Rayvanny - Marry Me (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 12 фев 2024
- Follow Rayvanny On:
Twitter : / rayvanny
Instagram : / rayvanny
Snapchat: Rayvanny chui
Tiktok: Rayvanny_chui
For Bookings:
Email: rayvannymanagement@gmail.com
#rayvanny #music #new #NextlevelMusic
Copyright ©2024 Next level Music. All rights reserved. - Видеоклипы
JAMANI sijawahii kupata like ata 1 naomba mm mwenzenu wa kenya❤
From Kenya ❤❤likes for me
Wapi likes za rayvanny hapa kenya❤❤❤❤❤we love you🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kama unakubali rayvanny ni mkali💥 sana usipite bila kuacha likes 👍👍👍
Mwanamume huyu ana kipaji.. penda muziki wake kikamilifu na wimbo huu ulikusudiwa kwa siku ya wapendanao... Inatuma mapenzi kutoka ZAMBIA mmoja wa mashabiki wakuu.
Huu wimbo sio mpya ulitoka miaka 2iliopita upo kwenye albamu ya Afrika sounds 😅
@@Almuharmiiimwelewe vizur ajasema kwamb ni mpya budah 😊
SFA🎉
noooooma san
Kwa wale wa valentine 💝 gonga like kwa wimbo huu🔥🔥🔥🔥🔥
Happy valentine day to all singles who’s never ready to mingle 😂❤
😂😂😂
Happy valentine to us❤
fake news lol
🤣🤣🤣🤣🤣😅
Nimekua wakwanza nipeni likes jamani 🙏🏽
Mm ndo wakwanza bhann 0:01
@@puxpyzah vp
Hizi like huwaga zinawasaidia nini maan naona naombeni like au ndo ushamba tu
We kila siku wa kwanza
Bingwa kweli
Gongs like kama unamkubali vanny boy #chuiii❤
Wa kwanza me mnipe like zangu
wa mwisho nani
Wakwanza kutoka Burundi 🇧🇮 tunayipenda san hiyo nipeni likes zangu🎉
Likes za kenya Plz..Prove here we're Many❤
Msela ana talanta kali sana ya uandishi wa nyimbo za mapenzi , congrats
Rayvanny mwenye tulikuwa tujua ,,we still need another one like this..🎉❤
Ongera sana Chui kwa wimbo huu mpya 👍
Nakuombea maisha marefu
From 🇲🇿🇲🇿 Mozambique
Estamos juntos irmão
This is not a new song it was recorded around 2 years ago but the video wasn't yet released
Sauti kama dhahabu❤❤❤❤✅
Now this is Rayvanny we know si yule wa Amapiano
Hakuna mwamba anae jua kama chui salute kwako ✌️✌️✌️
Chui to the world♥️♥️♥️Fan kutoka Kenya🔥🔥🔥🔥🔥🔥
lest show love❤❤..imewezaaa
Nyimbo yang pendwaaaaaa ❤ CHUI ❤
Tanzania we are proudly of u chui go!! Good music❤❤
Vannyboy every week new music every event new music 😂But you are the most talented guy I know of keep on with the vocals❤😍💙💙💙💙💜💜💜💜💜💜
Naliya kwa sauti 😭😭😭😭 love shida sana, basi likes zeny zinipoz roho
Huyu jamaa anajua sema sijui shida nin
Wa kwanza kwa Chui nipe like 1k❤❤ kama unampenda ❤❤
Sincerely speaking I never thought this video would come out. Since it's release in 2021 this audio has been ok repeat. I believe now Rayvanny wants to marry Fahima. Can't wait for what's coming ❤❤
🎉🎉🎉Kali sana Kaká chui unabaya mery me
Wa kwanza Leo naombeli Likee zangu wapendanao wote 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Hu wimbo umenigusa sana ❤❤❤❤ from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 mozambique
GONGA LIKE KAMA UMEACHWA NA UKO SINGLE
Wa kwanzaa
Lit 🔥🔥🔥 wapi like kutoka kenya
Naomben maua yangu...❤❤❤🎉
Huu mwonekano ya rayvanny ndo ulikuwa mzuri ❤❤
Huyu ndo Rayvanny nnaemjua❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Leo nimekuwa wakwanza nipe likes zang
Aweee❤❤❤
😢si mnipe angalau likes 5 za valentine
All Kenyans 🇰🇪🇰🇪 let's gather here❤
Rayvanny Ahsante sana kwakutolea shooting video ya hii nyimbo Valentine❤❤🥰🥰🥰🥰🥰🥰🌹🌹🌹🌹 nimepnda sna
🎉 rayvanny mkali, ao siyo?? Kama kweli nipeni like yako tafadhali🎉
Wimbo wa siku ya mapenzi,, huu nao una tabasamu lake,, unazamia gogoni❤❤❤❤
Woow🎉 2:19
Happy valentine's to everyone reading this comment ❤❤🌹🌹🌻
Let's appreciate the talent + effort 🥰
Happy valentine kutoka +254❤❤one love
Best valentine song ❤❤❤❤❤
First one to watch from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I say hii ni ya valentine wenzangu🎉❤
Rayvanny after three years❤❤
imetoka this is valentine song
Wa kwanza hapa❤
Kaka umeua 🔥
Chuiiii for life and thanks Father now ur child now they're doing better for their Music Lndustry mmh long life to all son from Simbaaa mpaka now ni solo artist mmh thanks chuiiiii for good Music to me today.✍️🎶❤️👑🇹🇿🙏
Like kama wimbo umekugusa
Nyimbo pendwa ya Valentine❤❤
Rayvanny just knows how to impress his funs, great work shujaa🙏🔥🔥❤️
wakwanza hapa ♥️♥️
Rada ya wakenya c tumarry watanzania❤❤
Huu ndio wimbo sasa...
