URUSI yadai Uchokozi wa MAREKANI na wenzie wa Magharibi unaweza kusababisha VITA vya NYUKLIA!

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 113

  • @silencekiller9651
    @silencekiller9651 Месяц назад +8

    Dunia inaend kuisha ipomwshon if russia will use nuclear😢😢

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td Месяц назад +3

    Pamoja san from 🇧🇮💐🌹 tuponanyi

  • @freddymukindikwa3644
    @freddymukindikwa3644 Месяц назад

    Kazimierz njema muchambuzi aside kuwa na upande ao kuegamia seems shukrani baking ivo usibadilike tupe abari kama lilivio asante.

  • @atutweve4160
    @atutweve4160 Месяц назад +7

    BASI DUNIA YOTE ITAISHA 🥹🥹🤲🏿🤲🏿🤲🏿MUNGU TUOKOE

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Месяц назад

    Pamoja san Dj sma

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад +5

    Nikwer kabisa izo zinaweza kuwa sababu ya vita tatu ya dunia..aya sisi wanyonge yetu macho..kwamana naona dunia inaenda mwisho..sisi yetu macho ..ila mungu atusimamie na atutetee sisi wanyonge

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Месяц назад

      Tutakufa dunia yote nyukria haibakizi kitu, kama nawaona wanaoshabikia siku hio wataomba toba kwanini hawakusambaza upendo na Amani kila walipoandika ushabiki,,,, MOTO UNAKUJA

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de Месяц назад +1

      Jaman dunia isifike mwisho mm bado sitaki kufa

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Месяц назад

      @@FerdinandCharles-ko7de 🤣🤣🤣🤣ndoivo waache washabikie wanadhani watabakia 🫣🙃

    • @jamilaathumani5481
      @jamilaathumani5481 Месяц назад

      @@FerdinandCharles-ko7de fanya ibada ..mrudie mungu wako Ili upate mwisho mwema na nusra..kwamana kufa nilazima no matter what

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Месяц назад +2

    Magharibi wakiongozwa na USA wametumia nguvu nyingi kujilinda ikiwemo NATO mwishowe hawana nguvu mbele ya Urusi, inakuwa ni aibu na wanaogopa kupoteza makoroni mengi na unyanganyi wa Mali duniani.

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Месяц назад +5

    Russia pia ipeleke Nyuklia kule Quba... Ili vitisho viwe sawasawa!!!

    • @user-jf7is4fk2v
      @user-jf7is4fk2v Месяц назад

      zipo kitambo nuklia huko cuba zinaangalia washington ndo maana anaigopa cuba

  • @godfreyalphonce5646
    @godfreyalphonce5646 Месяц назад +1

    My lord I wonder 😮

  • @bbng9475
    @bbng9475 Месяц назад +1

    Bbng lebo🔊🤝✌️🌹

  • @user-nu4xr6ik5n
    @user-nu4xr6ik5n Месяц назад +1

    Safi sana putin❤❤❤

  • @hudumablack9339
    @hudumablack9339 Месяц назад +5

    Urusi naye yuko mbioni kuwapa washirika wake Nuklia akiwemo Nchi ya Iran. Sasa dunia iko hatarini muda wote kuchomeka.

    • @user-wr6uz1rx1o
      @user-wr6uz1rx1o Месяц назад +3

      Wee hunaulijuwaloo Iran teari wanatengeneza wenyewee mabomuu

    • @user-jf7is4fk2v
      @user-jf7is4fk2v Месяц назад +3

      iran zipo muda mrefu

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 Месяц назад +2

      Wacha iwe itakavyokua.Marekani amezoea anataka atawale kila mtu😂

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Месяц назад +1

      ​@@rajabdibwa6415mmh kama nakuona na kopo lako la akili.. et acha iwe unadhani nuclear itadhuru sehemu Moja ? Tenainadsafisha Hadi huku wew ni choko Kweli 😅😅

    • @salimsacy6973
      @salimsacy6973 Месяц назад +2

      Iran anazo nyuklia mzee😂

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Месяц назад +1

    Ufaransa iende kwani wamefukuzwa naija wamefukuzwa mali wamefukuzwa seem nyingi tu ufaransa kama ipo tiali hiiende

