AFRICA ALL STAR MUSIC FEST IN - TORONTO (PART 1)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Stream/Download:linktr.ee/Alikiba
    Listen to Alikiba on Digital Streaming:
    Audiomack: audiomack.com/...
    Apple Music: / alikiba
    Boomplay: www.boomplay.c...
    RUclips: / alikibaofficial
    Spotify: open.spotify.c...
    Connect with Alikiba on Social Media:
    Instagram: / officialalikiba
    Facebook: / officialalikiba
    Twitter: / officialalikiba
    Snapchat: / officialalikiba
    TikTok: / officialalikiba
    +For More Information Booking Alikiba:
    Contact:emailalikiba@gmail.com

Комментарии • 676

  • @zoazoatv522
    @zoazoatv522 6 лет назад +254

    km Unaona Ali Kiba ni msanii mwenye Akili Timamu kuliko wote Hapa TANZANIA gonga like tujuane

  • @djamanitvonline3623
    @djamanitvonline3623 6 лет назад +70

    Mambo ni mofayaaa gonga like Kama unamkubali king kiba mfalume wa muziki Tz 🔥🔥🎙💿🎤🎶

  • @gaaddafidastubbornbwoiy628
    @gaaddafidastubbornbwoiy628 6 лет назад +21

    Timu WAFISI wanaojiita wasafi leteni hapa likes za kwenu najua KING amewanyima usingizi kwa sanaaa

  • @malickmiraj2389
    @malickmiraj2389 6 лет назад +46

    Kama Canada wanakuelewa hivo,,wabongo ni kina nan mpaka wasikuelewe....perfecto king!!!!! Yooooooooo

  • @silvakannmathew4424
    @silvakannmathew4424 6 лет назад +24

    we Kiba ni noma yani ngoma hazichuji utafikili mpya tu. tabu iko palepale we ndo King of Africa.

  • @suleyolegba5494
    @suleyolegba5494 6 лет назад +4

    Your the best wewe ni utamu kunoga kila unachotuletea tunakipenda kwakweli tunapenda kazi ya sauti yako Mungu akubariki miaka na maisha marefu "Tunakupenda""Nakupenda Alikiba"

  • @vanessanyanda4148
    @vanessanyanda4148 6 лет назад +19

    Kiba hata asipotoa nyimbo miaka, kujua tu yupo hai na yupo vyema mimi inatosha Kwa kwel.. Love to you King..❤

  • @coco-hj4iw
    @coco-hj4iw 6 лет назад +10

    Never regret to be your fan and forever will your fan🙏🙏humbleness is the key for the life . Can’t explain how much I love your musics

  • @bakelly4154
    @bakelly4154 6 лет назад +21

    More luv 4rm KENYA yeaaap gonga like twnde sare

  • @nomad7707
    @nomad7707 6 лет назад +46

    All the way from Nairobi .........Much Love and Support kwako King kiba

  • @nellymollel4672
    @nellymollel4672 6 лет назад +5

    great music your role model for everyone's

  • @allanlenkaa2970
    @allanlenkaa2970 6 лет назад +6

    Msaniii mkubwaaaaaaa....jeshi la mtu mmoja..big up
    Unapendwa huku 🇰🇪

  • @leahwhite201
    @leahwhite201 6 лет назад +7

    Alikiba is the real deal the video was so #Awesome he is on Mo Fire🔥🔥🔥🔥💥👑he deserves all the KINGSHIP Hes unstoppable and humble @the same time which makesz him my favorite artist. SALUTE. TO ALIKIBA

  • @kijonalusay6498
    @kijonalusay6498 6 лет назад +85

    long life the king we love u kama unampenda king weka like

  • @mimokassim1887
    @mimokassim1887 6 лет назад +13

    the dont call him king for nothing........all the way from south africa mofaya on the beat,,,toronto on fire

  • @furgencyalila2115
    @furgencyalila2115 6 лет назад +30

    Sijawahi kujutia kuwa fans wa King Kiba , yoooooooooooooh!

