Kishindo Cha wakoma | Njiro SDA | Mchungaji Eliona Kimaro At Lucas & Winrose wedding 💍 Celebrations
HTML-код
- Опубликовано: 13 мар 2024
- With jubilant exuberance, Rev. Dr. Eliona Kimaro orchestrates the procession of the bride 👰 and groom 🤵, alongside esteemed guests, in commemorating the union of his son Lucas Kaaya & Winrose. 🎉 Enlivening the occasion are the resounding melodies 🎶 and rhythmic cadences of the KISHINDO CHA WAKOMA. 🎵 This momentous celebration is imbued with an ineffable sense of elation and felicity, permeating the air with palpable vivacity 💃 and boundless affection ❤️.
Video Music: • Kishindo Cha Wakoma
Barikiweni sana na karibuni sana Njiro SDA church kwa nyimbo zingine nyingi. Hakika mmeutendea haki huu wimbo
Nawapenda sana MUNGU aendelee kuwainua
Mchungaji kimaro Mungu wa Mbinguni akujalie katika huduma yako.
Kimaro hanaga ubaguzi wa dhehebu barikiwa sana mchungaji
I'm glad to see you happy my pastor KIMARO. May the joy of the Lord be your strength. You look good and wishing you continue to glorify the Lord always🎉❤.
Saaafi,huu wimbo unanibariki sanaa yani ukiimbwa najiskia kupaa kabisaa
Wimbo mmeutendea haki....🌹🌹
❤❤ Baba Kimaro na mwanae Elias mmeutendea haki kabisa wimbo🎉
Nilipenda,ninaipenda nitapenda na wapenda Mungu awatunze
Mchungaji unatisha mungu akubariki
Nampenda sana mch kimaro jaman
Hakika wewe kimaro ni pastor wa mufano mungu wetu wa mbinguni akupe maisha marefu
Mchungaji Kimaro❤❤❤❤
Wao nimefurahi kumuona Mchungaji Kimaro
Kimaro Mungu akubariki..
Pstr Kimaro mubarikiwe sana na Mungu azidi kuwaongoza wewe na mke wako mpendwa
Na mimi nimemwona Kimaro ktk ubora wake. Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu.
Nimefurah sana kumwona kimaro,isanja na exaud nnko
Wao Mtumishi Pallangyo Mungu akutunze Mungu aibariki ndoa mpya
❤hakika ni ushindi mkuu
Hawa ni waisrael kwelikweli.🎉🎉🎉 Mbarikiwe
Wow nimependaa
Arusha mko vizuri his nyimbo nzuri sawa na ile kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Mbarikiwe watumishi wa Mungu 🙏❤️❤️🥰
Waoooo mch kama nayeye mwanakwaya kwakweli umejua kuutendea haki wimbo na mtumish Eliona naye yupo vizur
Dr.Kimaro umependezea na unacheza wimbo huu kwa madaha kwelikweli, MUNGU anakupenda kwelikweli. Unatupa moyo saana, kuabudi na kusifu, jina la bwana libariwe. Aaamen
Kumbe na ninyi mnapenda kucheza sema mnabanwa na shelia eee
Ni furaha na upendo mkubwa!...
Kubarikiwa ndio huku sasa🙏
Aminaaaa, wimbo mzuri sanaaa
Hiyo ndoa if tuu kwa neema ya Kristo. Sio kwa kuserebuka kwa wachungaji hao. Mungu awabariki zaidi🙏
Idumu sorr
WONDERFUL moments, all joyous and energetic in dancing the SPECIAL song of the season! Lenten 🎉
Kimarooo!!!
Nimemfurahia kimaro sana
Hongereni sana 🎉
Mch kimaro ubarikiwe
Safi kabisa❤
Vizuri
Wonderful❤❤❤
Vizuri mchungaji magwaya
Rahaaaaa iliyojeeee
Kimaro god bless you
❤Amen
❤❤
❤❤❤❤
Namuona mchungaj peter
Blessings 🙏🏿
My favorite song....
amina mbarikiwa paster❤❤❤
🙏🙏🙏
good scriptual song
Fantastic song
😂hakika ni furaha
Good❤❤🎉
❤❤Pr. Kimaro na team yote,barikiwe!
Bwana awapiganie maarusi ,awape Furaha na Amani ktk ndoa yenu!
Pallangyo sasa
Huu wimbo kweli ni Babeli hii.Laudikia usipo tubu kinara kitazimwa
Kwanini useme ni babeli?
😂😂😂
Kwa utakatifu Gani wewe ulionao?! Hebu jichunguze!
hamna kitu hapo.me simtakatifu nikweli.lakini penye ukengeufu tusipasifie.Huo ni unafiki.wimbo huu miondoko yake haina sifa za SDA kabisa
Aya maneno kwenye bbry yapo kifungou gan
2wafalme 7:3-8
2 wafalme 6:1-20
Mchungaji Kimaro anaitendea haki fani yake
Barikiwa baba na utume wako
Big up
Nilipenda,ninaipenda nitapenda na wapenda Mungu awatunze
❤❤
❤❤