Mtandao wa kihalifu watiwa nguvuni Mbeya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limefanikiwa kuwakamata watu nane akiwemo mwanamke mmoja wanaodaiwa kufanya harakati za kumuibia mfanyabisahara na wakala wa mitandao ya simu na Benki kwa kutoboa ukuta wa duka lake, wakilenga kuondoka na zaidi ya shilingi milioni 25.
    #AzamTVUpdates
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 3