Obby Alpha - Nimewasamehe .
HTML-код
- Опубликовано: 10 апр 2024
- Ndivyo Baba yangu wa Mbinguni atakavyowatenda ninyi,msiposamehe kwa mioyo yenu kila mtu ndugu yake, (Mathayo 18;35).
Ni maombi yangu kwa Mungu aunyooshe moyo wangu,wanaponikosea wengine nisiishie kusamehe na nikabaki na machungu moyoni.Mungu akaseme na wewe pia kupitia ujumbe huu AMEN.
Producer - Mixing Doctor
Director - Avie
Lyrics
Nimewasamehe,Nimewasamehe
Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia.
Nimewasamehe,Nimewasamehe
Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia.
Hivi ni nani daktari wa ugonjwa wa moyo nimjue,
Anitibu tafadhali huu mzigo mzito niutue.
Maana maumivu ni makali nahitaji ukweli niongee,
Kusamehe mi sijali ila kuachilia ndo nashindwa.
Baba naona giza kwenye msamaha wangu ,na msamaha wako wewe haupo hivyo,Ukisamehe unafuta na kusahau.
Hivyo najidunduliza kijae kibubu changu , cha msamaha japo kifike hata robo,Nikisamehe nifute na kusahau.
Maana kiukweli nimesamehe ila nikikumbuka mojo unadunda TiTiTi,Nataka nisahau ili nikikumbuka hali iwe shwari.
Nimewasamehe,Nimewasamehe
Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia.
Baba wapo wale niliowakopesha wakanidhurumu
Tena wapo wale hawakujua kosa wakanihukumu
Baba wapo wale niliowapenda wakanisaliti
Tena wapo wale niliowapa siri wakazisambaza eeh
Haya ni maombi yangu Baba yangu eeeh
Nikisamehe ponya maumivu kwenye moyo wangu,
Hata nikiwaona nisije kukumbuka mabaya yao.
Pia ni maombi yangu Baba yangu eeh
Pia wanisamehe kwa yote mabaya nilotenda,
Hata wakiniona wasije kukumbuka mabaya yangu eeeh.
Baba naona giza kwenye msamaha wangu ,na msamaha wako wewe haupo hivyo,Ukisamehe unafuta na kusahau.
Hivyo najidunduliza kijae kibubu changu , cha msamaha japo kifike hata robo,Nikisamehe nifute na kusahau.
Maana kiukweli nimesamehe ila nikikumbuka mojo unadunda TiTiTi,Nataka nisahau ili nikikumbuka hali iwe shwari.
Nimewasamehe,Nimewasamehe
Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia.
Nimewasamehe,Nimewasamehe
Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia. Видеоклипы
Mathayo 6 : 14-15
Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi. Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.
Mungu nifundishe kuachilia 😢
Kwa sababu ndiyo mapenzi ya mungu, kwamba kwa kutenda mema mzibe vinywa vya ujinga vya watu wapumbavu; kama walio huru, ila wasioutumia uhuru huo kwa kusitiri ubaya,(...)
PET 2: 15-16
🔥🔥🇰🇪
Kusamehe ni rahisi ila kumbukumbu
an uko vizur bro kazana
Kama hii nyimbo imekugusa kabisa tuwe na moyo mmoja achilia like✋✋🎸🎸comment👇👇❤
wakwanza leo naombeni 💯 likes zangu kwenye wimbo wa Alpha please 🙏🙏🔥🙏🙏🏼📖📖
Amen
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Kama unaamini yesu ndiye daktari nipe likes 400❤❤
how many agree that this video needs millions of views!
It’s a blessing 😊
Mungu nifundishe kuwasemea wote walio ujeruwi moyo wangu 😢
Ni wakati wakuacha ya kale yapite 🙌🏽🙌🏽
Hakika
kwa kweli Mungu akubariki sana kwa huu wimbo wapo wengi walio tuumiza mioyo yetu wakaipiga misumari wakatuacha tukingangana kuitoa misumari hiyo mioyo yetu bado inamwaga damu maumivu na majeraha mengi
Listening and watching from Kenya... Wapi likes za wakenya.
