MABADILIKO NI LAZIMA-RAIS SAMIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • “Ninaelewa kuwa baadhi ya taasisi zetu zimekuwa zinasua sua katika kufanya au kutekeleza mabadiliko haya au mapendekezo yaliyoletwa na Tume. Kwanza kama alivyosema Mwenyekiti ni suala la uelewa. Bado watu hawajajishughulisha kuelewa mapendekezo yaliyotolewa na hii Kamati ya Haki Jinai. Sasa lengo letu ni kubadilika na kujenga upya, kuimarisha utendaji unaozingatia misingi ya Utawala Bora. Sasa mabadiliko ni lazima,” Rais Dk. Samia Suluhu Hassan.

Комментарии •