  • @allyjuma9260
    @allyjuma9260 Месяц назад

    Kila la kheri putin hatutaki mashoga watupeleke watakavyo mungu wa mbinguni yupo nawe unaepambania haki🎉

  • @user-xo9we4yx1c
    @user-xo9we4yx1c Месяц назад +2

    Ukrein haitakiwi ijiunge na nato hio nato inajisogeza karibu na rassia iliilete nhuvu za kuingilia russia

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Месяц назад +2

    Wazungu hawajielewi zamu yao kupelekana Akhera kisa utawala wa dunia,, washapigwa kila kona na mrusi sasa imebaki chaguo lao moja tu vita waingie jumla,, apo ndo ttapata mademu wa kizungu tuwakanyage km walivotufanyia ndgu zetu Libya na afghastan

    • @ananiasjustice6840
      @ananiasjustice6840 Месяц назад

      Kwani urusi siyo wazungu ,Ni Waarabu au wachina? Urusi wenyewe wazungu pure

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Месяц назад

      Sijui Huwa unacoment Nini we mtu😅😅

  • @jamesgasper6764
    @jamesgasper6764 Месяц назад

    Naiona Ukraine ikipotezwa ktk ramani ya dunia

  • @mohamedmanga8391
    @mohamedmanga8391 Месяц назад +2

    Mbwa hawa wanapigana kwa group, Urusi piga nuklia.

  • @hukuUJERUMANI
    @hukuUJERUMANI Месяц назад

    This analyst (Ali Masubi) is more objective & pinpointed

    • @Aneth-sp6nw
      @Aneth-sp6nw Месяц назад +1

      Unlike some dj shouting in our ears

    • @hukuUJERUMANI
      @hukuUJERUMANI Месяц назад

      @@Aneth-sp6nw Absolutely 💯 . I find the other rather subjective.

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Месяц назад +1

    Akuna urusi lazima iangushwe tu lazima lazima kwani iliingia yenyew

    • @user-lv1ki7nn7t
      @user-lv1ki7nn7t Месяц назад +2

      Utaanguka wewe na nchi zako za mashoga wenzio kamwe na sio Russia hata siku Moja

    • @user-yw3qh6qj8g
      @user-yw3qh6qj8g Месяц назад

      Kwelikabisa

  • @DavidKinyua-oo9hg
    @DavidKinyua-oo9hg Месяц назад

    Dunia aitasomeka urusi die atagamisa kapisa

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML Месяц назад +5

    Ikitokea ndiyo vzur acha tufe kwa pamoja tu,nyie mnao ogopa kufa ndiyo wenye zambi nying anzen kuswali ss😅😅😅

  • @JuliusSenyael-ej6hg
    @JuliusSenyael-ej6hg Месяц назад

    Kyvu na kharakyivi imeondoka

  • @JuliusSenyael-ej6hg
    @JuliusSenyael-ej6hg Месяц назад +2

    Tu putin kaanza kunja minara muhim ii ni ngum akuna mtu wakumpiga mrusi kamwe bilion 60 za msahada azimshindi

    • @user-yw3qh6qj8g
      @user-yw3qh6qj8g Месяц назад

      Wewe hujui lolote,tuliauone

    • @JuliusSenyael-ej6hg
      @JuliusSenyael-ej6hg Месяц назад

      Hehehe WEWE unasema nitulie Mimi sio mshabiki ety tumuombe MUNGU aman lkn vingine tuache mana marekani mchezo kafeli MDA alizani mrusi ni iraq marekani ikivuka mstarinmwekundu amekwisha

    • @JuliusSenyael-ej6hg
      @JuliusSenyael-ej6hg Месяц назад

      Hehehe WEWE unasema nitulie Mimi sio mshabiki ety tumuombe MUNGU aman lkn vingine tuache mana marekani mchezo kafeli MDA alizani mrusi ni iraq marekani ikivuka mstarinmwekundu amekwisha

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Месяц назад

    Russia kashikwa pabaya, Iran ndie alikua big supplier wa sirahaa kutoka iran

  • @DavidKinyua-oo9hg
    @DavidKinyua-oo9hg Месяц назад

    Leo ampige niokilia kwanini alienda gusokasa ukrieni nakuiwekia vikwazo ichi uru kwani yeye ninani sukrani kwa Americans kwa msaanda kwa ukrieni

