EXCLUSIVE: MAJIBU YA H.BABA KUHUSU MJENGO ALIOMZAWADIA MAMA YAKE, "WAWAJENGEE WAZAZI WAO, WANIKOSOE"
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Headlines kubwa ni kuhusu mjengo wa msanii kutoka Mwanza H. Baba kumzawadia Mama yake nyumba hivi karibuni, na kwa mujibu wa H. Baba anasema nyumba imekamilika ndani ya miezi sita na thamani yake ni mil. 200, Ayo TV imekaa nae kwenye EXCLUSIVE
Umeweka hazina yako peponi kwa kumjengea nyumba mama,,,na unafanya ibaada,,namuomba Allah akupe umri mrefu asichukue roho yako kabla ya kuacha mziki,,aamiin yaarab.
Mashallah ni nyumba nzuri mil 200 ni sahihi kabisa
Yes its true
Hongera baba,Mungu akuongee na akuzidishie maisha marefu@Kenya.
💖👇..... 👇💖
ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html
Hongera sana H baba kwa kumzawadia mama nyumba Mungu akubariki sana kwa kukumbuka malezi ya mama aliyokupa.
huo dowanaume Sio kukalia maneno
Ongera sana HBB Allah aku zidi shiye kila la heri..
Hongera sana umefanya jambo nzuri sana kuandaa house ya kisasa kbs kwa ajili ya mama mzazi, allah akuzidishsiye daiman
Big up sana Bro
Mm siangalii thamn wala ukubwa wa nyumban ila nafurahi Kwa kuwa umetimiza ndoto kwaajili ya mama yetu na umemuheshimisha mama maana wapo wasanii wengi wenye majina lakini hawakubahatika kufanya jambo kubwa Kwa mzazi kama ulilolifanya ww Allah aendelee kukuzidishia Kaka na nifunzo hata kwetu pia tunaokaza mtaani tunajifunz kupitia ww Bro
Eesez,e,eeeeeeeessseeee,,
Hongera sana
Hamis Baba A.k.A
H.Baba
Mungu akupe umri mkubwa zaid
Hongera sana mkuu, MUNGU akucungurie zaidi kwa zawadi ya Mama.( Bi Mkubwa)
Broo hubahatishiii
Big ap sana achana na machawa hawa akina baba levo hawa na hela
Point sana broo H.bababababbaabbaabababa, H.baba, H.baba. Naikubari sana ngoma yako ya MARIA
HBABA Ni mkweri jamani congratulations
Serious hii nyumba inafika 200mil ukiweka na kiwanja
Hiyo finishing yake nikiiangalia 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Ilo swali kamulize mamako
Wivu utakumaliza unayo kama hii
Kwakweli nyumba imefika thaman ya mil200 kujenga sio mchezo hongera
Kweli ajaongea uongo
mashaallah hongera H BABA hivyo ndio vitu vya kufanya
Masha Allah ..H baba Mungu ndio kila kitu bro. Mshukuru sn Muumba kwa kukujalia kukuelekeza njia iliyonyooka ....
Nzr bro hongera sana Mungu akuongezee
Hongera h baba umetupa somo
#Capripoint nomaa mzeyaaaa , maeneo ya hesawa , #mwawasaaa , kiwanja huko ni bil 1 na uchafuu
Hii nyumba hata diamond hana hongera Sana h baba
Nikwel nyumba inajengwa taratibu ila kwa hesabu zako za laki alfu 50 milion kwa mda wa miezi 5 haiwezi kua imakamilika umetisha hakika umerudi mjini kinyume nyume
Waooo hongera sana H baba kwa kumkumbuka Mama. Pongezi pia kwa mtangazaji uko vizuri
Nashangaa msanii wamuda eti Leo ndo anawapa sehem yakulala wazazi wake mpaka wamezeeka
@@seleomary4805 anaweza akawa msanii wa muda lakin riziki yake ndo imefumguliwa sasa kuta gulia sio kufika kushukulu kwa kidogo unachopata ndio dua
@@seleomary4805 kwani ulikua unajua kipato chake bro kikubwa kamjengea mama yake au ulisikia mama yake analalamika?acheni hizo bana au ndo zile mnasubiri mtu afe ndo muanze kusifia mimi nampa big up
@@sudyreacts5889 safi sana yani umemjibu vizuri sana
@@sudyreacts5889 umejibu vyema sana
Masha'Allah
HONGERA H. BABA
Mama ni mama. Una hekima sana.
