MWANASHERIA AFUNGUKA KISHERIA SAKATA LA LAWI KUSAJILIWA SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • #simbasc #lamecklawi #usajilisimba #coastalunion

Комментарии • 60

  • @joshuataramo7317
    @joshuataramo7317 3 месяца назад +1

    Nadhan Simba haina Sababu kung'ang,ania Mchezaji Lameck Lawi . Mpango huo wa Usajili umeshaingiliwa . Maana hapo ilipofikia hapana Muafaka utakaopatikana. Tafuteni mchezaji mwingine. Aidha mkakae tena na Coast Union upya Ila kwa maoni yangu hamtaweza kuafikiana

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 3 месяца назад +2

    Wakili msomi ' kisheria kawaida ' ni sawa. Likini kama Magoli alivyosema 'sheria ya FIFA ' baada ya Coast Union kuona kuwa Simba hawakuweza kulipa kwa muda uliyowekwa walitakiwa watoe notice ya siku kumi kulipa ' haikutolewa ' muda huo ukipita ndio sheri ya kufuta huo mkataba unafanya kazi.
    Kwahiyi hayo ni ya Msomi Mwanasheria na haiwezi ikawa ndio uamuzi.

  • @DakiaNzunda
    @DakiaNzunda 3 месяца назад

    Simba wanabuni sehemu ya kubishana kila wakati. Wakiona hili ni kama linapoa wanaanzisha lingine jipya.

  • @gerowadamwandika669
    @gerowadamwandika669 3 месяца назад

    Wakili msomi Gani huyu? Atakuwa ni utopolo huyo, akwende zake hajui anachoongea😂😂😂 wakili wa mchongo huyu😂😂😂😂😂

  • @zamoyonimshindo5083
    @zamoyonimshindo5083 3 месяца назад

    kama kuna mkataba kwa maandishi inawezeka simba wakafeli lakini kama ni kwa maneno costo watafeli

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 2 месяца назад

    Wewe sio mwana Shelia ni utopolo tuta ona atakae shinda hii kesi

  • @gerowadamwandika669
    @gerowadamwandika669 2 месяца назад

    Simba hili swala msikubali liishe kienyeji watazoea hawa Coastal lipelekeni Fifa uamuzi utolewe huko, ili liwe fundisho kwa wengine wanaotaka kupindisha Sheria.

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 3 месяца назад +1

    Hela alizochukua mchezaji nazo zimeexpire

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 3 месяца назад

    Wakili upo sahihi wanalipaje mda wao nje ya makubaliano hiyo ni dharau kwa coastal kama timu ndogo ifike wakati hivi vilabu vidogo viwe na viongozi wanaojitambua kama coastal wasimamie masilahi ya taasisi sio mapenzi ya watu kufanya mpira wetu kukua zaidi

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 3 месяца назад

    Simba Hilo sakata mbona walishamaliza! Nyie mpo Tanzania kweli!

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 3 месяца назад +3

    Wakili msomi level gani? Kama mnunuzi alishafanya malipo ya awali alitakiwa kukumbushwa kumalizia malipo na endapo angeshindwa baada ya kukumbushwa ndiyo biashara ingesitishwa... Kitendo cha kupokea malipo ya awali Ina maana mdaiwa anatakiwa amalizie malipo yake na siyo kusitisha biashara kwa sababu ya siku tisa zilizozidi kutoka tarehe aliyotakiwa kumalizia malipo... Ushahidi wa biashara za wachezaji timu huwa zinadaiwa zaidi ya hizo siku kumi... Huyu wakili mmh

    • @chillogeorge1383
      @chillogeorge1383 3 месяца назад

      Yani mchezaji ni wako, mimi nije kutaka kumnunua, kisha unipe tarehe na muda wa kumaliza kulipa ada ya uhamisho, kisha mimi nisaini kuwa nimekubaliana na sharti hilo, kisha tarehe na muda wa malipo tuliokubaliana niwe nimeshakulipa ufika na upite bila ya mimi kukulipa, kisha nije niibuke siku 10 baada ya tarehe ya malipo tuliyokubaliana kimaandishi kupita ndio nijitokeze kulilipa deni langu, unaamini kabisa nitakuwa sikuvunja makubaliano ya mkataba wetu?????
      Yani umcheleweshee mtu pesa yake kwa siku 10, kisha uamini hukufanya kosa???
      Na kwenye utetezi wenu mnadai mko ndani ya sheria kwa kuwa hamkukumbushwa??

