PART10:BINADAMU MWENYE ASILI YA JINI ALIEISHI GAMBOSHI YA UCHAWI/NAKULA WATU/NAISHI NA JINI/NILIKUF

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 199

  • @ochuboysosman8376
    @ochuboysosman8376 3 года назад +14

    Ila zabron upo vizuri sana kwa kusimulia DM hongera kwa kutafutia story nzuri km hii

  • @flubtv
    @flubtv 3 года назад +11

    Nataka likes 10k za davistar kama wamukubali

  • @oduoratieno2613
    @oduoratieno2613 3 года назад +4

    His journey was very tough and rough God protect u and give u more yrs in this world...
    THANK u so much Mr davistar for good job

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 3 года назад +17

    Tunaisubiria hiyo simulizi ya gambosh, bila shaka wewe utatuelezea kwa ufasaha, kwa kuwa hatujui ukweli zaidi, wengine wanasema ni kijiji tu cha kawaida, wengine wanasema ni kijiji cha kichawi,sasa wewe utatuambia ukweli.

    • @fredichaki4868
      @fredichaki4868 3 года назад +2

      Nikweli nimji wenye magorofa pia ni mji wenye Mambo mengi sana ya kichawi ila uwezi kuona kwenye macho yakawaida mbaka uwe na jicho la tatu

    • @mariamfritsi4943
      @mariamfritsi4943 3 года назад +1

      @@fredichaki4868 duh humu duniani kuna mambo mengi ya ajabu, sasa hayo magorofa yasioonekana, ila yapo, si ni mauzauza, yaani ukitafakari hata huwezi kupata jibu. ila ngoja tumsubirie Zabron aje atuhakikishie, huko mbele ya simulizi yake.

  • @RichardJames-y2k
    @RichardJames-y2k 11 месяцев назад +1

    Hapo uriwaza vema sana boy nasio kuigia tamaa isionamaana hongeraa sana

  • @Iragibarune1.
    @Iragibarune1. 3 года назад +13

    Wasaba leo nipeni like zang😥😥

  • @ibrahimmohamedi4498
    @ibrahimmohamedi4498 3 года назад +6

    Mwezi mmoja unapiga supu safi unakua kibonge hapana kwa kweli hapana I say nooooooooooooooo ujambazi mhm

  • @fighterm7708
    @fighterm7708 3 года назад +8

    Moshi Technical School , My Lovely School aaaah , Mpande the teacher daaah kitambo sanaaa

    • @jamesswai6583
      @jamesswai6583 3 года назад +1

      Yep mpande wa kitambo...Now amestaafu. Nilimwacha akiwa mwalimu wa vijana na michezo.

  • @marysteven605
    @marysteven605 3 года назад +3

    Ivi huo mda zabron ukiwa kwenye gari lao hao majambaz si ulijua Tyr umekwisha watakuua?yaan huyo bibi Yako,alikuweza kwl kwamateso hayo, la

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 года назад +4

    Naona taba sam la davistar kuskia gambosh

  • @upendoluv7197
    @upendoluv7197 3 года назад +2

    Kumbe Zabron Ni Handsome bhana😘😘😘😘

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 3 года назад +14

    Asalam alaykum wapenz watazamajiii
    mdogo mdogo tunaingia gambosh
    simuliz ndıo kwanzaaa imeanzaaaa

    • @nyendochamwela3031
      @nyendochamwela3031 3 года назад

      Umejiandaaa kuingia lakini?

    • @marysteven605
      @marysteven605 3 года назад

      Kujiandaa kwenda,???!usiombe kwenda huko Bana,gambushi Noma,

    • @azizamohd5728
      @azizamohd5728 3 года назад

      Kidogo kidogo naanza kuogopa

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 3 года назад

      elionara
      unajua nn watu wengi tunapenda siöulz zile za mayza uza
      ndıo nmesema tunaingia gambosh kila mtu anapapenda

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад +1

    dav mata fanya bidii ufike gamboshi utuletee habari

  • @nurudaud3993
    @nurudaud3993 2 года назад +1

    sema zabron ulikuwa na.hekima na akili ya kutosha sana hufanyi maamuzi ya haraka 😊brother be blessed 🤝

