Na hii ikawe funzo Kwa stand up comedians wote wa TZ, comedy unatunga, Unaandika kama unavyotunga nyimbo pia kuna mda una freestyle ,comedians wa Kenya wako way far from ours ni kitu cha kujifunza kutoka kwao stand up comedy Sio kupanda stejin na kutuhadithia memes
Mpaka leo hamjui kuconnect sauti inayotoka kwenye mixer na video ili muwe na good sound jamani. Mbona nyie wakubwa tayari jifunzeni video za churchill na sound zake
Mshikaji aliyevaa kanzu hapo mbele 11'45'' yupo wrong place kabisa - una muda wa kuchat kwenye simu wakati Prof Hamo yupo on the stage na hatujui atarudi tena lini Bongo kuchekesha ! Daaaamn
Prof Hamo huwa "hafanyi makosa" apatapo jukwaa. Namkubali kama ninavyowakubali pia Kapteni Otoyo, Adhis Jojo, Mammito na MCA! Asanteni kwa kumleta Bongo!
Kenya mpo vzr nakubali Nadhani comedian wetu wanajifunza and soon watakuwa vzr zaidi ya walipo Sasa . Thanks ndugu zetu Wakenya kwa kushirikiana nasi kukuza Cheka tu
We know what makes us laugh. Na Tanzania hatuhitaji kuchekeshwa ili tucheke maana hata tusipochekeshwa tuna Furaha. Kwa hiyo Kenya you need a lot of energy to make someone laugh in Tanzania you need only a person to laugh... Labda mje tukufundisheni what it means to make someone laugh. But anyway we will take that as a compliment 😊😊
Brother unafanya vizuri sana asante kwa kutufanya tuingeze maisha kwa vicheko, sasa if possible chukulia voice kwenye mixer moja kwa moja itapendeza zaidi sana. Umetisha sana coy
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🔥🇹🇿🇰🇪🇰🇪🔥*
Coy hongera sana unapush sana stand up comedy Ila fanyieni maboresho zaidi katika sound engineering, na maiki za kushika zinachosha sana mpaka mchekeshaji kumalizia segment
Hongera kwa kumleta hamo,ntakuja cheka tu sababu ya kuwepo watu kama hawa wanajuwa kuchekesha ukienda lazma ucheke,nasubiri PR kuria,mamito,MCA,Teacher wanjiku,teacher mpamire,Jessy na kansiime,tz jifunzen kwa hawa kiukwel wanajuwa
Hii ndio stand up comedy Sasa ushauri wangu kwa cheka tu Cha kwanza waangalie sound mic zao Kama Zina kelele Fulani pia waangalie swala live band wakati fanani anachekesha mwisho background ya stage waiboreshe
wapi likes za wakenya ??
let's
Tz hamuezi barikiwa na vyote mziki mzuri lkn ikija kw ucheshi kenya ndio kusema Kenya sihami jamani i love my country🇰🇪
Eeeh tucheke tuongeze siku miziki tunaeka lullaby 🇰🇪🇰🇪
Skia hawa😂
Hata Mimi nimecheka😅😅😅@@daimonjohn6042
Huyu jamaa ni mchekeshaji kweli kweli. Kenyans kwa comedy wako juu sana tz tuna kubali🇹🇿
Na hii ikawe funzo Kwa stand up comedians wote wa TZ, comedy unatunga, Unaandika kama unavyotunga nyimbo pia kuna mda una freestyle ,comedians wa Kenya wako way far from ours ni kitu cha kujifunza kutoka kwao stand up comedy Sio kupanda stejin na kutuhadithia memes
Qabiisa
Tutafka tu lkn
Kufika ningumu maana hata huyo koi hajifunzi
Mpaka leo hamjui kuconnect sauti inayotoka kwenye mixer na video ili muwe na good sound jamani. Mbona nyie wakubwa tayari jifunzeni video za churchill na sound zake
SIO KUPENDA KWETU WAKENYA, NI TALANTA
Mshikaji aliyevaa kanzu hapo mbele 11'45'' yupo wrong place kabisa - una muda wa kuchat kwenye simu wakati Prof Hamo yupo on the stage na hatujui atarudi tena lini Bongo kuchekesha ! Daaaamn
Oya koy mzungu mleteni MC TRICKY 😂
Watanzania hawawezi kumuelewa tricky.. ni tricky Sana. 😅
Kwenye standup comedy wakenya shikamoo
hawa ni kiboko wakenya noma
Hongereni
Prof Hamo huwa "hafanyi makosa" apatapo jukwaa. Namkubali kama ninavyowakubali pia Kapteni Otoyo, Adhis Jojo, Mammito na MCA! Asanteni kwa kumleta Bongo!
