@@masalakulwa7601 umeonae ?afu watu wanajifanya hawakumbuki ,wanamsema shishy..mkono kwa mkono..yeye alimsema kwenye mtandao shishi kamuumbua kwenye mkutano.. Kutesa kwa zamu. Ajifunze tu kukaa mbali na maswala binafsi ya watu. Wasanii wangapi walihojiwa lakini hawakutaka kushiriki,na walioshiriki walitoa pole, basi...lei hii ndo ajifanya ana stara...anaitoa wapi iyo stara mtu mwenyewe mlezi wa wana.
dada angu ulimuelekeza vizuri sana lkn uliomuelekeza kichwa kina pombe,nakupongeza sana dada snura upo vizuri sana achana nae yule anawivu wewe upo juu yake akufikii kwa chochote.
Nakuunga mkono snura waarabu wanasema fii kulli makani maqal wa fii kulli maqal rijal.kila mahali pana manenoyke na kila maneno yana watu wake.hyu mdada hta ukimuangalia akili yke bado nasema ni semtrailer lime fungwa injini ya tax, huwa anajidhalilisha hta kujifanya anaongea kiengereza chake kumbe sisi tunamuona kichaa
Shishi ameshindikana na anapenda sana kiki za ajabu inaonekana huwa anaongeaga na uchebe vibaya ndiomaana anachezeaga kichapo kimuonekano uchebe upo pc sana
Shilole kwa kuongea vile kwa watu wenye akili timamu tena Kama palikua pana viongozi kweliwatakua wamemuona hamnazo mwanamke anaropoka vile ndo maana alipigwa na mumewe wanawake hawatakiwi kuropoka ropoka kiasi kile
Snura sio nchi nzima mam mkutano tuliangalia mpk Dubai huku mam tulifatilia pole saan mim nishabiki mkubwa washishi kwavile namuonaga nimcheshi saan ila duu kakosea mno namshauri akutafute akuombe msamah
Huyu shishi anaona sifa tu kwavile anajiona anapendwa na hvyo akienda kwenye mikutano anapewa nafasi ya kuongea yaani anajishaua tu mfyuuu zake, yaani kweli shule ni muhimu
Ila shishi nilimchukia kipindi cha munalove na piere na mara nyingi anaongea utopolo akipewa maic kwenye albam ya hormo mbele ya kikwete aliongea utumbo juzi kwa zuchu ivo ivo sijui anajikuta nani lile lijike shupa
Pole sana dada Snura.lakini na wewe siku nyingine usikubari kabisa kutoa ushauri kwa mtu amaye unajua kabisa hamko sawa.kama ulishaisi yeye hayuko sawa na wewe ungekataa kabisa kuongelea lolote kuhusu issue zake...Mimi nikushajua mtu anikuvali sitakagi kabisa kujihusisha kamwe kwenye mambo yake.Pole lakini umejifunza kitu.
All the way from 001county mambasa .Huyo shilole ni kinyonga Mara hugeuka tu.ni MTU mwanzo si MTU mwisho.sissy sanura mueleke mngu tu.shilole ni bochoo
Sinura hata kuongea kwako unaonyesha una hekima sana!endelea hivyo hivyo,achana na huyo mdomo wazi,anatafuta kiki za lazima,kiingereza chenyewe hajui,ana kazi ya kujidhalilisha,kwanza si alisema anapendwa kupigwa?pole sana Sinura
TUNAKUPENDA SNURA,ACHANA NA HILO DANGA LA JIJI,LINALOHALISHIA MDOMO.HUWA NASHANGAA HATA WANAO MPA NAFASI YAKUONGEA KWA WATU MPUUZI YULE KAZI KUROPOKA HANA POINT NI UTOPOLO TU.
