SNURA ATAJA SABABU ZA SHILOLE KUMCHUKIA | WIVU | UNAFKI | USHAURI | AMENIDHALILISHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 222

  • @minahsamiry4459
    @minahsamiry4459 4 года назад +69

    Tuliomuelew snura like it

    • @victoriadaizy5277
      @victoriadaizy5277 4 года назад

      Snura mwanamke bana Alaaa...

    • @annamkami1067
      @annamkami1067 4 года назад

      Binadamu hatupendani jmn ila Mungu katuumba sote tupendane maana dunian tunapita kwa Mungu tutajibu nn

  • @aishbalerio3774
    @aishbalerio3774 4 года назад +1

    Nimejifunzo kitu kutok kwako snura una hekim san dada enderea ivo ivo i am love u so so much

  • @ostakiambilinyi5129
    @ostakiambilinyi5129 4 года назад +1

    Pole my dear

  • @aishakatandula2881
    @aishakatandula2881 4 года назад

    Usijali dada binadamu ndivyo tulivyo tunampenda kujionyesha na kuharibiana pia

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +8

    Jamani kumbukeni interview huwa zinakatwa hawapost kila kitu sababu zinakuwa ndefu,kwaiyo shishi labda alitumiwa vipande ambavyo havikupostiwa

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +5

    Kama snura anaongea kwa kujizuia ivi,si aongee kwa uhuru...usibane sauti kujifanya unaongea kidogo dogo afu unajusahau sauti inakaa sawa..
    Fake zone

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 4 года назад +2

      Tupo pamoja nakuelewa momy...Ile interview alimkandia Sana shishy

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly 4 года назад +2

      @@masalakulwa7601 umeonae ?afu watu wanajifanya hawakumbuki ,wanamsema shishy..mkono kwa mkono..yeye alimsema kwenye mtandao shishi kamuumbua kwenye mkutano..
      Kutesa kwa zamu.
      Ajifunze tu kukaa mbali na maswala binafsi ya watu.
      Wasanii wangapi walihojiwa lakini hawakutaka kushiriki,na walioshiriki walitoa pole, basi...lei hii ndo ajifanya ana stara...anaitoa wapi iyo stara mtu mwenyewe mlezi wa wana.

  • @happykibiki7879
    @happykibiki7879 4 года назад +7

    Yaan sikuwahi kusikiliza interview ya huyu dada. Anajitambua kuliko watu wanavyomdhani.. Nimekupenda SNURA

  • @johnmwadime4590
    @johnmwadime4590 4 года назад +15

    Nimejifunza kitu..kutoka kwako Sinura,Nmekupenda Bure

    • @mbarakamavunde9769
      @mbarakamavunde9769 4 года назад +2

      dada angu ulimuelekeza vizuri sana lkn uliomuelekeza kichwa kina pombe,nakupongeza sana dada snura upo vizuri sana achana nae yule anawivu wewe upo juu yake akufikii kwa chochote.

  • @aoman5214
    @aoman5214 4 года назад +8

    Achana nae huyo katoka kweny maisha magumu sasa kapata maisha kweny utu uzima zinamchnganya

  • @aminajuma2981
    @aminajuma2981 4 года назад +9

    Snura nimekuelewa dada pole sana mshukuru mungu kwa kila jambo samee x 70 shilole anakichwa maji ajielewi

  • @abdallahmuttaq7306
    @abdallahmuttaq7306 4 года назад +8

    Nakuunga mkono snura waarabu wanasema fii kulli makani maqal wa fii kulli maqal rijal.kila mahali pana manenoyke na kila maneno yana watu wake.hyu mdada hta ukimuangalia akili yke bado nasema ni semtrailer lime fungwa injini ya tax, huwa anajidhalilisha hta kujifanya anaongea kiengereza chake kumbe sisi tunamuona kichaa

  • @nasraalfan6397
    @nasraalfan6397 4 года назад +6

    Snura usimuulize chochote kama mwanzo utampa Kiki mgomvi huyo asije akakuvamia mwilini akutie mangeo ili akuharibie sura yako nzuri

  • @issagongo5822
    @issagongo5822 4 года назад +21

    Shishi ameshindikana na anapenda sana kiki za ajabu inaonekana huwa anaongeaga na uchebe vibaya ndiomaana anachezeaga kichapo kimuonekano uchebe upo pc sana

  • @ukhtyzainab7254
    @ukhtyzainab7254 4 года назад +12

    Pole sana snura muachiye mungu atakulipiya

  • @mwanaidyibrahimu8861
    @mwanaidyibrahimu8861 4 года назад +17

    Nampenda sana shishi ila kwahili kanikera sana

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy5277 4 года назад +4

    Wee jameni snura nimejifunza mengi dadangu our living God protect you from evil people. Weee sihaba nimepata hekima ya ku deal nawatu ambao ni mafetu.

