TIZMA IMAM WA MSIKITI WA SHK OTHMAN MAALIM ALIVYOPAGAWSHA WATU KWA USOMAJ MZURI WA QUR AN MASHAALLAH

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #shkOthmanMaalim

Комментарии • 209

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 года назад +6

    Maa Shaa Allah. Allah Subhannahu Wata'ala Amhifadhi, Aamiin.

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 3 года назад +5

    Naikumbuka hii siku ilikua siku ambayo nilipata raha sana kuskiliza makhraja ahqam swautul wardi subhaanallah💗💗💕💓❤️
    Hivi ndivyo dini inatutaka tuige kheri kama anavyofanya kijana wetu miongoni mwa warithi wa sh Hassan Saleh💝💟💌❣️

  • @jumaadremane7756
    @jumaadremane7756 3 года назад +9

    Masha allah.
    May Allah protect you imam, brothers and sisters in faith. Is very nice recitation of holy Quran.

  • @akhitalibsheha2434
    @akhitalibsheha2434 3 года назад +5

    Assalamu alaykum warahammatu Allahi wabarakaatuh.. kiukweli natamani kuwajibu ila mie Sina elimu ya kuwajibu mliyoyasema ila kikubwa nimejifunza mengi Sana!! Na Allah namuomba aniwafikishe kuyafanyia kazi, na Lau hawa walioweka wangeniuliza kuwa kipande hiki waweke au wasiweke Basi Wala kisingekuwepo humu Ila kwa maslahi ya kuendeleza harakati zao za kher Basi itabaki kuwa sadakatul jaariyah.. na Kama kuna nilipo patia kwa kweli ni ijtaahad za walimu wangu na hayo makosa ni mie mwenyewe kutokana na udhaifu wangu màana bado mpaka leo nasoma na kusomeshwa qur,an hivyo nakubali makosa yote na pia nimeyaona Mimi mwenyewe binafsi, Allah awalipe kheri na atuwafikishe kutukubalia amali zetu tunazozifanya iwe liajilihi bi ikhlaaswi nniyah Allahu a'alam..baaraka Allahu fiikum

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz  3 года назад +1

      Waaleykum ssalaam warahmatuLLAHI wabarakaatuh, Masha ALLAH Shukran Akhii Taalib

    • @issajuma7152
      @issajuma7152 3 года назад

      Ammin ,ni makosa y ulimi Allah atutakabalie tuliyoyafanya

    • @AliAli-hr8mr
      @AliAli-hr8mr 3 года назад

      Akhitalib naomba namba yak

    • @sirajisiraji6324
      @sirajisiraji6324 2 года назад

      Baarakallah fii

    • @Alkindy.001
      @Alkindy.001 2 года назад +2

      وعليكم السلام ورحمةالله وبركاته
      هكذ علمنا الرسول الله
      بارك الله فيك اخى طالب

  • @feisalramadhan750
    @feisalramadhan750 29 дней назад +1

    Mashaallah ❤❤❤❤

  • @abalhassan5990
    @abalhassan5990 3 года назад +8

    yaa salaam akhy Twalib Allah ubaarik

  • @mohamedhatub4097
    @mohamedhatub4097 3 года назад +3

    Maasha Allah tunammomba mngu atu zidishiye sote wujuzi na enlmu yenye manufaan insha Allah na atu barikiye sote

  • @ndalusanzekassim5902
    @ndalusanzekassim5902 3 года назад +2

    Mashallah Mwenyezimungu akujalie uhai mrefu afya njema na mwisho mwema yarab ameen

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 3 года назад +3

    Masha Allah Tabarakallah hadi raha wallahi..ALLAH barik

  • @suuharoun5604
    @suuharoun5604 3 года назад +6

    Ma sha allah anajitaahid kwakweli,anasoma vizur sana,ila ajiitaahid tuu anapoghanni ahakiikishe na ahkami quran anazifuata,usighanni sanna mpaka unapoteza hukmu,kama ni mashindano ya quran basi anapata 20%

    • @akhitalibsheha2434
      @akhitalibsheha2434 3 года назад +1

      Shukran tutafanyia kazi na Allah atujaalie ikhlas na atuepushe na riaa

    • @abhaaly
      @abhaaly 3 года назад +2

      Maa Shaa Allah, Nilikuwepo Siku Hiyo Hadi Sheikh Othman Maalim Alimsifia Na Kutoa Kisa na Kuelezea Mengi...!!! Anasoma Hadi Hutamani Amalize kusalisha....!!!

