa taifa haujui😂😂😂
Eti hamjawahi kukisi,hee, what kind of question
Wow
Kwanini swali la kudate linakuw mtangazaj analilazimisha kwani kama hawadate ama wanadate shida iko wap
Ongea kiswahili wew
Hi
Powa
Diva umependeza leo
Dada diva ,tunaomba uongee kiswahili ,wengine kingereza hatuelewi 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣upo sawa
,😂😂😂😂😂😂
Nendeni kwenye local media EFM na cloud
Rip diva
HII ni interview ya kiswahili au kiengereza mnafeli wapi
Anajishauwa huyu dada
Dada mbna unabana pua
Mbona diva analazimisha mambo!
😂😂
Am here 2nd 😍😍😍🇰🇪✔️
Huyo mtangazajii anajifanya mzungu wakati KIZUNGU hakujui MKATAA KWAO MTUMWA 🤣🤣🤣😂🤣🤣😂🤣🤣🤣😂 🤣🤣
Anajua bhana,,, sema tuu hakutakiwa kuongea hapo coz si kila mtu anaelewa
May you guys use our native language B's even that you are using isn't well managed
Diva wacha miyeyusho kizungu hicho kwioo 😏😏
Diva unakera,amua moja kama unatumia Kiswahili tumia moja kwa moja bila kuchanganya ,na kama umeamua English basi tumia hiyo moja kwa moja.
Diva chawaaaaa
Uyu nae
Alhamdulillah w kwanzaa🤣🤣🇪🇭🇪🇭
nani anaamini hiki ndo kipindi cha kipuuzi pale wasafi kuliko vyote...
Patrick mbona anajipapasa na kujilamba lamba lipsi, Umesisimka nini?😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂 jmn
Mitandao inatuharibu, alafu watoto sikfu hizi wanaongeaje? Mmmmh hatjadeti, nmmmh labda mmmmh mmmmh mmmmmmnamavi....ok labda mi wazamani...kiume zaidi
Noma
🎉🎉
Diva ungea kiswahili
Kiuno
Ww mwanamke punguza kujifanya unajua sana kuongea kingerenza huo ni usenge
Swali moja unauliza mara 10 mbona anachosha akili hadi mm kanichosha akili kusikiliza...
Wewe diva ongea kiswahili acha ushamba unajifanya unajuwa english wakati wakija wenye luga zao uwonge unatupigia kelele tu ...nenda america basi kuwa mzalendo na luga yako wewe..
Ata america ujakaa lakini ujanifa kuongea luga ata aina faida kwako mchamba mkubwa wewe pua kama bakuli la wafungwa..
Mbona huyu dada anaongelea mapenzi tuuu na unavyomtaja Gigy ngojeni mitus hapo
😂😂😂🙌
Hahhahaha jaman kusoma kingereza ni bure shule ya msing na sekondar nendeni
🔥🔥🔥
We mtangazaji unajifanya mzungu, ona unavijibiwa Kiswahili kwann bado inaendelea kuhoji kinge chako
Mbona unamlazimisha
💥💥💥
Wabongo kwenye kujiongeza na kuconclude matukio ya watu wengine ndo tabia mlizozaliwa nazo ona sas unaambiwa ukweli bado utaki kuamini unaona kama unadanganywa
1st
Mbona mnapenda kuwauliza kama wanadate u guys just mind your on bossiness mnajua hua inauma sana mtu anakuuliza unatoka na mtu flan na uko kwa camera even if they are dating they will not tell u because they know tz people habit I just live them alone
Wana aribiwa jina2
You are a go gera..weleva you wanna go you wanna geri it...stop twenging my siz.
Hv Diva huwa n raia wa nchi gan
😹😹😹diva na bby wake
Kwani huyu diva ni mwehu? Gigi upo wapi?
Kivipi wewe mtu anafanya kazi yake
Ha ha ha 😂 mwishoni kinyonge
Interview zingine bana
Kizungu saa ingine inakaaa kama unajifunza kuongea
Watu mnadic dva anaongea kizung akiongea kibongo show ainog romantic language ni English. Elewen
Twambie ukwel patrick
😂😂😂😂 adaisha ajamshika ata kiuno
Mbona unamuuliza Sana? au unamtakaa!
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 labda yuwamtakaa
Kichwa cha Habari cha uwongo
Kweli🙄
Wanaona wadau tumekuwa weng wanatupunguza kwa stahili hii
indirectly kichwa cha habari kinaendana coz mwishoni anasema aliwahi ambiwa he's not her type🙂
😂😂😂Diamond platnumz ka cheka sana baada yaku ona hii vidéo ebu jionee nawe u cheke😂😂👀
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
ruclips.net/video/nzHStcK4g7g/видео.html
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Mbna mtangazaj ka kalegea kwa Patrick anasahau kapigiwa goti na mzee wa gundu
Mnazingua Na sauti
Sauti mbovuuu....
@@chinamilenas3375 majinga hayo
@@chinamilenas3375 vingereza vya ajabu
Diva 😅🤣😂 I don't like swahili thing 😅🤣😂 I wonder English yenyewe she is real struggling to compose sentence and connect vocabularies acha making!
Unamhoji bwanako. Ili uwe na uhakika sio.
Ongea kiswahli bwanA
Ww kizungu weka mfukoni auoni mwezio anapenda lugha yake
Basi detini basi tu napenda tuwaone wote
mhhh
@@sleymohamed3825 naam
Wewe mtangazaji inatakiwe utumie lugha moja english or swahili . Ninyi mnazani mutakuwa wazungu?? Jibu ni apana . Kama ni kipindi cha english speak english kama ni kisqahili speak but stop mixing language please
Ajielew ajui km sisi ndo waskilizaj na atujui kingereza km anaisi kingereza ni muhim akafanyie kipindi chake ulaya ndo watamuelew sisi tumezaliw kweny kiswahili na ndo lugha yetu
Ww mwenyewe kuandika tu ushachanganya na kingereza wakat huo huo unamzuia diva duuh?
😏😏😏
SIBlHUBA
Tatizo English to much problem ongea kiswahili diva
Ipo siku kitaumana tu