JENGA TABIA NA HIZI UTAFANIKIWA SANA | Ezden Jumanne
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Tabia unazotakiwa kujenga ili kufikia mafanikio yako. Karibu sana katika somo hili tujiongezee ufahamu zaidi kupitia kitabu cha jinsi ya kufikia ndoto zako kiliachoandikwa na Godius Rweyongeza.
.
NUNUA KITABU HIKI LEO:
Wasiliana na mwandishi (Godius Rweyongeza)
SIMU: 0755848391
BEI: 20,000 TZS
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
Instagram: @ezdenjumanne
Twitter: @ezdenjumanne
Facebook: Ezden Jumanne
Phone: (+255)759 191 076
Website: tinyurl.com/voi...
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @mediacraftstudiotz
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
tinyurl.com/mat...
.
.
#tabia #Mafanikio #Ezden
NUNUA KITABU HIKI LEO:
Wasiliana na mwandishi (Godius Rweyongeza)
SIMU: 0755848391
BEI: 20,000 TZS
Naitaji kusoma
02:50 1. Kusoma vitabu
04:30 2. Kuamka mapema asubuhi
05:33 3. Kupenda kuandika
06:38 4. Kunywa maji
08:10 5. Tunza kumbukumbu kwenye notebook yako
08:56 6. Kuweka akiba na kuongeza kipato
Safi sana Lucas...
Asante bro, kwa ushauri wako
Kunywa maji
Tabia ya kusoma vitabu vya dini kila siku mfano Quran... Shukran kwa somo lako zuri
Naam shukrani sana kaka
bonjour nitapajtaje kitabu?
Tibia nyengine ninayo. Ona mm ni kutoa salamu na kusaidia wengine au Sadaka mambo hayo yata kujenga kuwa mtu mwenyevmahusiano mazuri na watu navkujihisi mtu bora kwani wema malipo yake nimakubwa zaidi kwa ww binafsi na wengine
Kaka mungu akupe uwezo Zaid endelea kuongeza mambo manzuri Mimi naitwa mchungaji yakobo nipo mkoa wa Mara sirari hogera Sana Kaka gog bless you brother
nashukuru sana Mchungaji, Pamoja sana
Nashukuru sana nimejifuza mengi kutoka kwako
Kwakweli kaka ezden masomo yako yanafaida kubwa sana tukilinganisha na ulimwengu wasasa haya ndio masomu yatakayo saidia watu zaidi ALLAH AKUPE HEKIMA ZAIDI
Amiin
Naishi Ohio, kila mara masomo yako inanijenga sana kaka, keep it up and lord will reward u
Hizi Tabia Naona ni kubwa kwangu ahsante na ubarikiwe
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah
Maashallah tabaarakallah 😊😊
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah
Ongera sana bro mnatusaidia sana mungu awa barik
Asante kaka mungu akubariki
Tunashukuru tunguzangu kwakutuhimarisha kwaushauri wamafanikiyo, Mungu peke awazidishiye.
#Ezden #Mafanikio Mungu akubariki sana bro najifunza vitu vipya kila iitwaayo siku kutoka kwako, much respect to you bro
Hakika mwenyezi Mungu akubariki Sana. Nikianza program ya vijana nitakutafuta.
Shukran kaka nakufata ❤
MashAllah nimepata faida ktk kuweka akiba
Safi sana... Anza sasa
Safi sana kaka mungu akubariki
mpo vizuri sana
Good learning skills content
Mashallah Mafunzo mazuri
Napenda sana video vyako. Está de parabéns. Moçambique
Thank you
Mkoko vizuri san
Shukran Bw.Ezden
Asant kaka ezden
Asante San
Mimi nilikuwa napenda kuandika kila jambo langu linavyokuja mwanaume wangu akawa ananiambia upo kama kichaa kuandika kuandika . Mpaka leo ndio tabia yangu imenisaidia sana
Hahahaha... Tabia ya kuandika kuandika ikamsaidia kichaa🤣🤣🤣. Hongera sana Juliana
Asante kwa somo..
Mungu akubrik san kak kwa elimuyako unayo tupatia
Asalam aleykum warahmatullah waabarakatuh ,
Naomba nisaidie kitabu cha "MAAJABU YA KUSOMA VITABU"
Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla
Asante ubarikiwe❤❤
Shukran sana
Nimependa sana somo hili kaka Ezden
Karibu sana
Shukrani kaka nimejifunza kitu leo
❤ brother thank you so much 🙏❤️
So nice my brother ,nimependa maoni yako mungu akuuze kazi yako hii
Safi kabsa kaka Yussuph kutoka Mozambique Estamos junto tuko pamoja
Nikweli kabisa
Good job
Teacher ezde Mimi nakufuatilia nikiwa nrbi Kenya nitapata kitabu aje like elimu ya msingi ya fedha
Kitabu kinapatikana tafadhali niandikie whatsapp +255759191076
Asante sna bro
Mim sijui Nina tatizo gani kwenye kusoma nakala ndefu vitabu yaan siwezi
Kaa karibu Kuna kitabu kidogo nakitoa hivi karibuni kitakusaidia sana kuishinda hiyo hali...
shukrani kaka ezden nimejifunza kitu kutoka kwenye somo hili
Thanks brother
Shukran
Safsanaa
Nimependa San somo rako Ndio mna kila crp nafatilia sna
safi saa kaka kazi nzuri kabisa,ila umesahau kutwachia ile e mail kwa ajili ya kile kitabu cha bure
ALLAH akulipe bro
Allahumma ameen
kaka naomba bas iko kitabu jaman
Kwanza Hio tabia ya kuweka hakiba ni muhimu zaidi
San bloo
Naomba kitabu tafadhali
Shukran sana naelimika kupitia masomo yako
Karibu sana Rehema
Ahsante nimesha karibia tupo pamoja
God bless you my brother.. Ezden
Thank you Brother
Safi sana
Wow
Aksante sana bro.
Amin
💕
Naipenda
Thanks Br...
#FACT!!
Ahsante sana
Maajabu ya kusoma vitabu. Please where us an email i want the book brother.
Unge soma zote
Okay... lakini katika hayo machache naamini umepata jambo
Masomo yenu mazur
Naamini sana bro
shukrani sana...karibu sana
Kunywa Maji utaposikia kiu tuu ili kuepuka magonjwa yanayotakan fluid over load Kama magojwa ya figo na moyo
asante kwa maoni brother...
Tuma namba ya mwandishi wa hicho kitabu
Shukrain akiba ni yamuhimu san
ASANTE
niko BURUNDI ni MAmy
Nice bro, keep it on, najifunza vitu vingi kutoka kwako bro.
kutoka huku Malawi🇲🇼
Wow wasalimie hapo Malawi
Mm nikinywa maj kila saa mkojooo🤔
Mmezingua background
Vitabu tunakupenda rakini atuvioni uku mkoa wa kagera
tuwasiliane tafadhali... njoo whatsapp 0759191076
Nataka kitabu hichoo
soma comment ya kwanza tafdhali
Naeza pata kitabu nikiwa kenya ??
Naam. Njoo What'sApp
Navipata wapi hivyo viabu
tuma ujumbe wahtsap andika neno VITABU 0759191076
Nataka kitabu guvu ya vitu vidogo kuwa vikubwa
poa
Naomba namba na email. Nahitaji kunujua kitabu
Soma comment ya kwanza (pinned one)
Ongera sana bro mnatusaidia sana mungu awa barik
Tunashukuru tunguzangu kwakutuhimarisha kwaushauri wamafanikiyo, Mungu peke awazidishiye.
Asante.
Thanks bro