@@mwanahamisially5234 yaani kanigusa sana snuu alivyojielezea na kiukweli akitaka nimshauri kitu cha kufanya kwasababu ye ni MTU maarufu na anaweza kukifanya na akalitagaza jina lake kupitia hiko kitu ningemshauri na hata angempita hyo khasimu wake na biashara yke anayofanya
Snura kalelewaa.. Mungu akujalie upate biashara ya maana uachane na mziki.na minu akuoe.yan ww mwanamke na nusu.shishi kichwa maji.serikali gani itampa nafasi shishitipwatipwa.akadange sasa mana hata hyo uchebe alipata shida Kua nae..shishi trump roho mbayaa uache.mtu mzima ovyooo..
Nazani History Ya Maisha Ya Shishi Hasilimia Kubwa Watiz Tuna Hijua. Dar Kaja Na Mfuko Wa Rambo. Kwahiyo Tus Mshangae. Bado Ni Korooo. Hata Kama Ana Chenji Maiti. Shishi Ana Akili Za Kuku.
Shilole amejionyesha kuwa amepigwa na Uchebe na kipigo kilikuwa sahihi. Kwa kweli ana mdomo mbaya kama dhambi. Kwa ujinga amempa Snura kiki ya kutokea nyimbo yake ya 'mkuno wa nazi'.
Mimi mmoja wao nilifatilia hyo interview yk,hukuongea vby dadangu huyu shishi actually ni mkorofi ,anataka kiki tu,anataka aonekane yy tu ili akuchafue lkn usjali Snura Mungu atakulipia Inshaalah.
Nimekupata sana snura.ila tu nakulaumu kitu kimoja.ww pia uliposikia usingemzungumzia kwenye vyombo vya habari bali ungemfata mwenyewe.na la pili umesema kua umelelewa na bibi yako vizuri sana. Nikweli ndio malezi hayo ndio yanatakiwa lkn kwa malezi mengine hujalelewa vizuri kukatika churachura kwenye majukwaa hayo mafunzo sijayapenda kabisa na kutembea na mtoto mdogo kumuweka wazi mahusiano yenu borangekua mmefunga ndoa
Ni kweli maneno yako. Naona wengi wanamlaumu shishi. Kama nyinyi hakumkua vizuri vipi utakubalia kutoa ushauri kamaule? Umesema vizuri lkn ile ya kusema kumuheshimu mume. Ilikua haina haja. Na kusema eti shishi angempigia snura kumwambia bsdala ya kuongea hadharani.kwani snura aliongea siri?
Duh, Huyu dada anamuona mwenzake anamakosa, lakini kwa watu wanaotafakari pia na yeye umekosea 1. Kutoa umshauri kwenye public, kwa mtu ambaye yuko na stress ya jambo fulani sio sahihi hasa kutokana historia ya wawili ninyi, kwani kama uliguswa na umejiona una nafasi ya kumshauri ungemtafuta private ukampa huo unaouita Ushauri. 2. Ushauri wako ulijielekeza kumlaumu kwa kitendo cha kupost tatizo lake ktk ndoa mtandaoni, na wala haukuwwka mizania ya lawama, Hata hivyo kwa Mujibu wa dini Islam Wanaume tumeaswa tukae na Wakezetu kwa WEMA, tuwapende na sisi ni tumefananisha na kichwa kwenye familia, sababu Mungu anajua madhaifu ya kiasili baina yetu wanaadam, na madhira yakizidi zipo taratibu za kisheria ikiwemo TALAKA, na hakuna dini inayoruhusu mke kuporomoshewa kipigo. 3. Hivi sisi sote tujiulize kitu, endapo kila unapokosea basi uadhibiwe ni mara ngapi ss tunawakosea wenzetu na hata Muumba wetu kama Kuzini, Ulevi, Kudanganya na kufanya ufisadi ktk jamii (kmb. Wimbo wako wa Chura ni kwa kiasi kikubwa sana umeporomosha maadili ktk jamii yetu na unajinasibisha kwa Ushauri wa kidini) kwani jamii nilitegemea uhuzunike sana, kwa hili ambapo limegusa na kuharibu jamii kuliko lako ambalo linakuhusu wewe na familia yako Mwisho, tunatakiwa kuchunga sana,
Snura achana kubishana na mtu ambaye Hana elimu dunia Wala elimu akhera wala elimu ya mtaa ,halafu serikali yetu tukufu inawashabikia Sana Malaya wa mjini na kudhalilisha dada zetu.kizazi chetu sijui kitajifunza nn na hao ndio wanashabikiwa Hadi na serikali..