  • @Iamraychris
    @Iamraychris 3 года назад +4

    2021 still watching this thou 🙈 I got a lot to learn from King Kiba

  • @monasaid73
    @monasaid73 6 лет назад +348

    Wakwaza kuangalia na kucomment maashallah kama wampenda king gonga like yako hapa

    • @darfulnationtv271
      @darfulnationtv271 6 лет назад +1

      Mona Said waoooh😘😘

    • @monasaid73
      @monasaid73 6 лет назад

      Darful Nation 😁😁😁

    • @lubavaclassic7048
      @lubavaclassic7048 6 лет назад +1

      Mona Said Mmmmmh Mona ukogo vizurii kama vile unalalaga RUclips kila sehem nakuonaga unatishaa Dada ake Mimi..!!

    • @monasaid73
      @monasaid73 6 лет назад +1

      Lubava Classic wajua mm notification zangu ziko on kila wakati

    • @lubavaclassic7048
      @lubavaclassic7048 6 лет назад

      Mona Said ooooh kumbee aya bhana nzuri dada

  • @simonbukuru1201
    @simonbukuru1201 6 лет назад +41

    saf kaz nzur had nchi za watu wamekuelewa kuwa ww ni king wa bongo flav

  • @henryhp5779
    @henryhp5779 6 лет назад +201

    Gonga like kama unamkubali king kiba 🔥🔥🔥🔥🔥

    • @samboy9177
      @samboy9177 6 лет назад

      🔥🔥🔥🔥

    • @joshuajoshua968
      @joshuajoshua968 5 лет назад

      Yaaaaaap yebaba pa 1 sanaa king kiba king music team rockstar

  • @officialallysonchalz4714
    @officialallysonchalz4714 6 лет назад +27

    kiba mm mfuasi wako daima mm chawa wako kwasababu unajua sana bdo sijaona kama ww Tz

  • @deogratiaselias3294
    @deogratiaselias3294 4 года назад +3

    King of music tz big up brother

  • @ComedyPlustz
    @ComedyPlustz 6 лет назад +3

    king kiba safi wanaomkubali walike hapa nione

  • @darhustler
    @darhustler 6 лет назад +4

    King is Always #KING

  • @tickvaodra2479
    @tickvaodra2479 6 лет назад +4

    Amazing....your music our entertainment keep moving King Kiba God has your back.

  • @shamsheryaj18
    @shamsheryaj18 6 лет назад +2

    King n king hata akiwa akistaaf atabaki kuitwa king tyu
    M nakubari kz yk
    Mo fiiiiiiiireeeeeeeeeeeeeeeeee
    Yaaaaaaah!!!!!!!!!!!!!!!!!

  • @jumamussa9732
    @jumamussa9732 6 лет назад +3

    Duuuuuuu!!! King kiba maana halisi ya msanii wa kimataifa,,mchezaji wa costal union...💥💥💥💥🇹🇿👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🇿

  • @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326
    @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326 6 лет назад +81

    Shemeji tunakupenda wa kenya

  • @mathiusmkenda5361
    @mathiusmkenda5361 6 лет назад +3

    King 4 real u wll remain to be a king cjutii kuwa fans wa mziki mkubwa na wakueleweka show nene xnaaaaa mambo ni hv 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @eliyasanga6374
    @eliyasanga6374 6 лет назад +4

    kama umegundua kiba ategemei nyimbo mpya gonga like chini hapo

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 6 лет назад +18

    #13 Kucomment
    Woyooo.. #ALIKIBA KAIMBA NAMJI MZIMA... What a great performance...😂😂😁💪💪💪
    Who also felt the test of the new song...
    #MOFAYA

    • @alikiba9723
      @alikiba9723 6 лет назад +1

      Ramazani Mulongeca watapata tabu sana yani duhh Historia tayari imeandikwa Toronto 🤴🏻🔥🇺🇸🇨🇩 +1

  • @Jilsonmihigo
    @Jilsonmihigo 6 лет назад +2

    king kiba weye ni sooo kabisa,tu restera toujour ma star préfère et j'aimerais t voir un jour chanter avec chris brown

  • @isayabomeza2178
    @isayabomeza2178 6 лет назад +29

    Wataelewa 2. Kiingereza ndo nini. Kuza lugha yetu ww kiswahili ndo mpango mzima.

