JENGA TABIA NA HIZI UTAFANIKIWA SANA | Ezden Jumanne

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Tabia unazotakiwa kujenga ili kufikia mafanikio yako. Karibu sana katika somo hili tujiongezee ufahamu zaidi kupitia kitabu cha jinsi ya kufikia ndoto zako kiliachoandikwa na Godius Rweyongeza.
    .
    NUNUA KITABU HIKI LEO:
    Wasiliana na mwandishi (Godius Rweyongeza)
    SIMU: 0755848391
    BEI: 20,000 TZS
    .
    Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
    Instagram: @ezdenjumanne
    Twitter: @ezdenjumanne
    Facebook: Ezden Jumanne
    Phone: (+255)759 191 076
    Website: tinyurl.com/voi...
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @mediacraftstudiotz
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    tinyurl.com/mat...
    .
    .
    #tabia #Mafanikio #Ezden

Комментарии • 116

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork  2 года назад +10

    NUNUA KITABU HIKI LEO:
    Wasiliana na mwandishi (Godius Rweyongeza)
    SIMU: 0755848391
    BEI: 20,000 TZS

  • @Nature_adventure
    @Nature_adventure 2 года назад +17

    02:50 1. Kusoma vitabu
    04:30 2. Kuamka mapema asubuhi
    05:33 3. Kupenda kuandika
    06:38 4. Kunywa maji
    08:10 5. Tunza kumbukumbu kwenye notebook yako
    08:56 6. Kuweka akiba na kuongeza kipato

  • @Dallasbarbers05
    @Dallasbarbers05 2 года назад +10

    Tabia ya kusoma vitabu vya dini kila siku mfano Quran... Shukran kwa somo lako zuri

  • @fadhlunsaggaf8240
    @fadhlunsaggaf8240 11 месяцев назад +4

    Tibia nyengine ninayo. Ona mm ni kutoa salamu na kusaidia wengine au Sadaka mambo hayo yata kujenga kuwa mtu mwenyevmahusiano mazuri na watu navkujihisi mtu bora kwani wema malipo yake nimakubwa zaidi kwa ww binafsi na wengine

  • @nhguyrff7350
    @nhguyrff7350 Год назад +4

    Kaka mungu akupe uwezo Zaid endelea kuongeza mambo manzuri Mimi naitwa mchungaji yakobo nipo mkoa wa Mara sirari hogera Sana Kaka gog bless you brother

  • @rejoicekamonya8995
    @rejoicekamonya8995 Год назад +2

    Nashukuru sana nimejifuza mengi kutoka kwako

  • @omarmahirizi
    @omarmahirizi 2 года назад +2

    Kwakweli kaka ezden masomo yako yanafaida kubwa sana tukilinganisha na ulimwengu wasasa haya ndio masomu yatakayo saidia watu zaidi ALLAH AKUPE HEKIMA ZAIDI

  • @Daniel-co9ol
    @Daniel-co9ol 2 года назад +4

    Naishi Ohio, kila mara masomo yako inanijenga sana kaka, keep it up and lord will reward u

  • @stevenmatheo7134
    @stevenmatheo7134 28 дней назад +1

    Hizi Tabia Naona ni kubwa kwangu ahsante na ubarikiwe

  • @HadiyaMuhammed-tt2xs
    @HadiyaMuhammed-tt2xs 2 месяца назад +1

    Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah

  • @HadiyaMuhammed-tt2xs
    @HadiyaMuhammed-tt2xs 2 месяца назад +1

    Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah

  • @FadhiliTOM
    @FadhiliTOM 22 дня назад +1

    Ongera sana bro mnatusaidia sana mungu awa barik

  • @kadior_dream_believer
    @kadior_dream_believer Год назад +1

    Asante kaka mungu akubariki

  • @wababyamungu2646
    @wababyamungu2646 2 года назад +1

    Tunashukuru tunguzangu kwakutuhimarisha kwaushauri wamafanikiyo, Mungu peke awazidishiye.

  • @innocentmushi2721
    @innocentmushi2721 Год назад +1

    #Ezden #Mafanikio Mungu akubariki sana bro najifunza vitu vipya kila iitwaayo siku kutoka kwako, much respect to you bro

  • @MagrethKaduma-m6e
    @MagrethKaduma-m6e Год назад +1

    Hakika mwenyezi Mungu akubariki Sana. Nikianza program ya vijana nitakutafuta.