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 Месяц назад +1

    Maliza2 dunia baba dunia imejaa mashoga imejaa ukolon mambo leo haina usawq lipua baba

  • @DavidKinyua-oo9hg
    @DavidKinyua-oo9hg Месяц назад

    Urusi itadhombika kwjili ya bita NATO watamumbiga kamasadamu iraki

    • @TeamKilimanjaro2024
      @TeamKilimanjaro2024 Месяц назад

      Wewe unafikiri mrusi ni wakupiga tuu? Hakuna vita yoyote aliyepigana mrusi na hao wezi, urusi akashindwa.

  • @mwajumabinwa604
    @mwajumabinwa604 Месяц назад

    Guess what 2024,2025 WWIII inanukia kwambali

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Месяц назад +1

      Hakuna mtu hususani nchi za magharib ataingia kwenye vita ya dunia watu wamejenga chumi zao kubwa sana haya mambo ya vitisho na hadi kuelekezeana nyuklia hayakuanza Leo tokea 1960's.

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Месяц назад

    Marada ya urusi uko syria yame ripuliwa na israel

    • @user-lv1ki7nn7t
      @user-lv1ki7nn7t Месяц назад +1

      Wewe acha kudanganywa wewe shoga mkubwa na nchi zako za kishoga za magharibi kama haujui kitu kaa kimyaaaaa,mbwa wewe Russia unadhani ndio Libya au Iraq?acha ujinga urusi ana silaha hakuna nchi hata Moja ya kuifikia apa duniani na ni wataalamu wa vita hivi Sasa Wamepandisha mpaka satellite nuclear zao angani unadhani ni jambo dogo huyo bwanaako mmarekani unaemtegemea hata ujanja huo Hana bado kaa kimya kama haujui kitu

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Месяц назад

    Akuna wapambane naurusi ndio inawapa ujeuri watu wajinga wote duniani

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Месяц назад

    Putin afe

  • @atutweve4160
    @atutweve4160 Месяц назад +5

    YEYE NDO ANACHOKO CHOKO SABABU ANATAKA KUTAKE OVER EUROPE BUT WHY? Sio wajinga kusaidia Ukraine ni sababu akimaliza Ukraine ataaza nchi nyingine, nadhani dunia haijajua kwanini Magharibi wanajihami yule mtu sio mzuri 🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿MUNGU tusaidie kiukweli,

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 Месяц назад +3

      Huna akili wewe

    • @LumengeYondo
      @LumengeYondo Месяц назад +2

      yes

    • @binkomhesi9019
      @binkomhesi9019 Месяц назад +1

      Pole ndugu

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 Месяц назад

      @@liberatusjackson5045 wewe ni muongo Dunia imebadilika siyo unipolar tena ni matipolar, nchi zinahitaji kuwa huru siyo uhuru wakupangiwa hichi yes hichi no!

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Месяц назад +4

      Kumbe mrusi ndio alie fanya biashara Ya utumwa?
      Kumbe mrusi ndio aliangusha mabom Ya nukliya Heroshima na Nagasaki?
      Kumbe mrusi ndio alipinduwa na kumuuwa Kadafi?
      Kumbe mrusi ndio alileta vita Irak?
      Kumbe mrusi ndio anae dhamini vita Congo?
      Ebu soma vitabu ndugu yangu

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Месяц назад +3

    PUTIN JOKA LA KIBISA! UKRAINE WAPO MILIONI 55 TU RUSIA ZAIDI YA MILIONI 800,000 HAJAMALIZA VITA MIAKA MITATU!! Huu ndio MWISHO wa urusi mtaona!

