Hongera sana kijana wetu waziri bashungwa ktk usimamizi wa miradi ya kitaifa na pia tunampongeza sana kaimu meneja wa tanroad dodoma injinia Colman Gaston Kwa uzalendo wake wa kujituma kusimamia miradi hii ya kitaifa Kwa weledi mkubwa hongera sana Kwa kweli waziri bashungwa anapaswa kumuangalia huyu na kijana na kuwa meneja kamili badala ya kaimu Ili kumpa motisha na Ari ya kufanya kazi
Katika wazir mzigo ni huyu mama kwann unamlea bashungwa utendaji hamna kitu kila siku yupo mitandaon kutuma video barabara zinapigwa zipo chini ya viwango
Hongera sana kijana wetu waziri bashungwa ktk usimamizi wa miradi ya kitaifa na pia tunampongeza sana kaimu meneja wa tanroad dodoma injinia Colman Gaston Kwa uzalendo wake wa kujituma kusimamia miradi hii ya kitaifa Kwa weledi mkubwa hongera sana Kwa kweli waziri bashungwa anapaswa kumuangalia huyu na kijana na kuwa meneja kamili badala ya kaimu Ili kumpa motisha na Ari ya kufanya kazi
Bashungwa atolewe tu anakugharimu mama samia
Tuonyesheni pia picha za mradi ulipofikia sio maneno pekee
Angepewa Nyanza bila shaka mradi ungeshaisha tena kwa kiwango
Barabara ya mzunguko dodoma imefikia wapi??
Unasomewa tu risala kama amelipwa kwa nini mradi uwe asilimia hizo? Tembea na wataalamu wako mheshimiwa ujionee mwenyewe mbo mzunguko mdogo tu.
Mbona hatuoni picha ya mradi wenyewe 😢
Jinga hawa
Katika wazir mzigo ni huyu mama kwann unamlea bashungwa utendaji hamna kitu kila siku yupo mitandaon kutuma video barabara zinapigwa zipo chini ya viwango
Na balabala za watembea Kwa miguu mbona Hakuna na kuwekwe lakini ya baisekeri na Pikipiki
Bashungwa atolewe hajielew
Wewe ndiye unayefaa kwenye hiyo nafasi Kama akitolewa😮😮
Wewe ndio hujielewi
@@modestwenceslaus9 mirad mingi ya barabara imemshinda wakandarasi wanafanya wanavyotaka