Jamani muwe mnaelewa maelezo anasema alihamishwa bila yeye kujuwa tena akiwa amezimia muwe mnaelewa vyema msitukane TU mitandao ipo kwaajili yetu ili kutuelimisha sisi tuelewe
Muongo uyo bhana mbona Ile siku alipata DEGEDEGE na akazinduka muda huohuo na alipanda gari akiwa na akili timamu...mmmh uyu mama apimwe afya ya akili sio mzma kbs
😂😂😂😂ila uyu mama kiki zimezidi,ulizimia wakati ulikaa chini vzr tu mwenyewe unatetemesha mkono?na kwenye gari ulitembea na kupanda gari vizuri tu,ah kweli peaa mbaya mama umeninunuliwa kifanya kilo we fanya
Huyu mama hana busara ni kama hayuko sawa mwanae ni mzuri ila kuna mikono ya watu wengine imeingia ili asipewe raha na mwanae ila kwasababu hana imani hajui
WEWE KIJANA UMEJITAHIDI SANA KUMBEMBELEZA MAMA YAKO IMESHINDIKANA MWACHE LANA HUWEZI PATA. NI SAWA NA MZAZI UNAMNUNULIA NGUO YEYE ANACHOMA HAPO HUNA BAYA MWACHE NDUGU ZAKE WATAKUWA WANAMWONEA WIVU NA WANAMDANGANYA ACHANA NAYE WABAKI NA UMASKINI WAO
WE MAMA ACHA USHAMBA ACHA KUMDHARIRISHA MWANAO ; HAKUNA KANUNI YA KUMTOA KAFARA MAMA MZAZI; HUO NI UZUSHI HEBU ENJOY HEBU FURAHIA MAISHA ;MWANAO ANAKUPENDA SANA; PIA UJUE MTOTO WA KIUME FARAJA YAKE NI MAMA; NDIO MAANA UNAONA HAYO YOTE; HEBU ACHA IZO MANENO MAMA MZURI; MUNGU WA😂MBINGU AKUPE NGUVU KIJANA TAJIR CHUI MAANA HAYO MAPITO SIOCHEZO; ILA UTASHINDA KWA HAKIKA;
Huyu mama ana shida kiroho anahitaji utetezi wa watumishi wa Mungu
Mungu amlinde huyu mama
Jamani muwe mnaelewa maelezo anasema alihamishwa bila yeye kujuwa tena akiwa amezimia muwe mnaelewa vyema msitukane TU mitandao ipo kwaajili yetu ili kutuelimisha sisi tuelewe
Muongo uyo bhana mbona Ile siku alipata DEGEDEGE na akazinduka muda huohuo na alipanda gari akiwa na akili timamu...mmmh uyu mama apimwe afya ya akili sio mzma kbs
Hovyooo!! sawa na kuruka mkojo ukakanyaga mavi
Akk huyu mama anahitaji maombi.Waandishi wahabari nanyi ata nawashangaa.Mbona msimpeleke huyu mama kwa mtu akaombewe mnamuona kabsa anadhulumika.
Nakushauri muone kuhani Musa wa atakusaidia kimaombi mtafute kwenye yuotube
Msimsemee uyuu mama ajui alivoo vionaa Na anavoo vishuhudia hahaha angalieni watu so wazuriii
Hmmmm muongo kawekwa kwenye nyumba kubwa na wanajua mkono haufanyi kazi wakamuacha bila mfanyakazi?,uongo
We mama jamaniii🙏🙏🙏🙏🙏
Ngoja ufe we mama
Tafuta mchungaji mzuri uende akuombee utatolewa kafara changamka haraka sana
Huyu mama mbona simuelewi
Naomba kuuliza huyu mama mara ya kwanza alipelekew gar mwanza kwamba ndyo kwake saiv kwake tena pamekuw ubongo hii ngoma mbn siielewi
😅😅😅😅😅😅uyu mama mungu ndio ajuae
Ni mshenzi sana Kwani alishindwa kumtoa kafara hyo mama anajikoroga dana
Mama ni muislamu au mkristo apelekewe naombi anayoamini
😂😂😂😂ila uyu mama kiki zimezidi,ulizimia wakati ulikaa chini vzr tu mwenyewe unatetemesha mkono?na kwenye gari ulitembea na kupanda gari vizuri tu,ah kweli peaa mbaya mama umeninunuliwa kifanya kilo we fanya
Na mbona umeambiwa usionekane tena mutandaoni ihi ya leo vipi au ni kiki😮😮😮
Uyu mama ajielewi amsamehe tu ,
Huyu mama anajua kabisa mtt frimason jaman kwann hamumuelewi heeee
Hayuko sawa kiakili huyu mAma
MAMA WEWE ACHA KUMSEMA VIBAYA MTOTO WAKO WEWE NI MCHAWI MWENYEWE. KM NI PAKA KILA MAHALA WAPO. WEWE NENDA UKAOMBEWE TENA NI MWONGO.
