Maashaallaah mama nandi ni mama anae jielewa na kujiheshimu na ni mama mbora kwa kupigiwa mifano SIO KAMA WALEE MAMAMA WANAO JISHEBEDUEA NA KUJISHUSHA THAMANI NA WATOTO WADOGO WANAO CHEZEWA NA WATOTO ZAIZE YA WATOTO WAOO ATIII MWANANGU NI SUPER STAR hongera MAMA NAND
hahaha kwa wapare Bil ajipange huwa kuna utaratibu kwanza hiyo pete lazima akalipe fine, uvalishaje mtt pete barabaran ni wako, nethienda rae hahhahahah
Mama nandi mpe baraka mwanaoo aolewee now kama unavyo juwa jambo la kheri halikosi fitina sio weengi walioyafurahia so plzz usicheleweshe jambo la kheri ukumbuke uchumbaaa hautangazwiiiii inayo tangazwaaa ni ndowaa hataa ndowa ifanye kwenye maadili ya kidini subiri shereheee ndio utangaze
Wapi like za mama nandy
Nime mpenda mama nandy mtu anasema ukeli verry smart
Mama mzuri mashallah kama mtoto wake ❤❤🇹🇿🇹🇿👌
Anasaut nzr na nimrembo kwakwel mama nandy mzr
Yes amesema vizuri engagement haifanywi hivyo ile ni surprise yao tu
Mungu ni mwema
Hongera sana mama kwa malezi yako mazuri kwa wanao.
Mama mzuri Hongera Billnass mama Nandy amekusifu
Huyu mama anajitambua sn anajieleza vzr .Safi sn mama
Congrats Nandi na Familia yake. Wishing you all the best.
Maashaallaah mama nandi ni mama anae jielewa na kujiheshimu na ni mama mbora kwa kupigiwa mifano SIO KAMA WALEE MAMAMA WANAO JISHEBEDUEA NA KUJISHUSHA THAMANI NA WATOTO WADOGO WANAO CHEZEWA NA WATOTO ZAIZE YA WATOTO WAOO ATIII MWANANGU NI SUPER STAR hongera MAMA NAND
Awwww this woman is very smart,, hongera mama nandy nawapenda sana👏✌️✌️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Halafu anajibu maswali vizuri
Mama nandy anasauti nzuri
Mama ongera
Huyu mama ni mrembo sana.. mungu akulinde mamaa
Mama.upon vzr.unaonesha.wazi.umesoma na.elimu yako unaitumia.vzr.sio kama.wamama.was.wasanii.wakubwa.wanavyojidhalilisha.mitandaoni big up
Kumbe nande sio nandy piga kelele kwa nande wake
Daaa! Jamani acheni eti nandi kaokoka na anaimba kata kata na vichupi vyake
Kwa mungu huwezi okoka na matako njee
Matako yenyewe nani kayaumba? Funika yako inatosha
@@angelmutua9575 haha,jibu mzuri kwa uyo kipara
Uokofu ni roho ya mtu
Hahaha! Okrrrrh 🤣
Abadili aina ya Nguo amekua na ni kioo cha jamii sasa na mke mtarajiwa chonde Nandy badilika
Mama mrembo
nandy mzuri mashallah ila mavazi yako hayan maadil kabisa kwanz wew ni kioo cha jamii acha kuiga ujinga ungerud kweny gosple tuu
Asnte mama kwamalez mazuri
Kafanana na dadake nandy
Jamanii iyo cake😋😋
Ni mrembo
😀
Kumbe biashara Ni ya familia 🤔🤔🤔🤔
mama nandy poa sn
ni atari yaan tutasikia mengi
Nandi anajuwa kujipanga sio kwenda Dubai na kuzaa nyagoooooo kama hao wngine kila kheri nandi
Uko vizuri
Kama ameokoka BC aimbe kwaya achen kumkufuru mungu jmn
Kwani kuokoka ni kuimba kwaya?
hahaha kwa wapare Bil ajipange huwa kuna utaratibu kwanza hiyo pete lazima akalipe fine, uvalishaje mtt pete barabaran ni wako, nethienda rae hahhahahah
Hahaaaa
Mbuta
Aghera thon Bill
🤣🤣
Mama nandi mpe baraka mwanaoo aolewee now kama unavyo juwa jambo la kheri halikosi fitina sio weengi walioyafurahia so plzz usicheleweshe jambo la kheri ukumbuke uchumbaaa hautangazwiiiii inayo tangazwaaa ni ndowaa hataa ndowa ifanye kwenye maadili ya kidini subiri shereheee ndio utangaze
Ruby
Familia ya Nandy haimkubali Billnas.
Kuokoka?????
🤑
Nmekua wakwanza leo
Mama kjana uko p
Wazazi wanaona nandi akiolewa watakosa kumpangia nandi na kula pesa za nandi kama sasa wanavyo mchuna family
Unajielewa ww kuhudumia wazazi wako ni kuchunwa
😂😂😂
Kama kaokoka mbona anavaa vichupi haendani na maadili ya dini mama inatakiwa umrekebishe mwanao kwenye mavazi
Maman Nandy nakupenda sana.❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
Mavazi tu mengine huyajui
Kwenye kuokoka hapa sijaelewa pls msimkashifu mungu jmn loooh
Nampenda nandy ila kwenye kuokoka mmenichefua loooh ache kujifanya mnamjua sana mungu
Congrates nandy to have a brilliant mom also she's very smart ❤