Story Za Watu Wa Yues Na Vile Pombe Imewamess

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Pombe Yues ni cheap na ni tamu zaidi. Leo nawapigia story ya vile Pombe imemess watu hapa. Makinika!
    Tips by CashApp - $owengithanga
    Instagram - ...
    Tiktok - www.tiktok.com...
    Twitter - ow...
    Email for Endorsement- thekenyamericanhome@gmail.com
    #thekenyamericanhome #lifeintheus #usa #lifeinamerica #lifeintheusa #watuwangu #swahili #kenya #kenyansinamerica #kenyanyoutuber #eastafrica #tanzania #uganda #viral #foryou #breakingnews #secret #truth #truthtelling #expose #exposed #america #immigrants #immigration #trending #trend #trendingvideo #wanaume #wanawake #pombe #alcohol #alcoholism #alcoholabuse #alcoholproblem #dui #drunkdriving #drunkdriver

Комментарии • 67

  • @TheKenyanAmericanHome
    @TheKenyanAmericanHome  Год назад

    Kenyan Men In The US - Wale Wa Kulewesha Madem Wanalala Nao - ruclips.net/video/7AquRuonz2M/видео.html

  • @Sadi_Tv
    @Sadi_Tv Год назад +4

    tunakupa kutoka Tanzania unawakilisha vema East Africa

  • @Guled3
    @Guled3 Год назад +2

    Shout out from Hargeisa, Somaliland.

  • @aubreywebbie6505
    @aubreywebbie6505 Год назад +5

    Bro you’re a good story teller keep it up 💯💯

  • @kennethjohn4588
    @kennethjohn4588 Год назад +3

    Noma sana,huko ni different compared na Kenya basi afadhali kubeba pombe hadi kejani basi ukunywe huko. Thanks kazi fiti 👊🏾

  • @kengakuozaran
    @kengakuozaran Год назад +3

    Unakaa kama no nonini joo ....
    Nice jobo

  • @josephkangethe8745
    @josephkangethe8745 Год назад +2

    Content safi... Brutal honesty.... Pretty sad reality😢😢😢 Fombe ikikataa tukubali ili tuishi. Big up bro.

  • @joejoshua7791
    @joejoshua7791 Год назад +4

    After 5 years wakenya mtakuwa kama Nigerian kwa scandal huko abroad

  • @africasightwalktravels1875
    @africasightwalktravels1875 Год назад +1

    Kabisa brother.. Thanks for appreciating your subscription gang

  • @bensonmuthuri1870
    @bensonmuthuri1870 Год назад +1

    awesome content bro....shukran

  • @bensonculture2947
    @bensonculture2947 Год назад +3

    SHUKRAN SANA very Educative ❤

  • @jeddynduta4049
    @jeddynduta4049 Год назад

    America ina Tisha am an interpreter nilipata case kotini ya jamaa alifanya accident na mtoto sasa ana chargiwa na manslaughter juu kamtoi alikufa Kwa hiyo accident alafu makosa yake ni Mtoto akuwa amefunwa seat belt Kwa car seat double tragedy umelose Mtoto na uko na kesi sasa 😢 US weeeh

  • @MurreyEphraim
    @MurreyEphraim Год назад +2

    This is amazing and sad at the same time..kudos bro

  • @martinezagustavo409
    @martinezagustavo409 Год назад +1

    Thanks for the information.....I thank God mimi ni team #kahawa#😂

  • @floridalubanga299
    @floridalubanga299 Год назад +1

    Wueh! Mi naona kile pombe inafanyia mtu and it’s so sad.

  • @mutongajr
    @mutongajr Год назад +1

    I love your honesty

  • @joyobessa1364
    @joyobessa1364 Год назад

    Great content. Enyewe pombe sio soup 😥 one has to be highly cautious 🙏🏾.

  • @TechGeek254
    @TechGeek254 Год назад +2

    nice one. Tafuta @joendutitv mfanye collabo, you both are perfect story tellers.

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 Год назад

    Uko real Sana kaka mkubwa one love Bro

  • @ronaldmaseje8114
    @ronaldmaseje8114 Год назад

    Amazing classic

  • @Cyprian_infomer
    @Cyprian_infomer Год назад +1

    Good content and advice..

  • @geoffrey6420
    @geoffrey6420 Год назад

    😢😢 I know people aki. Stay away from wine and alcohol. Thise two will mess your life.