Mm nko Oman pia nilisikia vizuri tu lk binadamu ndiyo tulivyo ukweli huwa unauma sana pole dada snura kwa hayo yalio kukuta shishi hana akili kabisa neno zuri kaliona baya
Shilole limezingua bn yan kwann amfanyie ivo mwenzie daah ani me ad nimeumia kiukwel snura ss tumeona interview yote we na carry mastory shilole kaongea uongo na kazingua dada yang we come down
Tuliomuelew snura like it
Snura mwanamke bana Alaaa...
Binadamu hatupendani jmn ila Mungu katuumba sote tupendane maana dunian tunapita kwa Mungu tutajibu nn
Nimejifunzo kitu kutok kwako snura una hekim san dada enderea ivo ivo i am love u so so much
Pole my dear
Usijali dada binadamu ndivyo tulivyo tunampenda kujionyesha na kuharibiana pia
Jamani kumbukeni interview huwa zinakatwa hawapost kila kitu sababu zinakuwa ndefu,kwaiyo shishi labda alitumiwa vipande ambavyo havikupostiwa
Kama snura anaongea kwa kujizuia ivi,si aongee kwa uhuru...usibane sauti kujifanya unaongea kidogo dogo afu unajusahau sauti inakaa sawa..
Fake zone
Tupo pamoja nakuelewa momy...Ile interview alimkandia Sana shishy
@@masalakulwa7601 umeonae ?afu watu wanajifanya hawakumbuki ,wanamsema shishy..mkono kwa mkono..yeye alimsema kwenye mtandao shishi kamuumbua kwenye mkutano..
Kutesa kwa zamu.
Ajifunze tu kukaa mbali na maswala binafsi ya watu.
Wasanii wangapi walihojiwa lakini hawakutaka kushiriki,na walioshiriki walitoa pole, basi...lei hii ndo ajifanya ana stara...anaitoa wapi iyo stara mtu mwenyewe mlezi wa wana.
Yaan sikuwahi kusikiliza interview ya huyu dada. Anajitambua kuliko watu wanavyomdhani.. Nimekupenda SNURA
Nimejifunza kitu..kutoka kwako Sinura,Nmekupenda Bure
dada angu ulimuelekeza vizuri sana lkn uliomuelekeza kichwa kina pombe,nakupongeza sana dada snura upo vizuri sana achana nae yule anawivu wewe upo juu yake akufikii kwa chochote.
Achana nae huyo katoka kweny maisha magumu sasa kapata maisha kweny utu uzima zinamchnganya
Snura nimekuelewa dada pole sana mshukuru mungu kwa kila jambo samee x 70 shilole anakichwa maji ajielewi
Nakuunga mkono snura waarabu wanasema fii kulli makani maqal wa fii kulli maqal rijal.kila mahali pana manenoyke na kila maneno yana watu wake.hyu mdada hta ukimuangalia akili yke bado nasema ni semtrailer lime fungwa injini ya tax, huwa anajidhalilisha hta kujifanya anaongea kiengereza chake kumbe sisi tunamuona kichaa
Snura usimuulize chochote kama mwanzo utampa Kiki mgomvi huyo asije akakuvamia mwilini akutie mangeo ili akuharibie sura yako nzuri
Shishi ameshindikana na anapenda sana kiki za ajabu inaonekana huwa anaongeaga na uchebe vibaya ndiomaana anachezeaga kichapo kimuonekano uchebe upo pc sana
Olewa nae
Pole sana snura muachiye mungu atakulipiya
Nampenda sana shishi ila kwahili kanikera sana
Wee jameni snura nimejifunza mengi dadangu our living God protect you from evil people. Weee sihaba nimepata hekima ya ku deal nawatu ambao ni mafetu.
