MFANYABIASHARA AMVAA CHALAMILA "KAJA KUONGEA KWA UKALI HATUMUELEWI TUNAMTAKA RAIS SAMIA ATUSIKILIZE"
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- MFANYABIASHARA AMVAA CHALAMILA "KAJA KUONGEA KWA UKALI HATUMUELEWI TUNAMTAKA RAIS SAMIA ATUSIKILIZE"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Kipindi Cha Magu mlilia na Kwa Mwantumu wenu mnagoma. Kumaanina zetu nyote, hamjielewi kuanzia wafanyabiashara mpk Viongozi wenu
Uchawa unakusumbua ninakushauri umfuate aliko huyu MAGU wako
Mamikopo.wanayo.chukua nimingi sana jamani hiyo.mikopo wanayo chukua wanafanyia nini makodi yakila aina vivutio vyakila aina madini yakila aina hivi vyote jamani havijastahili Tanzania kuwa makodi makubwa kiasi hiki mmnataka tukatafutie wap jamani viongozi
Well said kiongozi
Uyo rais ndo kachemka na alishachemka a keasababu amerudisha wez na cc ndo hatumtaki rais out kama ruto
Hatuna mkuu wa mkuu hapo
Wafanya Biashara waja wanja tu!
😂😂😂😂😂
Ww unafanya biashara? Je lengo la ww kufanya biashara nikulipa Kodi tu au naww una malengo yako?
umeongea vzr sana vyote vikae pamoja.mfano ninawatu 10 kodi 2000 sawa. na 40. ila wakikwepa wanne swoti 8000. ila nikichukua kodi rafiki wote kila mwaka walipe elfu 3000 napata 1080000.mara 10.ml 10800000. mara watu milion 61. blion658800000. .na hapo ni mfanya biashara wa hali ya chini yaani machinga .niombe serikali mtengeneze kodi rafiki yakutoweka rushwa kwa tra .chalamila hafai anatishia watu kuhama kosa la jinai kutaja eti mpaka alihamia nch nyingie .charamila aitwe kwenye maadili .msipendelee .msema ukweli mpina kidgo tu madili jee mkuu mbele ya kadamnasi hafai kabisaaaa
Ww takooo kwel
Hao wanataka wafanyiwe kama Kenya
Mfanyabiashara sie anaelipa VAT bali ni mlaji.
Alietakiwa kulalamika ni mlaji.
Labda wazungumzie mfumo wa kukusanyaji kupitia kwa wafanyabiashara badala ya walaji moja kwa moja.
Uwezo wako mdogo kuhusu biashara mkuu nyamaza.
Review the concepts of demand and supply. How are final products demanded while they are sold at high price (real price +VAT inclusive) if the VAT value is high. Do you know how consumption is affected by the level of VAT? Can you realize how the level of consumption affect volume of business and revenues?
Kwahiyo wewe unataka mlaji aumie
@@ZUBERYKASSIM huyu jamaa dishi sana. Hajui kwamba mfanyabiashara ndio mlaji wa mwaisho pia. Mimi naweza kuwa kuwa nauza nguo lakini nikawa mlaji wa mwisho kwenye bidhaa za Hardware. Vivyo hivyo mwenye hardware anaweza kuwa mlaji wa mwisho kwenye bidhaa za nguo, mazao na mahitaji ya nyumbani
Daaaaaaaaaah mpka analia mzeee Hana namna tu lkn Mzee anahasira sana hapo, OGOPA SANA MTU ANAYE ONGEA KWA MAIMIVU
Hata hivyo serekali inapoteza kodi kwa matrilioni kwa seconds kwa wamachinga wanaouza bila risti
Chalamila ni kichaa anastahili awe mirembe nashangaa kuwa mkuu wa mkoa viongozi wengi ni wahuni ikibidi tutawaweka wazi weziiiii
Unaongoza watu au miti ,waziri anadhamini mapato badara wa maisha ya watu maendeleo ya nchi co Wana nchi ndyo serikali hiii fisadi
Kwakweli ni maajabu wanaangalia mapato yao
Hawajali wananch kwakweli inasikitisha sana huruma hawana
Huyo chalamila ni mshamba sana
Hajui kuongea.
Anaweka mkwana ana jishtukia.
Lipeni kodi Samia kasha jua humumpitishi au harudi tena kua rais kwa hiyo anachukua chake mapema
Ila viongozi wa serikali ya Tanzania wana viburi, waongo na wadanganyifu sana. Hivi inakuwaje tatizo moja lilelile linajirudia mara kwa mara huku viongozi wakijidai wanalifanyia kazi? Serikali imekuwa ikidanganya katika mambo mengi sana ikiwemo matatizo ya umeme, sukari, maji mara zote hujirudia mara kwa mara kila mwaka. Ni kwanini haya yanatokea?