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 3 месяца назад

      @@chillogeorge1383 ndugu mnunuzi Ana sheria inamlinda... Ameweka Nia ya biashara kwa kutanguliza malipo ya awali hivyo mabadiliko yoyote katika biashara alipaswa kutaarifiwa kabla hajamalizia malipo yake...
      Yaani utoe posa Kisha mke aozeshwe kwa mwingine kwa sababu tarehe uliyoahidi kupeleka mahali ulipata dharula.. Siku umejipanga kupeleka mahali unaambiwa uchumba umekatishwa hukuja Ile tarehe hiyo ni Sawa?.. Huyo wakili ni wa mahakama za mwanzo... Sheria kuu haiko hivyo mdeni hupewa muda kwa sababu kaonyesha Nia kutanguliza malipo ya awali hiyo ndiyo sheria... Biashara husitishwa pale mdeni hana namna kabisa kulipa deni..
      Mdaiwa Ana sheria inamlinda siyo ukamkulupukia tu

    • @NorbertusNyamuga
      @NorbertusNyamuga 3 месяца назад

      .5 à​@@chillogeorge1383

    • @TwahirBurhan
      @TwahirBurhan 3 месяца назад +1

      Mjomba usitetee upuuzi kisa mapnzi yako kwa Simba.....Wakili yupo sahihi, na ukitaka kuamini kwamba Simba wamefanya magumashi angalia hata utambulisho wa Simba wamemtabulisha pasina kumvalisha jezi yao na wanahofia kuadhibiwa na FIFA kitu ambacho w

    • @chillogeorge1383
      @chillogeorge1383 3 месяца назад

      @@rexgodwill7353 Sheria ya FIFA haiwezi kuwa juu ya makubaliano yenu binafsi.
      Kama mlikubaliana wenyewe muda wa kumaliza deni, na muda huo ukapita unataka FIFA wakulinde kwenye lipi????
      Sheria zipo kuweka muongozo pale ambapo hakuna makubaliano, lkn kama mlikubaliana wenyewe, hapo yataangaliwa makaratasi yenu mliyotia saini yameandikwa nini.
      Coastal Union, walijifunza makosa yao kwenye mkataba wa Mwamnyeto kwenda Yanga, jinsi walivyocheleweshewa pesa yao, ndio wakaweka hilo sharti keenye mkataba wa mauzo wa LAWI.
      Pia tambua, ikiwa ulitoa mahari na mkakubaliana muda wa kumalizia mahari, muda huo ukipita bila kumaliza kutoa mahari hio, hata kama ulidharurika, NDIO, hapo utakuwa umepoteza mchumba.
      Unachostahili hapo ni kurudishiwa mahari yako ya awali tu. Na endapo pia kama mlikubaliana kuwa ikitokea utashindwa kumaliza kwa wakati hata mahari yako uliyotanguliza haitarejeshwa, basi nayo haitarejeshwa keeli.

  • @SwaleheHaji
    @SwaleheHaji 3 месяца назад

    Wewe wakiri wa kuku

  • @EliudiMlimbila
    @EliudiMlimbila 3 месяца назад

    Walishachukua kishika uchumba wameanzaje kuuza ❤kwingine Tena !?

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 3 месяца назад

    Kwani ninyi coast kama mnajiamini si mumuze huko mnakoona ni sawa ili tuone uanaume wenu unapoishia

  • @195941233
    @195941233 3 месяца назад

    Huyo mwanasheria ametoa mawazo yake. Angeeleza kwa muktadha wa Sheria za FIFA.

  • @FATEHENYANGASA
    @FATEHENYANGASA 3 месяца назад

    Nyie endeleeni kubishana na sakata la lawi hatimae usajili unaisha hamjafanya lolote la maana

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 3 месяца назад

    wakili msomi,Angalia vifungu vya Fifa je Coastal waliwahi kutoa Notice ya siku kumi kuwahimiza Simba kuhusu malipo?

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 3 месяца назад

    Kama Simba wamerudishiwa fedha, waachane Lawi

  • @Mufti-g3x
    @Mufti-g3x 3 месяца назад +1

    Hivi ni wakili au mlevi?

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 3 месяца назад

    Wakili maandazi kweli. Mkataba ndio uthibitisho wa kitu chochote sio fedha. Ama kweli tuna wadomi viraza the😂😂😂😂

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 3 месяца назад

    Simba Bado wanarudia makosa hawajifunzi yalishawatokea wakamkosa Mwamnyeto, Sopu, Mlemeta wengine wengine tu na hata walinyang'anywa ubingwa miaka ya nyuma Kwa mambo kama haya.
    Huwa wanatabia ya kuchelewa kutokamilisha ama kufanya mambo nusu nusu

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 3 месяца назад

      wew nawe mjinga tu mwamunyeto nini saizi ni vitu vingine wew bwege la yanga

  • @ShaabanRamadhanKombo
    @ShaabanRamadhanKombo 3 месяца назад

    GSM

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 3 месяца назад

    MO DEWJI NA MAGORI NI WALEWALE

  • @Mteza-oc8zd
    @Mteza-oc8zd 3 месяца назад

    Siwamuache kwan yy nani fanyani mengine lawi muachen

  • @AdamGerson-hz2gs
    @AdamGerson-hz2gs 3 месяца назад

    Huyo wakilihatujamuelewa

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 3 месяца назад

      Haeleweki kweli... Yaani mteja kaonyesha Nia mmekaa mezani na malipo ya awali umepokea Kisha unavunja biashara bila taarifa yeyote.. Huu ni uhuni