Wewe mama mwanao ana deni
Uyo na masoni anakuria taimingi uyo
Mama anatakiwa kuombewa
Hawa wanatafuta kick mwenye akili tayari ameishaelewa.
Kiki hizii tuu
Hyu mama ajiangalie anaweza kuuliwa na mwanae kwa kutoa siri na hyu mama ako na spirt ya kuona
Wewe mama ukaombewe hueleweki na husomeki
Huyumama ndio mwenye shida
Wewe mama huacha kutukalilisha ujinga wewe ndiye unamchawia mtoto wako
Mmh we mama ,uwe mkweli ,mwanao atakuzila
Na bado ukapokea nyumba 😢😢 wew mama mwanao atakuuwa shaur zako
Uondoke hapo mama hapo sio pazuri
Gar Kagoma nyumba vip
Kichawa mama huyu muongo kiki
samaanini nimemtukana uyo mama kimoyo moyo..ulikataa gari,,kilichokufanya upokee nyumba nini!!
Hakupokea alimgeuza akili.Ili akubali.Napia huyo mtoto wake amuachie dunia sio mtoto kabsa .Mbona amfanyie mamake mkono hivo surely?
Umezimia sk3 pale kwenye gar ulipandaje?
Njaa sana tz mujini mumesha ingia kiki tumezichoka
Mama na mwanae wote wanawapanga wanajuana hao
Mnafanya reheso sa ngapi...
Uyu mama anavibweka kama gooluck mwaka huu watu wajichetua atari
Alaf wew mwandish wa habar nishawashtukia ,mnatupanga nyinyi acheni mamb yenu ya kifala,mama anaonekana anadanganya tu
Kweli kabisaa
Aende akaombewe Kwa mtumishi
Ushatekwa tayari
Waongo
Mama mshamba sio nyumba mbona unakaaa hujielewai una uswahili wa vijijini
Mpeleke kwa abiud misholi,au moses magembe au katunzi aliepo dareslaam
Kwanzaa ulizimia ulijua je gari inapaa huyu mama anampa Kiki mamaakz
Hiyo ni ndoto aliota
Yani muongo uyo mama ni muongo anajichanganya mwenyew maelezo hapana anatuigizia bhana...na pesa anazitaka vizuri anavunga tu
Anaumwa. Ended kuombewa jamani
Makubwa gari kakataa nyumba kakubali
Mmmmm watu wanatafuta umaarufu duuu
Huuu ndena unafiki
Sasa wee tajili chui umetumia jia defu kupata pesa mama unashindwa kumu kotuloo
Huyu mama hana busara ni kama hayuko sawa mwanae ni mzuri ila kuna mikono ya watu wengine imeingia ili asipewe raha na mwanae ila kwasababu hana imani hajui
Duh! Kweli kuna wanawake wengine ni shidah!
Lkn Tanzania hayaishi mauzauza
WEWE KIJANA UMEJITAHIDI SANA KUMBEMBELEZA MAMA YAKO IMESHINDIKANA MWACHE LANA HUWEZI PATA. NI SAWA NA MZAZI UNAMNUNULIA NGUO YEYE ANACHOMA HAPO HUNA BAYA MWACHE NDUGU ZAKE WATAKUWA WANAMWONEA WIVU NA WANAMDANGANYA ACHANA NAYE WABAKI NA UMASKINI WAO
Nyoote mnaesapoti huyo kijana mnajuana kwa vilemba pia nyinyi njia moja.