  • @SituSitu-vu3wn
    @SituSitu-vu3wn 3 месяца назад +1

    Shukran kaka nakufata ❤

  • @FatmaAbdulkadir-in2zx
    @FatmaAbdulkadir-in2zx 4 месяца назад +1

    MashAllah nimepata faida ktk kuweka akiba

  • @stephen9856
    @stephen9856 Год назад +3

    Safi sana kaka mungu akubariki

  • @travismarlon
    @travismarlon 7 месяцев назад +1

    mpo vizuri sana

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 2 года назад +3

    Good learning skills content

  • @sharifamsuri
    @sharifamsuri Год назад +1

    Mashallah Mafunzo mazuri

  • @GilvistaLucasSimone-nj1kw
    @GilvistaLucasSimone-nj1kw 11 месяцев назад +1

    Napenda sana video vyako. Está de parabéns. Moçambique

  • @JoshuaMolen-oc3vi
    @JoshuaMolen-oc3vi Год назад +1

    Mkoko vizuri san

  • @adelaideongoma8097
    @adelaideongoma8097 Год назад

    Shukran Bw.Ezden

  • @ElizabethNdowo
    @ElizabethNdowo 9 месяцев назад +1

    Asant kaka ezden

  • @neyluge6951
    @neyluge6951 Год назад +1

    Asante San

  • @julianaharrison4356
    @julianaharrison4356 2 года назад +3

    Mimi nilikuwa napenda kuandika kila jambo langu linavyokuja mwanaume wangu akawa ananiambia upo kama kichaa kuandika kuandika . Mpaka leo ndio tabia yangu imenisaidia sana

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  2 года назад +1

      Hahahaha... Tabia ya kuandika kuandika ikamsaidia kichaa🤣🤣🤣. Hongera sana Juliana

  • @IreneMayanja
    @IreneMayanja Месяц назад

    Asante kwa somo..

  • @imankya7346
    @imankya7346 Год назад +1

    Mungu akubrik san kak kwa elimuyako unayo tupatia

  • @ireneemmanuel1637
    @ireneemmanuel1637 4 месяца назад

    Asalam aleykum warahmatullah waabarakatuh ,
    Naomba nisaidie kitabu cha "MAAJABU YA KUSOMA VITABU"

  • @feisalakbar4759
    @feisalakbar4759 9 месяцев назад

    Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla

  • @AugustPro-f3c
    @AugustPro-f3c Год назад

    Asante ubarikiwe❤❤

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 5 месяцев назад

    Shukran sana

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 2 года назад +3

    Nimependa sana somo hili kaka Ezden

  • @noellameckkapinga8672
    @noellameckkapinga8672 Год назад

    Shukrani kaka nimejifunza kitu leo

  • @NelsoneKaaya
    @NelsoneKaaya Год назад +1

    ❤ brother thank you so much 🙏❤️

  • @AshaMasoud-dt9xd
    @AshaMasoud-dt9xd Год назад +1

    So nice my brother ,nimependa maoni yako mungu akuuze kazi yako hii

  • @yussufoupaulo4940
    @yussufoupaulo4940 2 года назад +1

    Safi kabsa kaka Yussuph kutoka Mozambique Estamos junto tuko pamoja

  • @mainiyanyoka254
    @mainiyanyoka254 Год назад +1

    Nikweli kabisa

  • @umunazaarabdulhamid965
    @umunazaarabdulhamid965 Год назад +1

    Good job

  • @davidnjue6274
    @davidnjue6274 2 года назад +1

    Teacher ezde Mimi nakufuatilia nikiwa nrbi Kenya nitapata kitabu aje like elimu ya msingi ya fedha

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  2 года назад

      Kitabu kinapatikana tafadhali niandikie whatsapp +255759191076

  • @jameskagulu4228
    @jameskagulu4228 2 года назад +1

    Asante sna bro

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Год назад +1

    Mim sijui Nina tatizo gani kwenye kusoma nakala ndefu vitabu yaan siwezi

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  10 месяцев назад

      Kaa karibu Kuna kitabu kidogo nakitoa hivi karibuni kitakusaidia sana kuishinda hiyo hali...