  • @aquinnasmuya
    @aquinnasmuya Год назад

    unaeza Fanya ya norway

  • @teclawanjiru7211
    @teclawanjiru7211 Год назад

    So educative,new subscriber

  • @its_momanyi
    @its_momanyi Год назад

    Nashukuru kwa content kibao bro, learning alot

  • @davidnjathi6961
    @davidnjathi6961 Год назад

    Very nice information

  • @vincent_otieno
    @vincent_otieno Год назад +1

    Good to see you bro,ulirudi na samaki from Atlantic ocean?

  • @thomasmusani7948
    @thomasmusani7948 Год назад

    Okey.
    Drink responsively.
    I see the importance now

  • @IreneGitaka
    @IreneGitaka 9 месяцев назад

    Don't drink and drive

  • @thatguyking1743
    @thatguyking1743 Год назад

    keep them coming

  • @mossikwizera9265
    @mossikwizera9265 Год назад

    Thank you bro appreciate

  • @hezrontarus7107
    @hezrontarus7107 4 месяца назад

    Video ya story yako ya gauge ulisema utatoa lini?

  • @jeanfrancaise
    @jeanfrancaise Год назад +1

    "John Doe" sad!

  • @antiquebrands3815
    @antiquebrands3815 Год назад

    thanks bro

  • @SamuelMusembi-qg7uj
    @SamuelMusembi-qg7uj Год назад +1

    Iyo stuff inaharibu sana apa majuu nko Qatar bro na wakenya wanakua deported baya sana apa,😮in short next week 2 guys wanahome

  • @elinahnjeri376
    @elinahnjeri376 Год назад +1

    By the way, walami huoa walami wenzao wakiwa hata na watoi pia ama wanaoa tu waafrika na watoi?

  • @barakablessings7291
    @barakablessings7291 Год назад +2

    Ningependa kusikia story yako ya pombe. Uliingiaje kwa pombe huko US na vile God alikuonekania kwa embassy with your powerful testimony? Uli backslide at some point?

    • @ethanbrian2022
      @ethanbrian2022 Год назад +3

      Muhimu ni as the lost sheep Jesus alienda kumsave tena

  • @mutongajr
    @mutongajr Год назад +1

    Pombe ni pombe hakuna value hu add kwa life...

  • @BasicComputingChannel
    @BasicComputingChannel Год назад

    Good stuff bro

  • @kamaumwenjerwa7032
    @kamaumwenjerwa7032 Год назад

    Good you came out of Alcohol

  • @kenyaningermany
    @kenyaningermany Год назад +2

    ALCOHOLISM IS A REAL PROBLEM ESPECIALLY AMONG THE DIASPORANS. FAMILY/FINANCIAL/JOB PRESSURE...HAS BECOME UNBEARABLE TO MANY PEOPLE!

  • @abduljabbarmohammed4188
    @abduljabbarmohammed4188 Год назад +1

    Huyo jamaa amecause accident ako na bahati, imagine kama angekuwa Kenya angekuwa ameshauliwa na mob justice.

  • @batejerezadominic6805
    @batejerezadominic6805 Год назад

    vipi hebu nichanue kuhusu kansas,cost of living na job opportunities

  • @princekelvin5588
    @princekelvin5588 Год назад

    Your information is worth my time 😂

  • @mbuingure
    @mbuingure Год назад

    Ukweli mtupu. Truth be told 🤔

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb Год назад

    Shukran bro,,,,vipi naweza contact? Shukran

  • @arthurochieng9484
    @arthurochieng9484 Год назад

    Man wazi kwa kutuchanua

  • @mulidaniel7367
    @mulidaniel7367 Год назад

    Poleni.who is he????

  • @clementwachira3915
    @clementwachira3915 Год назад +1

    huko story ya guns niaje fanya vida ya guns and gun control and laws thanks

  • @carolinegacheri5241
    @carolinegacheri5241 Год назад +1

    So unisave na ten dollars

  • @Kengele
    @Kengele Год назад

    maze hio ni noma, na wewe unywi

  • @UNCLEMULI123.
    @UNCLEMULI123. Год назад

    Noma sana

  • @mugendimwaniki9349
    @mugendimwaniki9349 Год назад

    JOHN DOE

  • @wamamasoma1536
    @wamamasoma1536 8 месяцев назад

    I've liked. I've subscribed.
    I have a B2 visa. Help with a host needed. Am willing to pay a reasonable fee for my stay.

  • @adasadas6479
    @adasadas6479 Год назад

    When arrested and jailed as kenyans are you deported

  • @Future88746
    @Future88746 Год назад

    Sema tukuskie domokaya 😂

  • @lang6626
    @lang6626 Год назад +3

    Pombe ya majuu ni tamu na ni cheap wacha katambe we only live once 😂