Obby Alpha - Nimewasamehe .

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2024
  • Ndivyo Baba yangu wa Mbinguni atakavyowatenda ninyi,msiposamehe kwa mioyo yenu kila mtu ndugu yake, (Mathayo 18;35).
    Ni maombi yangu kwa Mungu aunyooshe moyo wangu,wanaponikosea wengine nisiishie kusamehe na nikabaki na machungu moyoni.Mungu akaseme na wewe pia kupitia ujumbe huu AMEN.
    Producer - Mixing Doctor
    Director - Avie
    Lyrics
    Nimewasamehe,Nimewasamehe
    Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia.
    Nimewasamehe,Nimewasamehe
    Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia.
    Hivi ni nani daktari wa ugonjwa wa moyo nimjue,
    Anitibu tafadhali huu mzigo mzito niutue.
    Maana maumivu ni makali nahitaji ukweli niongee,
    Kusamehe mi sijali ila kuachilia ndo nashindwa.
    Baba naona giza kwenye msamaha wangu ,na msamaha wako wewe haupo hivyo,Ukisamehe unafuta na kusahau.
    Hivyo najidunduliza kijae kibubu changu , cha msamaha japo kifike hata robo,Nikisamehe nifute na kusahau.
    Maana kiukweli nimesamehe ila nikikumbuka mojo unadunda TiTiTi,Nataka nisahau ili nikikumbuka hali iwe shwari.
    Nimewasamehe,Nimewasamehe
    Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia.
    Baba wapo wale niliowakopesha wakanidhurumu
    Tena wapo wale hawakujua kosa wakanihukumu
    Baba wapo wale niliowapenda wakanisaliti
    Tena wapo wale niliowapa siri wakazisambaza eeh
    Haya ni maombi yangu Baba yangu eeeh
    Nikisamehe ponya maumivu kwenye moyo wangu,
    Hata nikiwaona nisije kukumbuka mabaya yao.
    Pia ni maombi yangu Baba yangu eeh
    Pia wanisamehe kwa yote mabaya nilotenda,
    Hata wakiniona wasije kukumbuka mabaya yangu eeeh.
    Baba naona giza kwenye msamaha wangu ,na msamaha wako wewe haupo hivyo,Ukisamehe unafuta na kusahau.
    Hivyo najidunduliza kijae kibubu changu , cha msamaha japo kifike hata robo,Nikisamehe nifute na kusahau.
    Maana kiukweli nimesamehe ila nikikumbuka mojo unadunda TiTiTi,Nataka nisahau ili nikikumbuka hali iwe shwari.
    Nimewasamehe,Nimewasamehe
    Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia.
    Nimewasamehe,Nimewasamehe
    Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia.
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 916

  • @nehemiahedward
    @nehemiahedward 3 месяца назад +90

    Mathayo 6 : 14-15
    Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi. Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.

    • @lukiopictures
      @lukiopictures 3 месяца назад +4

      Mungu nifundishe kuachilia 😢

    • @SamwelInnocent
      @SamwelInnocent 3 месяца назад +4

      Kwa sababu ndiyo mapenzi ya mungu, kwamba kwa kutenda mema mzibe vinywa vya ujinga vya watu wapumbavu; kama walio huru, ila wasioutumia uhuru huo kwa kusitiri ubaya,(...)
      PET 2: 15-16

    • @patggggh
      @patggggh 3 месяца назад +2

      🔥🔥🇰🇪

    • @winnieasiko5084
      @winnieasiko5084 3 месяца назад +3

      Kusamehe ni rahisi ila kumbukumbu

    • @olverabel5106
      @olverabel5106 2 месяца назад

      an uko vizur bro kazana

  • @TitohAmri
    @TitohAmri 3 месяца назад +53

    Kama hii nyimbo imekugusa kabisa tuwe na moyo mmoja achilia like✋✋🎸🎸comment👇👇❤

  • @ChegveraenerstMagufuli-wl5nc
    @ChegveraenerstMagufuli-wl5nc 3 месяца назад +112

    wakwanza leo naombeni 💯 likes zangu kwenye wimbo wa Alpha please 🙏🙏🔥🙏🙏🏼📖📖

  • @abroadmediatv8090
    @abroadmediatv8090 3 месяца назад +30

    Kama unaamini yesu ndiye daktari nipe likes 400❤❤

  • @BlessednyashaOfficial
    @BlessednyashaOfficial 3 месяца назад +33

    how many agree that this video needs millions of views!

