inshaallah mwenyezimungu akujaalie akulipe kwa kutukumbusha mwenyezimungu awarehemu wazazi wetu na awafutie madhambi yao inshaallah na atujaalie tuwe nao bega kwa bega na tusighafirike kwa lolote mbele ya wazazi wetu katka dunia hii,,,,,AAAAMIIIIIIIIIN!!!!
Inshaallah kher shekhe kishki nipo omani ni mtanzania namuelewa Sana juu ya mawaidha yako,ilanajutia mitandao ya kijamii imechelewa kutukumbusha faida izi,nikweli jamii inaangamia hatuna Ilimu ya dini natamani wazazi wangu wangekuwa hai ,mda mwengine watoto hatuna kauli mzuri kwa wazazi wetu ,mashekhe wetu mzidishe kutufundisha uma unapotea.nawapenda kwa ajili ya dini wote Wana kishki.
Alhamdulilah , shukrani kwa mada nzuri kuanza ss nitanza mawasiliano na wazazi wangu ishallah hakika mada hii imenikumbusha na kuniamsha kwani nimekuwa nimejisahau sana Ya rab nijalie niwe mwenye kuwatendea wema wazazi wangi amin amin Amin
ahbari ya fatma mim ni muislamu na nina mitihani migumu sana kuhusiana na wazazi wangu sana mamangu mzazi..tangu mwaka wa 2008 nikiwa bado mdogo mamangu amekuwa akijaribu kuniangamiza na madawa kosa sijui...lakini nimekuja gundua kwamba alinataka nimuoe mtoto wa ndugu yake ambaye tayari alikua ameshaoleka ndoa kama mbili hivi
sheikh shukran kwa daawa hii...mm ni msichana mwenye nilizaliwa ..na inavosemekana baba akanikataa sabu nilizaliwa nje ya ndoa subhanallah Allah amsamehe mamangu fil dubya wal akhera..amin...kisha nimelewa na mama na nyanyake mama na mjomba hadi sasa nina umri wa miaka 24..ila kwasasa baba yuleyule anatambua kuwa mm nimwanawe...je ninahaki ya kunfanyia hisani kama nnavo mfanyia mamangu?
mimi ninaishi ncgini Rwanda lakin kuna mzazi mmoja anyemtesa mtoto wake kiasi cha kutosha na sisi wote tunajua kwamba kweli mtoto huyo alijihusisha na makosa makubwa na babake kashindwa kumusamehe. swali langu ni hili "je, ikiwa mtoto anaamua kumkimbia mzazi wake kabla hajasamehewa, itakuwaje mbele ya ALLAH.
Itabidii mumuombee kujua sababu inayomfanya Kwann afanye maamuzi hayo kisha mumbelezee kadri mnavyoweza kwa hata watu wazima wenye hekima na ma'shekh ikishindikana kabisa kabisa kama umeisha muoa mpe talaka yake au kama bado ujamuoa sio sahihi umuoe maana ndoa ni baraka na baraka huanzia kwa wazazi...
Mashallah tabarakallah sheikh nurdin kishki Allah akupe maisha marefu uzidii kutongoza kwa dini akupe janatul fridous
mungu azidi kunipa moyo wa kumpenda namayangu nababa shukrani kaka nurdini
inshaallah mwenyezimungu akujaalie akulipe kwa kutukumbusha mwenyezimungu awarehemu wazazi wetu na awafutie madhambi yao inshaallah na atujaalie tuwe nao bega kwa bega na tusighafirike kwa lolote mbele ya wazazi wetu katka dunia hii,,,,,AAAAMIIIIIIIIIN!!!!
Mashallah M mungu atakulipa kheri na sisi mola atujaalie iman na subra kuwalea wazazi wetu
Inshaallah kher shekhe kishki nipo omani ni mtanzania namuelewa Sana juu ya mawaidha yako,ilanajutia mitandao ya kijamii imechelewa kutukumbusha faida izi,nikweli jamii inaangamia hatuna Ilimu ya dini natamani wazazi wangu wangekuwa hai ,mda mwengine watoto hatuna kauli mzuri kwa wazazi wetu ,mashekhe wetu mzidishe kutufundisha uma unapotea.nawapenda kwa ajili ya dini wote Wana kishki.
Alhamdulilah ,
shukrani kwa mada nzuri
kuanza ss nitanza mawasiliano na wazazi wangu ishallah
hakika mada hii imenikumbusha na kuniamsha kwani nimekuwa nimejisahau sana
Ya rab nijalie niwe mwenye kuwatendea wema wazazi wangi
amin amin Amin
3
masha"allah mungu awazidishiye wenye kutowa hutuba kama hizi @na superdaawah mungu akubariki akupe kila la kheri
Mashallah tabarakallah mungu atuongoze katika njia ilionyoka mungu atujalie tuzidi kutii wazee wetu takbiiir
MashaAllah Allah akulipe sheikh wetu🙏🙏
Namuomba...M/mungu atujalie tuwe wenye kuwatiii wazaz wetu..na kuwaheshim..maan hy ni pepo tulioaidiw na Allah......