Usikose Ibada kama unavyosema. Mungu anaangalia roho si mwili.
Rohoni ukiwa msafi huna dhambi za hapa na pale. Mungu atapendezewa nawe. Kwa hili nakuunga mkono.
Ila kumsema Diamond acha yatosha.
Mh nyasaka wapi jmn
MashAllah unajielewa sana
Masha Allah jazaka Allahul khair
Mashaallah bro umempa mama kinacho stahli allah akutangulie kw hilo
Mm nakupa salut
Hongera broo kitu kizuri mno ulofanya.. leo kesho natamani kuwafanyia wazazi wangu..
Mola akuzidishie zaidi pale ulipotoa. Hakuna kama wazazi. Yote haya ni Mola anakuongoza In Sha Allah .
H baba achananao awo wanaobishana na iyo bei ya nyumba wachache Kama sisi tukikuelewa inatosha
mansha allah 👏👏
Kiwanja ml.60 duuuh hapo nimenunua kiwanja na nimejenga nyumba,Ongera aiseee!
Hongera sana mungu azidi kukubaliki
Hongera H baba Mungu akubaliki
Hongera sana H Baba
Maa Shaa Allah Mollah akulipe , no body can replace your mother 👏👏
Inshaallaaaah
Maanshaallah allah akuzidishie
Masha'Allah ubarikiwe na razi yamuzazi
Hongera sana na mungu akusimamie akuzidishie H baba
Hongera sn bor uko sawa wa kwanza kkufata nitakuwa mm
Makini sanaaaaaa
Kabisa achana nao hao kikubwa umemjengea mama bwana
💖👇👇💖
ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html
H baba big up broo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi safi bro more blessing to u
Huu mjengo nimempenda
Nikweli hiyo nyumba niyake alimjengea mama yake pia maeneo hayo hayo ya nyasaka nanyumba zaidi ya nne nahiyo ya mama yake niyakawaida tu
Allah akuzidishie h baba Sana Sana inshaallah 🤲
Big up bro ngosha
Kweli kaka waongeaji hote hawajui hata bei ya tofali allaah akuzidishie
💖👇..... 👇💖
ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html
Ni kweli H Baba. Kiwanja kwanza ni gharama. Hasa kwa Mwaza barabarani. Dah. Umejitahidi sana.
Hapa umesema point. Finishing ni kazi kwelikweli.
Sema umefanya kitu kikubwa mama yako lazima umlee mama yako thats Good big up Bro
Wewe unawivu nae tu ndio ninachokiona hapa
Ujenzi ni finishing sio jengo tuu , hongera San braza ..
Iyo ni kiki nyumba sio yake mama anafanyiwa suprise ata kustuka au kutoe japo kajino kafulaaa amna .kaendelea kununa tu
Hongera kaka mkubwa Allah akuzidishie
Millard Ayo na Ayo tv
Hongera sana bro ...sasa mshauli msanii wetu harmonize.!!
Nakumbuka kpnd hcho naishi mabatn mwanza tulikuwa tunakuita hamis bishoo tunakukubal sn H baba big up
Mabatini laini polisi sio
@@adamnasib7928 yap kpnd hcho ma father alikuwa polc
Kumbe h mama unaakili ivyo acha uchawa Sasa ilo ulilo fanya nijambo jema mungu akujalie.
Nikk wa pili amesema mtu kushangaa nyumba ni sawa na kumshangaa mtu kuvaa nguo huo ni ufinyu wa kufikiri
💖👇..... 👇💖
ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html
Umeanza kujenga nakuona bro hongera sana jiran
💖👇👇💖
ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html
@@shehdon847 t
Tena zaidi ya million waniulize Mimi injiniya
Kumpaangishia Mama nyumba nzur kama hiii ni jambo kubwaa sana ... ma sha Allah 😆🙏🏿
Kamjengea hajampangishia
Be positive
Haters mpo wengi,hamjui kusifu mazuri
Maisha ya team yanawapa vijana shida sana tuishi maisha yetu.
