Waooooooooo, hongereni sana VVC. Nyimbo nzuri sana, muziki mzuri na uimbaji pia uko powa sana. Nafurahia sana napowaona Benny na Andrew wakiwa kwenye nyimbo moja, najua ntapata radha ya sollo yenyewe.
Nawakubali sana guitarist Ben na andrew mbarikiwe na mzidishiwe,,apo kwa bassist bdo gloire bass mziki ukae mahali pake,,ila anayeicheza kwa sasa kazi nzuri pia❤❤❤❤
Wakwanza kkutazama naomba nipewe like zangu man from ipunda
Kwan wew ndo umetoa nyimbo
@@ElishaDn-fs7hs kula chuma
Dear like sio zako wewe ndo utoe like Kwa wahusika
MD Yuko bomba Sana 🔥 ..all musical team wako sawa kabisaa.huku Kenya 🇰🇪 mmnapendwa sana 💞
Waooooooooo, hongereni sana VVC. Nyimbo nzuri sana, muziki mzuri na uimbaji pia uko powa sana. Nafurahia sana napowaona Benny na Andrew wakiwa kwenye nyimbo moja, najua ntapata radha ya sollo yenyewe.
I love Tanzanians ,,,,,😘😘😘😘😘😘😘🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Shusla🙌 we ni package mdogo wangu🙌mbingu zinajivunia wewe🙌
Kabisa yaani
Kbsa
Binafsi nawapenda watumishi wa MUNGU ❤❤❤
Jecu uki niona kuna mama yako.kwa sauti yako nzuri
Pongezi za dhati ziende kwa mlezi wa VVC Mungu akamwinue kwa viwango vya juu kabisa
shusla umetishaaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Every time I listen to this I feel God repeatedly I can't stop rewinding it back again and again God bless the team, you are such an inspiration 🙏🏾🙏🏾
Nyie jamaa mnajua sana. Mnapaswa kupewa sifa stahiki
Mwezi wa november tunakuja huko Angricana
Jeco unabalaa baba barikiwa ndugu yangu..🙌🙌
Be blessed 🙌 MUNGU aendelee kuwainua kwenye huduma yenu
Shuslaaaa🎉🎉🎉
Nasimama kwa jina la Yesu , Vvc Tanzania mubarikiwe sana❤
🔥🔥🔥mnapatikana wapi jamani mmetisha sana hongereni Mungu azidi kuwainua zaidi na zaidi
Amen mtumishi wa MUNGU tunapatikqna Tanzania dar es salaam sinza
Wimbo mzuri umenibariki
sauti nzuri sana wimbo mahubiri tosha
Bassist ananibariki sana 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Sisi tu wajumbe wa mungu jeco 🎉
Nasimama na kuinuka tena Kwa sautii yako Yesu naendelea mbele, mubarikiwe Sana Sana🙏🙏
Ooooh yes you've got guys Jesus is Lord n if you can visit RSA assembly of God Church
Mungu akubariki dada. Umenigisa moyo sana
Nawakubali sana guitarist Ben na andrew mbarikiwe na mzidishiwe,,apo kwa bassist bdo gloire bass mziki ukae mahali pake,,ila anayeicheza kwa sasa kazi nzuri pia❤❤❤❤
Kaka unackiliz vzr uyo bassist apo ni mwisho em ckiliz vzr mkuu
Jeco umeuaaa nmebarikiwa sanaa vvc
Nyimbo nzuri sana
Nafurahii kuona mdg angu Jeco Talalam the times Gone anazid kuwa more experienced Thanks VVC🇹🇿 kwa kuzid kukilea hiki kipaji🙏🙏🙏....Good song ever
Dogo yupoo vizur,proud of you jeco
Amina kubwa🙏🙏🙏🙏
Jitwikeee uendeee zako
🔥🔥🔥🔥
❤️🥰🥰❤️MUNGU awabariki
Suma uendezako 🔥🔥🔥🔥
❤❤❤
MD na ARRANGER Hongereni Kwa kazi nzuri 👏👏🔥🔥
💯💯💯🔥
Jeco unatuwakilisha vizuri
Ipinda moja
Ni🔥🔥🔥🔥
Best song for the year of 2024... thank you Jesus Christ for this choir
Am blessed
Thank you ❤
Jus waaaooo ❤
❤❤❤very powerfuly song,I'm blessed
Nimefurah sana shuzra isee Mungu ni mkuu sana
Good song❤❤❤❤
Powerful song 🔥🔥🔥🔥
Master piece
Sam poland🫡
😭😭😭🙌🙌🙏
🔥🔥🔥
❤
Kazi nzuri mnoo
Kwa hakika nimepokea mlichonacho mlichonipa 🥰💯🔥
🙏🙏
Groly upon to groly
Zidi barikiwa sana watumishi wa MUNGU na kuinuliwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🎉🎉
Vvc Tanzania 🇹🇿 zidi barikiwa sana watumishi wa MUNGU 🙏♥️🔥🔥🔥
MUNGU Awabariki sana kwa kazi njema wapendwa katika KRISTO YESU 🙏🙏
Mko juu sana vvc Tanzania 🇹🇿
Blessed
May God continue to bless you all for the good works you are doing. More grace.
Mungu awabariki sana ma leader mko 🔥🔥🔥🙏 Mungu awabariki sana❤
MCT songs
What a bezist duuuuuu
Nawapendaa sana vvc🎉
Aminaaaa barikiwa sanaaaaa
Ujumbe mzuri 🎉🙏
Be blessed for nice arrangement....
Amen, Barikiwa sana
hatarii sanaa
Just waaaooo ❤
Blessings 🔥🔥🔥
FAMILY ❤
Bassss😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂evancee
shusla umetishaaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jeco unabalaa baba barikiwa ndugu yangu..🙌🙌
❤❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥
❤❤
❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