  • @housemanagmentfinishing1151
    @housemanagmentfinishing1151 2 года назад

    shukrani kaka ezden nimejifunza kitu kutoka kwenye somo hili

  • @Bboymnyam25
    @Bboymnyam25 2 года назад +1

    Thanks brother

  • @habibaally2943
    @habibaally2943 2 года назад +1

    Shukran

  • @JofreyShadrack
    @JofreyShadrack 9 месяцев назад

    Safsanaa

  • @TommyMkilya
    @TommyMkilya 6 месяцев назад

    Nimependa San somo rako Ndio mna kila crp nafatilia sna

  • @seraphinentimpirangeza4633
    @seraphinentimpirangeza4633 Год назад +1

    safi saa kaka kazi nzuri kabisa,ila umesahau kutwachia ile e mail kwa ajili ya kile kitabu cha bure

  • @salehabdallah2737
    @salehabdallah2737 2 года назад +2

    ALLAH akulipe bro

  • @kennedynovath3602
    @kennedynovath3602 Год назад

    kaka naomba bas iko kitabu jaman

  • @omarmahirizi
    @omarmahirizi 2 года назад

    Kwanza Hio tabia ya kuweka hakiba ni muhimu zaidi

  • @godifundii
    @godifundii Год назад +1

    San bloo

  • @omarmahirizi
    @omarmahirizi 2 года назад

    Naomba kitabu tafadhali

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Год назад

    Shukran sana naelimika kupitia masomo yako

  • @mussadionizi9418
    @mussadionizi9418 2 года назад +1

    God bless you my brother.. Ezden

  • @festoamos_tz
    @festoamos_tz 2 года назад +1

    Safi sana

  • @muranisalim3572
    @muranisalim3572 2 года назад +1

    Wow

  • @gabrielapril1469
    @gabrielapril1469 2 года назад +1

    Aksante sana bro.

  • @mickpatrick3375
    @mickpatrick3375 2 года назад

    Amin

  • @sozishija7978
    @sozishija7978 2 года назад +1

    💕

  • @noelsaidi7144
    @noelsaidi7144 2 года назад

    Naipenda

  • @paulmbuya4880
    @paulmbuya4880 2 года назад

    Thanks Br...
    #FACT!!

  • @edisonjoseph4087
    @edisonjoseph4087 2 года назад

    Ahsante sana

  • @pastorcarolicarlostokunmbo826
    @pastorcarolicarlostokunmbo826 2 года назад +1

    Maajabu ya kusoma vitabu. Please where us an email i want the book brother.

  • @HappyG-zk9qb
    @HappyG-zk9qb Год назад +1

    Unge soma zote

  • @rubbenmacha7254
    @rubbenmacha7254 Год назад

    Masomo yenu mazur

  • @subiramahmoud6863
    @subiramahmoud6863 2 года назад +1

    Naamini sana bro

  • @evancebruno8659
    @evancebruno8659 2 года назад +1

    Kunywa Maji utaposikia kiu tuu ili kuepuka magonjwa yanayotakan fluid over load Kama magojwa ya figo na moyo

  • @LebahatiMichael
    @LebahatiMichael 3 месяца назад

    Tuma namba ya mwandishi wa hicho kitabu

  • @mustafadjuma6504
    @mustafadjuma6504 Год назад

    Shukrain akiba ni yamuhimu san

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Год назад

    ASANTE

  • @ramzmw1763
    @ramzmw1763 2 года назад +1

    Nice bro, keep it on, najifunza vitu vingi kutoka kwako bro.
    kutoka huku Malawi🇲🇼

  • @zeynabmohamedzeynab4753
    @zeynabmohamedzeynab4753 Год назад

    Mm nikinywa maj kila saa mkojooo🤔

  • @graciousnodphrey1610
    @graciousnodphrey1610 Год назад

    Mmezingua background

  • @pontianrweyongeza6240
    @pontianrweyongeza6240 Год назад +1

    Vitabu tunakupenda rakini atuvioni uku mkoa wa kagera

  • @abdulazizzali6218
    @abdulazizzali6218 2 года назад +1

    Nataka kitabu hichoo

  • @chefkesy
    @chefkesy Год назад +1

    Naeza pata kitabu nikiwa kenya ??

  • @HemedMwangu-og3fd
    @HemedMwangu-og3fd Год назад

    Navipata wapi hivyo viabu

  • @johnrenard492
    @johnrenard492 2 года назад

    Nataka kitabu guvu ya vitu vidogo kuwa vikubwa

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op Год назад

    poa

  • @isabellakomba7220
    @isabellakomba7220 2 года назад +1

    Naomba namba na email. Nahitaji kunujua kitabu

  • @FadhiliTOM
    @FadhiliTOM 22 дня назад +1

    Ongera sana bro mnatusaidia sana mungu awa barik

  • @wababyamungu2646
    @wababyamungu2646 2 года назад +1

    Tunashukuru tunguzangu kwakutuhimarisha kwaushauri wamafanikiyo, Mungu peke awazidishiye.

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 года назад

    Asante.

  • @maliyawatubusiness
    @maliyawatubusiness 2 года назад

    Thanks bro