Tunaisubiria hiyo simulizi ya gambosh, bila shaka wewe utatuelezea kwa ufasaha, kwa kuwa hatujui ukweli zaidi, wengine wanasema ni kijiji tu cha kawaida, wengine wanasema ni kijiji cha kichawi,sasa wewe utatuambia ukweli.
@@fredichaki4868 duh humu duniani kuna mambo mengi ya ajabu, sasa hayo magorofa yasioonekana, ila yapo, si ni mauzauza, yaani ukitafakari hata huwezi kupata jibu. ila ngoja tumsubirie Zabron aje atuhakikishie, huko mbele ya simulizi yake.
Me nimekaa tuliii nafuatilia Story ya Mr.Zabu ...nikaomba dawa ya kuona wachawii.....ehee baadaya ya hapo...Mr David Tuliaa mzee baba Mwendelezo unakuja part 11 ,,nimetulia Mr D.🛀🛀
Dil ya bank mm pia siwezi kabisaaa heri nipatoke hapo 🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️mana huko nikuuxa moyo wako lkn kuna wengine hiyo nikaxi rahisi sanaaa tuu kwao
Davistar story ya huyu jamaa nii ndefu na ni mzuri sana sasa jitahidi ata kutupia vipande ata vnne kwa siku maana hapo ilipo fika bado Ndiooo mwanzoo maaana aliepelekwa gambush akafanikiwa kutoka akaja kamatwa tena ajarudishwa akatoka tena akawa ahonekani yaniii
Ila zabron upo vizuri sana kwa kusimulia DM hongera kwa kutafutia story nzuri km hii
Nataka likes 10k za davistar kama wamukubali
Sehem ya 12 vp
His journey was very tough and rough God protect u and give u more yrs in this world...
THANK u so much Mr davistar for good job
He's a survival
Tunaisubiria hiyo simulizi ya gambosh, bila shaka wewe utatuelezea kwa ufasaha, kwa kuwa hatujui ukweli zaidi, wengine wanasema ni kijiji tu cha kawaida, wengine wanasema ni kijiji cha kichawi,sasa wewe utatuambia ukweli.
Nikweli nimji wenye magorofa pia ni mji wenye Mambo mengi sana ya kichawi ila uwezi kuona kwenye macho yakawaida mbaka uwe na jicho la tatu
@@fredichaki4868 duh humu duniani kuna mambo mengi ya ajabu, sasa hayo magorofa yasioonekana, ila yapo, si ni mauzauza, yaani ukitafakari hata huwezi kupata jibu. ila ngoja tumsubirie Zabron aje atuhakikishie, huko mbele ya simulizi yake.
Hapo uriwaza vema sana boy nasio kuigia tamaa isionamaana hongeraa sana
Wasaba leo nipeni like zang😥😥
Mwezi mmoja unapiga supu safi unakua kibonge hapana kwa kweli hapana I say nooooooooooooooo ujambazi mhm
😂😂😂😂
Moshi Technical School , My Lovely School aaaah , Mpande the teacher daaah kitambo sanaaa
Yep mpande wa kitambo...Now amestaafu. Nilimwacha akiwa mwalimu wa vijana na michezo.
Ivi huo mda zabron ukiwa kwenye gari lao hao majambaz si ulijua Tyr umekwisha watakuua?yaan huyo bibi Yako,alikuweza kwl kwamateso hayo, la
Naona taba sam la davistar kuskia gambosh
Kumbe Zabron Ni Handsome bhana😘😘😘😘
Asalam alaykum wapenz watazamajiii
mdogo mdogo tunaingia gambosh
simuliz ndıo kwanzaaa imeanzaaaa
Umejiandaaa kuingia lakini?
