MFANYABIASHARA AMVAA CHALAMILA "KAJA KUONGEA KWA UKALI HATUMUELEWI TUNAMTAKA RAIS SAMIA ATUSIKILIZE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • MFANYABIASHARA AMVAA CHALAMILA "KAJA KUONGEA KWA UKALI HATUMUELEWI TUNAMTAKA RAIS SAMIA ATUSIKILIZE"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Комментарии • 64

  • @geey7893
    @geey7893 3 месяца назад +3

    Kipindi Cha Magu mlilia na Kwa Mwantumu wenu mnagoma. Kumaanina zetu nyote, hamjielewi kuanzia wafanyabiashara mpk Viongozi wenu

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 3 месяца назад

      Uchawa unakusumbua ninakushauri umfuate aliko huyu MAGU wako

  • @YusuphRajabu-hz3pv
    @YusuphRajabu-hz3pv 3 месяца назад +7

    Mamikopo.wanayo.chukua nimingi sana jamani hiyo.mikopo wanayo chukua wanafanyia nini makodi yakila aina vivutio vyakila aina madini yakila aina hivi vyote jamani havijastahili Tanzania kuwa makodi makubwa kiasi hiki mmnataka tukatafutie wap jamani viongozi

  • @baloshimtei7764
    @baloshimtei7764 3 месяца назад +1

    Well said kiongozi

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 3 месяца назад +1

    Uyo rais ndo kachemka na alishachemka a keasababu amerudisha wez na cc ndo hatumtaki rais out kama ruto

  • @hawahussein137
    @hawahussein137 3 месяца назад

    Hatuna mkuu wa mkuu hapo

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 3 месяца назад +1

    Wafanya Biashara waja wanja tu!

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂

    • @msafirimaulidi5054
      @msafirimaulidi5054 3 месяца назад +2

      Ww unafanya biashara? Je lengo la ww kufanya biashara nikulipa Kodi tu au naww una malengo yako?

    • @rashidkihunga2938
      @rashidkihunga2938 3 месяца назад

      umeongea vzr sana vyote vikae pamoja.mfano ninawatu 10 kodi 2000 sawa. na 40. ila wakikwepa wanne swoti 8000. ila nikichukua kodi rafiki wote kila mwaka walipe elfu 3000 napata 1080000.mara 10.ml 10800000. mara watu milion 61. blion658800000. .na hapo ni mfanya biashara wa hali ya chini yaani machinga .niombe serikali mtengeneze kodi rafiki yakutoweka rushwa kwa tra .chalamila hafai anatishia watu kuhama kosa la jinai kutaja eti mpaka alihamia nch nyingie .charamila aitwe kwenye maadili .msipendelee .msema ukweli mpina kidgo tu madili jee mkuu mbele ya kadamnasi hafai kabisaaaa

    • @NemesMasawe
      @NemesMasawe 3 месяца назад

      Ww takooo kwel

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 месяца назад +1

    Hao wanataka wafanyiwe kama Kenya

  • @ChiduMangalili
    @ChiduMangalili 3 месяца назад +1

    Mfanyabiashara sie anaelipa VAT bali ni mlaji.
    Alietakiwa kulalamika ni mlaji.
    Labda wazungumzie mfumo wa kukusanyaji kupitia kwa wafanyabiashara badala ya walaji moja kwa moja.

    • @onehouronlinetv1893
      @onehouronlinetv1893 3 месяца назад

      Uwezo wako mdogo kuhusu biashara mkuu nyamaza.
      Review the concepts of demand and supply. How are final products demanded while they are sold at high price (real price +VAT inclusive) if the VAT value is high. Do you know how consumption is affected by the level of VAT? Can you realize how the level of consumption affect volume of business and revenues?

