Je, kitambi ni dhambi kwa mwanaume?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 30

  • @canesoul5916
    @canesoul5916 2 месяца назад +6

    Wale wenye kitambi kama mimi pigeni tu likes ❤❤

  • @isaacchumba
    @isaacchumba 2 месяца назад +4

    Focus yangu kwa mtangazaji wa ishara😂😂😂😂😂

  • @dohaqatr8461
    @dohaqatr8461 2 месяца назад +6

    Hii nimecheka kama fala😂😂 wanaume wenye kitambi leo mumefikiwa...mm pia sitaki mwenye kitambi nataka mrefu hata kama hana pesa nko sawa😂😂😂

    • @Achievable2610
      @Achievable2610 2 месяца назад

      Mbavu zinauma jamani 🤣🤣🤣

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 2 месяца назад +2

    Hii ya Leo sio habari ni comedy 😂😂😂😂😂

  • @benjaminosura7665
    @benjaminosura7665 2 месяца назад

    Kama kitambi ni pesa na mali ,mr zakayo the ruto angekua nacho 😂

  • @decoloniz_afro
    @decoloniz_afro 2 месяца назад +2

    Kitambi ya atwoli ni minyooo

  • @Agronomy123
    @Agronomy123 2 месяца назад

    😂😂NTV seriously 😂😂

  • @sufuriamakima5538
    @sufuriamakima5538 2 месяца назад +2

    Huyo ni ugonjwa

  • @abdimajidmohamed1463
    @abdimajidmohamed1463 2 месяца назад

    Hakuna mwenye amezungumzia mambo ya afya. Kitambo yaleta magonjwa ya kisukari na pressure

  • @gerezakatembo
    @gerezakatembo 2 месяца назад +1

    😂😂 whatever!

  • @ToM-ht9oq
    @ToM-ht9oq 2 месяца назад +1

    Ndio ni Thambi Mr. Atwoli yuko na thambi .

  • @elishajoshua7056
    @elishajoshua7056 2 месяца назад

    There is a saying in my local dialect which says, kama huna gari unafaa kuwa na kitambi.(Yo Khan garaa basanii, yo khan gari basanii)😂

  • @paullubanga6135
    @paullubanga6135 2 месяца назад +1

    Heeeeh 😂 kisum ciity

  • @phosteneeugene7627
    @phosteneeugene7627 2 месяца назад

    Mtetesi kubwa ya kitambi

  • @happytimes9747
    @happytimes9747 2 месяца назад

    A man is to be strong sio kitambi sasa anaoneneka mwenye mali na hana, kwani minyoo ni mali. Medium size ndio iko sawa kwa both gender si mnono ya kiboo na si mkondo wa kuhurumiwa

  • @MuthamaSabastian
    @MuthamaSabastian 2 месяца назад +1

    Mwanamke anafaa kufurahia mwenye Ako na kitambi cos hiyo tumbo haiezi kuwa na mtu hana bidii ya kutafuta pesa ......hiyo tumbo ni ya food buana lakini sometimes unapata performance sio poa but inatemgemea msee huwa anafanya kazi Gani cos job zingine hujenga kiungo😂😂😂

  • @Fvhffhjifjkztkzmg
    @Fvhffhjifjkztkzmg 2 месяца назад

    Ni rahisi ku kata kitambi kuna dawa za herbs ya ku kata na kusa fisha blood

  • @ancientpathssauciety1892
    @ancientpathssauciety1892 2 месяца назад

    Prediabetes then diabetes

  • @JumanneHunda
    @JumanneHunda 2 месяца назад

    😂😂😂😂 harooooo inategemea

  • @mercynyaga1887
    @mercynyaga1887 2 месяца назад

    Hata mi mwanaume ako na kitambi hukaa na shape mbaya ju hata kuvaa ni shida JU the body is unproportional

  • @Wisedonn
    @Wisedonn 2 месяца назад

    Wanawake maskini wanachukia kitambi

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 2 месяца назад

    Kitambi si dhambi, lakini wkati mwingine kinaweza kuwa kizuizi ama kikwazo kwasababu ni kama kubeba mzigo mkubwa ambao umeanika kibindoni 🙂

  • @HK-wx4fy
    @HK-wx4fy 2 месяца назад

    Ntv don't promote kitambi😢😢😢
    Ni MAGONJWA TUPU!!!!

  • @rosalinekemboi5815
    @rosalinekemboi5815 2 месяца назад

    Not health.Sitambi.

  • @daniells71
    @daniells71 2 месяца назад

    Kitambi ni ishara ya ugonjwa ambayo unao au unaowadia

  • @lawrencelawrence3305
    @lawrencelawrence3305 2 месяца назад +1

    What do people think iko kwa Tumbo kubwa?its just excess fat and shit, not muscle,noooooo!!

  • @juliakanyoro5964
    @juliakanyoro5964 2 месяца назад +1

    NTV sharing nonsense we have more serious issues than men with big tummies