Uko na huku mura?
Jamaa anajua Sana, east Africa tunaishi kwa upendo, Kenya Ni ndugu zetu
Chukuen sound moja kwa moja kutoka kwenye mixer, sio ya kwenye camera , This thing will will be superb 🔥🔥🔥🔥
Word
Coy, chukua huyu jamaa ndani ya timu yako.
Huyo mwenye kanzu hapo vip ana shida kubwa kuliko talanta yako🤣🤣kauzu sana
Accent ya wakenya tu comedy tosha
Hawa watu tajiri ujifanya sana sasa uyo baba amekaa mbele ata haoni kitu funny
Proff. Hamo uko juu sana.❤❤❤❤❤
😂😂😂😂 the guy is naturally funny, alichekesha hadi Jemutai😂😂😂
Kenya for comedy Tanzania for music.
Very true 🙌🙌🇰🇪🇰🇪❤
Kweli Kenya mpo vizuri,,, Prof hamo na kena
I approve this
Kila mtu ni mcheshi 254 alafu Tz ata mtoto mdogo anaweza imba❤️❤️
Mchekeshaji nnaemkubali kwasana kenya
Prof..kiboko yao wote..hongera sana brother Coy kwa kutuletea hawa jamaa..
Kenya mpo vzr nakubali
Nadhani comedian wetu wanajifunza and soon watakuwa vzr zaidi ya walipo Sasa .
Thanks ndugu zetu Wakenya kwa kushirikiana nasi kukuza Cheka tu
Mchekeshaji wangu bora kabisa wa muda wote wa Afrika Mashariki wa komedi ya jukwaani
Comedian wa Kenya wote ni wanajua vibaya jamani daah
Kenyan wanaenjoy sana kua na uyu jamaa anajuaa saana
Professor hamo! Noma Sana huyu mtu! Ghafla amenikumbusha Churchill show! Nimeimiss mbaya!
Daaaah!!! Huyu Jamaa ni noma aiseeee😅😅🤣🤣🤣🤣😂
Kenya comedians are the lessons for Tanzanian comedians .. keep learning from them Cheka tu.
Only Proffesor
Tunaomba uweze kuhudhulia show moja wapi uone kwa karibu uwezo wao kwa sasa.
Hahaha nothing unachowe,a ni kuponda tu
@@deboraezekiel784 🙏🙏🙏
We know what makes us laugh. Na Tanzania hatuhitaji kuchekeshwa ili tucheke maana hata tusipochekeshwa tuna Furaha. Kwa hiyo Kenya you need a lot of energy to make someone laugh in Tanzania you need only a person to laugh... Labda mje tukufundisheni what it means to make someone laugh. But anyway we will take that as a compliment 😊😊
Fundi mitambo bado hajaweza kukadiria sauti
Huyu jamaa kichwa yaan matukio anakutana nayo hapo hapo na anayatengezea move.
Creativity yani Ubunifu
Kumchekesha mtanzania ni kazi nyingine isee
Bado Jemutai...jibambe
Mlete na mc Jessy
Ashawai kuja on July tafuta utaona show yake
Asanteni sana. Naomba mumlete MCA TRICKY pia
I like it, ila fanyien kazi iyo sound . Make it more viable and superb
Kweli kiongozi
Jamaa ni mkali sana 😂😂😂
So good
Tanzanian comedian kipo cha kujifunza
Please Coy....huyu jamaa ukimleta tarehe 29 nitalipia mara mbili ya kiingilio
Sauti iko chini sana
Boresheni tunasikia vicheko zaidi ya mchekeshaji
I agree Kenya for comedy Tanzania for music 😂😂😂🇹🇿
Kama umemjua aliepeana mkono na prof hamo ni denzel trainer wa alikiba gonga like
Huyo anae chat na kamzi itskuwa ni kiziwi au habari xa yesu zimememeenguza
Hii ndio video Kali sana kwa hii channel edit sound vizuri then you upload na visehemu
Respect madevu I believe you
Huyu jamaa miaka ming kwake
Thank you prof. Hamo for teaching them how comedy iz den keep learning from hamo cheka tu
Nimependa umahiri wako kwenye kiswahili. Umejitahidi sana kuendana na hadhira yako.