  • @uiptv365
    @uiptv365 3 месяца назад +38

    Mungu nifundishe kuwasemea wote walio ujeruwi moyo wangu 😢
    Ni wakati wakuacha ya kale yapite 🙌🏽🙌🏽

  • @user-mx2xl6qo4j
    @user-mx2xl6qo4j 3 месяца назад +17

    kwa kweli Mungu akubariki sana kwa huu wimbo wapo wengi walio tuumiza mioyo yetu wakaipiga misumari wakatuacha tukingangana kuitoa misumari hiyo mioyo yetu bado inamwaga damu maumivu na majeraha mengi

  • @NasialiCylus
    @NasialiCylus 3 месяца назад +21

    Listening and watching from Kenya... Wapi likes za wakenya.

  • @arwezgiftsman
    @arwezgiftsman 3 месяца назад +25

    Naomba likes nirudi nicommenti ❤

  • @pierrerock.5949
    @pierrerock.5949 3 месяца назад +13

    Ni ukweli mtupu kusahau imekua tatizo sana Mungu atusaide

  • @missjosephs95
    @missjosephs95 3 месяца назад +26

    Vile mimi hustruggle kuwachilia😢 though nasamehe but kuwachilia inanishinda kabisa.. haya ni maombi yangu pia. Nifundishe kuwachilia.🙏

  • @EnockZakaria-np9gh
    @EnockZakaria-np9gh 3 месяца назад +16

    Hakika watasema tupate wapi tena mtu kama huyu ambaye Mungu anakaa ndani yake

  • @ChristinaCrenzi
    @ChristinaCrenzi 13 часов назад

    Napend nymb zako zinanipa moyo sssaan ubalikiwe saan🎉🎉🎉🎉c😂❤❤

  • @NaomyAllenilikethismovie-pd2zi
    @NaomyAllenilikethismovie-pd2zi Месяц назад

    Baba naona kiza kwenye msamaha na msamaha wako haupo hivyo, ukisamehe unafuta na kusahau🙏 mwenyezi Mungu azidi kukubariki obby Alpha

  • @cosmasrobert2056
    @cosmasrobert2056 3 месяца назад +12

    kiukwel nimesamehe ila nikikumbuka moyo unadunda Ti Ti
    nyimbo hii ni kubwa sana naitabilia makubwa sana hongera sana obby umetukumbusha tumuombe MUNGU atupe karama ya kusamehe na kuaschilia,

  • @mikaellusambi8483
    @mikaellusambi8483 3 месяца назад +17

    Amini tatizo ni kuachilia Mungu nisaidie niachilie

  • @lydianamusia4380
    @lydianamusia4380 Месяц назад

    MUNGU wangu naomba unisaidie nisamehe na kuachilia 😭😭

  • @veroniquegershomu9197
    @veroniquegershomu9197 2 месяца назад +4

    Mungu nifundishe kuachilia Mimi mtoto wako 🙌🙌

  • @Kiokogee
    @Kiokogee 3 месяца назад +10

    Kenya 🇰🇪tumeikubali 🔥🔥💯

  • @RaymondTarimo
    @RaymondTarimo 3 месяца назад +6

    There's power in forgiveness ❤️‍🔥

  • @tabithanderitu8241
    @tabithanderitu8241 3 дня назад

    Nimekimbia apa kwaajili ya Chilambo..wimbo WA baraka juu🙏

  • @johnmmasa
    @johnmmasa 3 месяца назад +14

    Mungu Nifundishe kuachilia 🙌🏾🙌🏾😭

  • @RaymondTarimo
    @RaymondTarimo 3 месяца назад +7

    King of gospel music in Tanzania and east Africa generally 🎖️🎖️🎖️

  • @wahidakisingo3588
    @wahidakisingo3588 3 месяца назад +3

    Wimbo bora wa mwaka 2024,,,,❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @veromwanji
    @veromwanji Месяц назад

