MRADI WA BARABARA ZA LAMI MZUNGUKO WA NJE DODOMA SEHEMU YA KWANZA KM 52.3 WAFIKIA ASILIMIA 70.28

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 14

  • @OmaryBurra-og6fb
    @OmaryBurra-og6fb 8 месяцев назад +1

    Hongera sana kijana wetu waziri bashungwa ktk usimamizi wa miradi ya kitaifa na pia tunampongeza sana kaimu meneja wa tanroad dodoma injinia Colman Gaston Kwa uzalendo wake wa kujituma kusimamia miradi hii ya kitaifa Kwa weledi mkubwa hongera sana Kwa kweli waziri bashungwa anapaswa kumuangalia huyu na kijana na kuwa meneja kamili badala ya kaimu Ili kumpa motisha na Ari ya kufanya kazi

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 8 месяцев назад +1

    Bashungwa atolewe tu anakugharimu mama samia

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 8 месяцев назад +1

    Tuonyesheni pia picha za mradi ulipofikia sio maneno pekee

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 8 месяцев назад

    Angepewa Nyanza bila shaka mradi ungeshaisha tena kwa kiwango

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 8 месяцев назад

    Barabara ya mzunguko dodoma imefikia wapi??

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 8 месяцев назад

    Unasomewa tu risala kama amelipwa kwa nini mradi uwe asilimia hizo? Tembea na wataalamu wako mheshimiwa ujionee mwenyewe mbo mzunguko mdogo tu.

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 8 месяцев назад

    Mbona hatuoni picha ya mradi wenyewe 😢

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 8 месяцев назад

    Katika wazir mzigo ni huyu mama kwann unamlea bashungwa utendaji hamna kitu kila siku yupo mitandaon kutuma video barabara zinapigwa zipo chini ya viwango

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 8 месяцев назад

    Na balabala za watembea Kwa miguu mbona Hakuna na kuwekwe lakini ya baisekeri na Pikipiki

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 8 месяцев назад

    Bashungwa atolewe hajielew

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 8 месяцев назад

      Wewe ndiye unayefaa kwenye hiyo nafasi Kama akitolewa😮😮

    • @dullahomar6377
      @dullahomar6377 8 месяцев назад

      Wewe ndio hujielewi

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 8 месяцев назад

      @@modestwenceslaus9 mirad mingi ya barabara imemshinda wakandarasi wanafanya wanavyotaka