EXCLUSIVE: MAJIBU YA H.BABA KUHUSU MJENGO ALIOMZAWADIA MAMA YAKE, "WAWAJENGEE WAZAZI WAO, WANIKOSOE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Headlines kubwa ni kuhusu mjengo wa msanii kutoka Mwanza H. Baba kumzawadia Mama yake nyumba hivi karibuni, na kwa mujibu wa H. Baba anasema nyumba imekamilika ndani ya miezi sita na thamani yake ni mil. 200, Ayo TV imekaa nae kwenye EXCLUSIVE

Комментарии • 303

  • @AhmadHassan-hx6oh
    @AhmadHassan-hx6oh 3 года назад +30

    Umeweka hazina yako peponi kwa kumjengea nyumba mama,,,na unafanya ibaada,,namuomba Allah akupe umri mrefu asichukue roho yako kabla ya kuacha mziki,,aamiin yaarab.

  • @paulndowa5601
    @paulndowa5601 3 года назад +10

    Mashallah ni nyumba nzuri mil 200 ni sahihi kabisa

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 3 года назад +4

    Hongera baba,Mungu akuongee na akuzidishie maisha marefu@Kenya.

    • @shehdon847
      @shehdon847 3 года назад

      💖👇..... 👇💖
      ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 года назад +8

    Hongera sana H baba kwa kumzawadia mama nyumba Mungu akubariki sana kwa kukumbuka malezi ya mama aliyokupa.

  • @aljimmykabumbabinazam9904
    @aljimmykabumbabinazam9904 3 года назад +3

    Ongera sana HBB Allah aku zidi shiye kila la heri..

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 3 года назад +2

    Hongera sana umefanya jambo nzuri sana kuandaa house ya kisasa kbs kwa ajili ya mama mzazi, allah akuzidishsiye daiman

  • @sosomokobiasharamgaya1449
    @sosomokobiasharamgaya1449 3 года назад +7

    Big up sana Bro
    Mm siangalii thamn wala ukubwa wa nyumban ila nafurahi Kwa kuwa umetimiza ndoto kwaajili ya mama yetu na umemuheshimisha mama maana wapo wasanii wengi wenye majina lakini hawakubahatika kufanya jambo kubwa Kwa mzazi kama ulilolifanya ww Allah aendelee kukuzidishia Kaka na nifunzo hata kwetu pia tunaokaza mtaani tunajifunz kupitia ww Bro

  • @thomasalphonce4248
    @thomasalphonce4248 3 года назад +2

    Hongera sana
    Hamis Baba A.k.A
    H.Baba
    Mungu akupe umri mkubwa zaid

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba 3 года назад +7

    Hongera sana mkuu, MUNGU akucungurie zaidi kwa zawadi ya Mama.( Bi Mkubwa)

  • @sonko-13
    @sonko-13 3 года назад +16

    Point sana broo H.bababababbaabbaabababa, H.baba, H.baba. Naikubari sana ngoma yako ya MARIA

  • @parfaitkalemela6749
    @parfaitkalemela6749 3 года назад +3

    HBABA Ni mkweri jamani congratulations

  • @ommietrendz7175
    @ommietrendz7175 3 года назад +19

    Serious hii nyumba inafika 200mil ukiweka na kiwanja
    Hiyo finishing yake nikiiangalia 🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @pendomariki6562
    @pendomariki6562 3 года назад +5

    Kwakweli nyumba imefika thaman ya mil200 kujenga sio mchezo hongera

  • @mariamakanu1690
    @mariamakanu1690 3 года назад +3

    mashaallah hongera H BABA hivyo ndio vitu vya kufanya

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 3 года назад

    Masha Allah ..H baba Mungu ndio kila kitu bro. Mshukuru sn Muumba kwa kukujalia kukuelekeza njia iliyonyooka ....