Dada tiba turudi nyumbani iringa ilula isele
Ngari na smu alikataa mbona pesa akubari hakiri zingingine bhana me simuelewi 😅😅nje ukipna paka za Omani sasa 😅😅😅😅
😂😂😂😂siku moja nilikutana nalo nilipiga kelele bosi alikimbia bonge la paka kama kondoo limenenepa hatari
Mama huyu ni shauspiele
Kwa lugha nyepesi wewe kukubali kuishi kwenye hiyo nyumba, basi umerahisisha maisha kuchezewa na hatimae umetoa kibali cha kutolewa kafara
Sio akili yake
WANDISHI WACHONGANISHI MNAMCHONGANISHA MAMA NA MTOTO
Uyuu MMA VIP haoni mwezake mmadangote yuainjoi.
Umejuaje kama amekupa ugonjwa,jamani kwani mtu akiwa na.pesa ndio lazima ziwe za kiuchawi,mbona unamchafua mwanao vibaya
Kuna uongo gani unaendelea hapa kama maigizo
MAMA WEWE MPENDE MTOTO WAKO NA UMPE BARAKA MWANAO. WAZAZI WENYE AKILI WANAWAPENDA WATOTO WAO.
Huyo mama ni Muongo una sema ulizima ulijuaje km gari lilikuwa linaelewa wakati ulizimia hukuwa na fahamu
Through spiritual mind
Siuondoke basi mama mbona ujifie hapo ukijua wazi huyo mtoto wako simzuri
Ila kiki bwana inchi ngumu sana hii.
Hii ni unafiki tu bona unakaa apo
Utakufa mama wewe kuwa na upendo na mwanao
Sasa wewe mama unamatatizo gani pesa zake hutaki,,, Gari zake hutaki ,,,,,,ilikuwa aje Kuja hapo acheni kuchanganya watu izo Kiki tu!!!
Mama amebadilishwa akili saa ingine hajielewi mungu atamnusuru ataka kumtoa kafara ametoa siri
Kwl kabsa lkn watu wengine wanamtukana hawamwaamini.
Kwa katunzi apelekwe huko Kiji chi
Mmmm! Muongo huyo.
Were mama wewe huamini Mingi kabatiki mwanaoo??????
Kimbilia kanisani kwa kuhani musa mulete hapo husiseme cos the long last watakuchukua hendelea na kuongeha
Nenda kanisani mama utapona
Nyie watu amn mauzui yakueleweka na hii channel yenu sitokuja ku angalia tena
Kwani unefungwa kamba ....si uondoke
WE MAMA ACHA USHAMBA ACHA KUMDHARIRISHA MWANAO ; HAKUNA KANUNI YA KUMTOA KAFARA MAMA MZAZI; HUO NI UZUSHI HEBU ENJOY HEBU FURAHIA MAISHA ;MWANAO ANAKUPENDA SANA; PIA UJUE MTOTO WA KIUME FARAJA YAKE NI MAMA; NDIO MAANA UNAONA HAYO YOTE; HEBU ACHA IZO MANENO MAMA MZURI; MUNGU WA😂MBINGU AKUPE NGUVU KIJANA TAJIR CHUI MAANA HAYO MAPITO SIOCHEZO; ILA UTASHINDA KWA HAKIKA;
Huyo mama ndiye mchawi asidanganye
Kwa maelezo yake mchawi
Apana
Msimtukane mamawawatu akubali kifokwasababu ya mtoto kama wewe unakubal afanyiw hivo sio vzl
Kiki iyo
Huyu mama nae mizengwe tu!!! Why ikubali kufanyia interview humo kwenye nyumba wewe mama chizi nini???? Ntoleee upuuzii wako
Mama mtu mzima anaongea unafk
Mama kuwa makini sn
Ondoka basi Rudi kwako Mbona ueleweki
Mnatafuta kik wee mama huna lolote
Basi na wewe mama mchawi basi
Ndo mn simba haoi ni kuzalisha tu
Kiki hizo munatusumbuatu
Muulizaji hovyioo huyo daimondi umeambiwa ni frms au ni ujinga wako wewe acha kufanya kazi kwa bidii ufanikiwe ubaki kuwazia watu ujinga
Huenda katumia dawa ili ukubali
True
Ata wewe mtu wamidoa unauliza maswali unajua
Mama kwisha hizo siku 3 ulikua na miungu Yao
😮😮😮
🥺🥺🙄🙄
Mungu ako nae Inshallah
Waongo huo nimchezo sio mamayake wanapiga pesa kwa wajinga , muwe na ufaham wa ndani Sana . kapangwa
Aende akaombewe Kwa mtumishi