    • @issamuhsin4308
      @issamuhsin4308 3 года назад

      Suu umeongea kwl 20 max anaghani vzr ila anakosea kosea marekebisho2 kdg

  • @mams1892
    @mams1892 3 года назад +4

    Jazzakallahu khairan

  • @khamisally6924
    @khamisally6924 3 года назад +1

    Mashaallah mashaallah mashaallah Allah akuzidishie

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 3 года назад +1

    Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar!

  • @aishamatangamatangamatanga1344
    @aishamatangamatangamatanga1344 2 года назад

    Mashaallah

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 3 года назад +2

    Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH

  • @alifaki4651
    @alifaki4651 4 дня назад

    Mashallah

  • @murcwere6415
    @murcwere6415 3 года назад +1

    ماشاءاللہ

  • @IssaKibombwe
    @IssaKibombwe 24 дня назад

    Mashalla

  • @abdullshakur9932
    @abdullshakur9932 3 года назад +1

    Mashallah mashallah Allah amjaalie afya njema

  • @omanmuscat299
    @omanmuscat299 3 года назад +1

    Mashallah Allah amjaalie kheri amiin

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 3 года назад +1

    MA SHA ALLAH TABARKALLAH .

  • @hamisimbwana819
    @hamisimbwana819 2 года назад

    Maa Shaallaah Allaah.... Subhaanak... Utakatifu wa mali ni wako Allaah.

  • @aliymurid4433
    @aliymurid4433 3 года назад +1

    Masha Allah.akhy twariq

  • @mehdy8751
    @mehdy8751 3 года назад +3

    الله أكبر

  • @mastertilesfunditilesrashi7960
    @mastertilesfunditilesrashi7960 3 года назад +2