  • @juditholotu2998
    @juditholotu2998 4 года назад +4

    Shilole kwa kuongea vile kwa watu wenye akili timamu tena Kama palikua pana viongozi kweliwatakua wamemuona hamnazo mwanamke anaropoka vile ndo maana alipigwa na mumewe wanawake hawatakiwi kuropoka ropoka kiasi kile

  • @johnmwadime4590
    @johnmwadime4590 4 года назад +5

    Snura unasema kweli..,,Shilole anakuchukia..Kwa ukweli ulosema,Ukweli unauma..siku zote,Big up Mama Mobeto

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 4 года назад +5

    NDOA INA HESHIMA YAKE UPO SAWA SNURA

  • @wileyemanuel2810
    @wileyemanuel2810 4 года назад +4

    Pole sana alichokufanyia hata akiomba msamaha labda aombe kwenyemkutano kama uleule Mungu aliekufikisha ulipo ndie atakuongezea zaid

  • @mammymasibomammy5004
    @mammymasibomammy5004 4 года назад +3

    Snura nakupenda 🤗 😘 ume ongea sahihi sioni 😰 kosa apo wewe ni mwana mke wa kuji amimi

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад +1

    Snura sio nchi nzima mam mkutano tuliangalia mpk Dubai huku mam tulifatilia pole saan mim nishabiki mkubwa washishi kwavile namuonaga nimcheshi saan ila duu kakosea mno namshauri akutafute akuombe msamah

  • @farhadhassansaid1297
    @farhadhassansaid1297 4 года назад +1

    Yani venye Shilole akiongea kwa media yupo kama Baba levo hao wafaa waowane wakae pamoja ndipo

  • @faidhahemedi4759
    @faidhahemedi4759 4 года назад +3

    Huyu shishi anaona sifa tu kwavile anajiona anapendwa na hvyo akienda kwenye mikutano anapewa nafasi ya kuongea yaani anajishaua tu mfyuuu zake, yaani kweli shule ni muhimu

    • @oyay2821
      @oyay2821 2 года назад

      Sasa living and dying god amekujaje hapa?

  • @aishamnamba1064
    @aishamnamba1064 4 года назад +3

    Pole Sana uyo shishi anapenda Kiki za kisengee tu

  • @mjombaanko8635
    @mjombaanko8635 4 года назад +4

    Shishi Hakili Zake Zipo Hanapo Tolea Hewa Chafu.

  • @asiajuma8342
    @asiajuma8342 4 года назад +2

    Ila shishi nilimchukia kipindi cha munalove na piere na mara nyingi anaongea utopolo akipewa maic kwenye albam ya hormo mbele ya kikwete aliongea utumbo juzi kwa zuchu ivo ivo sijui anajikuta nani lile lijike shupa

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 4 года назад +3

    Pole sana dada Snura.lakini na wewe siku nyingine usikubari kabisa kutoa ushauri kwa mtu amaye unajua kabisa hamko sawa.kama ulishaisi yeye hayuko sawa na wewe ungekataa kabisa kuongelea lolote kuhusu issue zake...Mimi nikushajua mtu anikuvali sitakagi kabisa kujihusisha kamwe kwenye mambo yake.Pole lakini umejifunza kitu.

    • @janethsadock4559
      @janethsadock4559 4 года назад

      Hili nalo neno!kama anajua hampendi angeachana nae,maana mwenzake anamuonea wivu

  • @ibrahimadam4272
    @ibrahimadam4272 4 года назад +2

    All the way from 001county mambasa .Huyo shilole ni kinyonga Mara hugeuka tu.ni MTU mwanzo si MTU mwisho.sissy sanura mueleke mngu tu.shilole ni bochoo

  • @janethsadock4559
    @janethsadock4559 4 года назад +1

    Sinura hata kuongea kwako unaonyesha una hekima sana!endelea hivyo hivyo,achana na huyo mdomo wazi,anatafuta kiki za lazima,kiingereza chenyewe hajui,ana kazi ya kujidhalilisha,kwanza si alisema anapendwa kupigwa?pole sana Sinura