    Mbalikiwe sana watumishi nyimbo zenu zinatufundisha sana

  • @user-xe5ek7oz1t
    @user-xe5ek7oz1t Месяц назад

    Huyu mshkaji yuko vizuri,nyimbo zake zinanigusa xan

  • @mildredliambilah2605
    @mildredliambilah2605 3 месяца назад +10

    Dear Lord nifundishe kuwaachilia walio nitendea maovu😢

  • @yopasiamselabuye7456
    @yopasiamselabuye7456 3 месяца назад +8

    Amen, huu wimbo unamaombi halisi ya moyo wangu,🙌🙌🙌😌😌

  • @deboraleonard-b6l
    @deboraleonard-b6l 25 дней назад +2

    Wow wimbo huu umenifunza mengi mno katika maisha ninayoishi kiukweli Mungu atusaidie tuwe wepesi wa kuachilia ee Mungu utufundishe kuachilia 🙏🏾 be Blessed #Obby Alpha#

  • @neshlaykadii
    @neshlaykadii 3 месяца назад

    Nimewasamehe wote walio nijeruhi moyo wangu in the name of God, love this song from kenya ❤❤

  • @georgekinabo2201
    @georgekinabo2201 3 месяца назад +11

    Hakika nyimbo nzuri sana

  • @RaymondTarimo
    @RaymondTarimo 3 месяца назад +4

    Obby never disappoints🎖️

  • @meraburaymond-it6tk
    @meraburaymond-it6tk 3 месяца назад

    Mungu nifundishe kuachilia yote niliyoyasamehe🥺🙏

  • @mgandikadesire
    @mgandikadesire 3 месяца назад +8

    Kaka kiukweli nakosa pakuanzia kabisa nyimbo zko zote zinanigusa sana🎉🎉🎉🎉#desiremgandika❤

  • @Glory261
    @Glory261 3 месяца назад +4

    Ohol! Nimewasamehe wotee moyo wangu mweupeee kabisaaaa❤❤❤❤❤

  • @duncanmulu2450
    @duncanmulu2450 3 месяца назад +11

    Waiting

  • @rogathennko7894
    @rogathennko7894 Месяц назад +2

    Powerful song nmerudia kuckiliza mara nyingi barikiwa sana nyimbo zako zote ni nzuri sana zinagusa maisha yng

  • @julietmmbone5889
    @julietmmbone5889 2 месяца назад

    Kwa kweli yesu ni daktari🙏🙏🙏🙏🙏🙏
    Mungu nifundishe kuachilia ,iliniweze kuwasamehe wote walio nikosea 🙏
    Good song

  • @WitnessSuki
    @WitnessSuki 3 месяца назад +6

    Honger mabrother hakika unajua NMEWASAMEHE

  • @Scania925
    @Scania925 3 месяца назад +6

    Nifundishe kuwachilia mungu,,, nimewasamehe,,, Barikiwa kaka Obby

  • @mercytalu6052
    @mercytalu6052 9 часов назад

    Mwenyenzi Mungu nifundishe kuachilia na kusamehe 🙏

  • @MaryMtalimbo-yl1qk
    @MaryMtalimbo-yl1qk Месяц назад

    Nabarikiwa sana na nyimbo za mtumishi huyu Obby

  • @estercharles2339
    @estercharles2339 3 месяца назад +6

    Haujawah kufeli kaka obby Mungu aendelee kukutumia zaid

  • @juliethelizeus4425
    @juliethelizeus4425 3 месяца назад +9

    Waoooooooow good song

  • @patamusicmsvangi6835
    @patamusicmsvangi6835 2 месяца назад

    Toko Congo DR msanii wa gospel naku penda zaidi n'a nyimbo zako

  • @KobeloChapombe-dx8wp
    @KobeloChapombe-dx8wp 2 месяца назад

    Ee mungu naomba nijue kuachilia pale ninapo wasamee

  • @Sarambikiofficial
    @Sarambikiofficial 3 месяца назад +7

    Nimewasamehe ila tatizo kuachilia Mungu nifundishe tu kuachilia🙏🙏

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 3 месяца назад +4

    Asante Kwa ujumbe hatimae mrisi. wa Joel rwaga na clemnent. Ni wew

  • @paulinandalu2502
    @paulinandalu2502 3 месяца назад

    Amina,tukisamehe tufute na kusahau japo kibinadamu mmmh,Mungu tusaidie

  • @SarahDamian-kz1xv
    @SarahDamian-kz1xv 3 месяца назад

    Hii nyimbo nihatari sana nimejikuta nairudia kilamuda

  • @highlightboy255
    @highlightboy255 3 месяца назад +8

    NIMEWASAHEME😓🙏
    ILA TATIZO KUACHILIA EEH MUNGU NIFUNDISHE KUACHILIA🙏

  • @dicksonwakristo5385
    @dicksonwakristo5385 3 месяца назад +8

    Shikamooo kakaa obby mwanangu unajuwa really

  • @paulcharles5536
    @paulcharles5536 2 месяца назад

    Niliowapa sili nao waka zisambaza duh inaumiza sana huu wimbo

  • @anjelambasha7908
    @anjelambasha7908 2 месяца назад

    Nataka nisahau ili nikikumbuka hali iwe shwari Baba nikumbushe kuachilia,Baba wapo wale niliowakopesha wakanidhulumu😢 Nipe moyo wa kusamehe na kusahau

