FATMA KARUME AMJIA JUU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI/MNATUDANGANYA/MAKONDA ANATOA HUKUMU PAPO HAPO..
HTML-код
- Опубликовано: 3 фев 2025
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Ahsante, umesema vizuri sana na nimefurahi zaidi kwamba kwa mbali unamkumbuka Mungu, Alhamdullillah, Mungu akuoneshe njia iliyonyooka ili pamoja nasi tupate mwisho mwema.
your very right dada I love your world
In fact you said true
Asante mama
Facts Fatma 💯👍🏽
You are right Fatuma, kuna kesi Ars imeamuliwa na jaji ,kesi ya mirathi, jaji amethamini karatasi ya manunuzi kakataa karatasi ya mahakama ya wilaya ya mgawanyo wa mali toka kwa msimamizi wa mirathi; ukiisoma hiyo hukumu ni Vichekesho
Mama fatma hongera sana haki ya mungu nimekuelewa
Naomba mama apeleke Bunge mabadiliko ya sheria na katiba muhimili wa katiba uondoke hatuutaki shetani hawa .mahakama hazini kazi ni viwanja vya mnada
Fatuma uko sawa
Safi mama
Ujumbe UMETUMWA na KUPOKELEWA 🙏👏🤝
Ukweli mtupu! Kila idala na kila taasisi ikitiza wajibu wake kwa haki matatizo mengi yatapungua!
Yaan mahakama za Tanzania ni kawa haziendeshwi na binadamu wa kawaida yaan utu hawana kabisaaaa Mungu atawalipa mnachezea Nafasi nyeti sana
Yesi
Asee unatakiwa dada huishi sana
Fatma na wanasheria wote walionyanganywa leseni na Feleshi warudishiwe Leseni zao maramoja.Huu ni ujinga wa hali yan juu wa CCM.
Wamemshtukia kwamba anafahamu kuwa walimlima babu yake kwa ajili ya kufahamu ukweli babu aliingizwa cha kike
WAOTENDA HAKI MNAWANG'ANYA LISENI KAMA AKINA FATUMA KARUME,NAMWABUKUSI HAWA NIWATETEZI WA WATU MNAPWNDA WAWE KAMA NYINYI WA KUWAONEA WATU .TENAMASKINI NDIYO WANAOFUNGWA ZAIDI NYINYI HATA MKIUA HAMFUNGWA WAKUBWA MNALINDANA.KAMA ALIYEKUWA NAIBU WA SHERIA GEKUL BADO YUPO NJE UPELELEZI BADO WAKATI USHAHIDI UPO HAYO YOTE JAJI MKUU UPO UNAONA.UANASIMAMIA UJINGA KAMA HUO.HIYO NDIYO UTAWALA WA CCM UMEJA RUSHWA NA UONEVU.MNANG' ANIA KATIBA MBOVU KWA SABABU INAWALINDA ,MUNGU ANAWAONA BORA MUNGU AWAHUKUMU KWA UDHALIMU WENU.
Facts tupu anaongea fatuma
Huo ndiyo ukweli kwani wanaosababisha matatizo ni wao serikali.Ndiyo maana wasababisha matatizo eti ndiyo wanajifanya wanatatua Kwa sababu wapo kutafuta kura
Makonda akumbukwe yeye ni mwana ccm, miaka zaidi 60 nchi haijawahi kutawaliwa na chama nje ya chama chake (ccm) Makonda analia na nani? Wakati Chadema hakujawa kutawala?
Mimi ni firector mmoja katika kampuni.Kampuni ilimpa jamaa mmoja kazi ikamshinda baadae akawa anadai kazi kidogo aliyofanya .kampuni ikamlipa party payments .Hakuridhika akaja achukua magari yangu binafsi akapeleka nyumbani kwake kwa miaka mitatu.baada ya hapo akaniprleka mimi na kampuni mahakamani kudai .Eti mahakama. Ikasema nilipe mimi na kampuni na yale magari akachukua huu ni unyasaji.nilikuwa nilienda mahakama namkuta mdai wangu yupo na hakimu hakafu naitwa kama mbwa nakufokewa .yani mahakama zetu zimeoza zote .yani yakitokea machafuko Tanzania mwanzilishi ni mahakama .