    MashaàaAllah

  • @tambwesure3259
    @tambwesure3259 3 года назад +2

    MASHALLAH

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 3 года назад +2

    Mashaa Allah mashaa Allah

  • @hajjmohd3602
    @hajjmohd3602 3 года назад +2

    Maasha Allah

  • @rahmaalfan1776
    @rahmaalfan1776 3 года назад +1

    Masha allah tabarraka rahmani barraka allahu feek

  • @omaraliy6144
    @omaraliy6144 3 года назад +3

    Mashallah kijana yupo vzr

  • @hamidaissa4769
    @hamidaissa4769 3 года назад

    Mashaallah Allah atujaalie mwisho mwema na utufishe haliyakuwa waislamu

  • @user-ye6mc1ml6o
    @user-ye6mc1ml6o Год назад

    ALLAHU AKBAR

  • @AbdulmajidHyder
    @AbdulmajidHyder 3 года назад +2

    الله.... الله.... الله

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +1

    Maa shaa Allah, Allah ampe umri mrefu

  • @mustaphahaji3959
    @mustaphahaji3959 3 года назад +1

    Mashaallh

  • @pira7439
    @pira7439 3 года назад

    mashaalla, Allahi tawil umrak shaikhuna

  • @muhammedkhamis1407
    @muhammedkhamis1407 3 года назад +1

    Masha Allah Ya Imamu

  • @makamesalim8349
    @makamesalim8349 2 года назад

    Masha Allah. Anajua maalim☝️

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f 2 года назад

    Ma shaa allah Tabarakallah

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi8203 3 года назад +2

    الحمدلله رب العالمين

  • @watichogutu4162
    @watichogutu4162 2 года назад

    Mashaa Allah Tabarakaallah

  • @zakiaqasim5312
    @zakiaqasim5312 3 года назад +1

    Maasha Allah Maasha Allah

  • @alsaarh239
    @alsaarh239 3 года назад +2

    Mashaallah mara alfu mia

  • @yahyamassawe8011
    @yahyamassawe8011 3 года назад +1

    Mashallah huchoki kusimama adi raha

  • @bigdadybigdady7171
    @bigdadybigdady7171 3 года назад +1

    MASAALHA

  • @omaryshafii1284
    @omaryshafii1284 2 года назад

    Allahuakbarrr

  • @fahmyamour
    @fahmyamour 2 года назад +1

    Mashaallah maqam rasd

  • @ausatmwangi6464
    @ausatmwangi6464 2 года назад

    ماشاءالله

  • @khamisbambey2821
    @khamisbambey2821 3 года назад +5

    Mashallah had unataka kulia kwa saut ilivyo tamu

    • @sirajisalimu9882
      @sirajisalimu9882 3 года назад

      Mashanlla allah mubaraka allah mubaraka amina amina

  • @zammalik2956
    @zammalik2956 2 года назад

    Mashallah mashallah mashallah Hongera sanna

  • @aminahassan8212
    @aminahassan8212 3 года назад +1

    Allah Akbar

  • @amurisabiti7037
    @amurisabiti7037 3 года назад

    Man'shallah ❤️ uislam raha jamani

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 3 года назад

    Mashalla tabaraka llah lahaula walakuwata illha bilah

  • @alluabdallah6893
    @alluabdallah6893 3 года назад

    Mashallah 🥰 mashallah 🥰 mashallah 🥰🥰💯🌴🌴

  • @shakrichampunga7984
    @shakrichampunga7984 2 года назад

    Baarakallaahu fiyka

  • @abdallahissa2617
    @abdallahissa2617 3 года назад

    Manshaallah

  • @salumkarim69
    @salumkarim69 3 года назад +4

    alhamdu lillah nilibahatika kuswali nao

  • @khadijashehe1990
    @khadijashehe1990 3 года назад +1

    Ya Rabbi mpe nguvu na uwape watoto wetu uwezo wakufanya vizuri kama huyu mashallah

  • @mohammedibrahim1629
    @mohammedibrahim1629 3 года назад +2

    Ametakasika Mola wa Ulimwengu

  • @abubakaribashiru7525
    @abubakaribashiru7525 2 года назад

    جميل

  • @qaleedali203
    @qaleedali203 2 года назад +1

    Nitapataa ajee namba ya Othman maalim ,Mimi ni mwanafunzi wa dini Niko kenya

  • @i.dclassic116
    @i.dclassic116 3 года назад

    Aishallah

  • @mirajshaib2776
    @mirajshaib2776 3 года назад +3

    Assalamualaykum warahmatullah maashallah anasoma vizuri ila naomba kidogo akumbushwe kua Aya ya 6 neno la mwisho linamalizia FAT-HA Na sio DHUMMA kama alivyolipita katika Hali ya kuunganisha

    • @mirajshaib2776
      @mirajshaib2776 3 года назад +2

      Na kila aliposoma neno DUN- YA katika Aya aliyoisoma baada ya Suratulfatha anatia KASRA ila Pana SUKUUN

    • @binsultan3155
      @binsultan3155 3 года назад +2

      @@mirajshaib2776 kwa mujib wa kisomo

    • @latifahnassoro17
      @latifahnassoro17 3 года назад +2

      Hahahha watu wapo makini maa shaa Allah hongra sana

    • @latifahnassoro17
      @latifahnassoro17 3 года назад +1

      Pia Katk kuanza aya ya kwanza surat fatha sijaelewa vzr usomaji

    • @rashidkhalifa35
      @rashidkhalifa35 3 года назад +3

      Ulimi tu hauna mfupa sio kwamb hujui iyo fat-ha

  • @abdallahjuma8168
    @abdallahjuma8168 3 года назад +1

    Namuona km Baloz Seif mjengon, Tumuombeen dua jaman, huyu n kiongoz wetu mzur wa cku nyng pia kw alvyo sasa n mzee wetu tena....

    • @yusuphj2357
      @yusuphj2357 3 года назад

      Na alikuwa atak wasiachiwe

  • @jayequalizer_ke1
    @jayequalizer_ke1 3 года назад +1

    Kelele Hamna Utulivu

    • @abhaaly
      @abhaaly 3 года назад +1

      Usichokijua Usikichonganishe Ukakiharibu...!!! Kasome Biblia Ni Rahisi Zaidi Kwako.. !!!

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 3 года назад

      @@abhaaly 🤣🤣🤣🤣

    • @abhaaly
      @abhaaly 3 года назад

      @@fatmakhanii1676 Naammm!!!