    • @ZUBERYKASSIM
      @ZUBERYKASSIM 3 месяца назад

      Kwahiyo wewe unataka mlaji aumie

    • @onehouronlinetv1893
      @onehouronlinetv1893 3 месяца назад

      @@ZUBERYKASSIM huyu jamaa dishi sana. Hajui kwamba mfanyabiashara ndio mlaji wa mwaisho pia. Mimi naweza kuwa kuwa nauza nguo lakini nikawa mlaji wa mwisho kwenye bidhaa za Hardware. Vivyo hivyo mwenye hardware anaweza kuwa mlaji wa mwisho kwenye bidhaa za nguo, mazao na mahitaji ya nyumbani

  • @peterkitinga8752
    @peterkitinga8752 3 месяца назад

    Daaaaaaaaaah mpka analia mzeee Hana namna tu lkn Mzee anahasira sana hapo, OGOPA SANA MTU ANAYE ONGEA KWA MAIMIVU

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 3 месяца назад +2

    Hata hivyo serekali inapoteza kodi kwa matrilioni kwa seconds kwa wamachinga wanaouza bila risti

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 3 месяца назад

    Chalamila ni kichaa anastahili awe mirembe nashangaa kuwa mkuu wa mkoa viongozi wengi ni wahuni ikibidi tutawaweka wazi weziiiii

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 3 месяца назад +3

    Unaongoza watu au miti ,waziri anadhamini mapato badara wa maisha ya watu maendeleo ya nchi co Wana nchi ndyo serikali hiii fisadi

    • @hawakiza6067
      @hawakiza6067 3 месяца назад

      Kwakweli ni maajabu wanaangalia mapato yao
      Hawajali wananch kwakweli inasikitisha sana huruma hawana

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 3 месяца назад

    Huyo chalamila ni mshamba sana
    Hajui kuongea.
    Anaweka mkwana ana jishtukia.

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb 3 месяца назад

    Lipeni kodi Samia kasha jua humumpitishi au harudi tena kua rais kwa hiyo anachukua chake mapema

  • @Thevineyard9889
    @Thevineyard9889 3 месяца назад +2

    Ila viongozi wa serikali ya Tanzania wana viburi, waongo na wadanganyifu sana. Hivi inakuwaje tatizo moja lilelile linajirudia mara kwa mara huku viongozi wakijidai wanalifanyia kazi? Serikali imekuwa ikidanganya katika mambo mengi sana ikiwemo matatizo ya umeme, sukari, maji mara zote hujirudia mara kwa mara kila mwaka. Ni kwanini haya yanatokea?

    • @hawakiza6067
      @hawakiza6067 3 месяца назад +1

      Yaani inahuzunisha sana wanakosa huruma kwa wananch

  • @mwajabuYusuph
    @mwajabuYusuph 3 месяца назад +3

    🎉kama vipi hao wanaopandisha hizo kodi ,hebu tuwaombe basi waje hapa Karia koooo wauze duka hata mwaka mmoja tuuuu 😢😢😢

    • @jafarieliyakim6
      @jafarieliyakim6 3 месяца назад

      Wanafanya na wanashindwa wanakimbia ukimuona anafanya ujue analindwa halipi kama wewe

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 3 месяца назад +5

    Samia mwigulu nchemba hatuwataki

  • @MathiasMusobi-ob9cn
    @MathiasMusobi-ob9cn 3 месяца назад +3

    Vibushuti toka lini wakawa na hekimaaa?

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад +3

    safi sana uko vizuli wewe Ni Masai wawap tanga ilinga mbea mwanza Dodoma kigoma mtwara au mkoa mana Masai hana mkoa kote yupo

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 3 месяца назад

    Mpaka CCM Waondoke Madarakani ndo Nchi itatulia Vinginevyo Watakuwa Wanatwanga Maji Kwenye Kinu Maana Kwa Sasa Chama Tawala Kimeoza Kwa Ufisadi na Utawala wa Ovyo Haijawahi Kutokea "

  • @ahnedalasmi9155
    @ahnedalasmi9155 3 месяца назад

    Chukueni hatua kama kenya ndiyo mtapata haki zenu

  • @JacobMbosalee
    @JacobMbosalee 3 месяца назад

    Viongozi kama Chalamila YAANI mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ndio walio msababishia Raisi wa kenya (Ruto) matatizo.mama samia fukuza Kazi huyo Hakufai Kabisa

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 3 месяца назад

    Charamila mumsamehe tu maana ni kichaaa

  • @JacobMbosalee
    @JacobMbosalee 3 месяца назад

    Chalamila ni chawa mwingine ,kwa ufupi hamtakiii Raisi wake mema.fukuza Kazi huyo

  • @talentshow2024
    @talentshow2024 3 месяца назад +3

    Kweli huyu baba ameongea point, tunatamani kujua Kodi ya wafanyabishara ni kiasi gani kwa watu wa mtumba, special, maduka ya Chakula n.k kuliko unaenda unakadiriwa kitu ambacho hata hakipo. Tunaomba serikali watoe Kodi 1 elekezi hii itawasaidia wafanyabiashara