  • @ellyxplatnumz5655
    @ellyxplatnumz5655 3 месяца назад +8

    Obby htr xn🎉

  • @doncolionthereferee254
    @doncolionthereferee254 3 месяца назад +6

    Blessed are thoes who lessened to this song cuz it reminds us of the prayer Be blessed y'all

  • @Jane-ml8od
    @Jane-ml8od Месяц назад

    Nimesamehee lakini kuachilia siwezi jamani Mungu anisaidie

  • @user-sq5db9bn8e
    @user-sq5db9bn8e 2 месяца назад +2

    Kwa welii msamaha si kitu rahisi manake wanao tujerui mioyo ni wale watu wa karibu nasi tulio watarajia tukiwa nao watatuongezea furaha, amani, na upendo, ila hao hao ndiyo walivuruga ata kale kaamani tulikua nako nakuacha mioyo yetu ikivuja damu. Mm nilitendwa na rafiki kwa kuninyanganya mchumba wangu nilimsamehe ila nikimuona akipita moyo unalia machozi ya damu😭😭😭😭 yani nikimuona nakumbuka alivo nitenda nakosa amanii kabisaa. Mwenyezi tusahidie kuwasamehe na kusahau 🙏🙏🙏

  • @chrisofflcial
    @chrisofflcial 3 месяца назад +8

    Pamoja sana kak

  • @ministertimmy254
    @ministertimmy254 3 месяца назад +6

    Moto sana i love the reverb

  • @Daniel-lj1ws
    @Daniel-lj1ws 3 месяца назад +1

    Mungu akuinue zaidi

  • @Ramlath-yn4fu
    @Ramlath-yn4fu 3 месяца назад

    Jamanii huu wimbo toka nimeanzaa kuusilizaaa ukweliii naurudiii hadiii naurudiaa tenaaa

  • @georgedavid8358
    @georgedavid8358 3 месяца назад +23

    Huu wimbo ni WA moto sana hata Mimi nimewasamehe🙏

  • @moriso2544
    @moriso2544 3 месяца назад +6

    Kenya imekutambua bro, vijanaa na injili

  • @HenryHeri-cq9vo
    @HenryHeri-cq9vo Месяц назад

    Napenda nyimbo zako kk mungu akuzidishiye

  • @user-xk5we1iz6c
    @user-xk5we1iz6c 3 месяца назад

    Mungu nifudishe kusahau,si rahisi ila nimewasamehe,powerful message...man of God

  • @nickytymer3027
    @nickytymer3027 3 месяца назад +3

    My Broh hii me mwenyewe nimewasamehe ❤️🔥🔥🙌

  • @gwakisamwandalima344
    @gwakisamwandalima344 3 месяца назад +3

    Hata mimi nimewasameheeeeee

  • @user-xr6ot7xy3f
    @user-xr6ot7xy3f 3 месяца назад

    Kusamehe nasamehe sawa lakini nikikumbuka moyo unauma 😢😢

  • @DoreenJohn-pv4fd
    @DoreenJohn-pv4fd 3 месяца назад +1

    Mwenyezi Mungu atuwezeshe 🙏🙏🙏

  • @RaymondTarimo
    @RaymondTarimo 3 месяца назад +3

    Oyaaa ankooooo 🚨🚨🚨🚨

  • @estermgoma7451
    @estermgoma7451 3 месяца назад +3

    Yaan kaka upo vizur wimbo mzuri

  • @merydavis3860
    @merydavis3860 3 месяца назад

    Nahisi ni mimi tu ndie nilieusiikiza huu wimbo mara nyingi kuliko wote .

