A man is to be strong sio kitambi sasa anaoneneka mwenye mali na hana, kwani minyoo ni mali. Medium size ndio iko sawa kwa both gender si mnono ya kiboo na si mkondo wa kuhurumiwa
Mwanamke anafaa kufurahia mwenye Ako na kitambi cos hiyo tumbo haiezi kuwa na mtu hana bidii ya kutafuta pesa ......hiyo tumbo ni ya food buana lakini sometimes unapata performance sio poa but inatemgemea msee huwa anafanya kazi Gani cos job zingine hujenga kiungo😂😂😂
Wale wenye kitambi kama mimi pigeni tu likes ❤❤
Focus yangu kwa mtangazaji wa ishara😂😂😂😂😂
Hii nimecheka kama fala😂😂 wanaume wenye kitambi leo mumefikiwa...mm pia sitaki mwenye kitambi nataka mrefu hata kama hana pesa nko sawa😂😂😂
Mbavu zinauma jamani 🤣🤣🤣
Hii ya Leo sio habari ni comedy 😂😂😂😂😂
Kama kitambi ni pesa na mali ,mr zakayo the ruto angekua nacho 😂
Kitambi ya atwoli ni minyooo
😂😂NTV seriously 😂😂
Huyo ni ugonjwa
Hakuna mwenye amezungumzia mambo ya afya. Kitambo yaleta magonjwa ya kisukari na pressure
😂😂 whatever!
Ndio ni Thambi Mr. Atwoli yuko na thambi .
There is a saying in my local dialect which says, kama huna gari unafaa kuwa na kitambi.(Yo Khan garaa basanii, yo khan gari basanii)😂
Heeeeh 😂 kisum ciity
Mtetesi kubwa ya kitambi
A man is to be strong sio kitambi sasa anaoneneka mwenye mali na hana, kwani minyoo ni mali. Medium size ndio iko sawa kwa both gender si mnono ya kiboo na si mkondo wa kuhurumiwa
Mwanamke anafaa kufurahia mwenye Ako na kitambi cos hiyo tumbo haiezi kuwa na mtu hana bidii ya kutafuta pesa ......hiyo tumbo ni ya food buana lakini sometimes unapata performance sio poa but inatemgemea msee huwa anafanya kazi Gani cos job zingine hujenga kiungo😂😂😂
Ni rahisi ku kata kitambi kuna dawa za herbs ya ku kata na kusa fisha blood
Prediabetes then diabetes
😂😂😂😂 harooooo inategemea
Hata mi mwanaume ako na kitambi hukaa na shape mbaya ju hata kuvaa ni shida JU the body is unproportional
Wanawake maskini wanachukia kitambi
Kitambi si dhambi, lakini wkati mwingine kinaweza kuwa kizuizi ama kikwazo kwasababu ni kama kubeba mzigo mkubwa ambao umeanika kibindoni 🙂
Ntv don't promote kitambi😢😢😢
Ni MAGONJWA TUPU!!!!
Not health.Sitambi.
Kitambi ni ishara ya ugonjwa ambayo unao au unaowadia
What do people think iko kwa Tumbo kubwa?its just excess fat and shit, not muscle,noooooo!!
NTV sharing nonsense we have more serious issues than men with big tummies
I support
Wewe ukona kitambi