  • @dovicochristopher5388
    @dovicochristopher5388 3 года назад +9

    Nzr bro hongera sana Mungu akuongezee

  • @karimuabdala3234
    @karimuabdala3234 3 года назад +6

    Hongera h baba umetupa somo

  • @wilhelmibaganisa5857
    @wilhelmibaganisa5857 3 года назад +7

    #Capripoint nomaa mzeyaaaa , maeneo ya hesawa , #mwawasaaa , kiwanja huko ni bil 1 na uchafuu

  • @nicholousnick5348
    @nicholousnick5348 3 года назад +1

    Hii nyumba hata diamond hana hongera Sana h baba

  • @ronmadini2009
    @ronmadini2009 3 года назад +17

    Nikwel nyumba inajengwa taratibu ila kwa hesabu zako za laki alfu 50 milion kwa mda wa miezi 5 haiwezi kua imakamilika umetisha hakika umerudi mjini kinyume nyume

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 3 года назад +6

    Waooo hongera sana H baba kwa kumkumbuka Mama. Pongezi pia kwa mtangazaji uko vizuri

    • @seleomary4805
      @seleomary4805 3 года назад

      Nashangaa msanii wamuda eti Leo ndo anawapa sehem yakulala wazazi wake mpaka wamezeeka

    • @sudyreacts5889
      @sudyreacts5889 3 года назад +1

      @@seleomary4805 anaweza akawa msanii wa muda lakin riziki yake ndo imefumguliwa sasa kuta gulia sio kufika kushukulu kwa kidogo unachopata ndio dua

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 3 года назад +2

      @@seleomary4805 kwani ulikua unajua kipato chake bro kikubwa kamjengea mama yake au ulisikia mama yake analalamika?acheni hizo bana au ndo zile mnasubiri mtu afe ndo muanze kusifia mimi nampa big up

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 3 года назад +1

      @@sudyreacts5889 safi sana yani umemjibu vizuri sana

    • @cpasalma1532
      @cpasalma1532 3 года назад +2

      @@sudyreacts5889 umejibu vyema sana

  • @fuadshell5188
    @fuadshell5188 3 года назад +6

    Masha'Allah

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 3 года назад

    HONGERA H. BABA
    Mama ni mama. Una hekima sana.
    Usikose Ibada kama unavyosema. Mungu anaangalia roho si mwili.
    Rohoni ukiwa msafi huna dhambi za hapa na pale. Mungu atapendezewa nawe. Kwa hili nakuunga mkono.
    Ila kumsema Diamond acha yatosha.

  • @lindakasongo8695
    @lindakasongo8695 3 года назад +2

    Mh nyasaka wapi jmn

  • @happynesbaemuhappynes8813
    @happynesbaemuhappynes8813 3 года назад +2

    MashAllah unajielewa sana

  • @hamilhashir4452
    @hamilhashir4452 3 года назад +2

    Masha Allah jazaka Allahul khair

  • @athumanmindu664
    @athumanmindu664 3 года назад

    Mashaallah bro umempa mama kinacho stahli allah akutangulie kw hilo

  • @latifalatifa2838
    @latifalatifa2838 3 года назад +3

    Mm nakupa salut

  • @shaabaniali9816
    @shaabaniali9816 3 года назад +6

    Hongera broo kitu kizuri mno ulofanya.. leo kesho natamani kuwafanyia wazazi wangu..

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 года назад +5

    Mola akuzidishie zaidi pale ulipotoa. Hakuna kama wazazi. Yote haya ni Mola anakuongoza In Sha Allah .

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 3 года назад +5

    H baba achananao awo wanaobishana na iyo bei ya nyumba wachache Kama sisi tukikuelewa inatosha

  • @iradukundamike5370
    @iradukundamike5370 3 года назад +3

    mansha allah 👏👏

  • @alexsalum7824
    @alexsalum7824 3 года назад +2

    Kiwanja ml.60 duuuh hapo nimenunua kiwanja na nimejenga nyumba,Ongera aiseee!