    • @ruwaydaruwayda4246
      @ruwaydaruwayda4246 3 года назад +1

      Kwaya zenu ndio kelele

  • @alhajrialhajri4026
    @alhajrialhajri4026 3 года назад +1

    Shekh usiseme kwamba kapagawisha wa umini qoran haipagawishe muislam Bali humuweka katika hali ya utulivu

  • @abubakaribashiru7525
    @abubakaribashiru7525 2 года назад

    Safi sana

  • @rajabuhondo4973
    @rajabuhondo4973 3 года назад +1

    Sbuhana Allah mashallah

  • @buganimussa742
    @buganimussa742 2 года назад

    Shekh mmekosea si othman maliim huyu

  • @salumjuma4764
    @salumjuma4764 3 года назад +1

    Hayo matangazo mpaka yawe na mijimbo??

  • @maulidmnukwa3171
    @maulidmnukwa3171 3 года назад +2

    Title mbovu kabisa.... Eti imamu kapagawisha

  • @sadiqirajabu355
    @sadiqirajabu355 3 года назад

    Swadakta

  • @issajuma7152
    @issajuma7152 3 года назад

    Hta mm nnaikumbika pia

  • @humoudmohammad3125
    @humoudmohammad3125 2 года назад

    .

  • @abaanahyatmughira5300
    @abaanahyatmughira5300 3 года назад +1

    Tukiachana na qiraa cha imam tuyazingatie maneno yake ya kwanza kabla hajaanza kuswalisha alafu tizameni hiyo safu kuanzia kwa Othman kumfuata huyo Mh utaona hawajakamalisha swafu hapo kuna kitu cha kufikiria na kuzingatia....

    • @issajuma7152
      @issajuma7152 3 года назад

      Pana mwanya sheikh

    • @issajuma7152
      @issajuma7152 3 года назад

      Lbda uyo m2 anamuogpa kiongz

    • @abaanahyatmughira5300
      @abaanahyatmughira5300 3 года назад

      Allah atanusuru na fitnah hz kwahyo anamuogopa kiongozi haliyakuwa anamsujudia mwenye haqi ya kuogopewa mtihani

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 3 года назад

      @@abaanahyatmughira5300😫😫

    • @abaanahyatmughira5300
      @abaanahyatmughira5300 3 года назад +1

      @@khadijahali4837 Vp kuna shakah juu y hilo?

  • @chidydullah6891
    @chidydullah6891 2 года назад

    Ukitaka kumfaidi imam km huyu asalishe tahajjud

  • @binrshid127
    @binrshid127 3 года назад

    Naam Hasan saleh

  • @kawuguramadhani2441
    @kawuguramadhani2441 Год назад

    Anasoma qur'an kama kavimbewa viazi vitu

  • @abdiomar6832
    @abdiomar6832 3 года назад

    Huyu wanyuma seif Alli Iddi au?

  • @nabillkhamis8188
    @nabillkhamis8188 3 года назад

    Uyo seifu Ali idi saafuu haja iweka sw kakaa anavo taka yy

  • @abuufawzan4289
    @abuufawzan4289 3 года назад

    Baada ya kupagawa kinachfuata ni kuchizika maana mmekosa kujua nafasi na thamani ya miskiti

    • @issajuma7152
      @issajuma7152 3 года назад

      Kwisha ww chki binasfi tu

    • @abuufawzan4289
      @abuufawzan4289 3 года назад

      @@issajuma7152 Mm niwe na chuki ya nini hapo ninachokushauri ni kushikamana na suala la kusoma dini yako ndio jambo la msingi

    • @ruwaydaruwayda4246
      @ruwaydaruwayda4246 3 года назад

      Saluu Alaa nabii sisi ni waislam tunaabudu mungu mmoja naona mnampa iblis nafasi awatawale huku akichekelea

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 3 года назад

    Kama zumari

  • @saidisalum2051
    @saidisalum2051 3 года назад

    masufi

  • @saidaly9626
    @saidaly9626 3 года назад

    Huyo hapo mwenye koti ni nani kama Balozi seif kama ndiye nisengeliswali humo ameikufuru Quran katika uwongozi wake

    • @abdulhamidjabu6530
      @abdulhamidjabu6530 3 года назад

      Allah ndiye mwenye kutoa kuhukumu siyo ww

    • @AbdulAbdul-pr9qe
      @AbdulAbdul-pr9qe 3 года назад +3

      Hujielewi wewe, usingeswali sababu inaonekana sio kawaida yako kuswali, sababu sala haimkatai mtu eti kisa huo msikiti ameingia kuswali mtu fulani

    • @nasymchuzi8667
      @nasymchuzi8667 3 года назад

      Nan kakwambia hakuna toba na kwann auswali kwaajil ya mtu

    • @burhanimahmoud8985
      @burhanimahmoud8985 3 года назад

      Kwani umeambiwa hakuna Toba Kaka inamaana wewe ndio mtoaji hukumu?

