HUYU HAPA KIJANA ALIEAMUA KUJITOA KUIMALIZA CCM KUSINI UNGUJA.

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 21

  • @mukhtaromar-g5p
    @mukhtaromar-g5p 15 дней назад +3

    Ndio kaka. Mamlaka kamili ndio kila kitu ❤

  • @salyali7807
    @salyali7807 15 дней назад +3

    Hotuba nzuri sana ACT 🔥🔥🔥😊

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 15 дней назад +3

    msimamo. uwe mkali sana kwani huyu mtoto wa frauni hajielewi kuwa hatakiwi. hapa kwetu zanzibar. endekwao mkuranga. hatumtaki. hatakumuona. hana haya hata chembe

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 14 дней назад

      sema wewe ndio humta
      ki usichanganishe

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 14 дней назад

      ​@@R10_RajabWengi tusiomtaka, hapo kusini zama zile ukiwa mpinzani lazima uhame, kijana ama mzee wa kusini ukiwa mpinzani ni kosa.
      Sasa hivi vijana wa kwetu kusini, na mimi ndio kwetu huko, kijana ana bomba haitaki ccm. In Sha Allah uchaguzi huu mkiuwa watu ama kuiba kura tutamuomba Allah awakusanye pamoja awaangamize kama alivyomuangamiza Firauni, dua tutaomba, kwa sababu kwa sanduku la kura hamuwezi kushinda, ipigwe kura kule Pemba kumchagua balozi wa nyumba kumi ccm haiwezi kupata hata kura kumi, huseni arudi kwao alikotoka atafute kazi afanye, si lazima kuuwa watu ili apate madaraka ya kujenga barabara.
      In Sha Allah tutamuelekea Allah, na bila shaka atatusikia.

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 13 дней назад

      Na wewe vutu bovu mtoto wa haman

  • @ShaabanKhamisAbdulla-nt6rm
    @ShaabanKhamisAbdulla-nt6rm 15 дней назад +2

    Huu ni mwaka wa maamuzi CHAMA CHA MAJAMBAZI CCM LAZIMA KIONDOLEWE

  • @FatmaJuma-d8d
    @FatmaJuma-d8d 13 дней назад

    Jamaa fikra hii wazalendo wa ACT nepekezende muchague Kijana kama huyo aingizwe ktk mchakato wa urais kuanzia sasa.sio wazee.kijana na kijana mwenzake na mzee na mzee mzee pia kijana nguvu kazi

  • @HvhVvb-k3i
    @HvhVvb-k3i 15 дней назад +2

    Shida ktk kombe hawakushajihisha kma Ayubu bali waliwaweka vijana wa chama Chao na gari lao ndio maana wananchi waliona kuwa kombe la chama sio wananchi kw ujumla

  • @MshamAli-o4e
    @MshamAli-o4e 15 дней назад +2

    Tunahitaji znz yenye mamlaka kamili ya kujiongoza wenyewe sio kuongozwa na watanganyika wakoloni weusi walo tutawala kupitia muungano

  • @SuolFat
    @SuolFat 15 дней назад +2

    Alafu kuandikisha twendeni kwa wingi

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 15 дней назад +1

    analazimisha kupendwa. kwalazima. sasa. marahii. wonga tuuweka. pembeni.

  • @KaitharJuma-v2p
    @KaitharJuma-v2p 14 дней назад

    Nyny jidanganyen2

    • @AllyOmarHamad
      @AllyOmarHamad 13 дней назад

      Hatawewe iposiku utaelewa nini wanacho kihitaji wazanzibar wachasikuzisonge inshaallah

  • @dudejuma
    @dudejuma 15 дней назад

    Huyu kijana na akatafute kazi ya kufanya aache uongo. Ana uwezo gani!!!!!!!

  • @RashidHaroun-c2j
    @RashidHaroun-c2j 15 дней назад +1

    Maana apo naona umewavamia watu wapo barazani pao pa karata unawashughulisha tu alafu hamna haya mambo ya kuonyesha kwenye media yako wapi apo na mumekaa kati kati ya njia mnawashangaza ao watalii wanaopita tu sijuwi wanadhani pana uganga 😂

  • @RashidHaroun-c2j
    @RashidHaroun-c2j 15 дней назад

    Kwa hali hii mamlaka hayapatikani kiyama kitafika,na ilo tanga mkesha lishusha sijuwi nani atakuja lipandisha maana wapandishaji apo siwaoni hiari yenu 😅😅

    • @KibondoPaje222
      @KibondoPaje222 14 дней назад

      YATAPATIKANA NA UTAYAINA CIO MBALI INSHAALLAH

    • @RashidHaroun-c2j
      @RashidHaroun-c2j 14 дней назад

      @KibondoPaje222 kibondo ndugu yangu tafuta biashara ukafanye iyo haijawa biashara ni sawa na mashelisheli yakishafika jioni bwan kaka