MAMA mzazi wa NANDY Amjibu Gigi Money kisomi aende kwa Mwamposa BILLNASS bado nawasi wasi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 июл 2020
  • Please subscribe now on Our RUclips channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time.

Комментарии • 65

  • @starboy8297
    @starboy8297 3 года назад +48

    Wapi like za mama nandy

  • @lm6373
    @lm6373 3 года назад +25

    Nime mpenda mama nandy mtu anasema ukeli verry smart

  • @aminakawawa1935
    @aminakawawa1935 3 года назад +20

    Mama mzuri mashallah kama mtoto wake ❤❤🇹🇿🇹🇿👌

  • @mossisilima2309
    @mossisilima2309 3 года назад +9

    Anasaut nzr na nimrembo kwakwel mama nandy mzr

  • @sharonke7442
    @sharonke7442 3 года назад +10

    Yes amesema vizuri engagement haifanywi hivyo ile ni surprise yao tu

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 3 года назад +10

    Mungu ni mwema

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 года назад +8

    Hongera sana mama kwa malezi yako mazuri kwa wanao.

  • @joycekasimbazi9817
    @joycekasimbazi9817 3 года назад +6

    Mama mzuri Hongera Billnass mama Nandy amekusifu

  • @juliejaphet2700
    @juliejaphet2700 3 года назад +8

    Huyu mama anajitambua sn anajieleza vzr .Safi sn mama

  • @sofiaahmad1926
    @sofiaahmad1926 3 года назад +16

    Congrats Nandi na Familia yake. Wishing you all the best.

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 3 года назад +1

    Maashaallaah mama nandi ni mama anae jielewa na kujiheshimu na ni mama mbora kwa kupigiwa mifano SIO KAMA WALEE MAMAMA WANAO JISHEBEDUEA NA KUJISHUSHA THAMANI NA WATOTO WADOGO WANAO CHEZEWA NA WATOTO ZAIZE YA WATOTO WAOO ATIII MWANANGU NI SUPER STAR hongera MAMA NAND

  • @linetnato4199
    @linetnato4199 3 года назад +8

    Awwww this woman is very smart,, hongera mama nandy nawapenda sana👏✌️✌️🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @salehzuwena6157
    @salehzuwena6157 3 года назад +15

    Mama nandy anasauti nzuri

  • @alajmialajm8794
    @alajmialajm8794 3 года назад +7

    Huyu mama ni mrembo sana.. mungu akulinde mamaa

    • @halimarashid232
      @halimarashid232 3 года назад

      Mama.upon vzr.unaonesha.wazi.umesoma na.elimu yako unaitumia.vzr.sio kama.wamama.was.wasanii.wakubwa.wanavyojidhalilisha.mitandaoni big up

  • @husnaabdallah8173
    @husnaabdallah8173 3 года назад +2

    Kumbe nande sio nandy piga kelele kwa nande wake

  • @tjvuri4475
    @tjvuri4475 3 года назад +23

    Daaa! Jamani acheni eti nandi kaokoka na anaimba kata kata na vichupi vyake
    Kwa mungu huwezi okoka na matako njee

    • @angelmutua9575
      @angelmutua9575 3 года назад +7

      Matako yenyewe nani kayaumba? Funika yako inatosha

    • @trendingnews935
      @trendingnews935 3 года назад +3

      @@angelmutua9575 haha,jibu mzuri kwa uyo kipara

    • @trendingnews935
      @trendingnews935 3 года назад +2

      Uokofu ni roho ya mtu

    • @nishasalim2880
      @nishasalim2880 3 года назад

      Hahaha! Okrrrrh 🤣

    • @joycekasimbazi9817
      @joycekasimbazi9817 3 года назад

      Abadili aina ya Nguo amekua na ni kioo cha jamii sasa na mke mtarajiwa chonde Nandy badilika

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 3 года назад +10

    Mama mrembo

  • @shakiraomary5674
    @shakiraomary5674 3 года назад +5

    nandy mzuri mashallah ila mavazi yako hayan maadil kabisa kwanz wew ni kioo cha jamii acha kuiga ujinga ungerud kweny gosple tuu

  • @zawadizabroni410
    @zawadizabroni410 3 года назад +5

    Asnte mama kwamalez mazuri

  • @khadijaomar2723
    @khadijaomar2723 3 года назад +4

    Kafanana na dadake nandy

  • @joanassenga4604
    @joanassenga4604 3 года назад +3

    Jamanii iyo cake😋😋

  • @winniegesy982
    @winniegesy982 3 года назад +3

    Ni mrembo

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 3 года назад +4

    😀

  • @juliejaphet2700
    @juliejaphet2700 3 года назад +15

    Kumbe biashara Ni ya familia 🤔🤔🤔🤔

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 года назад +6

    Nandi anajuwa kujipanga sio kwenda Dubai na kuzaa nyagoooooo kama hao wngine kila kheri nandi

  • @irenkelvin1217
    @irenkelvin1217 3 года назад +10

    Kama ameokoka BC aimbe kwaya achen kumkufuru mungu jmn

  • @hyasintajoseph2589
    @hyasintajoseph2589 3 года назад +8

    hahaha kwa wapare Bil ajipange huwa kuna utaratibu kwanza hiyo pete lazima akalipe fine, uvalishaje mtt pete barabaran ni wako, nethienda rae hahhahahah

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 3 года назад

    Mama nandi mpe baraka mwanaoo aolewee now kama unavyo juwa jambo la kheri halikosi fitina sio weengi walioyafurahia so plzz usicheleweshe jambo la kheri ukumbuke uchumbaaa hautangazwiiiii inayo tangazwaaa ni ndowaa hataa ndowa ifanye kwenye maadili ya kidini subiri shereheee ndio utangaze

  • @joycehermanlyangamba8523
    @joycehermanlyangamba8523 3 года назад

    Ruby

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 3 года назад +3

    Familia ya Nandy haimkubali Billnas.

  • @asiamwinyi7947
    @asiamwinyi7947 3 года назад +1

    Kuokoka?????

  • @razianamgumi3948
    @razianamgumi3948 3 года назад

    🤑

  • @joycesagga8131
    @joycesagga8131 3 года назад +3

    Nmekua wakwanza leo

  • @zulrajrajzul7929
    @zulrajrajzul7929 3 года назад

    Mama kjana uko p

  • @beautywithnay5974
    @beautywithnay5974 3 года назад +2

    Wazazi wanaona nandi akiolewa watakosa kumpangia nandi na kula pesa za nandi kama sasa wanavyo mchuna family

  • @lulually6722
    @lulually6722 3 года назад +4

    Kama kaokoka mbona anavaa vichupi haendani na maadili ya dini mama inatakiwa umrekebishe mwanao kwenye mavazi

    • @jeanetteingabire1877
      @jeanetteingabire1877 3 года назад

      Maman Nandy nakupenda sana.❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏

    • @shamimushittindi1418
      @shamimushittindi1418 3 года назад +3

      Mavazi tu mengine huyajui

    • @frankhaikall4018
      @frankhaikall4018 3 года назад

      Kwenye kuokoka hapa sijaelewa pls msimkashifu mungu jmn loooh

    • @frankhaikall4018
      @frankhaikall4018 3 года назад

      Nampenda nandy ila kwenye kuokoka mmenichefua loooh ache kujifanya mnamjua sana mungu

    • @nadyahassan2925
      @nadyahassan2925 3 года назад

      Congrates nandy to have a brilliant mom also she's very smart ❤