Cdf funds ikondolewe macho tunataka kujua hiyo pesa inaenda wapi in real Sense hatucheki hapa Hiyo pesa already has been declared illegal by court of law mbona Bado inasambazwa kama huo si Ukora live as we watch I don't know nini hii 🤣🤣🤣🤣🤣🙏
1. The Role of police in a democracy 2. Gen Z's demonstrations were meant to reset the country 3. Going to the future Gen Zote will be on the streets. Great listening to you.
You explain this wewe umechaguliwa juzi mshahara yako plus allowances hata haziijafika meter umetoa wapi hiyo pesa gafla kama si illegal cdf una fionza ukweli mtupu tuache kunyonyana damu controled devolved fund is enough imetosha why should we pay double 🤣🤣🤣🤣🤣
Raila aondoke kwenye kiti cha upinzani na pahala pake pachukuliwe na chama cha upinzani kamilifu. Kizazi cha jenzii kimetuletea mvuvumko au mwamko mpya na hutazuiliwa na mafisadi na wala rushwa kama Raila Odinga.
Naomba to contribute on your comments... kwa katiba yetu Kenya atuna kiti cha kiongozi wa upinzani funded by tax payers kitty, hapo ndipo kuna shida na Raila...... yeye amejitolea bure kupigania haki kwa wakenya lakini sisi atuelewi kwamba yeye hana mshahara
@@gilbob >>> Raila amesaliti maandamano na mageuzi ya kizazi cha jenzii. Huyo Raila wako ni mnafiki wa hali ya juu, na kila ujao hukimbilia maridhiano ya kujali tumbo lake. Sisi waswahili twasema, mwenye tumbo, tumbole, akafunga mkaja. Wanajenzii tutamtafuta tumsalimie hata kama atakimbilia kule Addis Ababa kupata hifadhi na stara kutoka kwa Umoja wa Afrika (AU).
MANYORA has ended so well.
What is Ojwang saying? He is talking many words but saying nothing. I pity his students. Is he going to address quick wealth by CSs?
We are in the moments Kenyan government ate the money of a wrong character
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ojwang is on Ruto payroll.... what do you expect guys?😢
Yes, get serious. Follow the money, where did that wealth come from? individual audits needed .
Cdf funds ikondolewe macho tunataka kujua hiyo pesa inaenda wapi in real Sense hatucheki hapa
Hiyo pesa already has been declared illegal by court of law mbona Bado inasambazwa kama huo si Ukora live as we watch I don't know nini hii
🤣🤣🤣🤣🤣🙏
1. The Role of police in a democracy
2. Gen Z's demonstrations were meant to reset the country
3. Going to the future Gen Zote will be on the streets.
Great listening to you.
Nyinyi tuambieni kule munapeleka pesa hizo panganga mingi hazisaidii talk not only collecting 🤣🤣🤣🤣🤣
Can this jamaa be sincere?
What of Subaru without number plate us during riots
Is this guy Ojwang drunk
You explain this wewe umechaguliwa juzi mshahara yako plus allowances hata haziijafika meter umetoa wapi hiyo pesa gafla kama si illegal cdf una fionza ukweli mtupu tuache kunyonyana damu controled devolved fund is enough imetosha why should we pay double
🤣🤣🤣🤣🤣
Raila aondoke kwenye kiti cha upinzani na pahala pake pachukuliwe na chama cha upinzani kamilifu. Kizazi cha jenzii kimetuletea mvuvumko au mwamko mpya na hutazuiliwa na mafisadi na wala rushwa kama Raila Odinga.
Naomba to contribute on your comments... kwa katiba yetu Kenya atuna kiti cha kiongozi wa upinzani funded by tax payers kitty, hapo ndipo kuna shida na Raila...... yeye amejitolea bure kupigania haki kwa wakenya lakini sisi atuelewi kwamba yeye hana mshahara
@@gilbob >>> Raila amesaliti maandamano na mageuzi ya kizazi cha jenzii. Huyo Raila wako ni mnafiki wa hali ya juu, na kila ujao hukimbilia maridhiano ya kujali tumbo lake. Sisi waswahili twasema, mwenye tumbo, tumbole, akafunga mkaja. Wanajenzii tutamtafuta tumsalimie hata kama atakimbilia kule Addis Ababa kupata hifadhi na stara kutoka kwa Umoja wa Afrika (AU).
Interesting conservations
Yea but wat about wale burukege uwa na Subaru,abductors and killers? Wataonyesha id?