  • @bitricesalum5236
    @bitricesalum5236 3 года назад +1

    Hongera sana mungu azidi kukubaliki

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 3 года назад +3

    Hongera H baba Mungu akubaliki

  • @dicksonulotu9717
    @dicksonulotu9717 3 года назад +3

    Hongera sana H Baba

  • @issanzeyimana8281
    @issanzeyimana8281 3 года назад

    Maa Shaa Allah Mollah akulipe , no body can replace your mother 👏👏

  • @ramadhanimohamedi1457
    @ramadhanimohamedi1457 3 года назад +2

    Inshaallaaaah

  • @Qwertqwert-ww5yj
    @Qwertqwert-ww5yj 3 года назад +2

    Maanshaallah allah akuzidishie

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo8993 3 года назад +1

    Masha'Allah ubarikiwe na razi yamuzazi

  • @sabinashabani1165
    @sabinashabani1165 3 года назад

    Hongera sana na mungu akusimamie akuzidishie H baba

  • @kelvinchuwa2212
    @kelvinchuwa2212 3 года назад +1

    Hongera sn bor uko sawa wa kwanza kkufata nitakuwa mm

  • @amosmabena1209
    @amosmabena1209 3 года назад +3

    Makini sanaaaaaa

  • @tumainsawe6960
    @tumainsawe6960 3 года назад +3

    Kabisa achana nao hao kikubwa umemjengea mama bwana

    • @shehdon847
      @shehdon847 3 года назад

      💖👇👇💖
      ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html

  • @hydreabdallah8310
    @hydreabdallah8310 3 года назад +2

    H baba big up broo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jamesharold2835
    @jamesharold2835 3 года назад +1

    Kazi safi bro more blessing to u

  • @mahijamasukuzi9246
    @mahijamasukuzi9246 3 года назад +6

    Huu mjengo nimempenda

  • @gaudensiajohn7047
    @gaudensiajohn7047 3 года назад +2

    Nikweli hiyo nyumba niyake alimjengea mama yake pia maeneo hayo hayo ya nyasaka nanyumba zaidi ya nne nahiyo ya mama yake niyakawaida tu

  • @ramazubery2641
    @ramazubery2641 3 года назад +3

    Allah akuzidishie h baba Sana Sana inshaallah 🤲

  • @peterkatumain2299
    @peterkatumain2299 3 года назад +3

    Big up bro ngosha

  • @mathamartin4402
    @mathamartin4402 3 года назад +2

    Kweli kaka waongeaji hote hawajui hata bei ya tofali allaah akuzidishie

    • @shehdon847
      @shehdon847 3 года назад

      💖👇..... 👇💖
      ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 3 года назад

    Ni kweli H Baba. Kiwanja kwanza ni gharama. Hasa kwa Mwaza barabarani. Dah. Umejitahidi sana.
    Hapa umesema point. Finishing ni kazi kwelikweli.

  • @mcsailas8328
    @mcsailas8328 3 года назад +4

    Sema umefanya kitu kikubwa mama yako lazima umlee mama yako thats Good big up Bro

    • @karimuabdala3234
      @karimuabdala3234 3 года назад

      Wewe unawivu nae tu ndio ninachokiona hapa

    • @justineonline6556
      @justineonline6556 3 года назад

      Ujenzi ni finishing sio jengo tuu , hongera San braza ..

    • @hasanrashid1244
      @hasanrashid1244 3 года назад

      Iyo ni kiki nyumba sio yake mama anafanyiwa suprise ata kustuka au kutoe japo kajino kafulaaa amna .kaendelea kununa tu

  • @chidyrash4532
    @chidyrash4532 2 года назад

    Hongera kaka mkubwa Allah akuzidishie

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 года назад +5

    Millard Ayo na Ayo tv

  • @ignasiissaya1718
    @ignasiissaya1718 3 года назад

    Hongera sana bro ...sasa mshauli msanii wetu harmonize.!!

  • @shabannayopa5406
    @shabannayopa5406 3 года назад +3

    Nakumbuka kpnd hcho naishi mabatn mwanza tulikuwa tunakuita hamis bishoo tunakukubal sn H baba big up

    • @adamnasib7928
      @adamnasib7928 3 года назад +1

      Mabatini laini polisi sio

    • @shabannayopa5406
      @shabannayopa5406 3 года назад

      @@adamnasib7928 yap kpnd hcho ma father alikuwa polc

  • @habibaissa4285
    @habibaissa4285 3 года назад +4

    Kumbe h mama unaakili ivyo acha uchawa Sasa ilo ulilo fanya nijambo jema mungu akujalie.

