WAZIRI AWESO, BABU TALE WATUMIA BODABODA KWENYE ZIARA MOROGORO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • WAZIRI AWESO, BABU TALE WATUMIA BODABODA KWENYE ZIARA MOROGORO
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 12

  • @ahmedjuma8664
    @ahmedjuma8664 Год назад

    Nice babu tale

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Год назад +2

    Traffic camata Hawa wore awajavaa hermet

  • @petermwambuja4359
    @petermwambuja4359 Год назад +1

    Jambo zuri sana lakini next time wavae helmet. Viongozi wanapaswa kuishi sheria zilizopo kwa vitendo ikiwa ni kuhamasisha uvaaji wa helmet

  • @robertmgogosi8448
    @robertmgogosi8448 Год назад

    Nawashauri mjaribu kuajiri wataalamu wa maji ili kuboresha huduma hii.
    Inashanfaza kuna watu walisoma chuo cha maji miaka mingi iliyopita zaidi ya miaka mitano lakin bado wapo mtaani chaajabu mnatumia watu wa elimu za darasa la saba mnawaacha wataalamu.
    Ninashauri tuu mkiona vyema toeni ajira kwa wingi kwa wataalamu hawa tajwa.

  • @mejakimaro2773
    @mejakimaro2773 Год назад +2

    Hawajavaa kofia ngumu

  • @babafaida9719
    @babafaida9719 Год назад

    Kwahili nampongeza sana maana huu mradi hauwafaidishi watu wa Tegetero lakini inaifaidisha morogoro,Kila siku nilikua najiuliza kwanini tarafa ya ngerengere na Mikese zinakosa maji ya uhakika wakati Kuna maji tele huko milimani

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Год назад

    Wamelipwa lakini au kazi iendelee tu

  • @double8boy802
    @double8boy802 Год назад

    sasa Asikali hawajaona namna walivyopakiwa bila kuvaa kofia ngumu?

  • @wakatv3704
    @wakatv3704 Год назад

    Kwa mfano waziri akapata ajali akafa? Pili hamuoni mnaishusha nchi yetu nakuonekana serekali ya kimaskin. barabara hakuna miaka 60 ya uhuru. Moro goro maji ni mengi. Wapelekee barabara na umeme wata kushukuru Sanaa.

  • @francisdaud7986
    @francisdaud7986 Год назад

    Hawavai hata kofia ngumu