Magufuli marehemu amefanya kazi nyingi sana kwa mda aliotutawala, amewezesha kuhamisha makao makuu ya serikali, aka"repair" reli zote za zamani, akafanya shule zote za secondary ziwe za kidato cha inne, amelazimish kila mtoto wa 🇹🇿 Tanzania awe anamaliza kidato cha inne. Pia akanzisha project ya SGR na mradi wa umeme kabla hajatoka duniani! Binadamu wa aina hiyo atakumbukwa milele!
@@oklahommy9838we ndio bule kabisaa wakati unajua kabisaa miradi yote ni mwendo wa Kinyonga na wengine ndio kwanza wanaropoka mchana kweupee eti hata bwawa likiisha umeme hautopungua bei alafu ndio mseme mna upiga mwingi?😂😂 wacha tuseme tu RIP mzee baba Magufuli 😢😢😢
God bless Tanzania and this project. Erland Hillby, Uppsala Sweden
Amen🙏
Magufuli marehemu amefanya kazi nyingi sana kwa mda aliotutawala, amewezesha kuhamisha makao makuu ya serikali, aka"repair" reli zote za zamani, akafanya shule zote za secondary ziwe za kidato cha inne, amelazimish kila mtoto wa 🇹🇿 Tanzania awe anamaliza kidato cha inne. Pia akanzisha project ya SGR na mradi wa umeme kabla hajatoka duniani! Binadamu wa aina hiyo atakumbukwa milele!
Very beautiful, I was part of this great Work (🇧🇷🌎🇹🇿)
Magufuli hoyeeee. Hapo si uuzaji wa bandari
Big up magufuli
Tutakukumbuka baba
Rip jp magufuli ❤️
Mzimu wa mwamba utaendelea kuwatafuna timu mzoga
Wangese sana na chuma kingekuwepo tayari kingeshareweka!
Bila Magufuli hili lisinge wezekana.
Haswaaaaa
Wengine ni kuuza bandari tu
Na bila samia mradi usingeendelea na unalijua hilo
@@oklahommy9838we ndio bule kabisaa wakati unajua kabisaa miradi yote ni mwendo wa Kinyonga na wengine ndio kwanza wanaropoka mchana kweupee eti hata bwawa likiisha umeme hautopungua bei alafu ndio mseme mna upiga mwingi?😂😂 wacha tuseme tu RIP mzee baba Magufuli 😢😢😢
Kazi bubua tena nzuri
brave elsewedy electric psp her from tz tz tz