MashaAllah. On point Sheikh. Anaeisi umemkwaza atayajaza lakini umejibu vyema sana. Watu wamekosa nidhamu kabisa kwa sababu ya Social Media. Hatujui kukosoana ela kwenye mitandao. Unfortunately Masheikh wetu wamekuwa mstari wa mbele.
Nauliza sheikh naomba kuuliza swali ikiwa ni mtu mzima ambae amekuzidi umri kiasi cha kumwita mama ukamfedhehi na kumtolea aibu zake lkn kutokana na wingi wa visa vyake mpaka ukamfedhehi lkn na baadae ukajirudi kwa kuomba samahani je yafaa
Mashaa Allaah
Your word becomes your reality 😢😢😢
Life moves in the direction of your words
MashaAllah. On point Sheikh. Anaeisi umemkwaza atayajaza lakini umejibu vyema sana. Watu wamekosa nidhamu kabisa kwa sababu ya Social Media. Hatujui kukosoana ela kwenye mitandao. Unfortunately Masheikh wetu wamekuwa mstari wa mbele.
Aslm alkm ww.... Shukran sana. Jazakallah kheir 🙏
Mola atusamehe na atuongoze🤲
Aaamiiin
Amiin yaa Rabb
Aamiin
Nauliza sheikh naomba kuuliza swali ikiwa ni mtu mzima ambae amekuzidi umri kiasi cha kumwita mama ukamfedhehi na kumtolea aibu zake lkn kutokana na wingi wa visa vyake mpaka ukamfedhehi lkn na baadae ukajirudi kwa kuomba samahani je yafaa
Niuzuri unapo hisi umemkosea hata mtoto mdogo umuombe msamaha