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma 3 года назад +7

    Nikk wa pili amesema mtu kushangaa nyumba ni sawa na kumshangaa mtu kuvaa nguo huo ni ufinyu wa kufikiri

    • @shehdon847
      @shehdon847 3 года назад

      💖👇..... 👇💖
      ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html

  • @jacklinemashaka9027
    @jacklinemashaka9027 3 года назад +1

    Umeanza kujenga nakuona bro hongera sana jiran

    • @shehdon847
      @shehdon847 3 года назад

      💖👇👇💖
      ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html

    • @abdulibakali3652
      @abdulibakali3652 3 года назад

      @@shehdon847 t

  • @fedyrunya2130
    @fedyrunya2130 3 года назад +1

    Tena zaidi ya million waniulize Mimi injiniya

  • @friesinger0963
    @friesinger0963 3 года назад +6

    Kumpaangishia Mama nyumba nzur kama hiii ni jambo kubwaa sana ... ma sha Allah 😆🙏🏿

    • @ommietrendz7175
      @ommietrendz7175 3 года назад +5

      Kamjengea hajampangishia
      Be positive

    • @khalekichambo2143
      @khalekichambo2143 3 года назад +2

      Haters mpo wengi,hamjui kusifu mazuri

    • @hamisimsumbwa8085
      @hamisimsumbwa8085 3 года назад

      Maisha ya team yanawapa vijana shida sana tuishi maisha yetu.

  • @zayanasudi3731
    @zayanasudi3731 3 года назад

    Maashallah......Allah atakutoa tu huko kwenye mziki, maadam unakumbuka kumsujudia

  • @allahakujazekheriwowww5694
    @allahakujazekheriwowww5694 3 года назад +1

    Mashallah tabarakallah

  • @njetiipaul5904
    @njetiipaul5904 3 года назад +2

    Hongera Kaka

    • @shehdon847
      @shehdon847 3 года назад

      💖👇👇💖
      ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html

  • @davidodaking8295
    @davidodaking8295 3 года назад +2

    Mung akubariki kumjali mzazi

  • @senseiamazing1823
    @senseiamazing1823 3 года назад +2

    Good

  • @Paulkasama902
    @Paulkasama902 3 года назад

    H baba tuna mukubali sana apa congo ni mutu mwenye Ekima

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Год назад

    Hereni na Mziki ni mapungufu tu hayo kikubwa fanya Ibada mlipaji ni mungu hata mashekhe Kuna wengine wanamapungufu makubwa zaidi ya wewe .

  • @khadijacharles2433
    @khadijacharles2433 3 года назад +1

    Ila mungu akubariki kwa hilo pia baba

  • @ndaiyishimiesaidatt3493
    @ndaiyishimiesaidatt3493 3 года назад

    Ongera kabisa h baba umungu akubariki sana

  • @leylatotty5934
    @leylatotty5934 3 года назад +1

    Safiii

  • @stevenasunga3917
    @stevenasunga3917 2 года назад

    Hiyo kweli nyumba haijengwi kwa pesa yote.....kweli h baba

  • @suphiapatson3541
    @suphiapatson3541 3 года назад +1

    Jamani wamama tusitupe watoto

  • @mutwalesylvie1305
    @mutwalesylvie1305 3 года назад

    Ongera h baba sio kidogo icho

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 3 года назад +2

    Nice

  • @geraldgerrytrump254
    @geraldgerrytrump254 3 года назад

    Hongera sana kaka... Mungu atuzidishie

    • @shehdon847
      @shehdon847 3 года назад +1

      💖👇👇💖
      ruclips.net/video/-Z5YpGZvoKk/видео.html

  • @davidmalahya6232
    @davidmalahya6232 3 года назад

    Good sana ngosha mwenzangu

  • @stevenmsaaada.msaada.389
    @stevenmsaaada.msaada.389 3 года назад +1

    Nasemaje, hii nyumba h baba hajajenga aache kutudanganya.