  • @mrjonasi
    @mrjonasi 6 лет назад +62

    bgp sana bro wakilish Tz yetu. Tim king baba usipit bil kugonga like yako hapa 👇

    • @mayabashiri9664
      @mayabashiri9664 6 лет назад

      Jonas Mata jaman kiba unanikosha balaa we kwel king kiba👑👑👑❤💋

    • @hassanimohamedi8324
      @hassanimohamedi8324 6 лет назад

      Safi sana jeshi la mtu mmoja

  • @fatumaabdullahi3896
    @fatumaabdullahi3896 3 года назад +6

    This song bring members back 🥰🥰🥰❤️❣️6:06

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 6 лет назад +24

    king utakuwa king milele but hadi nje ya nchi inakuwa hiv dah hatari sana nakukubali hadi dunia inaisha

  • @masoudabdillah7668
    @masoudabdillah7668 6 лет назад +16

    No comment kama ni mwalimu wa shule za msingi wewe ni headmaster wao

  • @queenjohm3451
    @queenjohm3451 6 лет назад +37

    nakupenda kiba Baba kijacho

  • @nishaimisskampalamugisha4772
    @nishaimisskampalamugisha4772 5 лет назад +1

    Waawoo I like all my African brothers and sisters one love

  • @henryhp5779
    @henryhp5779 6 лет назад +60

    Mofaya king kiba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @winifridawabarega5975
    @winifridawabarega5975 5 лет назад

    Jamani Alikiba ni nomaa we mkali ntakupenda miaka 100❤❤❤👌👌👌 show love to king kiba yebabaaaaaaa# ali mofayaaaa njoo upige show na huku kwetu USA babaaaaa

  • @deogratiaselias3294
    @deogratiaselias3294 4 года назад +1

    Kama umemsoma king akiitembea na bonge ya song macmuga gonga like twende sawa

  • @coco-hj4iw
    @coco-hj4iw 6 лет назад +4

    You very handsome,talented and very humble ❤️❤️❤️❤️😊😊

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 6 лет назад +31

    Yani ww kiba navokupenda allah ndo anajua nioe bc mke wa pili 😂😂😗😘

  • @movie_zone254
    @movie_zone254 6 лет назад +4

    Long live the KING!

  • @herbskassim4948
    @herbskassim4948 6 лет назад +10

    Kibaaa for life mambo ni 🔥 🔥 🔥

  • @jamesmunguti7569
    @jamesmunguti7569 6 лет назад +18

    Kingking of bongo

  • @abdulramadhan981
    @abdulramadhan981 6 лет назад

    Song zina takribani 4years but watu wanaimba Mwanzo mwisho naina Radha kama ya Jana Respect kwa King kiba ...kama umeliona hili Gonga like hapa Tuache ubinafsi2 ahaha

  • @mariekogota7781
    @mariekogota7781 6 лет назад +26

    nunzuli sana. Alikiba
    👏👏👏🔥🔥🔥wow. Ooh. my. God. nzilisana munzice

  • @christinekas5696
    @christinekas5696 6 лет назад +6

    Wauh ! Instopable 🔥🔥🔥🔥✋

  • @willy_geniuz7336
    @willy_geniuz7336 6 лет назад +17

    You deserve to be a king @officialalikiba

  • @Sabrina-rg7tu
    @Sabrina-rg7tu 6 лет назад +15

    King kiba l love you😘😘🔥🔥🔥

  • @chikondotv6530
    @chikondotv6530 6 лет назад +23

    Tisha sana king kibaaaaaaaaàaa

  • @danielmichael2491
    @danielmichael2491 6 лет назад

    nakubali king uko kivyako tu yaani hebu achia ngoma moja tu mzee inatutosha

  • @centvcentv1252
    @centvcentv1252 6 лет назад +4

    who else listening to the show while scrolling to read the comments** #king kiba
    #mo fire more flavour

