#MIZENGWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our RUclips Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

Комментарии • 74

  • @mmbagaatujia7556
    @mmbagaatujia7556 3 года назад +9

    Daah kweli mzee Matata ameacha pengo kubwa sana mwenyezi Mungu aendlee kumpumzisha mahali pema huko aliko

  • @joeannjoseph7090
    @joeannjoseph7090 3 года назад +7

    Mzee Matata hayupo jamani. Very sad. But I am glad bado wanaendelea, I am sure yupo nao in spirit.

  • @joshuawenje2365
    @joshuawenje2365 3 года назад +5

    Mko vizuri sana. Ila tunaomba mumchukue Mzee muhogo

  • @anthonygikuri
    @anthonygikuri Месяц назад +1

    Nimekumbuka mbali, kuna jirani yetu siku moja mvua ikiwa inanyesha akamwambia mke wake achinje kuku. Ile ametengewa mapaja na minofu ya kutosha, mara hodi..... Aliposikia, akakimbia chumbani akipiga kelele kwamba tumbo linamuuma. Mkewe alikuwa mtu mkarimu, yule jamaa akaingia ndani akakaribishwa, akalamba kila kitu. Ile ametoka, hajafika mbali akaanza kusikia kilio nyuma...mama anaulizwa kwa nini aliruhusu FIRIGISI iliwe....Kweli hawa jamaa wanagusa maisha halisi...

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 3 года назад

    Asante kwa elimu ndugu zetu

  • @emmanuelkungubala3912
    @emmanuelkungubala3912 3 года назад +1

    uchoyo

  • @opiyowilson3640
    @opiyowilson3640 3 года назад +1

    I love these folks.

  • @ngolocomedian
    @ngolocomedian 3 года назад

    Safi sana mjomba mmetufundisha

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 3 года назад +1

    Hongereni sana

  • @mohamediabdallah3021
    @mohamediabdallah3021 3 года назад

    Hilo funzo kubwa sana nimependa sana

  • @IluMshana-ni8xf
    @IluMshana-ni8xf Год назад

    Umeweka chumvi wastani su sio😂😂😂😂😂

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 3 года назад

    Dahh ile mkwele noma sana

  • @mabenzimabenzi4348
    @mabenzimabenzi4348 3 года назад

    Ni mtazamo wangu tu mchukueni kaboma yule wa nyuki Tv anajuaga sana azibe pengo la mzee matata

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 3 года назад +2

    Daah mume kama huyu sitaki kwakweli anapoteza Baraka zote 😂😂😂😂

    • @MarcoPolo-ol2lz
      @MarcoPolo-ol2lz 3 года назад

      Baraka wapi muache kuvizia misosi kwenye nyumba za watu

  • @bm6715
    @bm6715 3 года назад

    Huruma sio nzuri,usiishi kwa kufurahisha watu,binadamu hawana huruma! Huyo jamaa yuko sawa!

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 года назад +3

    Mchukueni muhogo mchungu achukue nafasi ya mzee matata

  • @salomechitunda1932
    @salomechitunda1932 3 года назад

    Kwa kweli nimecheka hatariii mbavu zangu znachomoka

  • @sammushi1512
    @sammushi1512 2 года назад

    😎

  • @zawadimdete4870
    @zawadimdete4870 3 года назад

    Nimecheka sana jamani

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 3 года назад

    Rahaa sana

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 3 года назад

    🤣🤣🤣safi sana safina.achatu amrudie x wake😂😂

  • @farajimwagama827
    @farajimwagama827 3 года назад +1

    Duuu vzuli Ila macho yangu yamemisi kitu, Pana pengo kubwa

  • @nguchilojr8278
    @nguchilojr8278 3 года назад

    Aisee kam ndoto vile mmebaki wa4 aisee..ni pengo kubwa xana but Mungu atawasimamia

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 3 года назад

    Nimefrahi kuwaona tena,utamu bado upo,ila tafteni mzee mwngne achukue pahala pa mzee Matata

  • @abedsaidy7263
    @abedsaidy7263 2 года назад

    mbavuzangu jamani,hahahaaa

  • @priscaprisca2569
    @priscaprisca2569 3 года назад

    Sio kitu😂😂😂

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 3 года назад

    Nimefrahi kuwaona tena,utamu bado upo,ila tafteni mzee mwngne achukue pahala pazee Matata

