Vita ya Mpina na Mwigulu I Nilipingwa na Mawaziri I Kuna Njama Zinasukwa Kuibia Mapato Serikali 🔥🔥
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Waziri tulimshauri muda mrefu malimbukizo ya kodi kwa jailli ya TRAB na TRAT na hadi sasa yamefikia trilioni 10.48, huwezi kukusanya kodi katika mazingira ya namna hiyo, hivyo tusipolinda viand vyetu via ndani hatuwezi kukusanya kodi.” Mbunge wa Kisesa Mhe. Luhaga Mpina, leo wakati achangia bajeti ya Wizara ya Fedha ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/2025.
Endelea kuperuzi kwenye mitandao yetu ya kijamii @cloudstv @cloudsfmtz na akaunti ya RUclips “Clouds Media” kwa updates zote.
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates
Mpina ni mtu na nusu❤❤❤
Mpina🙌
The man himself. The living legend
mpina wewe ni true mbunge
Mh. Mpina tunakuombea Sana Sana na Mungu U pamoja nawe.
Mpina yupo kwa maslahi ya taifa
Huyu mwigulu ni mwiba kwa Taifa letu, na ni kansa inayowamliza watanzania.
Mpina ni mzalendo wa kweli.sema tu bunge la Sasa ni la vibogoyo
uyoo jamaa ni mwamba sana
Mh mpina hapo kwenye sukari,tuache kidogo,hivyo viwanda hua vinaficha sukari ili bei ipande,Serikali iendelee kutoa vibali kwa wanaowagiza sukari nje,hivyo viwanda wanaagiza sukari wanavyojisikia wao...hatujasahau sukari ilivyofika 5000 kwa kg,kutokana na hiyo sheria yenu mliyoitunga 2020
Mpina ndio mbunge bora kabisa kwa sasa yan anajielewa kuliko mijitu mingi humo ndani
Mifumo yetu ya uwajibikaji ni dhaifu mno...ukwapuaji hauwezi kukoma Kwa staili hii...jitihada za kudhibiti wakwepaji wa Kodi ziende sambamba na kudhibiti wafujaji wa Kodi za wananchi....nadhani pale kwenye Sheria mama kuna kitu kinatoa mianya hii....
Mwigulu ni hatari kwa Taifa. Mpina ni chuma
Mpina ndo mbunge pekee anafaa kupita bila kupingwa
Wewe nijembe ila mungu akuli de uzidi kuwachambua wezi hao
Ivi uyu mwigulu amekuwa kama nani apa nchini au munaiba nae ndio maana hamtaki kumtoa
Huyu mbunge mbele kaachia titi nje au hio nibrauzi mbna udenda wantoka😂
Nahofia usalama wako sizani kama wana ccm watakukuacha salama.
Huyu muigulu 😰
Ila nchi hii
Yani ao wafanyabiashara walipe madeni kwa pesa zetu?
Waziri agiza Acha na wachumia tumbo hawa
Mpina ww ninoma wengine wanasifiya tu
Wa tz wenye timamu wanakuelewa sana ila wana ccm wanao penda kusifia uozo wanakuchukia Mia mia mpina jembe sana mwamba
Mpina mwagama yakutosha
Mh,watakuelewa tu
Mpina kwa style hii hautaona Uwaziri
bora kawa uwaziri nikutosimamia haki bas sawa hatauona
Kuwa Waziri ukawa mpumbavu ni Bora kuwa Mbunge ambaye unatetea maslahi ya nchi.
Mbuge peke ake anaefanya kaz ili mlipakodi aone pesa inayolipa inafanya kaz
CCM KUNA WATU WAZURI LAKINI KUNA BAADHI NI MACHAWA WA WEZI NA WARUDISHA MAENDELEO YA TAIFA LETU LA TANZANIA
Ivi mpina alisoma nn, anaakl sn
You don't deserve to be in CCM. Wewe ni MTU hashwa
Mpina ni mtu na nusu
mpina on fire
1usd = 2609 Tsh😢 f*k
Asubui tu ilikua 2600 aaaf mama anapiga picha na msanii korea kusini uko dah