Story Za Watu Wa Yues Na Vile Pombe Imewamess
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Pombe Yues ni cheap na ni tamu zaidi. Leo nawapigia story ya vile Pombe imemess watu hapa. Makinika!
Tips by CashApp - $owengithanga
Instagram - ...
Tiktok - www.tiktok.com...
Twitter - ow...
Email for Endorsement- thekenyamericanhome@gmail.com
#thekenyamericanhome #lifeintheus #usa #lifeinamerica #lifeintheusa #watuwangu #swahili #kenya #kenyansinamerica #kenyanyoutuber #eastafrica #tanzania #uganda #viral #foryou #breakingnews #secret #truth #truthtelling #expose #exposed #america #immigrants #immigration #trending #trend #trendingvideo #wanaume #wanawake #pombe #alcohol #alcoholism #alcoholabuse #alcoholproblem #dui #drunkdriving #drunkdriver
Kenyan Men In The US - Wale Wa Kulewesha Madem Wanalala Nao - ruclips.net/video/7AquRuonz2M/видео.html
tunakupa kutoka Tanzania unawakilisha vema East Africa
Shout out from Hargeisa, Somaliland.
Bro you’re a good story teller keep it up 💯💯
Noma sana,huko ni different compared na Kenya basi afadhali kubeba pombe hadi kejani basi ukunywe huko. Thanks kazi fiti 👊🏾
Unakaa kama no nonini joo ....
Nice jobo
Content safi... Brutal honesty.... Pretty sad reality😢😢😢 Fombe ikikataa tukubali ili tuishi. Big up bro.
After 5 years wakenya mtakuwa kama Nigerian kwa scandal huko abroad
Kabisa brother.. Thanks for appreciating your subscription gang
awesome content bro....shukran
SHUKRAN SANA very Educative ❤
America ina Tisha am an interpreter nilipata case kotini ya jamaa alifanya accident na mtoto sasa ana chargiwa na manslaughter juu kamtoi alikufa Kwa hiyo accident alafu makosa yake ni Mtoto akuwa amefunwa seat belt Kwa car seat double tragedy umelose Mtoto na uko na kesi sasa 😢 US weeeh
This is amazing and sad at the same time..kudos bro
Thanks for the information.....I thank God mimi ni team #kahawa#😂
Wueh! Mi naona kile pombe inafanyia mtu and it’s so sad.
I love your honesty
Great content. Enyewe pombe sio soup 😥 one has to be highly cautious 🙏🏾.
nice one. Tafuta @joendutitv mfanye collabo, you both are perfect story tellers.
Uko real Sana kaka mkubwa one love Bro
Amazing classic
Good content and advice..
😢😢 I know people aki. Stay away from wine and alcohol. Thise two will mess your life.
unaeza Fanya ya norway
So educative,new subscriber
Nashukuru kwa content kibao bro, learning alot
Very nice information
Good to see you bro,ulirudi na samaki from Atlantic ocean?
Okey.
Drink responsively.
I see the importance now
Don't drink and drive
keep them coming
Thank you bro appreciate
Video ya story yako ya gauge ulisema utatoa lini?
"John Doe" sad!
thanks bro
Iyo stuff inaharibu sana apa majuu nko Qatar bro na wakenya wanakua deported baya sana apa,😮in short next week 2 guys wanahome
Mung'ei
@@johnnjuguna1597 😂 haha ndo iyo Sasa inatuma jeshi uku isonge deportation baya
By the way, walami huoa walami wenzao wakiwa hata na watoi pia ama wanaoa tu waafrika na watoi?
Ningependa kusikia story yako ya pombe. Uliingiaje kwa pombe huko US na vile God alikuonekania kwa embassy with your powerful testimony? Uli backslide at some point?
Muhimu ni as the lost sheep Jesus alienda kumsave tena
Pombe ni pombe hakuna value hu add kwa life...
Good stuff bro
Good you came out of Alcohol
ALCOHOLISM IS A REAL PROBLEM ESPECIALLY AMONG THE DIASPORANS. FAMILY/FINANCIAL/JOB PRESSURE...HAS BECOME UNBEARABLE TO MANY PEOPLE!
True story. We sweep it under the rag.
Huyo jamaa amecause accident ako na bahati, imagine kama angekuwa Kenya angekuwa ameshauliwa na mob justice.
Uongo
vipi hebu nichanue kuhusu kansas,cost of living na job opportunities
Your information is worth my time 😂
Ukweli mtupu. Truth be told 🤔
Shukran bro,,,,vipi naweza contact? Shukran
Man wazi kwa kutuchanua
Poleni.who is he????
huko story ya guns niaje fanya vida ya guns and gun control and laws thanks
Usijaribu kwenda USA Utapigwa Risasi
@@Kibe_Ni_malaya siwezi jaribu
So unisave na ten dollars
Gacheri uka
maze hio ni noma, na wewe unywi
Noma sana
JOHN DOE
I've liked. I've subscribed.
I have a B2 visa. Help with a host needed. Am willing to pay a reasonable fee for my stay.
When arrested and jailed as kenyans are you deported
Depends on the severity of the crime.
Sema tukuskie domokaya 😂
Pombe ya majuu ni tamu na ni cheap wacha katambe we only live once 😂
Kaende kaende😂😂