🇹🇿 BASHUNGWA AWAWAKIA WAKANDARASI, "HAJAFIKISHA 60% ASIPEWE KAZI NYINGINE.." TANROADS WAAGIZWA HAYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 4

  • @bongo39
    @bongo39 11 месяцев назад +1

    Hao viongozi ndio wapigaji kuna 10% zao hapo miaka 5 kwa kilomita 40 ni aibu kubwa ondoa kazi msiwapetipeti hao majambazi kama vile wezi majambazi mnawaua mna wachoma moto hata hso pia wachomwe moto hawana tofauti na majambazi

  • @adammj6258
    @adammj6258 10 месяцев назад +1

    Anaempa hizo kandarasi ni nani??

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu3036 5 месяцев назад

    Hivi mnawatoa wapi hao wakandarasi. Ni aibu kwa wanaosimamia. Uadilifu umekwisha

  • @adammj6258
    @adammj6258 10 месяцев назад +1

    Anaempa hizo kandarasi ni nani??