KEKIMA YA BISHOP GWAJIMA || RETREAT CAMP DAR ES SALAAM
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- KEKIMA YA BISHOP GWAJIMA || RETREAT CAMP DAR ES SALAAM
● Testimonies: abcglobalchurch@gmail.com
● Giving: 0655 466 675 or 0753 466 675 (Dickson Cornel Kabigumila)
● To get Teachings and Books Join us on Telegram:
t.me/abcglobal...
t.me/abcglobal...
Website:
yesunibwana.co.tz
zeno.fm/radio/...
Spotify: anchor.fm/past...
● Follow Pastor Dickson on social media
Facebook: / pastorkabigumila
Tiktok: / kabigumila
linktr.ee/past...
Amen Amen Baba ❤❤❤❤❤❤
Ameeen Pastor MUNGU aendelee kuwa tumia zaidi
Asante sn Baba Askofu mimi ni mwana wa Mungu
Amina jasusi la mbinguni
Jamaa anaongea poit tu mhhh hongera kwake
❤❤❤
Hallelujah Baba Na Barikiwa MUNGU AWAONGOZE NA KUWALINDA KWAKILA MAJARIBU ,INJILI ISONGE MBELE
Hizi nondo ni hatari sanaa
Baba barikiwa Mungu amekupa akili nyingi Sana!!!
Amen baba ni kweli kbs
Amen, na Asante kwa neno la Mungu Baba na Barikiwa.
Ooh!! my God so amazing
Kwali Mungu huwa anatuma watu huyu ametumwa na Mungu alie hai
Oh Yes tunaendelea kukuombea KUHANI wa aliye juu...Hiyo ni hekima kubwa.....God willing tutafika by his glorry
Ubarikiwe mtumishi wabwana
Amen
Musa wa Tanzania ni Askofu Josephat Gwajima.He is the next president of Tanzania,muuombeeni Ulinzi na Afya njema!
Inawezekana hajui ila ni yeye baada ya Rais Samia.
Hallelujah
AMEN, my father
Amazing wisdom from son of God
Barikiwa nimekuelewa
Thank you for posting this!
Niliisubiri sana hii niliona clip tu nikapendaaa
Naaaam Nakubaliiiiii
Napokea kama nipo hapo.kikubwa kutendea KAZI.acha nijifariji angalau.
Hiki ni chuma kweli kweli
Deep teaching to deep people 😅😅😅
Ilikua lini baba angu kahubili uk
By 7
Hiiiiiii
Ili umuelewe baba yetu lazima uwe na akili ya kiungu,maneno ya watu wa mbinguni
aisee huyu anaongea hapo si binadamu exactly ni MUNGU MWENYEZI
What do you mean?😅
I'm taking this🎉
Unakufuru kumlinganisha mtu na Mungu
@@EuniceShedrackMallya elewa Anae ongea Mwandani Mwake na Sii Alie simama Kwamba Mwili ,Yana Roho
JASUSI LA MBINGUNI TUNAKUPATA VIZURI.
waandishi huyu hana hekima huyu mtumishj wa tumbo na shetani amekura pesa ya bandari msariti huyu
Wewe ni sifuri kabisa! Umejaa uovu wa dhambi na uharibifu mwingi asioujua mtu, unawezaje kutukana wasiokujua hata kama upo duniani?
Umtukanae mtumishi wa mungu nipepomkubwa
Unaungua ukiwa waapi kuzimu ama duniani. Tuachie sisi hilo neno litufae mioyoni mwetu. Haya ni maneno ya waendao Mbinguni kwa Yesu Kristo.
Hekima gani wewe
Wewe unayekurupukia vitu mtandaoni una akili kweli? Umeweka bundle kuja kufanya ujinga kwenye video za watu? Jiheshimu
Amen Amen Baba.
Amen