Vita ya Mpina na Mwigulu I Nilipingwa na Mawaziri I Kuna Njama Zinasukwa Kuibia Mapato Serikali 🔥🔥

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Waziri tulimshauri muda mrefu malimbukizo ya kodi kwa jailli ya TRAB na TRAT na hadi sasa yamefikia trilioni 10.48, huwezi kukusanya kodi katika mazingira ya namna hiyo, hivyo tusipolinda viand vyetu via ndani hatuwezi kukusanya kodi.” Mbunge wa Kisesa Mhe. Luhaga Mpina, leo wakati achangia bajeti ya Wizara ya Fedha ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/2025.
    Endelea kuperuzi kwenye mitandao yetu ya kijamii @cloudstv @cloudsfmtz na akaunti ya RUclips “Clouds Media” kwa updates zote.
    #KutokaBungeni
    #CloudsDigitalUpdates

Комментарии • 36

  • @AmaniMwankili
    @AmaniMwankili 3 месяца назад

    Mpina ni mtu na nusu❤❤❤

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 4 месяца назад +2

    Mpina🙌

  • @AniciaNyaga
    @AniciaNyaga 4 месяца назад +2

    The man himself. The living legend

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 4 месяца назад +4

    mpina wewe ni true mbunge

  • @judithsarahmasanja550
    @judithsarahmasanja550 4 месяца назад

    Mh. Mpina tunakuombea Sana Sana na Mungu U pamoja nawe.

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 4 месяца назад +3

    Mpina yupo kwa maslahi ya taifa

  • @OscarKasalile-u4k
    @OscarKasalile-u4k 4 месяца назад +6

    Huyu mwigulu ni mwiba kwa Taifa letu, na ni kansa inayowamliza watanzania.

  • @Mpendahaki
    @Mpendahaki 4 месяца назад

    Mpina ni mzalendo wa kweli.sema tu bunge la Sasa ni la vibogoyo

  • @augustinomlewa9662
    @augustinomlewa9662 4 месяца назад +1

    uyoo jamaa ni mwamba sana

  • @DivNg27
    @DivNg27 4 месяца назад

    Mh mpina hapo kwenye sukari,tuache kidogo,hivyo viwanda hua vinaficha sukari ili bei ipande,Serikali iendelee kutoa vibali kwa wanaowagiza sukari nje,hivyo viwanda wanaagiza sukari wanavyojisikia wao...hatujasahau sukari ilivyofika 5000 kwa kg,kutokana na hiyo sheria yenu mliyoitunga 2020

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 4 месяца назад +1

    Mpina ndio mbunge bora kabisa kwa sasa yan anajielewa kuliko mijitu mingi humo ndani

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ff 4 месяца назад

    Mifumo yetu ya uwajibikaji ni dhaifu mno...ukwapuaji hauwezi kukoma Kwa staili hii...jitihada za kudhibiti wakwepaji wa Kodi ziende sambamba na kudhibiti wafujaji wa Kodi za wananchi....nadhani pale kwenye Sheria mama kuna kitu kinatoa mianya hii....

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 4 месяца назад +1

    Mwigulu ni hatari kwa Taifa. Mpina ni chuma

  • @HumphreykirutuKirutu
    @HumphreykirutuKirutu 4 месяца назад +1

    Mpina ndo mbunge pekee anafaa kupita bila kupingwa

  • @victorphilipo
    @victorphilipo 4 месяца назад +1

    Wewe nijembe ila mungu akuli de uzidi kuwachambua wezi hao

  • @hamisimwinzagu6624
    @hamisimwinzagu6624 4 месяца назад +2

    Ivi uyu mwigulu amekuwa kama nani apa nchini au munaiba nae ndio maana hamtaki kumtoa

  • @badymedia9648
    @badymedia9648 4 месяца назад +1

    Huyu mbunge mbele kaachia titi nje au hio nibrauzi mbna udenda wantoka😂

  • @athumankaswaga605
    @athumankaswaga605 4 месяца назад +1

    Nahofia usalama wako sizani kama wana ccm watakukuacha salama.

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 4 месяца назад +1

    Huyu muigulu 😰

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 4 месяца назад

    Ila nchi hii

  • @hassanmwalle5628
    @hassanmwalle5628 4 месяца назад

    Yani ao wafanyabiashara walipe madeni kwa pesa zetu?
    Waziri agiza Acha na wachumia tumbo hawa

  • @FransisLaurenti
    @FransisLaurenti 4 месяца назад

    Mpina ww ninoma wengine wanasifiya tu

  • @InnocentJohn-l5y
    @InnocentJohn-l5y 4 месяца назад

    Wa tz wenye timamu wanakuelewa sana ila wana ccm wanao penda kusifia uozo wanakuchukia Mia mia mpina jembe sana mwamba

  • @FransisLaurenti
    @FransisLaurenti 4 месяца назад

    Mpina mwagama yakutosha

  • @emmanueliman7408
    @emmanueliman7408 4 месяца назад

    Mh,watakuelewa tu

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 4 месяца назад +1

    Mpina kwa style hii hautaona Uwaziri

    • @majidimussa8678
      @majidimussa8678 4 месяца назад +2

      bora kawa uwaziri nikutosimamia haki bas sawa hatauona

    • @damiankilyenyi5367
      @damiankilyenyi5367 4 месяца назад +2

      Kuwa Waziri ukawa mpumbavu ni Bora kuwa Mbunge ambaye unatetea maslahi ya nchi.

  • @HamisLeo
    @HamisLeo 4 месяца назад

    Mbuge peke ake anaefanya kaz ili mlipakodi aone pesa inayolipa inafanya kaz

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 4 месяца назад

    CCM KUNA WATU WAZURI LAKINI KUNA BAADHI NI MACHAWA WA WEZI NA WARUDISHA MAENDELEO YA TAIFA LETU LA TANZANIA

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 4 месяца назад

    Ivi mpina alisoma nn, anaakl sn

  • @justuswaziri3093
    @justuswaziri3093 4 месяца назад +1

    You don't deserve to be in CCM. Wewe ni MTU hashwa

  • @nasdaq1999
    @nasdaq1999 4 месяца назад +1

    1usd = 2609 Tsh😢 f*k

    • @gabapentin8070
      @gabapentin8070 4 месяца назад

      Asubui tu ilikua 2600 aaaf mama anapiga picha na msanii korea kusini uko dah