  • @StanleyHendry-rr9cz
    @StanleyHendry-rr9cz 3 месяца назад

    Jamani tunakwenda wapi je hizo kodiz zinakwenda wapi sizinaliwa na wachache mambwa Hawa majizi Kila kukicha yanaiba tuu

  • @LutenganoCharles-d7t
    @LutenganoCharles-d7t 3 месяца назад +2

    Wanasungumza, ndani ya masungumzo

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 3 месяца назад

    viongozi wa sisisem wamezoea kuwatishia watu na watu wanaufyata ila safari hii ni tofauti na muendelee kukaza

  • @rajabusaimon7662
    @rajabusaimon7662 3 месяца назад +2

    Hizo kelele zote zinasababiswa na wezi wa pesa za selekali

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 3 месяца назад

    Taratibu zakidunia za kodi nihivii inatakiwa mlipa kodi alipe kwa ziada ya mapato ila tanzania inalazimisja mtu kulipa zaidi ya mapato yaani unalipa kwa kunya watoto chakuala ili ulipe kodi

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 3 месяца назад

    Ndio kaka tuko pamoja mungu atakusaidieni ishaallah

  • @MohamedMiyombo
    @MohamedMiyombo 3 месяца назад +1

    Wale viongozi wenu wanaulakin

  • @eliasamdimi5870
    @eliasamdimi5870 3 месяца назад

    Inabidi kuwafahamiaha wafanyi biashara wa Tanzania kuwa VAT haitoki mifukoni mwao inalipwa na walaji. Kazi yao mi kukuaanya kwa niaba ya tax office.

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 3 месяца назад +1

    Watanganyika ni walewale

  • @MzeeMkoloni
    @MzeeMkoloni 3 месяца назад

    Viongozi wengi busara hawana wanatumia mbavu zao

  • @geofreybakina6010
    @geofreybakina6010 3 месяца назад

    Wenye shibe hao wanaongea na wenye njaa

  • @juliethnjau2324
    @juliethnjau2324 3 месяца назад

    Kwakweli wasungumze tu

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 3 месяца назад

    Naomba wafanyakazi nanyi gomeni

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 3 месяца назад

    True fact broo

  • @SleimanMsellem
    @SleimanMsellem 3 месяца назад +1

    Tatizo io miradi ccm wanlazimisha waitkeleze haraka haraka apoapo wanadaiwa mabikion...mbn kenya mswada haujapita kwani ruto hana miradi mikubwa? Tatzo wanajua watanzania waoga

  • @JamesMisalabaPalu
    @JamesMisalabaPalu 3 месяца назад +1

    Chalamila; Aliamrisha kurisha mifugo mazao ya chakula Mbeya akiwa mkuu wa mkoa,
    Mwanza akahamasisha unywaji pombe.
    Alipoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Kagera alijirecodi akicheza kama mtoto. Watu walipo sema JPM kafariki yeye kasema Rais niwa afya njema anaendelea na majukumu yake. Baada ya siku mbili tukatangaziwa Rais amefariki duni, karopoka tena naota au mimi nimekufa Chalamila alisema huyo huyo amesikika ana sema juu watu walewe. Kwa hiyo Chalamila ni mtu haeleweki kama popo

    • @RichardMadebe-f1m
      @RichardMadebe-f1m 3 месяца назад

      Tuliemshe kama Kenya ccm wanadharau sana wanainchi

    • @RichardMadebe-f1m
      @RichardMadebe-f1m 3 месяца назад +1

      Tuache kupiga kelele tuliache angalia maslahi ya watumishi ni duni madeni hawalipwi kikokotoo wabunge kwanini? Wao wasijikokotoe iwe mfano kwao tuandamane tu mpaka kieleweke

    • @geofreymilinga2965
      @geofreymilinga2965 3 месяца назад

      Hahaha nimebaki nacheka umejuwa kumfatilia kweli

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 месяца назад

    Nyorobi is very decent

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 месяца назад

    Busara kitu adim kwa viongoz baadhi

  • @ChikondiMadaliso
    @ChikondiMadaliso 3 месяца назад

    Hiyo ni nikweri hakutumia hekima