Shilole kwa kuongea vile kwa watu wenye akili timamu tena Kama palikua pana viongozi kweliwatakua wamemuona hamnazo mwanamke anaropoka vile ndo maana alipigwa na mumewe wanawake hawatakiwi kuropoka ropoka kiasi kile
Snura unasema kweli..,,Shilole anakuchukia..Kwa ukweli ulosema,Ukweli unauma..siku zote,Big up Mama Mobeto
NDOA INA HESHIMA YAKE UPO SAWA SNURA
Pole sana alichokufanyia hata akiomba msamaha labda aombe kwenyemkutano kama uleule Mungu aliekufikisha ulipo ndie atakuongezea zaid
Snura nakupenda 🤗 😘 ume ongea sahihi sioni 😰 kosa apo wewe ni mwana mke wa kuji amimi
Snura sio nchi nzima mam mkutano tuliangalia mpk Dubai huku mam tulifatilia pole saan mim nishabiki mkubwa washishi kwavile namuonaga nimcheshi saan ila duu kakosea mno namshauri akutafute akuombe msamah
Yani venye Shilole akiongea kwa media yupo kama Baba levo hao wafaa waowane wakae pamoja ndipo
Huyu shishi anaona sifa tu kwavile anajiona anapendwa na hvyo akienda kwenye mikutano anapewa nafasi ya kuongea yaani anajishaua tu mfyuuu zake, yaani kweli shule ni muhimu
Sasa living and dying god amekujaje hapa?
Pole Sana uyo shishi anapenda Kiki za kisengee tu
Shishi Hakili Zake Zipo Hanapo Tolea Hewa Chafu.
Haaa chunga mdomo wako wewe
Ila shishi nilimchukia kipindi cha munalove na piere na mara nyingi anaongea utopolo akipewa maic kwenye albam ya hormo mbele ya kikwete aliongea utumbo juzi kwa zuchu ivo ivo sijui anajikuta nani lile lijike shupa
Hahahahaaaa
Pole sana dada Snura.lakini na wewe siku nyingine usikubari kabisa kutoa ushauri kwa mtu amaye unajua kabisa hamko sawa.kama ulishaisi yeye hayuko sawa na wewe ungekataa kabisa kuongelea lolote kuhusu issue zake...Mimi nikushajua mtu anikuvali sitakagi kabisa kujihusisha kamwe kwenye mambo yake.Pole lakini umejifunza kitu.
Hili nalo neno!kama anajua hampendi angeachana nae,maana mwenzake anamuonea wivu
All the way from 001county mambasa .Huyo shilole ni kinyonga Mara hugeuka tu.ni MTU mwanzo si MTU mwisho.sissy sanura mueleke mngu tu.shilole ni bochoo
Sinura hata kuongea kwako unaonyesha una hekima sana!endelea hivyo hivyo,achana na huyo mdomo wazi,anatafuta kiki za lazima,kiingereza chenyewe hajui,ana kazi ya kujidhalilisha,kwanza si alisema anapendwa kupigwa?pole sana Sinura
Mi nishabiki wa wasanii wote ila huwa sipendi msanii wasemani vibaya ili la shishi limeniuma sana pole snura pole sana
Snura Kaongea kwa busara
shilole heshima hana mtovu wa adabu ndio mana akadundwa
Pole snura
Shilole hajielewe na busara hana mpenda sifa na kuropoka tu ili watu wacheke ndio furaha yake.bora awe mchekeshaji
TUNAKUPENDA SNURA,ACHANA NA HILO DANGA LA JIJI,LINALOHALISHIA MDOMO.HUWA NASHANGAA HATA WANAO MPA NAFASI YAKUONGEA KWA WATU MPUUZI YULE KAZI KUROPOKA HANA POINT NI UTOPOLO TU.
