Anaendana na upepo au mtu mwenye jina linaloanzia na herufi S na G lakini haimanishi wenye majina ambayo hayaanzii na herufi hizo kwamba hawafai lakini muhimu zaidi S na G mapenzi yatakuwa motomoto. Lakini mwenye jina linaloanzia na Z asiwe mpenzi wako labda awe mshirika kibiashara tu
Mimi ni m na napenda silver na diamond je yawezekana
Hizo Pete ninazo nime nunuwa huku
Nikija. Kutengeneza huko ina nigalim bei gani
Upo vzr
Pete ya tiger eye inavalika wapi
Na sisi wenye jina linalo anza R yani mshuke tunavaa pete yenye kito gan
Inakuja
Wakati unaoga unaoga nayo?
Ukisha maliza kuiandaa oganayo haina shida@@zamanjohn4612
Namb ako ya mawasilino
Natakuja mpo wapi
Ruby nime nunuwa
Shehe ninvyo vito vip nitapata pesa?
Mm nataka pete je nitakupataje
Unatupa mtihani wa hayo mafuta kwani al wood azifai
Mm nime nunuwa rubi yenyewe ila bei
@@Hawaa-cw6fl bei gani mpendwa
Madungwa napata wapi kaka na sh ngapi
Lipia kwa lipa namba hii 54501044 au piga simu 0763559042 au 0765559042
Nahitaji Pete nitaipataje
Madungwa ni nini
Madungwa ndo nn
kakayangu nauomba unambie nyota yapunda inaenda nanyotagani kimausino please ❤❤
Anaendana na upepo au mtu mwenye jina linaloanzia na herufi S na G lakini haimanishi wenye majina ambayo hayaanzii na herufi hizo kwamba hawafai lakini muhimu zaidi S na G mapenzi yatakuwa motomoto. Lakini mwenye jina linaloanzia na Z asiwe mpenzi wako labda awe mshirika kibiashara tu
Somo linakuja lefu ila herufi A mpaka Z zopo hapo sahihi kwao kwenye ndoa
Hayo maji ya chupa yanatwa jina gani kwa kiswahili
Je mm a mpo wapi
Yupo Mikese
madungwa ndio nn jaman
Dawa ya kutoa nuksi na viumbe wabaya
Nikiraka unitengezee ww sh ngapi
Njoo
Acha nyambu wewe .....