  • @salehemhando7078
    @salehemhando7078 6 лет назад +21

    Sana tu mwanangu

  • @darfulnationtv271
    @darfulnationtv271 6 лет назад +40

    hiyo mash up ya cindelela tamu aiseeeee

  • @fettyharrison3068
    @fettyharrison3068 5 лет назад +1

    Dah ww mkareee .. sindelela km imetoka leo 😍😍😍😍

  • @maxmrosso2786
    @maxmrosso2786 5 лет назад

    Aisee kiba unakubilika aisee nyimbo ya long time sana dahhh mungu azid kukupa nguvu

  • @jumakaswelele2764
    @jumakaswelele2764 5 лет назад

    Tisha sana mtu mwenye busara zako ulio fundwa na wazaziwako mungu awenawe sikuzote kiba

  • @mahmoodelmi
    @mahmoodelmi 4 года назад

    Man Cinderella ni ngoma ambayo sitokaa nisahau kuiimba much love to alikiba

  • @bartyuro7477
    @bartyuro7477 4 года назад +1

    Moto KING yaaaah

  • @k24kipogo40
    @k24kipogo40 6 лет назад +56

    mzee baba canada ilizizima so we please usitoe nyimbo mpya tafadhal tutaview hizi show kwanza yaan we ni Africa king not Tz king

  • @gacalsheikh6807
    @gacalsheikh6807 6 лет назад +3

    Jeshi la mtu moja ..Kama unakubali nipe like

  • @mohamedbabu630
    @mohamedbabu630 6 лет назад +4

    The difference between Kiba and the so called Wasafi is simplicity of Ali Kiba.He focusses on delivering message to the fan instead of delivering infighting to the people.

  • @josephseleman7780
    @josephseleman7780 6 лет назад +55

    mm ni team kiba damudamu Kama na wewe ni Team kiba gonga like

    • @KhadijaKhadija-mk6jf
      @KhadijaKhadija-mk6jf 6 лет назад +2

      tupo

    • @salumahmada6921
      @salumahmada6921 5 лет назад

      Huyu utamkubali tu anajuwa huyu mtanzania na ni MTU mwenye mapesa sana hapend kujifaharisha kisha anajuwa mpaka kucheza mpira Ww muache

    • @salumahmada6921
      @salumahmada6921 5 лет назад

      Nipijie namba hii 0778094879

  • @ahmedali0333
    @ahmedali0333 5 лет назад +2

    Yeeeeeeeeeeebabaaaaaaaaa kama unamkubali king kibaaaaaaaa gongaaaaa like tuweeeeeeeeeeeee sawaaaaaa😀😂😂

  • @tonymnyamatv8483
    @tonymnyamatv8483 6 лет назад +2

    The KING 📀🆗

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 6 лет назад +5

    wow, that's amazing. Sikutegemea!

  • @jaybossmoses8080
    @jaybossmoses8080 6 лет назад +10

    Kiba Poa sana kijana

  • @ramsomathew6668
    @ramsomathew6668 6 лет назад +1

    kiba big up sana nakukubali mpk mwisho

  • @basamtz8674
    @basamtz8674 6 лет назад +15

    Like kwa kibaaa yebaabaaaaaaa yooooooo

  • @teresiahndungu8281
    @teresiahndungu8281 6 лет назад +17

    Kazi zako nazikubali kiba sana

  • @suleamber7252
    @suleamber7252 5 лет назад

    The teacher of Tanzanian and all African stars kingkiba

  • @wilondjajanvier4675
    @wilondjajanvier4675 3 года назад +2

    Alikiba for life#The king #

  • @jeannemk9592
    @jeannemk9592 6 лет назад +2

    King for life big up kiba❤😍 can't wait for you now song

  • @chishemabhebhe6967
    @chishemabhebhe6967 6 лет назад +1

    king king king kiba noma saana....... Ni Chumvi ya Bongo fleva bila yeye chakula hakina radha. waburute mzee. wataelewa tuuuuuu....... yooooooooh.