Una hekima sana we mwanamke
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Basi pia nawewe dada ukiwa umetuambia umejifunza mambo ya dini acha miziki mrudie Allah
Kabisa aachane na mitandao
@@mwanahamisially5234 yaani kanigusa sana snuu alivyojielezea na kiukweli akitaka nimshauri kitu cha kufanya kwasababu ye ni MTU maarufu na anaweza kukifanya na akalitagaza jina lake kupitia hiko kitu ningemshauri na hata angempita hyo khasimu wake na biashara yke anayofanya
@@abdallahmuttaq7306 haswaaa maan huku aliko siko awaachie wenyew
Shilole apunguze bangi
Kamfanya mpaka babalevo sai amekua kakaduu..
Shishi sio wakumpa maiki laana za uchebe ndio hizo zinaan,za
Ndo ukome kujifanya jaji Mkuu!
Snura kalelewaa.. Mungu akujalie upate biashara ya maana uachane na mziki.na minu akuoe.yan ww mwanamke na nusu.shishi kichwa maji.serikali gani itampa nafasi shishitipwatipwa.akadange sasa mana hata hyo uchebe alipata shida Kua nae..shishi trump roho mbayaa uache.mtu mzima ovyooo..
Nazani History Ya Maisha Ya Shishi Hasilimia Kubwa Watiz Tuna Hijua. Dar Kaja Na Mfuko Wa Rambo. Kwahiyo Tus Mshangae. Bado Ni Korooo. Hata Kama Ana Chenji Maiti. Shishi Ana Akili Za Kuku.
nimekupenda sana snura una akili sana sana
Swebe jaman mmbeya A mh 😁😁😁
Yani shishi hata akili hana akae ajigikirie,Snura pole na mungu yupo
Mashally nime mpenda uhu dd ♥anahekima kiukweli Kani vundisha kitu nimekusapoti kiukweli
Shilole amejionyesha kuwa amepigwa na Uchebe na kipigo kilikuwa sahihi. Kwa kweli ana mdomo mbaya kama dhambi. Kwa ujinga amempa Snura kiki ya kutokea nyimbo yake ya 'mkuno wa nazi'.
Mimi mmoja wao nilifatilia hyo interview yk,hukuongea vby dadangu huyu shishi actually ni mkorofi ,anataka kiki tu,anataka aonekane yy tu ili akuchafue lkn usjali Snura Mungu atakulipia Inshaalah.
Shishi bwege Sana! Nimekupenda Sana Snura! Asikuchanganye, Shishi changu tuu huyo! Anataka uongozi labda akaongoze familia yake!
Pole dd angu achana na shilole anaka a ya mama ake namjuwa yule
Shilole bangi nyingi Mzoeee. Snura pole mwaya chura wetu
Sana Dada niliisikia mwanzo mwisho pole Sana kwa kauli alizozitoa shishi kwako.
Nimekupenda Dada sunura.uko vizuri
Shishi mwehu! Shishi anasifa za kijinga, Pole Snura
HANA WAZAZI SHILOLE HANA WAZAZI
Shishi mjinga huyo ashawahi ongea anamchukoa Ali kiba na hakuna mahala Ali ashawahi muongelea ndio tabia yake
Snur nimekupend kwsmaongeziak nikwel Shish hajielei
Shishi tunakupenda sana ila kwa ili umetukera shabik zako kwa ujinga wako umekosa busara
Nyie watu wa media ss mnakera huu ni ujinga tu kuingiza mtu ambae hausiki munamuingiza nn
Nimekupata sana snura.ila tu nakulaumu kitu kimoja.ww pia uliposikia usingemzungumzia kwenye vyombo vya habari bali ungemfata mwenyewe.na la pili umesema kua umelelewa na bibi yako vizuri sana. Nikweli ndio malezi hayo ndio yanatakiwa lkn kwa malezi mengine hujalelewa vizuri kukatika churachura kwenye majukwaa hayo mafunzo sijayapenda kabisa na kutembea na mtoto mdogo kumuweka wazi mahusiano yenu borangekua mmefunga ndoa
Ni kweli maneno yako. Naona wengi wanamlaumu shishi. Kama nyinyi hakumkua vizuri vipi utakubalia kutoa ushauri kamaule? Umesema vizuri lkn ile ya kusema kumuheshimu mume. Ilikua haina haja. Na kusema eti shishi angempigia snura kumwambia bsdala ya kuongea hadharani.kwani snura aliongea siri?