Yaani inahuzunisha sana wanakosa huruma kwa wananch
🎉kama vipi hao wanaopandisha hizo kodi ,hebu tuwaombe basi waje hapa Karia koooo wauze duka hata mwaka mmoja tuuuu 😢😢😢
Wanafanya na wanashindwa wanakimbia ukimuona anafanya ujue analindwa halipi kama wewe
Samia mwigulu nchemba hatuwataki
😂😂😂 vip WEW nan anajutaka
Na ww atukutaki kuwa mtanzania
Vibushuti toka lini wakawa na hekimaaa?
safi sana uko vizuli wewe Ni Masai wawap tanga ilinga mbea mwanza Dodoma kigoma mtwara au mkoa mana Masai hana mkoa kote yupo
Mr mboya uko vizuri
@@KaburuKimath-eu5nfpp❤❤😊
Mpaka CCM Waondoke Madarakani ndo Nchi itatulia Vinginevyo Watakuwa Wanatwanga Maji Kwenye Kinu Maana Kwa Sasa Chama Tawala Kimeoza Kwa Ufisadi na Utawala wa Ovyo Haijawahi Kutokea "
Chukueni hatua kama kenya ndiyo mtapata haki zenu
Viongozi kama Chalamila YAANI mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ndio walio msababishia Raisi wa kenya (Ruto) matatizo.mama samia fukuza Kazi huyo Hakufai Kabisa
Charamila mumsamehe tu maana ni kichaaa
Chalamila ni chawa mwingine ,kwa ufupi hamtakiii Raisi wake mema.fukuza Kazi huyo
Kweli huyu baba ameongea point, tunatamani kujua Kodi ya wafanyabishara ni kiasi gani kwa watu wa mtumba, special, maduka ya Chakula n.k kuliko unaenda unakadiriwa kitu ambacho hata hakipo. Tunaomba serikali watoe Kodi 1 elekezi hii itawasaidia wafanyabiashara
Jamani tunakwenda wapi je hizo kodiz zinakwenda wapi sizinaliwa na wachache mambwa Hawa majizi Kila kukicha yanaiba tuu
Wanasungumza, ndani ya masungumzo
viongozi wa sisisem wamezoea kuwatishia watu na watu wanaufyata ila safari hii ni tofauti na muendelee kukaza
Hizo kelele zote zinasababiswa na wezi wa pesa za selekali
Taratibu zakidunia za kodi nihivii inatakiwa mlipa kodi alipe kwa ziada ya mapato ila tanzania inalazimisja mtu kulipa zaidi ya mapato yaani unalipa kwa kunya watoto chakuala ili ulipe kodi
Ndio kaka tuko pamoja mungu atakusaidieni ishaallah
Wale viongozi wenu wanaulakin
Inabidi kuwafahamiaha wafanyi biashara wa Tanzania kuwa VAT haitoki mifukoni mwao inalipwa na walaji. Kazi yao mi kukuaanya kwa niaba ya tax office.
Kwahiyo hutaki kuwatetea walaji?
Watanganyika ni walewale
Viongozi wengi busara hawana wanatumia mbavu zao
Wenye shibe hao wanaongea na wenye njaa
Kwakweli wasungumze tu
Naomba wafanyakazi nanyi gomeni
True fact broo
Tatizo io miradi ccm wanlazimisha waitkeleze haraka haraka apoapo wanadaiwa mabikion...mbn kenya mswada haujapita kwani ruto hana miradi mikubwa? Tatzo wanajua watanzania waoga
Ndio
Chalamila; Aliamrisha kurisha mifugo mazao ya chakula Mbeya akiwa mkuu wa mkoa,
Mwanza akahamasisha unywaji pombe.
Alipoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Kagera alijirecodi akicheza kama mtoto. Watu walipo sema JPM kafariki yeye kasema Rais niwa afya njema anaendelea na majukumu yake. Baada ya siku mbili tukatangaziwa Rais amefariki duni, karopoka tena naota au mimi nimekufa Chalamila alisema huyo huyo amesikika ana sema juu watu walewe. Kwa hiyo Chalamila ni mtu haeleweki kama popo
Tuliemshe kama Kenya ccm wanadharau sana wanainchi
Tuache kupiga kelele tuliache angalia maslahi ya watumishi ni duni madeni hawalipwi kikokotoo wabunge kwanini? Wao wasijikokotoe iwe mfano kwao tuandamane tu mpaka kieleweke
Hahaha nimebaki nacheka umejuwa kumfatilia kweli
Nyorobi is very decent
Busara kitu adim kwa viongoz baadhi
Hiyo ni nikweri hakutumia hekima