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Naomba likes nirudi nicommenti ❤
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Ni ukweli mtupu kusahau imekua tatizo sana Mungu atusaide
Mungu atuokoe
Vile mimi hustruggle kuwachilia😢 though nasamehe but kuwachilia inanishinda kabisa.. haya ni maombi yangu pia. Nifundishe kuwachilia.🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🙏🙏🙏🙏🙏
Hakika watasema tupate wapi tena mtu kama huyu ambaye Mungu anakaa ndani yake
🎉🎉🎉🎉
Napend nymb zako zinanipa moyo sssaan ubalikiwe saan🎉🎉🎉🎉c😂❤❤
Baba naona kiza kwenye msamaha na msamaha wako haupo hivyo, ukisamehe unafuta na kusahau🙏 mwenyezi Mungu azidi kukubariki obby Alpha
kiukwel nimesamehe ila nikikumbuka moyo unadunda Ti Ti
nyimbo hii ni kubwa sana naitabilia makubwa sana hongera sana obby umetukumbusha tumuombe MUNGU atupe karama ya kusamehe na kuaschilia,
Amini tatizo ni kuachilia Mungu nisaidie niachilie
🎉🎉🎉🎉
Kabisa🎉
MUNGU wangu naomba unisaidie nisamehe na kuachilia 😭😭
Mungu nifundishe kuachilia Mimi mtoto wako 🙌🙌
Kenya 🇰🇪tumeikubali 🔥🔥💯
There's power in forgiveness ❤️🔥
Nimekimbia apa kwaajili ya Chilambo..wimbo WA baraka juu🙏
Mungu Nifundishe kuachilia 🙌🏾🙌🏾😭
🎉🎉🎉
King of gospel music in Tanzania and east Africa generally 🎖️🎖️🎖️
Wimbo bora wa mwaka 2024,,,,❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mbalikiwe sana watumishi nyimbo zenu zinatufundisha sana
Huyu mshkaji yuko vizuri,nyimbo zake zinanigusa xan
Dear Lord nifundishe kuwaachilia walio nitendea maovu😢
Amen 🙏🏾
Amen 🎉🎉
Amen
Amen, huu wimbo unamaombi halisi ya moyo wangu,🙌🙌🙌😌😌
Hello
@@chebusjohn8311 yes hellow
Wow wimbo huu umenifunza mengi mno katika maisha ninayoishi kiukweli Mungu atusaidie tuwe wepesi wa kuachilia ee Mungu utufundishe kuachilia 🙏🏾 be Blessed #Obby Alpha#
Nimewasamehe wote walio nijeruhi moyo wangu in the name of God, love this song from kenya ❤❤
Hakika nyimbo nzuri sana
Sanaa
Kabisa
Obby never disappoints🎖️
Mungu nifundishe kuachilia yote niliyoyasamehe🥺🙏
Kaka kiukweli nakosa pakuanzia kabisa nyimbo zko zote zinanigusa sana🎉🎉🎉🎉#desiremgandika❤
Ohol! Nimewasamehe wotee moyo wangu mweupeee kabisaaaa❤❤❤❤❤
Waiting
Powerful song nmerudia kuckiliza mara nyingi barikiwa sana nyimbo zako zote ni nzuri sana zinagusa maisha yng
Kwa kweli yesu ni daktari🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu nifundishe kuachilia ,iliniweze kuwasamehe wote walio nikosea 🙏
Good song
Honger mabrother hakika unajua NMEWASAMEHE
Nomaaaa sanaaa 🎉
Nifundishe kuwachilia mungu,,, nimewasamehe,,, Barikiwa kaka Obby
Mwenyenzi Mungu nifundishe kuachilia na kusamehe 🙏
Nabarikiwa sana na nyimbo za mtumishi huyu Obby
Haujawah kufeli kaka obby Mungu aendelee kukutumia zaid
Waoooooooow good song
🎉🎉🎉
Toko Congo DR msanii wa gospel naku penda zaidi n'a nyimbo zako
Ee mungu naomba nijue kuachilia pale ninapo wasamee
Nimewasamehe ila tatizo kuachilia Mungu nifundishe tu kuachilia🙏🙏
🎉🎉🎉🎉🎉
Asante Kwa ujumbe hatimae mrisi. wa Joel rwaga na clemnent. Ni wew
Amina,tukisamehe tufute na kusahau japo kibinadamu mmmh,Mungu tusaidie
Hii nyimbo nihatari sana nimejikuta nairudia kilamuda
NIMEWASAHEME😓🙏
ILA TATIZO KUACHILIA EEH MUNGU NIFUNDISHE KUACHILIA🙏
Hakika anipe vyema kuachilia
🎉🎉🎉
Shikamooo kakaa obby mwanangu unajuwa really
