Mizengwe: Umesoma hujaelimika

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our RUclips Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

Комментарии • 44

  • @ulludots
    @ulludots Год назад

    Mzee Matata upumzike kwa amani mzee wangu. Pia, team yako uliyoiacha inaendelea vizuri sana.

  • @swaibuiddy2064
    @swaibuiddy2064 3 года назад +1

    R.I.P mzee matata allha akuhifadhi

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 4 года назад +1

    Mpo vizuri sana mizengwe daima. 17.10.2020.

    • @lusese1
      @lusese1 4 года назад

      Asante kwa kutuunga mkono.

  • @titojeremia7744
    @titojeremia7744 2 года назад

    Imenitoa machozi kwa kicheko duuu kweli.mpo vizuri

  • @issamsumi538
    @issamsumi538 4 года назад +3

    Sjachelewa sana mizengwe mko juu

    • @lusese1
      @lusese1 4 года назад

      Asante kwa kutuunga mkono.

  • @saidimohamed9971
    @saidimohamed9971 Год назад

    Ndio baba

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 4 года назад +2

    Mizengwe msiochuja ❤

    • @lusese1
      @lusese1 4 года назад

      Asante kwa kutuunga mkono.

  • @mwaserarashid5451
    @mwaserarashid5451 2 года назад

    Nyinyi mume muuwa mzee kwa mateso

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 3 года назад

    Hataliii

  • @innocentmarunda5853
    @innocentmarunda5853 4 года назад

    mko vizuri sana mbarikiwe

    • @lusese1
      @lusese1 4 года назад

      Asante kwa kutuunga mkono.

  • @rasmbegu
    @rasmbegu 4 года назад +1

    Heshima kwenu

    • @lusese1
      @lusese1 4 года назад +1

      Asante, nawe pia. Asante kwa kutuunga mkono.

  • @abednegonoel2259
    @abednegonoel2259 4 года назад +1

    Inajenga sana kwa vijana kama wataelewa

    • @lusese1
      @lusese1 4 года назад

      Asante kwa kutuunga mkono.

  • @nyagaboy1427
    @nyagaboy1427 3 года назад

    Pamoja

  • @shabanialfani5394
    @shabanialfani5394 4 года назад

    Noma saanaaa

  • @niazonbukoke2349
    @niazonbukoke2349 4 года назад +1

    Kwa nn hamruhusu kupakua video offline ,tutaacha kuangalia shauri zenu

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 года назад +2

    Safina ukijipamba unapambika

  • @kudraramdhan2231
    @kudraramdhan2231 4 года назад +1

    True thoughts

    • @lusese1
      @lusese1 4 года назад

      we thank you for your surport

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 3 года назад

    Ktk PESA hata mtoto wako wa kumzaa haaminiki KWA ULIMWENGU tunaoishi🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 4 года назад +1

    Myamba iyoo

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 3 года назад

    😌😌😋😋😋😋😋😋

  • @samwelimushi5549
    @samwelimushi5549 3 года назад +1

    Kwel upande mwingn mtu unasoma ajira akuna

  • @josephmisambo8167
    @josephmisambo8167 4 года назад

    Hilo sofa mbona liko nje

  • @franaelnanyaro4277
    @franaelnanyaro4277 4 года назад

    Mizengwe

  • @wantangosaimon5295
    @wantangosaimon5295 4 года назад +2

    Mkwele wew husikii usia wa baba mkubwa duh wew kwel kiboko hahahaaa

  • @masibabasalile6349
    @masibabasalile6349 4 года назад

    Palipo na wazee hakiharibiki kitu

  • @rajabalfarazliganja397
    @rajabalfarazliganja397 3 года назад

    Pesa ilivyo haimuamini mtu hata ukimpa mwanao pesa ya matumizi shuleni lazima atahesabu mbele yako.

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 3 года назад

    Hili ni somo kwa vijana wa mjini wenye kauli ya nyie wakuja sisi tumezaliwa mjini

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 4 года назад +1

    Aaaah...wamechemka..eti milioni 13..wahusika wasionyeshe ukali wa kuchanganyikiwa...Hivi milioni 13 kwa life la sasa ni mchezo...harafu wanaongea huku wanawaegemea ...Aaaaa...No reaction yoyote ? Siyo kabisa

    • @mahadshekh398
      @mahadshekh398 4 года назад

      Tickets za regular zilikuwa ngapi na VIP zilikuwa ngapi?Tuanzie hapo.

    • @bakarisongoro4789
      @bakarisongoro4789 4 года назад +1

      Hivi ni vichekesho.
      Hakuna uhalisia

    • @bakarisongoro4789
      @bakarisongoro4789 4 года назад +1

      Kwa hiyo unatakiwa ucheke tu uhalisia kaangalie Panguso

    • @michaelsiweya6500
      @michaelsiweya6500 4 года назад

      Kwani mimi sijui kwamba hilo ni igizo? Na siku zote kinachoigizwa kinabeba taswira halisi kwenye maisha ya jamii inayotuzunguka...Hata kama wakiigiza katika uhalisia wote bado litabaki kuwa ni igizo tu linalotoa ujumbe ndani ya jamii inayotuzunguka....Kwa hiyo nilichokiona mimi ni kwamba kuna kakipengele kadogo hakajakaa sawa katika kuigiza

    • @lusese1
      @lusese1 4 года назад

      @@bakarisongoro4789 Asante kwa kutuelewa na asante kwa kutuunga mkono.