  • @christinahillary3417
    @christinahillary3417 4 года назад +3

    Mi nishabiki wa wasanii wote ila huwa sipendi msanii wasemani vibaya ili la shishi limeniuma sana pole snura pole sana

  • @rinaalbaloushi2981
    @rinaalbaloushi2981 4 года назад +4

    Snura Kaongea kwa busara

  • @sleymohamed3825
    @sleymohamed3825 4 года назад +5

    shilole heshima hana mtovu wa adabu ndio mana akadundwa

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 4 года назад +2

    Shilole hajielewe na busara hana mpenda sifa na kuropoka tu ili watu wacheke ndio furaha yake.bora awe mchekeshaji

  • @gracemushi9932
    @gracemushi9932 4 года назад +1

    TUNAKUPENDA SNURA,ACHANA NA HILO DANGA LA JIJI,LINALOHALISHIA MDOMO.HUWA NASHANGAA HATA WANAO MPA NAFASI YAKUONGEA KWA WATU MPUUZI YULE KAZI KUROPOKA HANA POINT NI UTOPOLO TU.

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 4 года назад +14

    Una hekima sana we mwanamke

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @abdallahmuttaq7306
    @abdallahmuttaq7306 4 года назад +4

    Basi pia nawewe dada ukiwa umetuambia umejifunza mambo ya dini acha miziki mrudie Allah

    • @mwanahamisially5234
      @mwanahamisially5234 4 года назад

      Kabisa aachane na mitandao

    • @abdallahmuttaq7306
      @abdallahmuttaq7306 4 года назад

      @@mwanahamisially5234 yaani kanigusa sana snuu alivyojielezea na kiukweli akitaka nimshauri kitu cha kufanya kwasababu ye ni MTU maarufu na anaweza kukifanya na akalitagaza jina lake kupitia hiko kitu ningemshauri na hata angempita hyo khasimu wake na biashara yke anayofanya

    • @mwanahamisially5234
      @mwanahamisially5234 4 года назад

      @@abdallahmuttaq7306 haswaaa maan huku aliko siko awaachie wenyew

  • @mariettareonardituza5307
    @mariettareonardituza5307 4 года назад +5

    Shilole apunguze bangi

    • @hassankijuvi5768
      @hassankijuvi5768 4 года назад

      Kamfanya mpaka babalevo sai amekua kakaduu..

  • @rossarutasha1789
    @rossarutasha1789 4 года назад +2

    Shishi sio wakumpa maiki laana za uchebe ndio hizo zinaan,za

  • @jacksonwambura1982
    @jacksonwambura1982 4 года назад +2

    Ndo ukome kujifanya jaji Mkuu!

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 года назад

    Snura kalelewaa.. Mungu akujalie upate biashara ya maana uachane na mziki.na minu akuoe.yan ww mwanamke na nusu.shishi kichwa maji.serikali gani itampa nafasi shishitipwatipwa.akadange sasa mana hata hyo uchebe alipata shida Kua nae..shishi trump roho mbayaa uache.mtu mzima ovyooo..

  • @mjombaanko8635
    @mjombaanko8635 4 года назад +4

    Nazani History Ya Maisha Ya Shishi Hasilimia Kubwa Watiz Tuna Hijua. Dar Kaja Na Mfuko Wa Rambo. Kwahiyo Tus Mshangae. Bado Ni Korooo. Hata Kama Ana Chenji Maiti. Shishi Ana Akili Za Kuku.

  • @fedelinamahenge6649
    @fedelinamahenge6649 4 года назад +2

    nimekupenda sana snura una akili sana sana

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 4 года назад +1

    Swebe jaman mmbeya A mh 😁😁😁

  • @elizabethijoseph6819
    @elizabethijoseph6819 4 года назад +2

    Yani shishi hata akili hana akae ajigikirie,Snura pole na mungu yupo

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 2 года назад

    Mashally nime mpenda uhu dd ♥anahekima kiukweli Kani vundisha kitu nimekusapoti kiukweli

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 года назад +1

    Shilole amejionyesha kuwa amepigwa na Uchebe na kipigo kilikuwa sahihi. Kwa kweli ana mdomo mbaya kama dhambi. Kwa ujinga amempa Snura kiki ya kutokea nyimbo yake ya 'mkuno wa nazi'.

  • @zamoyonimohamedimam1695
    @zamoyonimohamedimam1695 4 года назад +5

    Mimi mmoja wao nilifatilia hyo interview yk,hukuongea vby dadangu huyu shishi actually ni mkorofi ,anataka kiki tu,anataka aonekane yy tu ili akuchafue lkn usjali Snura Mungu atakulipia Inshaalah.

