''NIMEKUWA MZIGO - NIFE MAMA AFANYE KAZI'' - LEYLA 'GENIUS' ATOKWA MACHOZI - AKIPATA MIL 50 ANAPONA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 50

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  8 часов назад +3

    Wasiliana na mama yake mzazi kwa msaada wowote:
    📞 0679282278
    📞 0756809334 (Nuru Salehe Jumbe)
    Kusaidia kwa njia ya Benki ( NMB ) 23310010411 - Nuru Salehe Jumbe

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 5 часов назад +2

    Mungu tenda miujiza yako. Mama Samia tunaomba msaada wako. VIONGOZI WENGINE MSAADA JAMANI CHONDE SANA

  • @JulianaMwangirwa
    @JulianaMwangirwa 5 часов назад +2

    Yelemia 33:3 mungu anasema niite nami nitakuitikia nanitakuonyesha mambo makubwa usiyo yajua usililie mtumainie mungu katika teso lako mkabidhi mungu atakuinua Tena Yesu ni dakitari wamadakitari Bwana yesu mtete uyu mtoto mponye ili akutukuze mfanyie wepesi

  • @IddYahaya-qh7rk
    @IddYahaya-qh7rk 5 часов назад +1

    Pole sana Mdogo angu pamoja na Mama angu Allah Atakufanyia wepesi InnshaAllah kwani kwake akuna kinachoshindikana kwahyo tuseme Al hamdulillah .

  • @SalomeKilembe
    @SalomeKilembe 5 часов назад +2

    Mungu akuponye kipenzi

  • @catherinefaney948
    @catherinefaney948 4 часа назад

    Mungu hatokuacha uendelee kupata shida,Mungu ndiye tumaini letu.

  • @kaznakazn3495
    @kaznakazn3495 2 часа назад

    Pole Sana mungu ndo tengemezi kwetu utapona mdogo wangu

  • @AnnaUrio-f5e
    @AnnaUrio-f5e 5 часов назад +2

    Mama samia jaman naomba umsaidie uyo mtoto jaman iyo million 50 analia.sana

  • @HellenChristopher-k9h
    @HellenChristopher-k9h 6 часов назад

    Hakika akuna linaloshindikana Kwa Mungu,tunakuombea utakaa sawa na utatimiza ndoto zako ,Wala usilie mumy usihuzunike ,pia mama atamuinua Tena kwenye uchumi wake Amina🙏

  • @SalmaMamdogo
    @SalmaMamdogo 5 часов назад

    Inshallah kuwa na moyo wasubra mungu yupo na wewe nakila jambo huja kwa sababu fulani.uta saidika.

  • @magdalenasakaya7323
    @magdalenasakaya7323 4 часа назад

    Mungu wewe ni mwaminifu kila wakati, tenda makuu kwa binti huyu baba yetu

  • @victoriamlay6271
    @victoriamlay6271 4 часа назад

    Kwel kufa kufaana matapeli hawna hata huruma .Mungu atawalaani mtaishia pabaya jasho la mtu haliliwi ...Mtaishia jela

  • @TatuMkeso
    @TatuMkeso 6 часов назад +1

    Allah mpe shifaa Hy bint kwa uwezo wako

  • @Gsamir694
    @Gsamir694 39 минут назад

    Tunamuomba sana raisi wetu samia amsaidie haraka Leyla anaumia

  • @MayarashidiMayarashidi
    @MayarashidiMayarashidi 5 часов назад

    Mungu afanye wepesi kwako mama

  • @marymessay2768
    @marymessay2768 5 часов назад

    Pole Mungu akutetee Tunakuombea

  • @Abdulshabani-nl8xk
    @Abdulshabani-nl8xk 4 часа назад

    Ya Allah Alie mtapeli mamahuyu.na.akijua kua anashida ya mwanae Allah ajaalie maradhi.ya huyu dada ya rud kwa walio.mtapeli waone je nisawa kwao

  • @AishaHamid-jz1mi
    @AishaHamid-jz1mi 5 часов назад

    Allah atakuafu InshaAllah utapona kwa uwezo wake

  • @Aishajohn-o3m
    @Aishajohn-o3m 5 часов назад

    Pole mdogo wang Allah atakuponya inshallah😢😢

  • @MonicaKitundu
    @MonicaKitundu 4 часа назад

    Mungu mwema kila wakati usikatee tamaaa mwanangu

  • @Aishajohn-o3m
    @Aishajohn-o3m 5 часов назад

    Cjui ugonjwa gan uwo mdogo wang pia anaumwa ivo ivo tokea fom 3 mbaka leo amepata ulemavu na ndoto zake zimekatika😢😢