Duh, Huyu dada anamuona mwenzake anamakosa, lakini kwa watu wanaotafakari pia na yeye umekosea
1. Kutoa umshauri kwenye public, kwa mtu ambaye yuko na stress ya jambo fulani sio sahihi hasa kutokana historia ya wawili ninyi, kwani kama uliguswa na umejiona una nafasi ya kumshauri ungemtafuta private ukampa huo unaouita Ushauri.
2. Ushauri wako ulijielekeza kumlaumu kwa kitendo cha kupost tatizo lake ktk ndoa mtandaoni, na wala haukuwwka mizania ya lawama, Hata hivyo kwa Mujibu wa dini Islam Wanaume tumeaswa tukae na Wakezetu kwa WEMA, tuwapende na sisi ni tumefananisha na kichwa kwenye familia, sababu Mungu anajua madhaifu ya kiasili baina yetu wanaadam, na madhira yakizidi zipo taratibu za kisheria ikiwemo TALAKA, na hakuna dini inayoruhusu mke kuporomoshewa kipigo.
3. Hivi sisi sote tujiulize kitu, endapo kila unapokosea basi uadhibiwe ni mara ngapi ss tunawakosea wenzetu na hata Muumba wetu kama Kuzini, Ulevi, Kudanganya na kufanya ufisadi ktk jamii (kmb. Wimbo wako wa Chura ni kwa kiasi kikubwa sana umeporomosha maadili ktk jamii yetu na unajinasibisha kwa Ushauri wa kidini) kwani jamii nilitegemea uhuzunike sana, kwa hili ambapo limegusa na kuharibu jamii kuliko lako ambalo linakuhusu wewe na familia yako
Mwisho, tunatakiwa kuchunga sana,
Agiza sodaaaaa
Unanyota snura n unajielewa n mti mwema ndio upigwa mawe
Waliokuwa wanamtukuna uchebe sasandio waonekama shishi niMubwa
Mara hoo uchebe sio mwanaume mara anasura ngum mara hoo anachafua dini sasa ukwel wote umejileta wenyewe bila kutafutwa 😛😛
SHILOLE HANA AKILI
ACHANA NAE
Jichunge wewe
Shishi jifunze uwavunze na wanao walimwengu watakufunza siku 3 unadanga huko kwako jinga
Jamani hii dunia kuna watu walio funzwa snura ubarikiwe
Hata mimi kuna kitu nimejifunza kwenye interview ya snura wallahi
Kwani ni lazima umsemelee mwanamke alopigwa na mume wake wacheni wataelewana wenyewe haikuhusu
Snura uko juu achana nae
Ingekuwa haituhuusu asingeweka habari zake kwenye mtandao dada,hii inatuhusu sana especially yeye akiwa ni kioo cha jamii.
Hakukurupuka alihojiwa na wanahabari ña vile shishi mwenyewe aliweka Mambo hadharani.
Mnooo ht mi sipend ushauri huo kukifanya Malaika tu chefuu sana
Usimjali uyo hajielewi sometimes
Sikuzote msema uzuri huchukiwa
Ndio Mwijaku alitaka kuoa apa.. Huyu mama ni mzima sana
Huyu Shilole hashauriki kabisaa
Yule mswahili asikupasue kichwa mtie kwny dustbin
Achana nae.labda alifunga ndoa atoe gundu
Shishi na Gigy hawana utofauti midomo yao mmhhh
Sasa ww dada yangu sinura yanakuhusu dada yangu sema ulikuwa unatafuta Kiki dada yangu muache shishi namaisha yake ww ulikuwa umepotea dada fanya yako dada
Pole sana da Snura, msamehe na muachie Allah yote yeye ndio anajua zaidi.