  • @dailytrends_TV
    @dailytrends_TV 2 года назад

    8:25 😅😅😅😅😅

  • @nehemiakiswaga1819
    @nehemiakiswaga1819 3 года назад

    Ila jaman nimetamani huu Msosi si Mchezo

  • @bonisachubwa1046
    @bonisachubwa1046 3 года назад +2

    Inaumiza sana kutomuona mzee Matata, Mungu amlaze pema peponi, nawaombeni video ya mwisho mkiwa na mzee Matata, whatsApp +1819 580 9413

    • @omaoman3996
      @omaoman3996 3 года назад

      We dada uko wapi

    • @lusese1
      @lusese1 3 года назад

      Sawa, asantem kwa kutuunga mkono, ntakufanyia mpamgo

  • @agripinamgema3656
    @agripinamgema3656 3 года назад

    Duu natamani mweeee uwiiii🤣🤣🤣🤣

  • @nzuna5049
    @nzuna5049 3 года назад

    Mkwere acha uchoyo

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 3 года назад

    😂😂😂😂😂😂wapo kbs

  • @mohammadahmed1646
    @mohammadahmed1646 3 года назад

    💓💓🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @lovenessjeremiah7121
    @lovenessjeremiah7121 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣safina bhna a hahahaha ety hamna cha mipaka wala minyau

  • @joeannjoseph7090
    @joeannjoseph7090 3 года назад +2

    😂😂 huu uchoyo si mchezo

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 3 года назад

    Leta Mto Tulale😅😀😀

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania 3 года назад

    😀

  • @arjainahabeidy7827
    @arjainahabeidy7827 3 года назад

    wallah mkwer hapana 🙌🙌🤣🤣

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 года назад +3

    Mkongo mbona umekonda sana.Una tatizo gani?

    • @mtonyovibe2052
      @mtonyovibe2052 3 года назад +2

      watu Kama nyie mnakera sana, sa unauliza ili iweje, akikujibu utamfanya anenepe au? comment vingine Kama huna nyamanza siyo kumu attack mtu eti kakonda!

    • @ashorass4431
      @ashorass4431 3 года назад

      @@mtonyovibe2052 umeonee, yaani maswali mengine hata hayaeleweki yanamaanisha nini

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 3 года назад

      @@mtonyovibe2052 kunywa soda naja kulipa🤣🤣

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 3 года назад

    Safina mpige na marage huyo mkwere kazid choyo🤣🤣🤣

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 2 года назад

    Uchoyo ni ugonjwa usiokuwa na dawa daah hata amani huna kwa uchoyo. 🤣🤣 Eti alipokuwa mtoto alikuwa na presha😂😂😂

  • @btylove1870
    @btylove1870 3 года назад

    Babu yangu mmoja alikuwaga na tabia hii ya uchoyo mkimkuta anakula ananuna bibi akitukaribisha tukisema tumeshiba babu anafurahi sana tena sana! Sometimes alikuwa akiskia hodi kama anakula basi atasukumia sahani ya chakula chini ya kiti kukificha🤦‍♀️ uchoyo ni ugonjwa haki😂

  • @fatuma5208
    @fatuma5208 Год назад

    😂😂😂😂😂

  • @samiaibrahim6811
    @samiaibrahim6811 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 3 года назад

    Tena natamani hata yule mgeni alie kua anakuja angetokea hapo na kujumuika nao...asee mkwele angelia mchozi

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 года назад

    😂😂😂😂😂🙌

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 года назад +3

    Kweli maringo maneno yako."Safari ya peke yako unafika haraka.Lakini safari ya wengi mnafika mbali".

  • @sophiakasana2937
    @sophiakasana2937 3 года назад +2

    😂😂😂

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 3 года назад +1

    Watu wakubwa hao
    Niatari sanaaaaaaa
    Cha urohooooo hilo
    Ni hataliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
    WEWE MKWELE NIATALI
    SANA NILIVYO KUONA PALE HILE SIKU NIKAKUPONGEZENI KUWA
    MUNAJUA HATALIIIIIIIII YAN MI NAONA KAMA KWELI VILEEEEE YAN DUH

  • @mustafaalloo81
    @mustafaalloo81 3 года назад +2

    vitu ghaali sana, bajeti ni lazima, maisha magumu kila siku...

  • @allywilson4155
    @allywilson4155 3 года назад

    Mcongo amepungua sana

  • @mtitagirloriginal9472
    @mtitagirloriginal9472 3 года назад

    😂😂😂😂😂

  • @salma-fc4xc
    @salma-fc4xc 3 года назад

    😂😂😂