Kujiandaa kwenda,???!usiombe kwenda huko Bana,gambushi Noma,
Kidogo kidogo naanza kuogopa
elionara
unajua nn watu wengi tunapenda siöulz zile za mayza uza
ndıo nmesema tunaingia gambosh kila mtu anapapenda
dav mata fanya bidii ufike gamboshi utuletee habari
sema zabron ulikuwa na.hekima na akili ya kutosha sana hufanyi maamuzi ya haraka 😊brother be blessed 🤝
Unapenda kununua nguo🙄
Yani huyu jaama amepitia mengi Hadi Basi tu
Na hapo Badoo yan
Sana
Yote hayo ni bibiake mzaa baba
Dav co kwa kunitesa ivi na huu usiku afu Nina mtoto mchanga,story inanoga balaaa
Me nimekaa tuliii nafuatilia Story ya Mr.Zabu ...nikaomba dawa ya kuona wachawii.....ehee baadaya ya hapo...Mr David Tuliaa mzee baba Mwendelezo unakuja part 11 ,,nimetulia Mr D.🛀🛀
Dil ya bank mm pia siwezi kabisaaa heri nipatoke hapo 🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️mana huko nikuuxa moyo wako lkn kuna wengine hiyo nikaxi rahisi sanaaa tuu kwao
Waoooo nimekubamba mama la mama kutoka Kenya😜😜😜😜
@@abbyadams8691 yani imeshika sana tuuu ss kumeza msimuliaji anavoitafuna 🤗🤗🤗
Hongera sana Davista umetuletea mtu wa story ya ukweli kabisa bila ya kupepesa macho aisee
Wonderful story
Duuu Zabroni umepitia shida sana dooo AISSEH pole ZABRONI
Zablon ana kumbukumbu nzuri saana ila ametesela kweeli jamani
The best story ever
Ambao wana #Dislike wanamatatizo gn😣😣😣😣
Unakula nini supu😀 unakuwa kibonge😀😀
Nampenda anavyojielezea mpk jinsi kituo Cha stor anavyomeza fundo lamate
Wampe maji
Daaaah. Nakumbuka kipindi hicho vocha inaitwa dola
Kwangu u ndio ushuhuda namba Moja kwanza huyu jamaa ni geneous.
1. Zabron mwita
2. Magere
3. Kanyerere
Davistar keep up good story.
Duh nyie viumbe sio watu wazuri 😂😂😂😂🙄haya 14
SHUKURAN MR FACT
Davistar story ya huyu jamaa nii ndefu na ni mzuri sana sasa jitahidi ata kutupia vipande ata vnne kwa siku maana hapo ilipo fika bado Ndiooo mwanzoo maaana aliepelekwa gambush akafanikiwa kutoka akaja kamatwa tena ajarudishwa akatoka tena akawa ahonekani yaniii
Wow umepitia mengi kaka poleni
Jamaa ulikuwa unajielewa kweli ndugu yangu
Nimejitaidi kuwahi lakini wapi majukumu nayo wacha niendelee
Ndio maaana nasema kila siku kwenda kwa mganga halafu aka kuchanjie makaburini kwisha habari yako
Hizo no. Ni tigo au voda?
I always wonder if this stories are for real.are they true stories Mr.Davistar?
Na vile Davister anapenda dawa ya kuona wachawi na story za Gambosh hapo kafika
Wow jamaan😋😋😋😋😋
Like bas
Hongera
Stor imeeenda school
Muendelezo tujue aliwaona wachawi?🤣🤣🤣
Ss ndo story inakuja kunoga Zaid hapo kwenye kuanza kazi ya kupaka rangi,atakapo Anza kuona kivuri chake..
Dah yani natamani hata isiishe ilivyo nzuri hongera bro
Kumbe majambazi nao wanatrick namna hii!
