WAZIRI AWESO, BABU TALE WATUMIA BODABODA KWENYE ZIARA MOROGORO
HTML-код
- Опубликовано: 10 сен 2024
- WAZIRI AWESO, BABU TALE WATUMIA BODABODA KWENYE ZIARA MOROGORO
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nice babu tale
Traffic camata Hawa wore awajavaa hermet
Jambo zuri sana lakini next time wavae helmet. Viongozi wanapaswa kuishi sheria zilizopo kwa vitendo ikiwa ni kuhamasisha uvaaji wa helmet
Nawashauri mjaribu kuajiri wataalamu wa maji ili kuboresha huduma hii.
Inashanfaza kuna watu walisoma chuo cha maji miaka mingi iliyopita zaidi ya miaka mitano lakin bado wapo mtaani chaajabu mnatumia watu wa elimu za darasa la saba mnawaacha wataalamu.
Ninashauri tuu mkiona vyema toeni ajira kwa wingi kwa wataalamu hawa tajwa.
Hawajavaa kofia ngumu
Kwahili nampongeza sana maana huu mradi hauwafaidishi watu wa Tegetero lakini inaifaidisha morogoro,Kila siku nilikua najiuliza kwanini tarafa ya ngerengere na Mikese zinakosa maji ya uhakika wakati Kuna maji tele huko milimani
Wamelipwa lakini au kazi iendelee tu
sasa Asikali hawajaona namna walivyopakiwa bila kuvaa kofia ngumu?
Kwa mfano waziri akapata ajali akafa? Pili hamuoni mnaishusha nchi yetu nakuonekana serekali ya kimaskin. barabara hakuna miaka 60 ya uhuru. Moro goro maji ni mengi. Wapelekee barabara na umeme wata kushukuru Sanaa.
Hawavai hata kofia ngumu
Hhhhhhhhhhhh