    • @lulually5209
      @lulually5209 3 года назад

      Haya hajaijenga yy umejenga ww tapika basi km una kichefuchefu

  • @shopalareen4303
    @shopalareen4303 3 года назад

    Mashaallah H baba kwa kumkumbuka mungu

  • @asiamwarabu7510
    @asiamwarabu7510 3 года назад +4

    Hivi na mm ninavyo haso hivi ipo siku ntapata pesa na nimzawadie mama yangu nyumba hata ya milion moja kijjn kwetu?

  • @cpasalma1532
    @cpasalma1532 3 года назад +8

    Ma baba mnakosea wapi ona mtoto anavyoelezea alivyopata shida na mamake pekee baba kajulikana ukubwani

  • @sabinashabani1165
    @sabinashabani1165 3 года назад +2

    Mi nataka kuona nyumba ya Baba levo😂😂

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 3 года назад

      Tumbo lake ndio nymba yake baba levo hataki shida.

  • @zabronboniphac572
    @zabronboniphac572 3 года назад

    Chumba kimoja na sebule kweli milion 200 h baba muogope mungu naludia muogope mungu h baba

    • @peterpallangyo5744
      @peterpallangyo5744 2 года назад

      Kama wewe ni mjenz utajua, hakika naeza kukuambia hata m 200 unazd nampongeza sana

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 3 года назад +1

    Hbaba Anatafuta Ukubwa Tena Kwa Njia Yoyote Ashindane Na Diamond. ...Anasema Nyumba Huwez Kujenga Mara Moja Kwa Usawa Huu ,Amejenga Kidogokidogo, Halaf Mwanzo Pale Anasema Ametumia Miezi Mitano Kumaliza Ujenzi 😂😂😂😂😂😂😂!! Wana Saikolojia Tunajua MTU Akiongea Uongo

  • @zabronboniphac572
    @zabronboniphac572 3 года назад +1

    Nyumba naielewa Sana ipo maeneo ya nyasaka maeneo ya islamiki tabasamu kiwanja upana mita kumi na 2 ulefu mita 17 milion 600 uwanja umelogwa ukwel umezeka Kama silop nyuma huko vp na hiyo ya jilan yako itakua milion mia ngap

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 3 года назад

    From 🇧🇮 Saudia mashaallah

  • @bakarisanya7626
    @bakarisanya7626 3 года назад

    Hongera xana kka kw Kumpa mama nyumba

  • @mnegaamina6085
    @mnegaamina6085 3 года назад +1

    Sawa mwanangu wapashe wasiojielewa

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 года назад

    Mashallah ! Allah atakulipa kheri

  • @mdl6463
    @mdl6463 3 года назад +2

    Kisesa hakuna kiwanja Cha milioni 60
    Labda milioni 10 hapo sawa

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 3 года назад +3

    Hio milion 200 mbona ndogo sana kwenye hio nyumba! Kwanza hio pesa mbona inaishia kwenye fensi tu na hilo geti! Tatizo watanzania ni wapangaji tu!

  • @faridaessa7844
    @faridaessa7844 3 года назад +1

    Mashallah kaka

  • @danielmpole9508
    @danielmpole9508 3 года назад

    Courage..

  • @wilisavage8204
    @wilisavage8204 3 года назад +1

    H.Baba Big Bro

  • @azzyboyclassic4664
    @azzyboyclassic4664 3 года назад

    Hongera sn hbaba

  • @Godneverfailed
    @Godneverfailed 3 года назад +1

    Flora amshukuru Mungu alipata mume mwema

  • @blasidajulius2240
    @blasidajulius2240 3 года назад +3

    Huyu Kaka anafanana na Dullah Planet wa Eatv, hongera kwa hbaba

  • @eliasmushi6792
    @eliasmushi6792 3 года назад +2

    Ibada na hereni kwenye uislamu....achani kumtani mungu.....

    • @busta_malik5971
      @busta_malik5971 3 года назад

      😂😂

    • @aliboss2736
      @aliboss2736 3 года назад

      Fanya yote lakn swala n lazima vaa ereni cjui rasta lakn kuswali n lazima hayo mengine Allah mwenyewe atajua lakufanya

  • @zillytash693
    @zillytash693 3 года назад

    Safi sana one dy hata mie ntafanya siku 1 kwa mama angu