  • @rosemassawe1979
    @rosemassawe1979 3 года назад +2

    Unapenda kununua nguo🙄

  • @maryamumapenzi1257
    @maryamumapenzi1257 3 года назад +6

    Yani huyu jaama amepitia mengi Hadi Basi tu

  • @hildaernest1090
    @hildaernest1090 3 года назад +3

    Dav co kwa kunitesa ivi na huu usiku afu Nina mtoto mchanga,story inanoga balaaa

  • @oneclick2023
    @oneclick2023 3 года назад +3

    Me nimekaa tuliii nafuatilia Story ya Mr.Zabu ...nikaomba dawa ya kuona wachawii.....ehee baadaya ya hapo...Mr David Tuliaa mzee baba Mwendelezo unakuja part 11 ,,nimetulia Mr D.🛀🛀

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 года назад +3

    Dil ya bank mm pia siwezi kabisaaa heri nipatoke hapo 🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️mana huko nikuuxa moyo wako lkn kuna wengine hiyo nikaxi rahisi sanaaa tuu kwao

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 3 года назад

      Waoooo nimekubamba mama la mama kutoka Kenya😜😜😜😜

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 3 года назад

      @@abbyadams8691 yani imeshika sana tuuu ss kumeza msimuliaji anavoitafuna 🤗🤗🤗

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 3 года назад +1

    Hongera sana Davista umetuletea mtu wa story ya ukweli kabisa bila ya kupepesa macho aisee

  • @rajaburashid4219
    @rajaburashid4219 3 года назад

    Wonderful story

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 3 года назад +2

    Duuu Zabroni umepitia shida sana dooo AISSEH pole ZABRONI

  • @navokisembo
    @navokisembo 3 года назад +1

    Zablon ana kumbukumbu nzuri saana ila ametesela kweeli jamani

  • @tonywambua9505
    @tonywambua9505 3 года назад +4

    The best story ever

  • @angelokihaka8363
    @angelokihaka8363 3 года назад +2

    Ambao wana #Dislike wanamatatizo gn😣😣😣😣

  • @joycekelvin5434
    @joycekelvin5434 3 года назад +2

    Unakula nini supu😀 unakuwa kibonge😀😀

  • @zettyhassani2244
    @zettyhassani2244 3 года назад +2

    Nampenda anavyojielezea mpk jinsi kituo Cha stor anavyomeza fundo lamate

  • @thegreat.9869
    @thegreat.9869 3 года назад +1

    Daaaah. Nakumbuka kipindi hicho vocha inaitwa dola

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Год назад

    Kwangu u ndio ushuhuda namba Moja kwanza huyu jamaa ni geneous.
    1. Zabron mwita
    2. Magere
    3. Kanyerere

  • @cliffordmaboi2298
    @cliffordmaboi2298 3 года назад +2

    Davistar keep up good story.

  • @mariamripiti2137
    @mariamripiti2137 3 года назад +2

    Duh nyie viumbe sio watu wazuri 😂😂😂😂🙄haya 14

  • @mariamripiti2137
    @mariamripiti2137 3 года назад +2

    SHUKURAN MR FACT

  • @matheothomas1891
    @matheothomas1891 3 года назад +1

    Davistar story ya huyu jamaa nii ndefu na ni mzuri sana sasa jitahidi ata kutupia vipande ata vnne kwa siku maana hapo ilipo fika bado Ndiooo mwanzoo maaana aliepelekwa gambush akafanikiwa kutoka akaja kamatwa tena ajarudishwa akatoka tena akawa ahonekani yaniii

  • @veeinn7965
    @veeinn7965 3 года назад

    Wow umepitia mengi kaka poleni

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 3 года назад +1

    Jamaa ulikuwa unajielewa kweli ndugu yangu

  • @oscarlemamaringo8081
    @oscarlemamaringo8081 3 года назад +1

    Nimejitaidi kuwahi lakini wapi majukumu nayo wacha niendelee

  • @rehemabakari4150
    @rehemabakari4150 Год назад

    Ndio maaana nasema kila siku kwenda kwa mganga halafu aka kuchanjie makaburini kwisha habari yako

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 3 года назад

    Hizo no. Ni tigo au voda?

  • @nakiwalahjulliet9208
    @nakiwalahjulliet9208 3 года назад +1

    I always wonder if this stories are for real.are they true stories Mr.Davistar?

