Jinsi ya kupika KAIMATI za shira ndani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 77

  • @asyaibrahim8612
    @asyaibrahim8612 2 года назад +11

    mashallah mazuri yameanza hayo...Allah atujaalie ni wenye kuipata ramadhan In shaa Allah

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  2 года назад

      Ameen❤

    • @otesimuhidini2051
      @otesimuhidini2051 2 года назад

      Amiiin

    • @MatronaDeodat
      @MatronaDeodat Год назад

      Naomba nijibu dear kwann nikipika Huwa zinapasuka na kuruka sana? Kiasi kwamba zinaruka na mafuta unaweza ungua,nakosra wapi???

  • @salmaabdul1018
    @salmaabdul1018 Год назад +2

    Asalamu Aleikum mashallah mungu akuzidishie ujuzi zaidi nauli hii zafaran ina maana gami katika chakula naomba nijulishe plyz nakupenda sana

  • @BiubwaAljahadhmy
    @BiubwaAljahadhmy Год назад +1

    A alaikum shukraan sana nimejaribu kupika kama hivo zimekuja vizur sana miaka mingi nazipika kaziji shukraan wa jazaka llah lkheir

  • @RayaMohd-lh7nz
    @RayaMohd-lh7nz 8 месяцев назад

    Mashallah mie naenda wew unavo pika ninge tamani nikujue nikikuiga. Unavo pika nakupatia

  • @staher108
    @staher108 2 года назад

    MashaAllah. Thank you habibty for sharing. I will try these Kaimatis for Ramadhan. ❤

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  2 года назад

      In sha Allah dear. Will be waiting for your feedback ❤

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 года назад

    Mashallah tabarak Rahman thanks dear 🥰🥰🥰🇴🇲🌹

  • @aishaabdallah4560
    @aishaabdallah4560 2 года назад

    MashaaAllah na kahawa ..mfano ikibaki shira waeza ihifadhi ukatumia mda mwengine

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 года назад

    Mimi iyi shira nilitamani nielewe ku itengeneza nimejaribu siku nyingi nika shindwa leo nimeona nime elewa Asante dada unatafsiri nzuri sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @biubwasalim3460
    @biubwasalim3460 Год назад

    Shukraan sanaa nimepika kama hivo jana 👌

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 2 года назад

    Shukran habibty receipe rahisi sanaaa I'll try this

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 года назад

    Asante sana tena sana mungu à bariki kazi za mikono yako

  • @coolbeibi4204
    @coolbeibi4204 2 года назад

    Very good idea ❤👌

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Год назад

    Mashaallah dadate upo vizuri kwa mapishi

  • @NuruKhavele
    @NuruKhavele 7 месяцев назад +2

    Ni nini safarini umeweka sikuelewa maana safarani ni haswa plz

    • @NuruKhavele
      @NuruKhavele 7 месяцев назад

      Mimi pia sikuelewa

  • @naylamwalimu8888
    @naylamwalimu8888 2 года назад

    Ni nzur San mashaallh

  • @roshananwarkhan7587
    @roshananwarkhan7587 Год назад

    Assalam alaykum ❤MashaAllah

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 Год назад

    I like the piping bag idea 👌

  • @nurual-amry8599
    @nurual-amry8599 2 года назад +1

    Thanks habibty for this recipe, av always wanted to know how to make these kaimati.. May Allah bless you abundantly

  • @SamiraSamira-oe4xk
    @SamiraSamira-oe4xk 2 года назад

    Very nice mashaAlla

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 2 года назад

    Allah akuhifadhi habibty

  • @maimunakhalid-rh4sw
    @maimunakhalid-rh4sw Год назад

    mashaallah mazrui

  • @rehemasadick2929
    @rehemasadick2929 2 года назад

    Mashallah,! shukran Sana kwa kutufundisha..Allah akuzidishie barka . Ila nauliza hicho kipimo Cha kikombe unachotumia kupuma maji , sukari na unga ni size hiyo hiyo moja?

  • @bybytata7456
    @bybytata7456 2 года назад

    ماشا۶الله ماشا۶الله ماشا۶الله تبارک رحمان

  • @ashwaqkhalid1435
    @ashwaqkhalid1435 2 года назад

    MashaAllah, Jazaaka Allah.

