JINSI YA KUPIKA WALI SAMAKI/MAHANJUMATI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • #ZAINABUISSA#MAHANJUMATI#AZAMTV

Комментарии • 23

  • @fulgencebanda1868
    @fulgencebanda1868 4 года назад +3

    Dada nimependa sana kipindi chako, hakika tunapata somo zuri, big up

  • @happinessmkambeni8203
    @happinessmkambeni8203 3 года назад +1

    Nakupenda sana nakufwatilia tangu unaonyesha on startv kweli nimejaribu Mara nyingi kufwata ur recepise zako na natoa Chakula kitamu sana ila leo nimefwatilia naona tangu wafanya marination kwa samaki hukuweka chumvi na kwa wali pia na kwa mchuzi pia sasa sijajua but nadhani wakati mwingine Wa kipindi ukumbuke thanks you

    • @rajabmtunguja5269
      @rajabmtunguja5269 2 года назад

      Imewekwa hukuwa makin wakati wa kipind

    • @glorycharles
      @glorycharles Год назад

      Chumvi ameweka kote ila wali sijaona akiweka mafuta ila chumvi kaweka

  • @meowzna
    @meowzna Месяц назад

    Kipindi Kizuri Saanaa🎉🎉

  • @frankie-nw3tq
    @frankie-nw3tq 3 года назад

    Sante sana kupitia hii video nimeweza kupika wali samaki mzuri leo...👏👏👏👏

  • @cesiliasaid6987
    @cesiliasaid6987 3 года назад +1

    Napenda unavyo pika unaweka wazi kilakitu

  • @maryinyas9320
    @maryinyas9320 3 года назад +3

    Ni vyema kutumia mwiko(wooden spoon )

  • @medicristakessy1636
    @medicristakessy1636 2 года назад

    Nice and good

  • @abdullatifsalim7474
    @abdullatifsalim7474 4 года назад +1

    Amzng

  • @meshackbahati8025
    @meshackbahati8025 4 года назад +2

    Samahani dada mi nilikuwa naomba siku kipindi jinsi ya kuandaa stock

  • @anasaweli5717
    @anasaweli5717 2 года назад

    nice

  • @desirenathan3734
    @desirenathan3734 Год назад

    ❤❤❤❤❤

  • @DianaMedard
    @DianaMedard 3 месяца назад

    Kpenzi unapokea wanafunzii🤔

  • @SelemaNdulabi
    @SelemaNdulabi 6 месяцев назад

    Habari naomba kuliza kwani ni lazima samaki wakaangwe??

  • @allymsham7129
    @allymsham7129 4 года назад +1

    Sasa jaman sisi tunaotumia mchele was kawaida inakuaje hp

  • @glorycharles
    @glorycharles Год назад

    Wali ulisahau kuweka mafuta au haiwekwi?

  • @meshackbahati8025
    @meshackbahati8025 4 года назад

    Kwenye huyo samaki huwezi weka fish masala