    • @rehemajoshua2022
      @rehemajoshua2022 4 года назад

      Shishi bwege Sana! Nimekupenda Sana Snura! Asikuchanganye, Shishi changu tuu huyo! Anataka uongozi labda akaongoze familia yake!

    • @ahamadumussa4746
      @ahamadumussa4746 4 года назад

      Pole dd angu achana na shilole anaka a ya mama ake namjuwa yule

  • @princesssway1396
    @princesssway1396 4 года назад +1

    Shilole bangi nyingi Mzoeee. Snura pole mwaya chura wetu

  • @mariasshilla4528
    @mariasshilla4528 4 года назад +3

    Sana Dada niliisikia mwanzo mwisho pole Sana kwa kauli alizozitoa shishi kwako.

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 года назад +2

    Shishi mwehu! Shishi anasifa za kijinga, Pole Snura

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 4 года назад +2

    HANA WAZAZI SHILOLE HANA WAZAZI

  • @khamismasaai5307
    @khamismasaai5307 4 года назад +1

    Shishi mjinga huyo ashawahi ongea anamchukoa Ali kiba na hakuna mahala Ali ashawahi muongelea ndio tabia yake

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 4 года назад

    Snur nimekupend kwsmaongeziak nikwel Shish hajielei

  • @hashimsalum338
    @hashimsalum338 4 года назад

    Shishi tunakupenda sana ila kwa ili umetukera shabik zako kwa ujinga wako umekosa busara

  • @farhadhassansaid1297
    @farhadhassansaid1297 4 года назад

    Nyie watu wa media ss mnakera huu ni ujinga tu kuingiza mtu ambae hausiki munamuingiza nn

  • @anjunurdin2392
    @anjunurdin2392 4 года назад +1

    Nimekupata sana snura.ila tu nakulaumu kitu kimoja.ww pia uliposikia usingemzungumzia kwenye vyombo vya habari bali ungemfata mwenyewe.na la pili umesema kua umelelewa na bibi yako vizuri sana. Nikweli ndio malezi hayo ndio yanatakiwa lkn kwa malezi mengine hujalelewa vizuri kukatika churachura kwenye majukwaa hayo mafunzo sijayapenda kabisa na kutembea na mtoto mdogo kumuweka wazi mahusiano yenu borangekua mmefunga ndoa

    • @susanejd7775
      @susanejd7775 4 года назад

      Ni kweli maneno yako. Naona wengi wanamlaumu shishi. Kama nyinyi hakumkua vizuri vipi utakubalia kutoa ushauri kamaule? Umesema vizuri lkn ile ya kusema kumuheshimu mume. Ilikua haina haja. Na kusema eti shishi angempigia snura kumwambia bsdala ya kuongea hadharani.kwani snura aliongea siri?

  • @hansikalambo8125
    @hansikalambo8125 4 года назад +1

    Duh, Huyu dada anamuona mwenzake anamakosa, lakini kwa watu wanaotafakari pia na yeye umekosea
    1. Kutoa umshauri kwenye public, kwa mtu ambaye yuko na stress ya jambo fulani sio sahihi hasa kutokana historia ya wawili ninyi, kwani kama uliguswa na umejiona una nafasi ya kumshauri ungemtafuta private ukampa huo unaouita Ushauri.
    2. Ushauri wako ulijielekeza kumlaumu kwa kitendo cha kupost tatizo lake ktk ndoa mtandaoni, na wala haukuwwka mizania ya lawama, Hata hivyo kwa Mujibu wa dini Islam Wanaume tumeaswa tukae na Wakezetu kwa WEMA, tuwapende na sisi ni tumefananisha na kichwa kwenye familia, sababu Mungu anajua madhaifu ya kiasili baina yetu wanaadam, na madhira yakizidi zipo taratibu za kisheria ikiwemo TALAKA, na hakuna dini inayoruhusu mke kuporomoshewa kipigo.
    3. Hivi sisi sote tujiulize kitu, endapo kila unapokosea basi uadhibiwe ni mara ngapi ss tunawakosea wenzetu na hata Muumba wetu kama Kuzini, Ulevi, Kudanganya na kufanya ufisadi ktk jamii (kmb. Wimbo wako wa Chura ni kwa kiasi kikubwa sana umeporomosha maadili ktk jamii yetu na unajinasibisha kwa Ushauri wa kidini) kwani jamii nilitegemea uhuzunike sana, kwa hili ambapo limegusa na kuharibu jamii kuliko lako ambalo linakuhusu wewe na familia yako
    Mwisho, tunatakiwa kuchunga sana,