    • @user-tm6gv9kp7v
      @user-tm6gv9kp7v Месяц назад

      Urusi anaweza kumlza vita ndan ya wiki1 tu akitumia nguvu yke yote ila Putin anatumia akili nyingi anatka kuonesha ulimwengu unafik wa nchi za magharibi na kwely amefanikiwa mna Tyr kwenye NATO Kuna MPASUKO mkubwa alaf anaionesha Dunia kuwa vikwazo vya marekani c chochte c lolte amefanikiwa pya pya LENGO kubwa zaidi ni ukrain kutokuwa mwana chama WA NATO pya amefanikiwa kwaiyo ww cjui unaongelea nn

    • @HamzaMbasha
      @HamzaMbasha Месяц назад +2

      Unachekesha yaani Ukraine ndoo inapigana na URusi si ingekuwa imeshaisha
      Hapo ni vita ya NATO na RUSIA
      Ukraine ni kama kachambo tuu..

    • @stevenlugojeremia2323
      @stevenlugojeremia2323 Месяц назад

      matukutajuma156 kama huwelewi kitu ni bora unyamaze tu, Hii Vita Ya Urusi na Ukraine imeenda kwa muda wa zaidi ya Miaka 2 kwasababu ya Mmarekani na NATO ambao ni Muungano wa zaidi ya nchi 30 kumsaidia Ukraine kimbinu, Vifaa vya kijeshi na kupeleka wanajeshi wao huko Ukraine 🇺🇦 lakini mbali na yote bado wanapewa kichapo na Mrusi kama Vile hawajielewi,, nikujuze tu Anae pigana kule Ukraine 🇺🇦 kwasasa hivi sio wa Ukraine 🇺🇦 bali ni Mmarekani na NATO yake ambayo ina washirika za nchi Zisizo punguwa 30..

    • @fakijecha
      @fakijecha Месяц назад +2

      Hh we hujambo kwel rusia hapigani na ukrane anapigana namataifa zad ya Saba ingekua ukran tu tunashamaliza shuhuli

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE Месяц назад +2

      kwa ushauri wangu ukapimwe akili unatatizo siyo kawaida kabisa

  • @user-gl7ko3zm2n
    @user-gl7ko3zm2n Месяц назад

    Urusi acha uonevu wa kijinga kuionea Ukraine utaraniwa bure na Mungu

    • @suleim505
      @suleim505 Месяц назад

      fuatilia vizuri sababu nini,, putin alishaonya na aliwataka wakae mezani wayamalize ila hawakuwa na chaguo 7bu mrusi kaqaharibia sana hasa afrika ambako ndiko kweny utajiri, washasanuka qaafruka, hvo wanahasira na mrusi hasswa😅

  • @BilioneaIbrahim-jt1ou
    @BilioneaIbrahim-jt1ou Месяц назад +2

    Urusi usitutiishe tumia nyuklia zako uone yatakayokupata sisi hutujaumbwa na wewe

  • @Adje244
    @Adje244 Месяц назад

    Wanao shadadia putin hawajui maana yavita 😢😢 anaua watu Ukraine for nothing tena innocent peoples😢

    • @ngadumbishi1405
      @ngadumbishi1405 Месяц назад +2

      Mbn Israel inaua watoto Palestina na uongei pumbavu 😣

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Месяц назад +1

      ​@@ngadumbishi1405hao waliyataka wenyewe na wanakumbatia Hamasi pamoja Ili kuwaficha Sasa kumbatia Hamasi ujue unajue unakufa wew na Hamasi wako uliowahifadh you 😅😅

    • @Abdoulyousouf
      @Abdoulyousouf Месяц назад +2

      ​@@annasolomon9855 Hata Ukraine alitaka kukumbatia magaidi ya nato ndo maana anapigwa kama ngoma ye na magaidi

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Месяц назад +1

      @@Abdoulyousouf hio Ukraine hainihusu kwani Mimi nimeongelea kuhusu Ukraine hapa loo🤣🤣🤣 yaani ukapimwe Afya ya akili Mimi nipo na Israeli mpaka kieleweke huyo wa Ukraine na aendelee nao tu .. sis msitugusie Israel yetu kabisa .. ulishaona asilimia ngapi watu wanaongea kuhusu hio nchi ni kwa uchache Sana isipokuwa tupo na Israeli...

    • @user-vj8eu7ih4k
      @user-vj8eu7ih4k Месяц назад +1

      Dah kumbe tz mashoga wako weng had ww na akil zako za panzi unashabikia Israel hakuna yesu pale inchi ya mashoga 😂😂😂 ile