    • @rashidmwambala7104
      @rashidmwambala7104 3 года назад

      Ww ukosoma

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 3 года назад

    Neno " KUPAGAWISHA " huwezi kulitumia kwa ibada ya Kiislam. Neno hili linatumika kwa wasanii wa kuimba, wanasiasa nk

  • @affaanothmaan6287
    @affaanothmaan6287 3 года назад

    Mwandishi badilisha kichwa cha habari,
    Na mbona tusioni watu kuvua nguo sasa baada ya kupagawa,?🤔

  • @hafidhsalum9149
    @hafidhsalum9149 3 года назад

    Asa ndo kampagawisha nani? Na kufanya kwenu RIA(na kujifaharisha)

    • @criticalthinker1179
      @criticalthinker1179 3 года назад

      haikutakiwa kutumika hili neno, kupagawisha...sio neno zuri ktk habari km hii. kwani mtu anapagawa kwenye swala kweli?

    • @nasymchuzi8667
      @nasymchuzi8667 3 года назад

      Dhana mbaya ujue uislam ucfanye chuki

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u 3 года назад +1

    Watu wa bidaa hata hawapendezi.Hebu ione hiyo mikanzu yao utafikiri ni magunia.
    Na wala Hana saut nzr ya kumfikia Sudeis wa Masjid haram.

    • @saheedali7467
      @saheedali7467 3 года назад

      Rudi chuoni Tena. Dini ni Uislam na sio bidaa wala ansar sunna Hilo ulijue kwanza na Mola wetu haangalii sauti anaangalia utiifu juu yake.
      Laa kama ni chuki bac umepasi. Mola akuongoe inshaa Allah

    • @abdullahalbalushi3856
      @abdullahalbalushi3856 3 года назад

      Na wakimfia dudesi Iwe nini.

    • @hajisimaikhatibu443
      @hajisimaikhatibu443 3 года назад +1

      Yaonesha hata mana ya bidaa hujuwi miskin

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u 3 года назад +1

      @@saheedali7467 Nipe Masharti Ya Kukubaliwa Aamali mja??
      Unyenyekevu pekee Haufany Ibada iwe sahihi.kwan hata Kafir anayeabudu Yesu huwa wana huou nyenyekevu.
      Ili ibada iwe sahihi kuna mashart matatu
      1:Ktk Ibada yako ni lazima uwe Uislam
      2:ktk Ibada yako ni lazima uwe Nia/Ikhlaaswi ya kweli
      3:Ktk Ibada yako ni lazima Umfuate mtume nao una masharti matano ktk mfuata
      rejea sharhe ya Imam Nawaw ya Hadith ya 5 ktk Arbauuna Nawawi cha Al imaam ibn utheymeen.

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u 3 года назад

      @@hajisimaikhatibu443 Nisujue bidaa mim haya nijuze wew?

  • @adammohd4362
    @adammohd4362 2 года назад

    Mashaallah

  • @teefTeef-nr9ng
    @teefTeef-nr9ng 7 месяцев назад

    Mashallah

  • @user-rz2hf5pr6e
    @user-rz2hf5pr6e Год назад

    Maa shaa Allah

  • @sharifamwanga564
    @sharifamwanga564 3 года назад

    Mashallha

  • @ismailbadru8320
    @ismailbadru8320 3 года назад

    ماشاءالله

  • @mwajumaahmed9066
    @mwajumaahmed9066 2 года назад

    MASHALLAH

  • @safiamohamed5953
    @safiamohamed5953 3 года назад

    MaashaAllah

  • @abuubakaradil5046
    @abuubakaradil5046 Год назад

    Mashaallah

  • @mudathirmkubwamselem5650
    @mudathirmkubwamselem5650 4 месяца назад

    Mashaallah

  • @ramadhanihatibu1714
    @ramadhanihatibu1714 3 года назад +2

    Masha ALLAH

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 3 года назад +2

    Mashallah

  • @abubakarsalim8720
    @abubakarsalim8720 3 года назад +1

    Mashallah