  • @majortv5154
    @majortv5154 6 лет назад +12

    Show kali bro. Salute 🙌

  • @chachalitohernandez4312
    @chachalitohernandez4312 6 лет назад

    #AliKiba King of bongo 👑🦁👈 mwenye wivu ajiyonge wapi nduru ya king kibaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa......

  • @kijonalusay
    @kijonalusay 2 месяца назад +1

    2024 am here

  • @jumamhozi8661
    @jumamhozi8661 6 лет назад +10

    king kiba jamani huyu anajua mpaka kelo!

  • @abdulazizabdallah9057
    @abdulazizabdallah9057 6 лет назад +1

    yeah baba aisee we mkali myaka yote umeamsha apo sio poa najiuliza taronto kiswahil wamejulia wapi maana wana mzuka kama wamkunywa MO FIRE 🔥 THE KING KIBA UNSTOPPABLE yeap

  • @shamimmwanyoha6686
    @shamimmwanyoha6686 6 лет назад +1

    imeweza kaka representing 254

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula3454 6 лет назад +1

    king kiba ww kiboko hata kuvaa kwako simple tu nakupenda hakika mambo ya kuiga iga

  • @aljunijohn5395
    @aljunijohn5395 5 лет назад +2

    Nimekuelewa alikiba kama na wew umemuelew gonga like

  • @dogogaga8804
    @dogogaga8804 6 лет назад +1

    Hahaaaah! Kujua kazi raha! Respect Sanaaaaaa

  • @lusajo
    @lusajo 6 лет назад

    Mfalme Kiba Rockstar mwenyewe...namba moja

  • @masudijuma7153
    @masudijuma7153 6 лет назад +1

    Kiukwel king kiba unajuwa hakuna wa kupambana na ww 100%

  • @hamadingulungohamadingulun5336
    @hamadingulungohamadingulun5336 6 лет назад +9

    umetisha king kiba

  • @makarokingi3144
    @makarokingi3144 6 лет назад +28

    Kingkiba mfalmeeee

  • @wilondjaalumbe1865
    @wilondjaalumbe1865 6 лет назад +11

    🔥Toronto 🔥

  • @idayakey6886
    @idayakey6886 6 лет назад +102

    😂 😂 king kiba kipenzi cha watu jeshi la mtu moja

  • @WilliamsAlexs-k4n
    @WilliamsAlexs-k4n 2 месяца назад

    wow

  • @mwinyiadno9495
    @mwinyiadno9495 6 лет назад +34

    Jeshi la mtu mmoja yebabaaaa yaaaaaaaap

  • @yelloyellobossalloo6478
    @yelloyellobossalloo6478 4 года назад +1

    U da bestest

  • @crispingerald3000
    @crispingerald3000 6 лет назад +2

    Hii imwende kijuso prent mngu anawaona wote wanaosema king so king gonga like kama 2ko pamoja

  • @johngasto7751
    @johngasto7751 6 лет назад +63

    Team Kiba
    Like zenu
    Hapa

  • @denisnsokolo7098
    @denisnsokolo7098 6 лет назад +13

    King kiba, ni noumaa aisee

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 5 лет назад +1

    Kaka hapa Mimi mikono juu duh inatakiwa ufanye namna ih kaka so anawakilisha diamond pekea unakosea unakuwa unakosea Mimi namfuatilia sana diamond pia inatakiwa kaka ally uwamin colable inakuza music usiwe unalala lala mzee

  • @habilimeshack5105
    @habilimeshack5105 5 лет назад +1

    Alikiba mzee baba unatisha sanaaa