Let's together 2022
Story nzuri sana,,,👍big up davistar💪
Alafu jamaa shabiki wa arsenal
Uyu jamaa alikwama sana.me ningepiga dili na wale majambazi sass iv ningkua dubai
Nimekukamata mapema Leo Mr dav
Mambo mazito utasema sio Tanzania kumbe ni apo apo tz
Daaah htr xna
Numb1
Kaka naomba jina rakitabu
Davistar kacheka kidoog😂😂😂
Kusikia gambush
😂😂😂😂😂😂
Jamani nimezamiria kua wa kwanza mara ya tatu sasa
Zablon ume pambana ktk maisha akuna kukata tamaa ongera sana na yote hii kuteseka kote ni Yule Bibi yako mchawi? Gamboshi ni mji km London au New York
Na raisi wao ni nani
Kweli kabisa. Yule bibi ni noma kweli
Nitampataje kitabu
Hii bandika bandua co mchezo 😘😘😘
Hakuna kulala paka cheee🇯🇴🇯🇴🤔😍😍🙄🙄
Pache kabisaaa😂😂😂😂😂
@@pilimusa7770 🤝🤝 nmeona leo chidada changu 😍😍😍🤣🤣🤣🤣
Wangepita île njia yule Jamaa aliyowaonyesha wangefika ila wasingerud,
Dogo kapitia mitihani mikubwa sana kuliko umli wake
sema zabron ulikuwa na.hekima na akili ya kutosha sana hufanyi maamuzi ya haraka 😊brother be blessed 🤝
Nishaanza kumiss zile story zetu za kichawi,, mm na Goodluck na pili Musa, 🤗🤗🤗
Kabisaaaa😂😂😂😂😂
Teeenaaaaaaaaaa🤔😍
@@pilimusa7770 Atuekeeeeee🤗
@@ayshamahariq6665 aaaaa bhana hii tamu kweli
@@ayshamahariq6665 kabisaaa. 😂😂😂😂
Kaka Davistar Pole Sana kwa kazi Zuri na Ngumu Unayoifanya Ili Sisi Tuhabarike MUNGU Akutie Nguvu Zaidi.
Msimuliaji Ww Ni Shujaa.
Ndan😍😍🇪🇭🇪🇭🙄🙄
Karibu.
@@pilimusa7770 😍😍😍😍😍😍😍🤝🤝🤝
Mlalage khaa
Hatulaliii😂😂😂😂😂
Waooo
Huyo muuza vileja ajipitisha kilasaa hahahahahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wa kwanza leo daaaaah
Hongera
Haya mapolisi mchezo wa kunywa kahawa mtaleweshwa
Ulipambana kwel
Davista kwan huyo cameraman wako umuhamin nn
Sasa Davis ufanye mpango uende gamboshi uchunguze wanaishi vip.
Kabisaaa maana ndio atautupa Fact Kama jina lake.
Akawahoji na wale huko gambushi, hahahahahaaa
@@martinmaryogo6081 eeeh kwa Bakari Chandoma ulienda sasa komaa uibukie gamboshi ili tuonee maajabu
@@wantangosaimon5295 hahahahahaaaaa, weeee kule unaweza kwenda usirudi mzee
@@martinmaryogo6081 aaah czan yeye aende tu
Tumalizie story bwana wacha kutupimia
Jamoon simulizi NI Tamu Sana!!
Mjengoni kama kawaidaa jàpo nimechelewa
💯
Hamalizi tu tukasikia na wengne
Kabisaa😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
@@pilimusa7770 🤣🤣🤣🤣🤣
@@pilimusa7770 bado sanaaaaaa dada
@@aiyamhassan1321 kazi ipo
Davistar mata panga safari ss uende huko gambosh ukatulete ukweli wahuko
Raia hamlali...nasubir yaliyojir huko gambosh tu...hii nitaamka nayo kesho
😂😂😂😂😂😂 usiku mwema.
Mmh story ya gamboshi inaanza kunitisha sasa na usiku huu nipo pekee yangu 😩
Dah bado nipo namimi naendelea na story
Sasa tunaingia gamboshi karibuni
Mbona nasikia vitu vya ajab story inaishia nin
Davistar tafuta hio picha plz
Gamboshi nomaaaaaaaa🤓🤓🤓🤓🤓🤧
Huyu DV badae atakuja kuwa mganga maan naona ana marafiki wengi kwa saiv, na atakuwa ashachanjwa huyu sio bure
😂😂😂
na zabron hayuko whatsapp
Mbon uko unakawiza sehemu zakufata
Jamani mungu amegutowa mbari sana
🥰🥰🥰🥰🤝🤝🤝Nai kubali Sana iyi simulizi 🥰Asente Sana kaka zabroni
asa mariam siuje bobo mama
No 14 stry ya jamaa haichoshi
44
Chakulalia hiki hapa😋😋😋👋👋
🇰🇪🎤🎤🎤
Jamani nyingine wekeni
Story nzuri sana wallah
Muendelezo please