  • @khadijazinga8173
    @khadijazinga8173 3 года назад

    Unanyota snura n unajielewa n mti mwema ndio upigwa mawe

  • @denischacha9104
    @denischacha9104 4 года назад +6

    Waliokuwa wanamtukuna uchebe sasandio waonekama shishi niMubwa

    • @jacklinemwanga1691
      @jacklinemwanga1691 4 года назад

      Mara hoo uchebe sio mwanaume mara anasura ngum mara hoo anachafua dini sasa ukwel wote umejileta wenyewe bila kutafutwa 😛😛

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 4 года назад +2

    SHILOLE HANA AKILI
    ACHANA NAE

  • @Shuu.A
    @Shuu.A 4 года назад +1

    Shishi jifunze uwavunze na wanao walimwengu watakufunza siku 3 unadanga huko kwako jinga

  • @judijudi8023
    @judijudi8023 4 года назад +1

    Jamani hii dunia kuna watu walio funzwa snura ubarikiwe

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 года назад +1

    Hata mimi kuna kitu nimejifunza kwenye interview ya snura wallahi

  • @sesyurio7609
    @sesyurio7609 4 года назад +3

    Kwani ni lazima umsemelee mwanamke alopigwa na mume wake wacheni wataelewana wenyewe haikuhusu

    • @joycekavishe7283
      @joycekavishe7283 4 года назад +2

      Snura uko juu achana nae

    • @sophiarajab5476
      @sophiarajab5476 4 года назад +1

      Ingekuwa haituhuusu asingeweka habari zake kwenye mtandao dada,hii inatuhusu sana especially yeye akiwa ni kioo cha jamii.

    • @nasranassor6796
      @nasranassor6796 4 года назад +1

      Hakukurupuka alihojiwa na wanahabari ña vile shishi mwenyewe aliweka Mambo hadharani.

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 4 года назад

      Mnooo ht mi sipend ushauri huo kukifanya Malaika tu chefuu sana

  • @khadijazinga8173
    @khadijazinga8173 3 года назад

    Usimjali uyo hajielewi sometimes

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад

    Sikuzote msema uzuri huchukiwa

  • @alantonio855
    @alantonio855 4 года назад +1

    Ndio Mwijaku alitaka kuoa apa.. Huyu mama ni mzima sana

  • @farhadhassansaid1297
    @farhadhassansaid1297 4 года назад

    Huyu Shilole hashauriki kabisaa

  • @ummyghabbash2619
    @ummyghabbash2619 4 года назад +1

    Yule mswahili asikupasue kichwa mtie kwny dustbin

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 4 года назад +5

    Shishi na Gigy hawana utofauti midomo yao mmhhh

  • @frenkfrancis4151
    @frenkfrancis4151 4 года назад +4

    Sasa ww dada yangu sinura yanakuhusu dada yangu sema ulikuwa unatafuta Kiki dada yangu muache shishi namaisha yake ww ulikuwa umepotea dada fanya yako dada

  • @ummfasam7656
    @ummfasam7656 4 года назад +1

    Pole sana da Snura, msamehe na muachie Allah yote yeye ndio anajua zaidi.

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 4 года назад +3

    Alitaka kuingia serikalini?
    Hakuna mtu yoyote atamuingiza serikalini
    Kwa Tabia zake mbaya.

  • @solangekubota9487
    @solangekubota9487 4 года назад +3

    Lakini uliongea kwa kirefuuu na kama ulijuwa hamko powa??

  • @teresiaguthera1058
    @teresiaguthera1058 4 года назад +4

    Snura you are so mature and they is something good in you more than her keep moving snura we love you

  • @beatricechristian9257
    @beatricechristian9257 4 года назад +10

    Pole sana snura anae kuchukia hata ukimfanyia wema bado kwake ni ubaya

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 4 года назад

    Uko kama mimi mwenzangu. Na mimi naweza kucheka,, ku fanya hiki na hili mbele za watu japo moyoni roho inavuja damu.

