HAWA NDIO MASTAA WANAOJUTIA "SAJALI" ZAO, MATOKEO SIO MAZURI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 19

  • @Latipha-u5c
    @Latipha-u5c 5 дней назад

    Mungu awaponye😢

  • @DaimaMrisho
    @DaimaMrisho 26 дней назад +6

    Pole yao maana wanakosoa uumbaji wa Mungu kwahyo wanamfundisha Mungu namna ya uumbaji surgery ni dhambi tena kubwa sana😢

  • @francismroso9718
    @francismroso9718 6 дней назад

    Ni shida zake mambo ya dunia inawasumbua

  • @Fatma-it2ue
    @Fatma-it2ue 12 дней назад

    Mungu wa mbinguni awasamehe

  • @saidasaid5855
    @saidasaid5855 25 дней назад

    Wanajuwa kusumbukia urembo na wafunuaji sasa wanafunuwa wanawacha waaa😂😂😂😂

    • @maulidimpili698
      @maulidimpili698 18 дней назад

      @@saidasaid5855 tatz sisi watu weusi tunapokea vitu bila kuuliza madhara wao wanaangalia sana faida ndio maana wakina mama weng wanakaa hospital kumeza vidonge vya uzaz wa mpango kuna faida lakn madhara ni makubwa kuliko faida

  • @AnnastaziaXamwel
    @AnnastaziaXamwel 20 дней назад +2

    Lips zake za zaman ndo zilikuwa nzur

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 17 дней назад +1

    Sugary ni ushamba watu wanakujua tangu utoto unaenda kujibandika uchafu,ushamba kabisa yataoza mwisho wa siku

  • @claudineali3561
    @claudineali3561 6 дней назад

    Acha wajipe magonjwa.bilashaka wasubiri madonda yatumboni

  • @francismroso9718
    @francismroso9718 6 дней назад

    Duuuh mungu awarehemu hawajui watendalo

  • @ShamsaOnesha
    @ShamsaOnesha 25 дней назад +1

    Huyo gigy anafanya matangazo me nahisi anatak kutrend tu ety anasema imeenda vibya anaumwa ni muongo huy dada simuamin mimi

  • @AnnastaziaXamwel
    @AnnastaziaXamwel 20 дней назад

    Uyo nae asitudanganye siakubal tu km kafanya iyo sajar ya makalio anakataa nn😁😁

  • @masonalronaldo3043
    @masonalronaldo3043 25 дней назад

    Jamani hatakama hatuna hela ila hajapendeza

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 23 дня назад

    Wamekwambia wamejuta au unajipendekeza

  • @ElikaHosea
    @ElikaHosea 18 дней назад

    Shida zao aziituusu sisi

  • @shaamefaki-y2w
    @shaamefaki-y2w 22 дня назад

    walahaja pendez