  • @ylosvijevana6815
    @ylosvijevana6815 3 года назад +1

    Na vile Davister anapenda dawa ya kuona wachawi na story za Gambosh hapo kafika

  • @djbless6201
    @djbless6201 3 года назад +3

    Wow jamaan😋😋😋😋😋
    Like bas

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid5360 3 года назад +1

    Stor imeeenda school

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 3 года назад +1

    Muendelezo tujue aliwaona wachawi?🤣🤣🤣

  • @kautharmickidad1698
    @kautharmickidad1698 3 года назад +1

    Ss ndo story inakuja kunoga Zaid hapo kwenye kuanza kazi ya kupaka rangi,atakapo Anza kuona kivuri chake..

  • @khadijamohanani6476
    @khadijamohanani6476 3 года назад +1

    Dah yani natamani hata isiishe ilivyo nzuri hongera bro

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 года назад

    Kumbe majambazi nao wanatrick namna hii!

  • @nelsonpatricioestanislaus7144
    @nelsonpatricioestanislaus7144 2 года назад

    Let's together 2022

  • @manbanshaban9253
    @manbanshaban9253 3 года назад +1

    Story nzuri sana,,,👍big up davistar💪

  • @innocentrichard2945
    @innocentrichard2945 3 года назад

    Alafu jamaa shabiki wa arsenal

  • @mimisir5717
    @mimisir5717 2 года назад

    Uyu jamaa alikwama sana.me ningepiga dili na wale majambazi sass iv ningkua dubai

  • @kevinlembela2455
    @kevinlembela2455 3 года назад +1

    Nimekukamata mapema Leo Mr dav

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 3 года назад +1

    Mambo mazito utasema sio Tanzania kumbe ni apo apo tz

  • @allykibabe8182
    @allykibabe8182 3 года назад +1

    Daaah htr xna

  • @sundimashala3610
    @sundimashala3610 3 года назад +1

    Numb1

  • @aishahemedi7869
    @aishahemedi7869 3 года назад

    Kaka naomba jina rakitabu

  • @djbless6201
    @djbless6201 3 года назад +1

    Davistar kacheka kidoog😂😂😂
    Kusikia gambush

  • @ochuboysosman8376
    @ochuboysosman8376 3 года назад +1

    Jamani nimezamiria kua wa kwanza mara ya tatu sasa

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 3 года назад +1

    Zablon ume pambana ktk maisha akuna kukata tamaa ongera sana na yote hii kuteseka kote ni Yule Bibi yako mchawi? Gamboshi ni mji km London au New York

  • @aishahemedi7869
    @aishahemedi7869 3 года назад

    Nitampataje kitabu

  • @latifahissa1114
    @latifahissa1114 3 года назад +1

    Hii bandika bandua co mchezo 😘😘😘

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 года назад +1

    Hakuna kulala paka cheee🇯🇴🇯🇴🤔😍😍🙄🙄

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      Pache kabisaaa😂😂😂😂😂

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад +1

      @@pilimusa7770 🤝🤝 nmeona leo chidada changu 😍😍😍🤣🤣🤣🤣

  • @marysteven605
    @marysteven605 3 года назад

    Wangepita île njia yule Jamaa aliyowaonyesha wangefika ila wasingerud,

  • @pazimazongera4934
    @pazimazongera4934 3 года назад +1

    Dogo kapitia mitihani mikubwa sana kuliko umli wake

  • @nurudaud3993
    @nurudaud3993 2 года назад

    sema zabron ulikuwa na.hekima na akili ya kutosha sana hufanyi maamuzi ya haraka 😊brother be blessed 🤝

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 3 года назад +2

    Nishaanza kumiss zile story zetu za kichawi,, mm na Goodluck na pili Musa, 🤗🤗🤗

  • @sallo27.70
    @sallo27.70 3 года назад

    Kaka Davistar Pole Sana kwa kazi Zuri na Ngumu Unayoifanya Ili Sisi Tuhabarike MUNGU Akutie Nguvu Zaidi.
    Msimuliaji Ww Ni Shujaa.

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 года назад +2

    Ndan😍😍🇪🇭🇪🇭🙄🙄

  • @kawtharsaleh9229
    @kawtharsaleh9229 3 года назад +1

    Mlalage khaa

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      Hatulaliii😂😂😂😂😂

  • @kevinlembela2455
    @kevinlembela2455 3 года назад +1

    Waooo

  • @suleymanally4729
    @suleymanally4729 3 года назад

    Huyo muuza vileja ajipitisha kilasaa hahahahahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @stellanestory7022
    @stellanestory7022 3 года назад +1

    Wa kwanza leo daaaaah

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 3 года назад

    Haya mapolisi mchezo wa kunywa kahawa mtaleweshwa

  • @g.d.d1481
    @g.d.d1481 3 года назад

    Ulipambana kwel

  • @habibafeithal4014
    @habibafeithal4014 3 года назад

    Davista kwan huyo cameraman wako umuhamin nn

  • @wantangosaimon5295
    @wantangosaimon5295 3 года назад +1

    Sasa Davis ufanye mpango uende gamboshi uchunguze wanaishi vip.