Hakika 🎉
Niliowapa sili nao waka zisambaza duh inaumiza sana huu wimbo
Nataka nisahau ili nikikumbuka hali iwe shwari Baba nikumbushe kuachilia,Baba wapo wale niliowakopesha wakanidhulumu😢 Nipe moyo wa kusamehe na kusahau
Obby htr xn🎉
🎉🎉🎉
Blessed are thoes who lessened to this song cuz it reminds us of the prayer Be blessed y'all
Ameee😊🎉
Nimesamehee lakini kuachilia siwezi jamani Mungu anisaidie
Kwa welii msamaha si kitu rahisi manake wanao tujerui mioyo ni wale watu wa karibu nasi tulio watarajia tukiwa nao watatuongezea furaha, amani, na upendo, ila hao hao ndiyo walivuruga ata kale kaamani tulikua nako nakuacha mioyo yetu ikivuja damu. Mm nilitendwa na rafiki kwa kuninyanganya mchumba wangu nilimsamehe ila nikimuona akipita moyo unalia machozi ya damu😭😭😭😭 yani nikimuona nakumbuka alivo nitenda nakosa amanii kabisaa. Mwenyezi tusahidie kuwasamehe na kusahau 🙏🙏🙏
Pamoja sana kak
Moto sana i love the reverb
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥
Mungu akuinue zaidi
Jamanii huu wimbo toka nimeanzaa kuusilizaaa ukweliii naurudiii hadiii naurudiaa tenaaa
Huu wimbo ni WA moto sana hata Mimi nimewasamehe🙏
Hata Mimi pia
Kenya imekutambua bro, vijanaa na injili
Napenda nyimbo zako kk mungu akuzidishiye
Mungu nifudishe kusahau,si rahisi ila nimewasamehe,powerful message...man of God
My Broh hii me mwenyewe nimewasamehe ❤️🔥🔥🙌
Hata mimi nimewasameheeeeee
🎉🎉🎉
Kusamehe nasamehe sawa lakini nikikumbuka moyo unauma 😢😢
Mwenyezi Mungu atuwezeshe 🙏🙏🙏
Oyaaa ankooooo 🚨🚨🚨🚨
Yaan kaka upo vizur wimbo mzuri
🎉🎉
Nahisi ni mimi tu ndie nilieusiikiza huu wimbo mara nyingi kuliko wote .
Mungu atusaidie sana hapo kwenye kuachilia ndo huwa vigumu💔
Big shout out to the producer too💓💓💓💓
Kabisa
Once again victory from our boy
Nikisamehe ponya maumivu kwenye roho yangu 🙏 ... amazing song
Amina… wimbo wenye injili na ujumbe wa msamaha… ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
A great vocalist you’re 💯💯💯💯
There's power in forgiveness ❤️🔥🔥🔥
Kusamehe na kusahau ndiyo dawa na tiba ya moyo
Thanks for a touching music, melody and lesson 🙏 be blessed Man of GOD go higher 🙏🎉
Amen
Kuna watu mwimbaji kuwagusa kabisa, wapitia katika hali hii, kama ndo wewe, wimbo huu ufanyike daraja la kutoka kweny hiyo hali unapitia. Kama unaamini sema ameni
Wimbo mzuri kwenye msamaha Kuna uponyaji❤😊😊❤❤
Ndabakunda Cyane mufite umwuka w'Imana ❤❤❤kusamehe inahitaji nguvu🙏🙏🙏📖📖📖 amina amina great work
Imana ishimwe
🙏🙏🔥🔥🙌🙌 nimesameh
Mungu nifundish kusameh
Nifundishe kuachilia niliwapenda wakanisalit
Gonga like.apa kam uko na woyo wa kusamahee❤❤
😢😢😢😢 Mungu nifundishe kuwachalia😢😢
Kusamehe ni rahisi ila kuachilia yahitaji neema ya mungu mungu ni fundishe kuachilia🙏
Mungu naomba unifundishe kusamehe na kuachilia kila nikikumbuka walivo nijeruh moyo wangu naumia sana😢😢😢 Barikiwa Kaka
Huu wimbo unafunzo sana,nami nimewasemee
Nilazima nisikilize Kila siku...nimewasamehe😢😢😢😢
Niko mu congomani. Kwalakini na mpenda sana obby❤❤❤❤
Sala Zito sana kwa Mwenyezi Mungu. Amen.
Mungu nifundishe kuwachilia❤ ni ngumu aki
I forgive everyone who wronged when I needed them the most
You make me cry, 😭 😭 I can't tell you how much I love your songs❤❤❤
Ahhhh we unajua ankoooo
🎉🎉🎉🎉🎉
🥺🥺🥺🥺ni ngumu kusamehe mungu nisaidie kuwasamehe