Allah atujaalie tuondokane vyema na wazazi wetu,,,,,, pia Allah akupe mwisho mwema sheikh wetu nurdeem kishki
maa shaa ALLAH, ALLAH akulipe Shekh wetu Nurdin Kishki na akujaalie ww na sie umri wenye kumuabudu na kuchunga mipaka ya ALLAH azza jalla waala
Shukran alaa dhawahu ja zaka Allah khery
Masha allah Allah akuzidishia
Jaaxak Allah kher allha akukie pepo amiin
JazaakAllah khair shiekh.Allahu Akbar wallahi only a girl can understand what the shiekh is saying.yaa Rabbi protect and bless all mothers.
Allah akbar
Hii ni pepo tulioaidiw na Allah..M/mungu atutilie wepes tuw weny kuwaheshimu wazaz wet..na kuwatendea mema.....lnshaAllah..
Baraka Allahu fikum. Allah hatujalie sote. Allahuma ameen.
mashallah Rabbi umri kee sii haa dheresu yaa jallatama ilma islama
Allah atujalie tuwe wenye kuwatwii wazazi wetu inshaallah
Masha Allah tabaraka Allah
Mashaa Allah, Allah atuwekee masheikh wetu
asalam aleikum warahmatullahi wabaraqatu..shukra shekh kwa umeniliza nami kwa mawaidha mola akujazi kheri
Mashallah jazakallah khayra sheikh nurdin kishiki
May Allah ease for your all your struggles MA sha Allah Shukran jazillah sheikh
Masha Allah
Baarak Allahu feekum for sharing!
ahbari ya fatma mim ni muislamu na nina mitihani migumu sana kuhusiana na wazazi wangu sana mamangu mzazi..tangu mwaka wa 2008 nikiwa bado mdogo mamangu amekuwa akijaribu kuniangamiza na madawa kosa sijui...lakini nimekuja gundua kwamba alinataka nimuoe mtoto wa ndugu yake ambaye tayari alikua ameshaoleka ndoa kama mbili hivi
Mungu atujaaliye n wenye kuwatii wazazi wetu
Mashaallah
mashall mungu akulipe kil la heri
Shukran kwa ukumbusho
aslaamualeykum kweli tunahitaji mawaidha ya mume
MASHALLAH MASHHALLAH AMEENNN!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Shukran
AMIN!!!!
mwenyez mungu atupe muongozo
HII CHANNEL SIO YA KISHKI, SO SIONI UKIJIBIWA HAPA
sheikh shukran kwa daawa hii...mm ni msichana mwenye nilizaliwa ..na inavosemekana baba akanikataa sabu nilizaliwa nje ya ndoa subhanallah Allah amsamehe mamangu fil dubya wal akhera..amin...kisha nimelewa na mama na nyanyake mama na mjomba hadi sasa nina umri wa miaka 24..ila kwasasa baba yuleyule anatambua kuwa mm nimwanawe...je ninahaki ya kunfanyia hisani kama nnavo mfanyia mamangu?
mashaallah shekhe wangu
Mashaallah Mashaallah m. Mungu akuweke yaaraby m. Mungu akupe afya njema Inshaallah Mimi nakutakia kheri Inshaallah
InshaAllah
Allah atujaaliye tuwe ni wenye kuyafanyia kazi tuyasikiayo
Ibrahim,twah
Ameeeeen
Manshalla
Masha Allaaah
tafadhali tuwekeeni mawaidha ya mume na mke na juu ya jirani tafadhal ikiwa itawezekana
aminiii yarabi
mimi ninaishi ncgini Rwanda lakin kuna mzazi mmoja anyemtesa mtoto wake kiasi cha kutosha na sisi wote tunajua kwamba kweli mtoto huyo alijihusisha na makosa makubwa na babake kashindwa kumusamehe. swali langu ni hili "je, ikiwa mtoto anaamua kumkimbia mzazi wake kabla hajasamehewa, itakuwaje mbele ya ALLAH.
ROBERT RUGANGO
Masha Allah
AMIN
mashaala
mashallah
TUTAJARIBU
Shekh na kama mama wa mke hamtaki mwanaume je mke atampa talaka mumewe?
Itabidii mumuombee kujua sababu inayomfanya Kwann afanye maamuzi hayo kisha mumbelezee kadri mnavyoweza kwa hata watu wazima wenye hekima na ma'shekh ikishindikana kabisa kabisa kama umeisha muoa mpe talaka yake au kama bado ujamuoa sio sahihi umuoe maana ndoa ni baraka na baraka huanzia kwa wazazi...
AMIN!!
mashaallah
Mashallah
AMIN.!!!