Maashallah......Allah atakutoa tu huko kwenye mziki, maadam unakumbuka kumsujudia
Kweli
Mashallah tabarakallah
Hongera Kaka
💖👇👇💖
ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html
Mung akubariki kumjali mzazi
Good
H baba tuna mukubali sana apa congo ni mutu mwenye Ekima
Hereni na Mziki ni mapungufu tu hayo kikubwa fanya Ibada mlipaji ni mungu hata mashekhe Kuna wengine wanamapungufu makubwa zaidi ya wewe .
Ila mungu akubariki kwa hilo pia baba
Ongera kabisa h baba umungu akubariki sana
Safiii
Hiyo kweli nyumba haijengwi kwa pesa yote.....kweli h baba
Jamani wamama tusitupe watoto
Ongera h baba sio kidogo icho
Nice
Hongera sana kaka... Mungu atuzidishie
💖👇👇💖
ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html
Good sana ngosha mwenzangu
Nasemaje, hii nyumba h baba hajajenga aache kutudanganya.
Haya hajaijenga yy umejenga ww tapika basi km una kichefuchefu
Mashaallah H baba kwa kumkumbuka mungu
Hivi na mm ninavyo haso hivi ipo siku ntapata pesa na nimzawadie mama yangu nyumba hata ya milion moja kijjn kwetu?
sana mamy Allah atakujaalia
In Sha Allah utajaaliwa usikate tamaa.
simama na mwenyezi mungu atakujibu
Ukiwa nania naukijituma unaweza
Ma baba mnakosea wapi ona mtoto anavyoelezea alivyopata shida na mamake pekee baba kajulikana ukubwani
Mi nataka kuona nyumba ya Baba levo😂😂
Tumbo lake ndio nymba yake baba levo hataki shida.
Chumba kimoja na sebule kweli milion 200 h baba muogope mungu naludia muogope mungu h baba
Kama wewe ni mjenz utajua, hakika naeza kukuambia hata m 200 unazd nampongeza sana
Hbaba Anatafuta Ukubwa Tena Kwa Njia Yoyote Ashindane Na Diamond. ...Anasema Nyumba Huwez Kujenga Mara Moja Kwa Usawa Huu ,Amejenga Kidogokidogo, Halaf Mwanzo Pale Anasema Ametumia Miezi Mitano Kumaliza Ujenzi 😂😂😂😂😂😂😂!! Wana Saikolojia Tunajua MTU Akiongea Uongo
tuonyeshe ya kwako wwe msakweli
Nyumba naielewa Sana ipo maeneo ya nyasaka maeneo ya islamiki tabasamu kiwanja upana mita kumi na 2 ulefu mita 17 milion 600 uwanja umelogwa ukwel umezeka Kama silop nyuma huko vp na hiyo ya jilan yako itakua milion mia ngap
From 🇧🇮 Saudia mashaallah
Hongera xana kka kw Kumpa mama nyumba
Sawa mwanangu wapashe wasiojielewa
Mashallah ! Allah atakulipa kheri
Kisesa hakuna kiwanja Cha milioni 60
Labda milioni 10 hapo sawa
Hio milion 200 mbona ndogo sana kwenye hio nyumba! Kwanza hio pesa mbona inaishia kwenye fensi tu na hilo geti! Tatizo watanzania ni wapangaji tu!
Umeshajenga wwe?
Kweli
Mashallah kaka
Courage..
H.Baba Big Bro
Hongera sn hbaba
Flora amshukuru Mungu alipata mume mwema
Huyu Kaka anafanana na Dullah Planet wa Eatv, hongera kwa hbaba
Ibada na hereni kwenye uislamu....achani kumtani mungu.....
😂😂
Fanya yote lakn swala n lazima vaa ereni cjui rasta lakn kuswali n lazima hayo mengine Allah mwenyewe atajua lakufanya
Safi sana one dy hata mie ntafanya siku 1 kwa mama angu