Asalaam aleikum warahmatullahi wabarakatuh jamani naomba kwa jina la ALLAH (S.W.T) SHEIKH tueleze kuusu ottoman empire na kanisa ilobadilishwa msikiti hagia sofia zaida na salahdini ayub zaida maani sija wahikumsikia SHEIKH yeyote aongelea kuusu historia zako na ni muhimu kujua
Salamu aleikum warahma tulah wabarakatuh Swali langu shehe kama mtu amezaliwa na tatizo la kiakili mtu huyu akifa ataulizwa na munkar na kir Pindi atapokua kaburin Naomba shehe kwa ihisani yako utufafanulie vizur Allah akuhifadhi shehe wetu
Ruqiya Idy . Yeyote aliezaliwa na tatizo la akili ( zawalu aqili) huyo daftari lake huwa limefungwa.na hana lolote la kuulizwa mtihani huo utawaingiza peponi kwa mapenzi ya Allah.
Tatiza la kiakili hili swali ni mut'laQ ......huyo haulizwi kwa mujibu wa hadithi swahihi ya mtume kuwa huyo tayari kalamu kwake haifanyi kazi wallaahu aalam
Maashaallah. ALLAH S.W.T Akupe umri mrefu na afya njema. Naomba jambo moja kama litawezekana hizi siku matangazo ni mengi mnaweka,naomba mpunguze maana yanafanya mpaka mawaidha hatuyafati kwa raha.siyo kama mawaidha ya nyuma iliku hakuna matangazo.
Asalaam aleikum warahmatullahi wabarakatuh jamani naomba kwa jina la ALLAH (S.W.T) SHEIKH tueleze kuusu ottoman empire na kanisa ilobadilishwa msikiti hagia sofia zaida na salahdini ayub zaida maani sija wahikumsikia SHEIKH yeyote aongelea kuusu historia zako na ni muhimu kujua
Jazakumulahu qeyra baraka Allahu fikum
Mashaallah Mungu akujaaalie kheri ya milele
JaZakar Allahu kher
Mashalah mungu akupe kira kheri akuripe kesho akhera
Uin8888⁸⁸88
Naomba mtuletee historia ya sheikh othman maalim
Insha ALLAH
Salamu aleikum warahma tulah wabarakatuh
Swali langu shehe kama mtu amezaliwa na tatizo la kiakili mtu huyu akifa ataulizwa na munkar na kir
Pindi atapokua kaburin
Naomba shehe kwa ihisani yako utufafanulie vizur
Allah akuhifadhi shehe wetu
Waaleykum ssalaam warahmatuLLAHI wabarakaatuh je tatzo la kiakili maanake hana kabisa??
Ruqiya Idy . Yeyote aliezaliwa na tatizo la akili ( zawalu aqili) huyo daftari lake huwa limefungwa.na hana lolote la kuulizwa mtihani huo utawaingiza peponi kwa mapenzi ya Allah.
Tatiza la kiakili hili swali ni mut'laQ ......huyo haulizwi kwa mujibu wa hadithi swahihi ya mtume kuwa huyo tayari kalamu kwake haifanyi kazi wallaahu aalam
Allah akubariki sheikh wetu jazaka Allahu kher
Mashaa allah tabarakallah jazzakallahu kher shekh
🙏🙏🙏
Swallallwahu alayhi wasallam
Maashaallah. ALLAH S.W.T Akupe umri mrefu na afya njema.
Naomba jambo moja kama litawezekana hizi siku matangazo ni mengi mnaweka,naomba mpunguze maana yanafanya mpaka mawaidha hatuyafati kwa raha.siyo kama mawaidha ya nyuma iliku hakuna matangazo.
Matangazo inakuwa wanaweka wenyewe youtube siyo sisi
Sub'haana llaah matangazo wanweka you tobu ivi kweli!?
@@hajiramadhani2699 ndio hiyo ni RUclips, na usipo skip hii Chanel pia inapata kitu, lakini Ile tukiskip basi hawapati sana.
Subhanallah
Maashaallah
MASHAALLAH, JAZZAKALLAH KHERI
Waalaykum salam warahmatullah wabarakatuh
Masha Allah