Mashallah,! shukran Sana kwa kutufundisha..Allah akuzidishie barka . Ila nauliza hicho kipimo Cha kikombe unachotumia kupuma maji , sukari na unga ni size hiyo hiyo moja?
Dada angu samahan naomba unijibu eti nimenunua Sona milk ya dukan na nimetumia kidogo nimebakisha inafaa au Ile ni aitakiwi kubakia itaalibika alafu chengine naitumia bila kuichemsha ni sawa pia
mashallah mazuri yameanza hayo...Allah atujaalie ni wenye kuipata ramadhan In shaa Allah
Ameen❤
Amiiin
Naomba nijibu dear kwann nikipika Huwa zinapasuka na kuruka sana? Kiasi kwamba zinaruka na mafuta unaweza ungua,nakosra wapi???
Asalamu Aleikum mashallah mungu akuzidishie ujuzi zaidi nauli hii zafaran ina maana gami katika chakula naomba nijulishe plyz nakupenda sana
A alaikum shukraan sana nimejaribu kupika kama hivo zimekuja vizur sana miaka mingi nazipika kaziji shukraan wa jazaka llah lkheir
Mashallah mie naenda wew unavo pika ninge tamani nikujue nikikuiga. Unavo pika nakupatia
MashaAllah. Thank you habibty for sharing. I will try these Kaimatis for Ramadhan. ❤
In sha Allah dear. Will be waiting for your feedback ❤
Mashallah tabarak Rahman thanks dear 🥰🥰🥰🇴🇲🌹
MashaaAllah na kahawa ..mfano ikibaki shira waeza ihifadhi ukatumia mda mwengine
Ndio unaweza
@@Mapishirahisi Shukran habibty
Mimi iyi shira nilitamani nielewe ku itengeneza nimejaribu siku nyingi nika shindwa leo nimeona nime elewa Asante dada unatafsiri nzuri sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
❤❤
Shukraan sanaa nimepika kama hivo jana 👌
Shukran habibty receipe rahisi sanaaa I'll try this
Asante sana tena sana mungu à bariki kazi za mikono yako
Ameen💕
Very good idea ❤👌
Mashaallah dadate upo vizuri kwa mapishi
Ni nini safarini umeweka sikuelewa maana safarani ni haswa plz
Mimi pia sikuelewa
Ni nzur San mashaallh
Assalam alaykum ❤MashaAllah
I like the piping bag idea 👌
Thanks habibty for this recipe, av always wanted to know how to make these kaimati.. May Allah bless you abundantly
Ameen❤🥰
Very nice mashaAlla
Allah akuhifadhi habibty
mashaallah mazrui
Mashallah,! shukran Sana kwa kutufundisha..Allah akuzidishie barka . Ila nauliza hicho kipimo Cha kikombe unachotumia kupuma maji , sukari na unga ni size hiyo hiyo moja?
ماشا۶الله ماشا۶الله ماشا۶الله تبارک رحمان
MashaAllah, Jazaaka Allah.
😊❤
Mashallah nzuri sana
Asante💕
Masha Allah
Nzur
Nzuri sana
Mashaallh ❤
Mansha'Allah tabarak rahman
🥰❤❤
MashaAllah 🥰🥰🥰
وعليكم السلام ورحمه الله وبركاته ♥️
Dada angu samahan naomba unijibu eti nimenunua Sona milk ya dukan na nimetumia kidogo nimebakisha inafaa au Ile ni aitakiwi kubakia itaalibika alafu chengine naitumia bila kuichemsha ni sawa pia
Ungetoa n namb habibty 🥰
Ramadhan Mubarak
Mashaallah
❤❤❤❤❤
Mashallah 😍😍kma hauna castard naweza tumia nn??
Tumia corn flour dear 😊
Asante sana
Maa Shaa Allah 🤤🤤🤤
❤❤
Nitajaribu
Very nice, but I don't use custard powder, if you can tell me how does it help in kalmati, the custard piwder
Makes it crunchy and also good taste but you can skip or use Corn flour instead
Maji baridi au warm
Aa sasa hizi ndio kaimati za shira mashalla kuna watu waonyesha kaimati ukiziona kama mengo (nzito sukari yake nzito ) haipikwi ina onyeshwa moto
Will they dry and form the white sugary crust? And what is the custard powder doing to Kaimati.. Is it optional?
No they won't dry. Custard makes it crunchy and gives it good taste. You can substitute the custard with corn flour or just leave it
@@Mapishirahisi
I tried them today so yummy and cripsy. Can we have another recipe for dry kaimati please.
I'm actually editing the video right now😆. The video will be up tomorrow morning ❤
@@Mapishirahisi
Thanks. Saum maqbul.
this is so nice....if you don't have saffron what else can you use?and is custard a must
You can skip saffron. And for the custard you can skip it too or use corn flour instead
Y i cant gv it a like
Kama huna zafaran waeza tia rangi ya chakula
🤤🤤
Dad nifudishe..chapati za kusukuma
Recipe ya chapati tayari tuko nayo hapa youtube dear
MashaﹰAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kama sin
Mashaallah