  • @nuurasaid741
    @nuurasaid741 2 года назад

    Mashallah nzuri sana

  • @ashanassoro6492
    @ashanassoro6492 2 года назад

    Masha Allah

  • @ZubeirAbdallah
    @ZubeirAbdallah 11 месяцев назад

    Nzur

  • @gabrielbaraka12
    @gabrielbaraka12 2 года назад

    Nzuri sana

  • @ruqayaruqaya4283
    @ruqayaruqaya4283 2 года назад

    Mashaallh ❤

  • @salmaalnaamani2786
    @salmaalnaamani2786 2 года назад

    Mansha'Allah tabarak rahman

  • @samirasamira455
    @samirasamira455 2 года назад

    MashaAllah 🥰🥰🥰

  • @قناةفوتوغرافيا
    @قناةفوتوغرافيا 2 года назад

    وعليكم السلام ورحمه الله وبركاته ♥️

  • @christinaaloyce6026
    @christinaaloyce6026 2 года назад

    Dada angu samahan naomba unijibu eti nimenunua Sona milk ya dukan na nimetumia kidogo nimebakisha inafaa au Ile ni aitakiwi kubakia itaalibika alafu chengine naitumia bila kuichemsha ni sawa pia

  • @naylamwalimu8888
    @naylamwalimu8888 2 года назад

    Ungetoa n namb habibty 🥰

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 2 года назад

    Ramadhan Mubarak

  • @zainabufaidhi4799
    @zainabufaidhi4799 2 года назад

    Mashaallah

  • @Freench20204
    @Freench20204 10 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤

  • @hasinarashid5059
    @hasinarashid5059 2 года назад

    Mashallah 😍😍kma hauna castard naweza tumia nn??

  • @upendoparsons2654
    @upendoparsons2654 2 года назад

    Asante sana

  • @hajraahmed7345
    @hajraahmed7345 2 года назад

    Maa Shaa Allah 🤤🤤🤤

  • @tatumhogo5742
    @tatumhogo5742 2 года назад

    Nitajaribu

  • @naseemaabbas7898
    @naseemaabbas7898 2 года назад

    Very nice, but I don't use custard powder, if you can tell me how does it help in kalmati, the custard piwder

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  2 года назад +1

      Makes it crunchy and also good taste but you can skip or use Corn flour instead

  • @rahmamohamed9663
    @rahmamohamed9663 2 года назад

    Maji baridi au warm

  • @ghaniyaebrahim1593
    @ghaniyaebrahim1593 Год назад

    Aa sasa hizi ndio kaimati za shira mashalla kuna watu waonyesha kaimati ukiziona kama mengo (nzito sukari yake nzito ) haipikwi ina onyeshwa moto

  • @ayimbanyakoduko8596
    @ayimbanyakoduko8596 2 года назад

    Will they dry and form the white sugary crust? And what is the custard powder doing to Kaimati.. Is it optional?

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  2 года назад +3

      No they won't dry. Custard makes it crunchy and gives it good taste. You can substitute the custard with corn flour or just leave it

    • @dydahjahadhmy4920
      @dydahjahadhmy4920 Год назад

      ​@@Mapishirahisi
      I tried them today so yummy and cripsy. Can we have another recipe for dry kaimati please.

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  Год назад

      I'm actually editing the video right now😆. The video will be up tomorrow morning ❤

    • @dydahjahadhmy4920
      @dydahjahadhmy4920 Год назад

      @@Mapishirahisi
      Thanks. Saum maqbul.

  • @sarahdola4737
    @sarahdola4737 2 года назад

    this is so nice....if you don't have saffron what else can you use?and is custard a must

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  2 года назад

      You can skip saffron. And for the custard you can skip it too or use corn flour instead

  • @mariamdadar7186
    @mariamdadar7186 2 года назад

    Y i cant gv it a like

  • @ummuamjad7164
    @ummuamjad7164 2 года назад

    Kama huna zafaran waeza tia rangi ya chakula

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 года назад

    🤤🤤

  • @neemajosephate1106
    @neemajosephate1106 2 года назад +1

    Dad nifudishe..chapati za kusukuma

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  2 года назад

      Recipe ya chapati tayari tuko nayo hapa youtube dear

  • @hadiaali5517
    @hadiaali5517 10 месяцев назад

    MashaﹰAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @shigwaishad0697
    @shigwaishad0697 2 года назад

    Kama sin

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 2 года назад

    Mashaallah