Sa mjomba RAYVANNY wew izi ndo GOMA zako 🎉 achana na AMAPIANO 😂
Uhakika kabisa. Hapa ndo huwa namuelewa rayvanny
Nilikua napenda kusikiliza nyimbo hii kam vile nataka kumuoa mtoto wa mtu rayvan unajua bro💯💯💯
Kama umeangalia wimbo huu zaidi ya mara moja kama Mimi.Naomba like jamani
Likes zangu hapa, Kenya ❤
I salute you bro 🇶🇦 🇰🇪
huyu ndo chui tunaomjua from love sound different ❤️💯
Walete fundi wa merodies 🔥🔥🔥
Yani Huyu Wimbo Una Miaka Kama Miwili Lkn Sijawahi Kuuchok Kuiskia Sema Rayvanny Hii Valentine Utawauwaaa ❤❤❤
Asante Rayvanny kwa kunikumbusha mziki huu❤❤
Keep going best raper❤
😂
Nmegundua chui anapenda sana rangi nyekundu
WAKWANZA NAOMBA LIKE ZANGU
We like za nn boe😅
Kawaida
❤❤❤ nakukubali sana from south 🇿🇦
Nyimbo yangu pandwaaa hatimae ❤
Happy valentines day 😍❤to single people like me😂
Wa kwanza👊🏾
The way this song enter my heart🥰🥰🤗
Chui nakupenda sana from 🇧🇮
Chuiiii unauwa sana
My favor song 🥰❤️🥰
One love from USA 🇺🇸 🇨🇩
Mimi wakwanza nataka like zangu sasa ❤wimbo tamu walai❤❤
Happy valentine's day guys❤❤❤❤❤🎉🎉🎉nice song👊🔥🔥🔥
Huu wimbo naukubal tangu unatoka
Na RAYVANNY ndo msanii namkubali tz
Wakwanza me nipen like zangu
Wow❤ nam nipate wakuoa jmn like zenu
The rayvanny we knew from old days ❤❤
Rayvanny broo nakukubali sana kak
Vizuri sana bro, sijuwi ulikuwaka nasubiria nini my bro nyimbo kali hii 🥰🥰🥰
likes za vanny zikam...... toka kenya
Unymaa❤❤❤❤❤❤
Now this is rayvanny ,much love from kenya
Happy Valentine's to our Artist allover the world 🌎
UNYAMAA 🔥🔥
❤❤❤❤ nimeipenda san iyi😂ngoma
Kwanini ulichelewesha vibaya ngoma ilikuwa imeisha it na ilikuwa imeisha sahulikwa 🎉🎉
Happy Valentine 🎉❤ 💖
Huyu ni Ray ambaye kwa muda nimemumiss ....napenda ukikaa hvi ...Much love Vanny boy ..usisuke matuta tena maana huu ndo mwonekano bora
Chuiiiiiiii❤❤❤❤, wapi likes zangu kutoka Kenya Jamani?
Nyimbo za taratibu Una Uwa Kaka blessing Talent
Happy Valentine day
Mama umeagalia wimbo huu zaidi ya maraa 5 mim naomba like jamAn plz
Wish this video vixen was Fahyma kwani unamuproposia lini aki😢❤😊