Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Shukraan sana badia nzuriii mashaallah mate yanitoka😋 nitajaribu na mie
IN'SHA'ALLAH shoukran
Nzuri sanaa,recipe! 😋👌🏻 ila ungekuwa unafahamisha kwa sauti! Ingezidi kunoga..
Thnx,
Hbr
Masha allah
Asante
mashallah.. shukraan ukhty😍😍😍
Afwan habibty
Mashallag
Shoukran
Jamani naomba kujua jinsi ya kutoa maganda ya kunde maana nimeloweka toka Jana hayajatoka msaada
Zikishavimba unazisugua sugua maganda yanatoka muda mwengine hubaki kidg lakin zikishavimba mara nyingi maganda hutoka ukizisugua sugua
Yummy! A must try Thank you
OK
Huweki baking powder au baking soda?
I miss you so much
Miss you too
😍😋
Hongera. Hicho chakusagia kinaitwa nini? Nikanunue
Food processor
Ma xha Allah mapixhi matamu xana
Nitajarb kupka lkn nawez kusagia na maj tng mwanz
Enhe unawez
Hbr?nikihitaji mashine ya kusagia bagia napataje
Nadhan maduka yanayouza vyombo au vitu vya umeme unaweza kupata
Hi question so u don't have to boil the black eye peas love ur cooking though
Yeah no need to boil it My Dear
Thanx a lot my Dear
@@mapishiyazanzibar by the way the dengu kwa groceries inaitwa white peas ama
Pambe
Huweki baking powder?
Ukipenda unaweka baking powder kidg ila mie siwek
Huweki chapamandashi ?
Hapana, mimi siwek
Ila wengine wanaweka
Majani ya kotmiri nini kwa English
Coriander
Kwani wewe ni bubu huwezi ongea 🙉
Sio bubu Namshukuru mungu.. nimetaka kuonyesha Mapishi tu .. Kuna wengi pia hawaongei
modnal's cooking samahani basi,Asante sana nime like video
@@mapishiyazanzibar , dada hongera kwa upishi wako mzuri. Wasofuata mapishi, achana nao Dada mpenzi.
Asante dear
M.mungu aibariki kazi ya mikono yako..Inshallah 🤲🏻
Xxx
Shukraan sana badia nzuriii mashaallah mate yanitoka😋 nitajaribu na mie
IN'SHA'ALLAH shoukran
Nzuri sanaa,recipe! 😋👌🏻 ila ungekuwa unafahamisha kwa sauti! Ingezidi kunoga..
Thnx,
Hbr
Masha allah
Asante
mashallah.. shukraan ukhty😍😍😍
Afwan habibty
Afwan habibty
Mashallag
Shoukran
Jamani naomba kujua jinsi ya kutoa maganda ya kunde maana nimeloweka toka Jana hayajatoka msaada
Zikishavimba unazisugua sugua maganda yanatoka muda mwengine hubaki kidg lakin zikishavimba mara nyingi maganda hutoka ukizisugua sugua
Yummy! A must try Thank you
OK
Huweki baking powder au baking soda?
I miss you so much
Miss you too
😍😋
Hongera. Hicho chakusagia kinaitwa nini? Nikanunue
Food processor
Ma xha Allah mapixhi matamu xana
Nitajarb kupka lkn nawez kusagia na maj tng mwanz
Enhe unawez
Hbr?nikihitaji mashine ya kusagia bagia napataje
Nadhan maduka yanayouza vyombo au vitu vya umeme unaweza kupata
Hi question so u don't have to boil the black eye peas love ur cooking though
Yeah no need to boil it My Dear
Thanx a lot my Dear
@@mapishiyazanzibar by the way the dengu kwa groceries inaitwa white peas ama
Pambe
Huweki baking powder?
Ukipenda unaweka baking powder kidg ila mie siwek
Huweki chapamandashi ?
Hapana, mimi siwek
Ila wengine wanaweka
Majani ya kotmiri nini kwa English
Coriander
Kwani wewe ni bubu huwezi ongea 🙉
Sio bubu Namshukuru mungu.. nimetaka kuonyesha Mapishi tu ..
Kuna wengi pia hawaongei
modnal's cooking samahani basi,Asante sana nime like video
@@mapishiyazanzibar , dada hongera kwa upishi wako mzuri.
Wasofuata mapishi, achana nao Dada mpenzi.
Asante dear
M.mungu aibariki kazi ya mikono yako..Inshallah 🤲🏻
Xxx