  • @NeemaRameck
    @NeemaRameck 5 часов назад

    Mungu atamsaidia mpeleke kwa mwaposa

  • @EVESTERMMBAGAMmbaga
    @EVESTERMMBAGAMmbaga 6 часов назад

    Mungu hashindwi na chochote utanyanyuka hapo kitandani kwa jina la Yesu

  • @EvahManoti
    @EvahManoti 3 часа назад

    ila si binadam mungu atamlipia huyo Mr gulam

  • @MuscatKing-h9z
    @MuscatKing-h9z 6 часов назад +1

    Pole sana😢😢😢

  • @AminaJuma-g2f
    @AminaJuma-g2f 5 часов назад

    Pole sana kila jambo linamwisho

  • @ashurahaji4794
    @ashurahaji4794 5 часов назад

    Pole Sana utapata nafuu

  • @FaustinaMkama
    @FaustinaMkama 5 часов назад

    Eee Mungu. Mwamposa akamuone uyo mtoto amuombee. Mungu atamponya

  • @LydiaBenny-q2g
    @LydiaBenny-q2g 29 минут назад

    Mungu alieasili ya mema yote atakuinua

  • @Janemuthoni289
    @Janemuthoni289 2 часа назад

    Huyu amerogwa tu mpelekeni maombi, watanzania ukisoma ni balaa na ukisoma utoboe utarogwa ukose kazi,sijui mbona watanzania mko na uchawi hauna faida😢😢😢😢😢

  • @hemedjuma8339
    @hemedjuma8339 5 часов назад

    Mama Samia tunaomba msaidie huyu dada,Kama mama unao uwezo wa kulipa wachezaji pindi wafungapo magori kimataifa,Fanya msaidie apate matibabu

  • @frankjulias9464
    @frankjulias9464 6 часов назад

    Pole sana mama angu

  • @FatumaMwage
    @FatumaMwage 6 часов назад

    allah kareem atakuafu ❤❤

  • @AshaMwamba-m5x
    @AshaMwamba-m5x 6 часов назад

    Matapeli wote Mungu anawaonaaa

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx 5 часов назад

    Watanzania hatuoneani huruma jaman

  • @NeemaMasala-o7c
    @NeemaMasala-o7c 5 часов назад

    Kuna nambahyo ya mwisho kasema 78 nyinyi mmeandka 79

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx 5 часов назад

    Hao ni matapeli tu

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 6 часов назад

    Bola ungewashirikisha lobo tv

  • @Zuuh107
    @Zuuh107 6 часов назад

    𝗣𝗼𝗹𝗲 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗮𝗻𝗶😢😢😢😢😢😢

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 6 часов назад

    Kumbe bank za kisilamu. Kumbe watapelil

    • @AlphaIssaya
      @AlphaIssaya 6 часов назад +1

      Acha hyo kama huwezi kutoa msaada nivema ukawa kimya

  • @saidalhabsi9257
    @saidalhabsi9257 6 часов назад

    Umetapeliwa jaman matapeli nimengi

  • @JacksonKilewo
    @JacksonKilewo 7 часов назад

    😢😢😢😢

  • @HellenChristopher-k9h
    @HellenChristopher-k9h 6 часов назад +1

    Hakika akuna linaloshindikana Kwa Mungu,tunakuombea utakaa sawa na utatimiza ndoto zako ,Wala usilie mumy usihuzunike ,pia mama atamuinua Tena kwenye uchumi wake Amina🙏

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  8 часов назад +1

    Wasiliana na mama yake mzazi kwa msaada wowote:
    📞 0679282278
    📞 0756809334 (Nuru Salehe Jumbe)
    Kusaidia kwa njia ya Benki ( NMB ) 23310010411 - Nuru Salehe Jumbe

  • @ruqayaissa990
    @ruqayaissa990 6 часов назад

    😢😢😢😢

  • @HellenChristopher-k9h
    @HellenChristopher-k9h 6 часов назад

    Hakika akuna linaloshindikana Kwa Mungu,tunakuombea utakaa sawa na utatimiza ndoto zako ,Wala usilie mumy usihuzunike ,pia mama atamuinua Tena kwenye uchumi wake Amina🙏

  • @HellenChristopher-k9h
    @HellenChristopher-k9h 6 часов назад +1

    Hakika akuna linaloshindikana Kwa Mungu,tunakuombea utakaa sawa na utatimiza ndoto zako ,Wala usilie mumy usihuzunike ,pia mama atamuinua Tena kwenye uchumi wake Amina🙏