Kenya comedy 🙌🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Chekatuu mnafeli kwenye sound engineering sound quality ni mbovu
Mtakalishwa na kina leornard na eliud
😂😂😂Kali sana, a boy from 254 watching this from Qatar Doha Mlete na Terence Creative na Nasra tucheke zaidi
Wapi wachagaa😁
DJ show nzima hakuna effects hata mmmmh
Dj kazingua kinoma
Daah nimecheka yote🤣🤣🤣🤣
Kenyan legend. Even if he's seriously speaking (comedy and jokes aside), I'll always laugh 😅
Wachaga what🤣🤣🤣🤣🤣
Our Kenyan Professor wapi chemu
30 min straight. Hats off Professor
Muwe mnatoa sauti kutokea kwa mixer koi zingatia maana sauti inakuwa ndogo mpaka tuvae headphone ila prof mkali sana
Nampenda sana professor. Mlifnya vema kumu invite
🤣😂harmo bana....but this video has a poor sounds.Kindly work on that...am happy to see my fellow Kenyans doing well out side Kenya 👍👏👏
Prof. Hamo anajua sana aiseee...!!!
yule jamaa wa kanzu nyeupe hajawahi kufurahi maishani😹😹
Tuna la kujifunza Tz stand-up comedianz
Cku moja mualikeni teacher wanjiku nampenda sana.
Plz unganisheni microphone na camera jaman. Sauti inasikika kwa shida
Hamo Killed the show
Amo hapa uliweza. Iko fine thank you
From Kenya 🔥🔥🔥
Hamo kama hamo
Nakupenda tu bure AMO!!!
Prof Harmo we love you, Tanzanian tunakupenda sana
Hajawahi kuniangusha
Brother unafanya vizuri sana asante kwa kutufanya tuingeze maisha kwa vicheko, sasa if possible chukulia voice kwenye mixer moja kwa moja itapendeza zaidi sana. Umetisha sana coy
This Guy is a LEGEND,...Hands Up Professor
Q
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🔥🇹🇿🇰🇪🇰🇪🔥*
Prof umerogwa
Ww jamaaa ninoma cna 😂😂😂😂😂👐👐👐👐
Sitaki kulipwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤️
Sound engineer umetulet down but Cheka Tu are coming i see very soon you are going to conquer Churchill
Mtu anafanya uchesh kwa nusu saa nzima,waTanzania mjifunze
Sauti ni shida haisikiki vizur fanyien kazi hlo
😄😄😄🤣🤣🤣🔥🔥🇹🇿🇹🇿
Soun mbovu aisee,😀ila Prof Hamo anajua hadi anakera kabisa🔥🔥
Sound yenu kama bado ijawa improved kuna echo fanyieni kazi upande wa sound
Coy hongera sana unapush sana stand up comedy Ila fanyieni maboresho zaidi katika sound engineering, na maiki za kushika zinachosha sana mpaka mchekeshaji kumalizia segment
Ahsante sana na tunalifanyia kazi karibu kwenye show hii uone maboresho live.
Hahahàahaahaaha huyu kweli professor 😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kabisaaa
Hamo wetu.umeweza🥰😍😍😍
Hongera kwa kumleta hamo,ntakuja cheka tu sababu ya kuwepo watu kama hawa wanajuwa kuchekesha ukienda lazma ucheke,nasubiri PR kuria,mamito,MCA,Teacher wanjiku,teacher mpamire,Jessy na kansiime,tz jifunzen kwa hawa kiukwel wanajuwa
Good job Prof Hamo.kazi safi sana
Huyu noma professor
One of the best comedian.
Kenya we're the best
Wachaga
Amo na wachaga,🤣🤣😂🤣🤣
Wachaga
Hii ndio stand up comedy Sasa
ushauri wangu kwa cheka tu Cha kwanza waangalie sound mic zao Kama Zina kelele Fulani pia waangalie swala live band wakati fanani anachekesha mwisho background ya stage waiboreshe
Huyu ni hatari
Safi sana. Amepiga msuli kujifunza kuhusu Tanzania na utamaduni ndo akafanya jokes.
Top
My favorite comedian i appreciate in East African nakuelewanga sana hamo
Professor 🥰🥰🥰🥰.....
Finally on stage ❤❤❤