Nisaidie kushare kwa wengi na usiache ku subcribe kama unabarikiwa na huduma hii. Kwa huduma za online lessons 0764686429. @stepuptutorial @Brizz_B_Lameck (IG)
Saf sana samahan Mtumishi sasa nakuomba utuelekeze pole pole kitu kimoja kimoja na napenda nijue vizur ndg yangu.naomba unisaidie nyimbo za kwahito jinsi zinavyo piga mizunguko yake .
Ndugu angu umebarikiwa sana
Natamani na mi niweze kupiga kinanda zaidi yako
Saf sana samahan Mtumishi sasa nakuomba utuelekeze pole pole kitu kimoja kimoja na napenda nijue vizur ndg yangu.naomba unisaidie nyimbo za kwahito jinsi zinavyo piga mizunguko yake .
Nimeipenda
👌
Noumaaa sanaaa
👊🏼
Can you get the second part of this tutorial. Well explained
So nice good job
Tanxx boss
Endelea more tutorials bro tunamic sana kazi zako...
Sawa sawa boss...nisaidie kushare zaidi
Bro nice play
..tunakuomba umalizie teachings tafathali
Mbna imekamilika hio bro
Kuma vitu ujamalizia kuvieleza ambavyo umevicheza hapo mwanzoni.... Fanya full breakdown
Ohoo ndo hizo alizobreakdown tuh yeye mwenyewe maana huyo xio mimi...ni Kennan meshack nilimshirikisha kwenye kipindi
Si unaeza mwambia acheye amalizie yote safadhali kuna vitu vitamu tumevisikia na tunataka avibreakdown
Sawa ntamwambia bro
Kenan Mechak deleted his account 😢.
What style is that you used?
What? Do u mean i dont get you...
I didn’t get you... which style you talking about
@@BrizzBond i mean the beat.
Ohoo that iz a sequence for worship
@@BrizzBond you are using the psr e453 as a midi?