    • @nyendochamwela3031
      @nyendochamwela3031 3 года назад

      Kabisaaa maana ndio atautupa Fact Kama jina lake.

    • @martinmaryogo6081
      @martinmaryogo6081 3 года назад

      Akawahoji na wale huko gambushi, hahahahahaaa

    • @wantangosaimon5295
      @wantangosaimon5295 3 года назад +1

      @@martinmaryogo6081 eeeh kwa Bakari Chandoma ulienda sasa komaa uibukie gamboshi ili tuonee maajabu

    • @martinmaryogo6081
      @martinmaryogo6081 3 года назад

      @@wantangosaimon5295 hahahahahaaaaa, weeee kule unaweza kwenda usirudi mzee

    • @wantangosaimon5295
      @wantangosaimon5295 3 года назад

      @@martinmaryogo6081 aaah czan yeye aende tu

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 3 года назад

    Tumalizie story bwana wacha kutupimia

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 3 года назад +1

    Jamoon simulizi NI Tamu Sana!!

  • @stivenmgonja5908
    @stivenmgonja5908 3 года назад

    Mjengoni kama kawaidaa jàpo nimechelewa

  • @kimandoro7432
    @kimandoro7432 3 года назад

    💯

  • @husseintayar699
    @husseintayar699 3 года назад +1

    Hamalizi tu tukasikia na wengne

  • @aminaismail4221
    @aminaismail4221 3 года назад

    Davistar mata panga safari ss uende huko gambosh ukatulete ukweli wahuko

  • @tynoblack5996
    @tynoblack5996 3 года назад

    Raia hamlali...nasubir yaliyojir huko gambosh tu...hii nitaamka nayo kesho

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      😂😂😂😂😂😂 usiku mwema.

  • @neemaomar76
    @neemaomar76 3 года назад

    Mmh story ya gamboshi inaanza kunitisha sasa na usiku huu nipo pekee yangu 😩

  • @hadijashabani890
    @hadijashabani890 3 года назад

    Dah bado nipo namimi naendelea na story

  • @fadhiliswalehe9286
    @fadhiliswalehe9286 3 года назад

    Sasa tunaingia gamboshi karibuni

  • @butondodavid2105
    @butondodavid2105 3 года назад

    Mbona nasikia vitu vya ajab story inaishia nin

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 года назад

    Davistar tafuta hio picha plz

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 года назад

    Gamboshi nomaaaaaaaa🤓🤓🤓🤓🤓🤧

  • @martinmaryogo6081
    @martinmaryogo6081 3 года назад

    Huyu DV badae atakuja kuwa mganga maan naona ana marafiki wengi kwa saiv, na atakuwa ashachanjwa huyu sio bure

  • @moreenmbatha1147
    @moreenmbatha1147 3 года назад

    na zabron hayuko whatsapp

  • @sadequeentyra8513
    @sadequeentyra8513 3 года назад

    Mbon uko unakawiza sehemu zakufata

  • @jeaninemugisha6395
    @jeaninemugisha6395 3 года назад

    Jamani mungu amegutowa mbari sana

  • @mariamshabani6853
    @mariamshabani6853 3 года назад

    🥰🥰🥰🥰🤝🤝🤝Nai kubali Sana iyi simulizi 🥰Asente Sana kaka zabroni

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 3 года назад

    No 14 stry ya jamaa haichoshi

  • @christophersaimon4398
    @christophersaimon4398 3 года назад

    44

  • @bintimrope
    @bintimrope 3 года назад

    Chakulalia hiki hapa😋😋😋👋👋

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 3 года назад

    🇰🇪🎤🎤🎤

  • @lasma9830
    @lasma9830 3 года назад

    Jamani nyingine wekeni

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 3 года назад

    Story nzuri sana wallah

  • @sapnaabdallah1084
    @sapnaabdallah1084 3 года назад

    Muendelezo please