  • @makamelila
    @makamelila 3 месяца назад

    Hamna llolote kama ndiohivo mbona kunawatu mabingwa lakini hawakuwalipa wachezaji Hadi Leo hamjaobgea wanasheria wausenge nyie

  • @abubakarbajun3503
    @abubakarbajun3503 3 месяца назад

    Wewe mjinga nini acha dharau jingaa tunajua tff wapo kost kibao acheeeni ujingaa wenu

  • @ExpeditusMpulu
    @ExpeditusMpulu 3 месяца назад

    Wakili uchwara😂😂

  • @jeremiamwakilimaji8284
    @jeremiamwakilimaji8284 3 месяца назад

    Wakili huyu sio msomi , je walikubaliana mwisho wa ofa? Au unaongea ki ushabiki?

  • @makoyemaperah3067
    @makoyemaperah3067 3 месяца назад

    Mbo

  • @nadulabudodi1816
    @nadulabudodi1816 3 месяца назад

    Mwanasheria wa mchongo, hata haelewi anachoongea tunawajuwa wwasafi na. Secret agenda ngoja tuone Muda utaongea

  • @abubakarbajun3503
    @abubakarbajun3503 3 месяца назад

    Weer mwanasheria wakost au naniiii panya wewe

  • @musamsangi1610
    @musamsangi1610 2 месяца назад

    Mkataba inasemaje kama ukishindwa kulipwa unakuwaje

  • @erickprotace9463
    @erickprotace9463 2 месяца назад

    Mtuelimishe juu ya njia za kusitisha mkataba au makubaliano, kama zilifatwa tutajua mwenyekosa ni nani na mmiliki wa mchezaji ni nani make makubaliano tushajua yalikuwepo.

  • @muddsaid-kn2dq
    @muddsaid-kn2dq 3 месяца назад

    wewe mwanasheria ni mchochezi sana kama wanasheria ninyie basi roma haja kosea

  • @SongoloMgallah
    @SongoloMgallah 3 месяца назад

    Mwanasheria wa mchongo

  • @azizaj776
    @azizaj776 3 месяца назад

    Lini zilirudishawa je Costal Union waliitairifu Simba kuwa baada ya Siku ngapi zaidi inawapa Simba kumalizi malipo ??? Kama sheria inavyofai ??????

  • @dottosweetbert8879
    @dottosweetbert8879 3 месяца назад

    Huyu mwana Sheria naye anaongea kishabiki tu au hana taarifa za kina kuhusu yaliyotendeka.
    Pesa ya coastal union ililipwa advance kabla ya tarehe 31. Ikamaliziwa trh 10 Juni.
    Kinachoonekana hapo ni TAMAA ya coastal union walipopata mteja mpya anayetoa dau kubwa la 600m.
    Nijuavyo mie muda si mrefu litakwisha tu hilo

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 3 месяца назад

    Yaani hapa kwenye clab yetu bado kuna upuuzi Sijui ujinga huu utaisha lini, ikiwa mchezaji umempenda na mkakubaliana malipo kwanini ucheleweshe hayo malipo haliyakua mshakubaliana? Yaani Bado na mashaka ya uwozo huu ukaendelea

  • @namtingakassim5529
    @namtingakassim5529 3 месяца назад

    Tumechoka kusikia habari za Lawi simba piga chini huyo lawi

  • @abubakarbajun3503
    @abubakarbajun3503 3 месяца назад

    Mtoa post ujielewiii Simba hatu Ng,ang,aniiii mchezajiii kusti sio wastarabu tamaa yapesa hiyo

  • @alphoncenyanda4699
    @alphoncenyanda4699 3 месяца назад

    Wakili hewa unaweza ukakuta hata mhuri hana

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 3 месяца назад

    Mavi mavi

  • @hasbunakhamis487
    @hasbunakhamis487 3 месяца назад

    Huyo Alikomwe sio wakili

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 3 месяца назад

    Hakuna maombi hapo hayo

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk 3 месяца назад

    Simba waachane na Lameck Lawi maana wapo wachezaji wengi na wazuri kulilo hata huyo Lawi

    • @ismailhassan5209
      @ismailhassan5209 3 месяца назад

      Uko sahihi tafuta mchezaji mwingine achana na lameki

    • @ismailhassan5209
      @ismailhassan5209 3 месяца назад

      Uko sahihi Eliasi tutapoteza muda wa usajili kwa ability ya Lameki.
      Ujinga ulioje mbona atawahi kuchuja

    • @AnnaTito-j5t
      @AnnaTito-j5t 3 месяца назад

      Huenda Mungu katuepushia mateso Akija Simba Kiwango Kitakua Kibovu mwachenii

  • @kasongoIDDi-mx7gz
    @kasongoIDDi-mx7gz 3 месяца назад

    Hao watu wa fedha ni wazushi ndio unasema Kuna waswahiri