SHOW: Mahojiano ya The Mboni Show na Linda Bezuidenhout (Part 1)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Baada ya The Mboni Show kuingiza miguu Nchini Marekani tulifanikiwa kukutana na Mtanzania tunaye mtambua ambaye anaishi huko. Linda Bezuidenhout ni dada wa Kitanzania ambaye ni mbunifu wa mavazi yaani ni Fashion Designer wa mitindo ya nguo. Shughuli zake huwa anazifanyia Atlanta Georgia huko Marekani.
    Kumbuka Linda Bezuidenhout ni Mama wa watoto wa nne, kifupi ni mke wa mtu, Pia ni Dada wa aliyekuwa mshindi wa Big Brother Africa Tanzania 2007 Richard Dyle Bezuidenhout. Hivyo kupitia Show hii Linda kuzungumza vitu vingi Twende tukaitazame Show usisahau ku- Subscribe.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 2

  • @karamanazareno1556
    @karamanazareno1556 6 лет назад +2

    Linda is so charming, strong, courageous, pretty, 💪💪❤❤❤❤❤I appreciate you so bad❤❤❤❤❤

  • @julianajulius4556
    @julianajulius4556 3 года назад +1

    Nampenda huyu dada