Unasema hayo sisi hakimu mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo kacheza na kubadilisha Will.ya baba yetu na kufanya upuuzu mkubwa Sana, imagine Mirathi ilishafunguliwa huko nyuma za mali hizo utaratibu wote wa ugawaji upo wazi , kampatia mwana familia ambaye ni Shangazi yetu baadhi ya mali hizo na si mhusika mgogoro mkubwa sana, Shangazi.kakimbilia mahakama nyingine na kufungua mirathi kwa mali hizo hizo pia kaka yetu anatudhulumu kwenye mirathi , Ila ipo siku wataumbuka,
Kumbe tz ipo siku kitawaka
Uyu mama apewe maua anaelimu kubwa tuna mwelewaa sana
Afutiwa leseni ya uwakili kwa mambo ya kupambania haki
Msomi huko sahihi mfumo humefeli makonda hanakopita Hana waumbua kuwa hawafanyikazi zao vizuri. Watu wanasema migogoro Yao walikwenda Kwa mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya, mtendaji wa kata, mtendaji wa Kijiji, mwenyekiti wa Kijiji, wapi hamehona hao Wananchi migogoro Yao wamepeleka kanisani au msikitini. Hao Wananchi Wana huelewa kuliko hanavyo zania yeye. Wafanye kazi wasisubiri taarifa kuletewa
Nikweli nifelia UB
Kazi ya kiongozi au viongozi ni kutatua shida au kero za umma
Shangazi umenena
Watendaji wote wa serikali wamefeli,kinchofanywa na makonda nikuzidi kukidhalilisha chama chake
Wanaona wananchi wate ni wajinga kama wao aibu ya watawala tanzania ccm vilaza wote
You see what they can't see
Jaji mkuu hata huko unaongeza ruswa jiuzulu tu waachie waadilifu umeshindwa mahakama no maduka yenu.
Saf
Rudhwa na dhuluma zimejaa mahakamani hakuna haki.Mimi hakuna watu nao wachukia ka watuishi wa mahakama na mashetani .Natamani siku machafuko yatokee
Hawa watu wamahakama watakuwa na kazi ngumu kupita mtuu yoyote.
Siyo rahaisi kukusanyika nawewe kajaribu uhone
Acha ujinga bora makonda koliko mahakama kuliko mwanashea mkuu anakula kodizietu hamna kazi anafanya hiyo unataka uongezewe pajeti ya malalamiko ili upate ulaji.
Hi ichi mtihani kwl mtu aliewekwa kusimamia haki za watu anakua kada wa ccm nakutetea walioko madarakani
Jaji mkuu unasema viwekwe vituo vya kusikiloza kero za wananchi wewe na mahakama kazi temp nn
Kuna wafugwa wa Ethiopia Somali Nigeria but Hawa rudishwi kwao Nini mbaya
Majaji na mahakim wako ki mchongo nchi ya Tanzania
wazee wenu sio ndio wapo madarakani , kazi yao ni kuiba tuu
Fatuma nakukubar
Jaki mkuu umeshindwa jiuzulu umeshindwa
Mashetani hawa
Mwanasheria mkuu mpumbavu tuu
Acheni unafiki na ujinga nyinyi mmeshiba
Umerukwa na Akili dada anaongea ukweli umedandia mada
Huyu mwanasheria mkuu kajikanyaga tuu hajielewi nadhani hicho cheo alikipata kwa bahat mbaya.maana anataka kuanza tena kuomba bajeti ya kujenga nyumba tena za kusikiliza malalamiko hizp zilizopo zinafanya nini