  • @JipeSanga
    @JipeSanga 3 месяца назад

    Mungu atusaidie sana hapo kwenye kuachilia ndo huwa vigumu💔

  • @realentertainment7703
    @realentertainment7703 3 месяца назад +4

    Big shout out to the producer too💓💓💓💓

  • @TravionKish
    @TravionKish 3 месяца назад +2

    Once again victory from our boy

  • @paulinewawira8388
    @paulinewawira8388 3 месяца назад

    Nikisamehe ponya maumivu kwenye roho yangu 🙏 ... amazing song

  • @ggfashions8225
    @ggfashions8225 3 месяца назад

    Amina… wimbo wenye injili na ujumbe wa msamaha… ubarikiwe mtumishi wa Mungu.

  • @roymutie5266
    @roymutie5266 3 месяца назад +2

    A great vocalist you’re 💯💯💯💯

  • @RaymondTarimo
    @RaymondTarimo 3 месяца назад +3

    There's power in forgiveness ❤️‍🔥🔥🔥

  • @amedeusmmanga8043
    @amedeusmmanga8043 3 месяца назад

    Kusamehe na kusahau ndiyo dawa na tiba ya moyo

  • @bethuelsabibi
    @bethuelsabibi 3 месяца назад +3

    Thanks for a touching music, melody and lesson 🙏 be blessed Man of GOD go higher 🙏🎉

  • @RaymondTarimo
    @RaymondTarimo 3 месяца назад +4

    Amen

  • @CastorMabway
    @CastorMabway Месяц назад +1

    Kuna watu mwimbaji kuwagusa kabisa, wapitia katika hali hii, kama ndo wewe, wimbo huu ufanyike daraja la kutoka kweny hiyo hali unapitia. Kama unaamini sema ameni

  • @afrikaandiaries
    @afrikaandiaries 3 месяца назад

    Wimbo mzuri kwenye msamaha Kuna uponyaji❤😊😊❤❤

  • @JudicaelleGatali
    @JudicaelleGatali 3 месяца назад +6

    Ndabakunda Cyane mufite umwuka w'Imana ❤❤❤kusamehe inahitaji nguvu🙏🙏🙏📖📖📖 amina amina great work

  • @NeemaMgaya-ez9un
    @NeemaMgaya-ez9un Месяц назад

    Nifundishe kuachilia niliwapenda wakanisalit

  • @Sammy-x8w
    @Sammy-x8w 20 дней назад

    Gonga like.apa kam uko na woyo wa kusamahee❤❤

  • @user-kv4cn9iy5d
    @user-kv4cn9iy5d 16 часов назад

    😢😢😢😢 Mungu nifundishe kuwachalia😢😢

  • @dorcasbalozi1249
    @dorcasbalozi1249 3 месяца назад

    Kusamehe ni rahisi ila kuachilia yahitaji neema ya mungu mungu ni fundishe kuachilia🙏

  • @nehidermallya5878
    @nehidermallya5878 3 месяца назад

    Mungu naomba unifundishe kusamehe na kuachilia kila nikikumbuka walivo nijeruh moyo wangu naumia sana😢😢😢 Barikiwa Kaka

  • @ConfusedAlien-xk3sh
    @ConfusedAlien-xk3sh 3 месяца назад

    Huu wimbo unafunzo sana,nami nimewasemee

  • @MariamJumanne-bo3jn
    @MariamJumanne-bo3jn 2 месяца назад

    Nilazima nisikilize Kila siku...nimewasamehe😢😢😢😢

  • @redar2kcreative56
    @redar2kcreative56 3 месяца назад

    Niko mu congomani. Kwalakini na mpenda sana obby❤❤❤❤

  • @clintonbahati7725
    @clintonbahati7725 3 месяца назад

    Sala Zito sana kwa Mwenyezi Mungu. Amen.

  • @Mariammoraa
    @Mariammoraa 3 месяца назад

    Mungu nifundishe kuwachilia❤ ni ngumu aki

  • @carolinemuriithi9395
    @carolinemuriithi9395 3 месяца назад

    I forgive everyone who wronged when I needed them the most

  • @nielsenclassic
    @nielsenclassic 3 месяца назад +1

    You make me cry, 😭 😭 I can't tell you how much I love your songs❤❤❤

  • @RaymondTarimo
    @RaymondTarimo 3 месяца назад +1

    Ahhhh we unajua ankoooo

  • @judyjoshofficial5992
    @judyjoshofficial5992 3 месяца назад

    🥺🥺🥺🥺ni ngumu kusamehe mungu nisaidie kuwasamehe