Mtandao wa kihalifu watiwa nguvuni Mbeya
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limefanikiwa kuwakamata watu nane akiwemo mwanamke mmoja wanaodaiwa kufanya harakati za kumuibia mfanyabisahara na wakala wa mitandao ya simu na Benki kwa kutoboa ukuta wa duka lake, wakilenga kuondoka na zaidi ya shilingi milioni 25.
#AzamTVUpdates
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Daaaa mpo vizuri makamanda wetu
Hizi sio zama za kabla ya 2015. 🙉
Kipind cha JPM nibalaa, wezi tulieni mtakufa wote mapema