Alitaka kuingia serikalini?
Hakuna mtu yoyote atamuingiza serikalini
Kwa Tabia zake mbaya.
Lakini uliongea kwa kirefuuu na kama ulijuwa hamko powa??
Hakutaka kuonesha tofauti zao
Hapo chacha
Snura you are so mature and they is something good in you more than her keep moving snura we love you
Pole sana snura anae kuchukia hata ukimfanyia wema bado kwake ni ubaya
Ni kwel kabisa yaan mtu akikuchukia ni shida
Yaani kuna mtu anakuchukia mpaka unajiulisha shida nini?
Uko kama mimi mwenzangu. Na mimi naweza kucheka,, ku fanya hiki na hili mbele za watu japo moyoni roho inavuja damu.
Sinura unawivu ww dada
WE NAEEE, SASA AMUONEE WIVU KWA KITU GANI HASA👌 ACHA KUFURAHIA UJINGA TOA USHAURI NZURI UNAOJENGA
🤪🤪🤪🤪🤪
@@salamashabani7922 kama hajajielewa iv,sa wivu wa snura uko wap
I feel for this woman, what shishi alikosea
Hiyo ndio mitihani ya kimaisha
Snura achana kubishana na mtu ambaye Hana elimu dunia Wala elimu akhera wala elimu ya mtaa ,halafu serikali yetu tukufu inawashabikia Sana Malaya wa mjini na kudhalilisha dada zetu.kizazi chetu sijui kitajifunza nn na hao ndio wanashabikiwa Hadi na serikali..
Kumbe sister snura Una maneno mazr sana big up nmeinjoi sana kwa advise yako ....shishi anapaswa kukuomba msamaha
Mm nko Oman pia nilisikia vizuri tu lk binadamu ndiyo tulivyo ukweli huwa unauma sana pole dada snura kwa hayo yalio kukuta shishi hana akili kabisa neno zuri kaliona baya
Uko sehemu gani my me nipo al heal
@@ahshbsbx2991 niko mabela mm
Hujasema Vibaya Dada jipe moyo uyo shilole anakiburi ca uzima na kulewa na sifa nyingi
Samehe tu dada angu nilikuwa na mkubali Sana shishi ila kwahili ndo maana anadundwa mtu unakosa hata staraah ya maneno loooh!
MashaAllah najikupendea bure Allah akuifadhi dada yang akujalie mwisho mwema sn
Snura huyo jamaa akikuacha mimi nakuoa wallah unaakili sana yani hadi nashindwa kusema ni jinsi gani unajielewa.
Snura huyo jamaa akikuacha mimi nakuoa wallah unaakili sana yani hadi nashindwa kusema ni jinsi gani unajielewa.
Sijawah kukoment ila leo kw mara y 1 ,kwa ushauri zuwena atoke na kukuomba radhi tena asubir mkutano mfano w huo aliokudhalilisha akuombe radhi.
Snura nakupenda 🤗 😘 ume ongea sahihi sioni 😰 kosa apo wewe ni mwana mke wa kuji amimi
Hongera dada kwa busara zako mie nikushauri tu uachane na mziki mrudie Allah kama unavyoijua dini mziki ni haramu
Hahahahahaaaaaa et mkila mnalal simmalizie tuu hahahaha mna......
Ujakosea snura shishi msema ovyo tuu pole snura
Kumkosoa mtu mbele za watu ni kumdhalilisha
Hongera snura kwa imani za dada wa kazi.mungu akulinde
Dah kweli kaku dhalilisha sana pole sana dada
Shilole limezingua bn yan kwann amfanyie ivo mwenzie daah ani me ad nimeumia kiukwel snura ss tumeona interview yote we na carry mastory shilole kaongea uongo na kazingua dada yang we come down
Uja zalilika dada yangu mwenyewe kajizalilisha.