  • @frenkfrancis4151
    @frenkfrancis4151 4 года назад +2

    Sinura unawivu ww dada

    • @salamashabani7922
      @salamashabani7922 4 года назад +2

      WE NAEEE, SASA AMUONEE WIVU KWA KITU GANI HASA👌 ACHA KUFURAHIA UJINGA TOA USHAURI NZURI UNAOJENGA

    • @zuhuraabdul9383
      @zuhuraabdul9383 4 года назад

      🤪🤪🤪🤪🤪

    • @magrethmkira6250
      @magrethmkira6250 4 года назад

      @@salamashabani7922 kama hajajielewa iv,sa wivu wa snura uko wap

  • @raelachayo8591
    @raelachayo8591 4 года назад +1

    I feel for this woman, what shishi alikosea

  • @hassanhamiduhassanbarwan1450
    @hassanhamiduhassanbarwan1450 4 года назад +1

    Hiyo ndio mitihani ya kimaisha

  • @rahimmaumba5364
    @rahimmaumba5364 4 года назад

    Snura achana kubishana na mtu ambaye Hana elimu dunia Wala elimu akhera wala elimu ya mtaa ,halafu serikali yetu tukufu inawashabikia Sana Malaya wa mjini na kudhalilisha dada zetu.kizazi chetu sijui kitajifunza nn na hao ndio wanashabikiwa Hadi na serikali..

  • @abasimchina355
    @abasimchina355 4 года назад

    Kumbe sister snura Una maneno mazr sana big up nmeinjoi sana kwa advise yako ....shishi anapaswa kukuomba msamaha

  • @azizasalim8777
    @azizasalim8777 4 года назад +1

    Mm nko Oman pia nilisikia vizuri tu lk binadamu ndiyo tulivyo ukweli huwa unauma sana pole dada snura kwa hayo yalio kukuta shishi hana akili kabisa neno zuri kaliona baya

  • @charlesmateso6571
    @charlesmateso6571 4 года назад

    Hujasema Vibaya Dada jipe moyo uyo shilole anakiburi ca uzima na kulewa na sifa nyingi

  • @joshuamalekela6433
    @joshuamalekela6433 4 года назад

    Samehe tu dada angu nilikuwa na mkubali Sana shishi ila kwahili ndo maana anadundwa mtu unakosa hata staraah ya maneno loooh!

  • @mamoulovecherry5121
    @mamoulovecherry5121 4 года назад

    MashaAllah najikupendea bure Allah akuifadhi dada yang akujalie mwisho mwema sn

  • @selemanimwinyimkuu9539
    @selemanimwinyimkuu9539 4 года назад

    Snura huyo jamaa akikuacha mimi nakuoa wallah unaakili sana yani hadi nashindwa kusema ni jinsi gani unajielewa.

  • @selemanimwinyimkuu9539
    @selemanimwinyimkuu9539 4 года назад

    Snura huyo jamaa akikuacha mimi nakuoa wallah unaakili sana yani hadi nashindwa kusema ni jinsi gani unajielewa.

  • @abuuzahrani401
    @abuuzahrani401 4 года назад

    Sijawah kukoment ila leo kw mara y 1 ,kwa ushauri zuwena atoke na kukuomba radhi tena asubir mkutano mfano w huo aliokudhalilisha akuombe radhi.

  • @mammymasibomammy5004
    @mammymasibomammy5004 4 года назад

    Snura nakupenda 🤗 😘 ume ongea sahihi sioni 😰 kosa apo wewe ni mwana mke wa kuji amimi

  • @kijangwazay7711
    @kijangwazay7711 4 года назад +3

    Hongera dada kwa busara zako mie nikushauri tu uachane na mziki mrudie Allah kama unavyoijua dini mziki ni haramu

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад

    Hahahahahaaaaaa et mkila mnalal simmalizie tuu hahahaha mna......

  • @hawasaid6024
    @hawasaid6024 4 года назад

    Ujakosea snura shishi msema ovyo tuu pole snura

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 4 года назад

    Kumkosoa mtu mbele za watu ni kumdhalilisha

  • @husseintayar699
    @husseintayar699 4 года назад

    Hongera snura kwa imani za dada wa kazi.mungu akulinde

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 4 года назад

    Dah kweli kaku dhalilisha sana pole sana dada

  • @ikupalasts8353
    @ikupalasts8353 4 года назад +2

    Shilole limezingua bn yan kwann amfanyie ivo mwenzie daah ani me ad nimeumia kiukwel snura ss tumeona interview yote we na carry mastory shilole kaongea uongo na kazingua dada yang we come down

  • @ibraimosufo8706
    @ibraimosufo8706 4 года назад

    Uja zalilika dada yangu mwenyewe kajizalilisha.